SHEIKH KISHKI | NI KIPI UKIFANYA WAZAZI WAKO WANAWEZA KUPANDISHIWA DARAJA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2021
  • Sheikh nurdin kishki aelezea kwa hisia kali namna ambavyo unaweza kuwapandishia daraja wazazi wako ikiwa bado wapo hai au wamefariki
    #USISAHAU KU SUBSCRIBE CHANEL YETU YA AQ ONLINE TV ILI KUWEZA KUPATA UPDATES MBALI MBALI ZINAZOHUSU DINI YA KIISLAM

ความคิดเห็น • 15

  • @rabiyamaulidinduwimana4110
    @rabiyamaulidinduwimana4110 2 ปีที่แล้ว +1

    Shekhe kishiki nakupeeeeeendabur walipo tangazakama umekufa rohoyanguiliniuma sana ilamungu hakuchukua kwasababu wewenimwangaza basiashukuriw allah naakulinde nawanafiki ujekufamimi sinikotehai kiroho yangu isiumiy

  • @mwarabuali2973
    @mwarabuali2973 ปีที่แล้ว

    Mashallah

  • @kassimomar8593
    @kassimomar8593 2 ปีที่แล้ว

    Asalahmu aleykumu mini kassim omar kutoka kitale.nakuomba unawesa nitumia mawaida ya iyokope dunia na waogopeni wanawake..

  • @theoriginaldhol3032
    @theoriginaldhol3032 2 ปีที่แล้ว +1

    Amiiin Amiiin ya Allah

  • @realchokolatinaquruux5413
    @realchokolatinaquruux5413 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallh

  • @kwekwehamisi5376
    @kwekwehamisi5376 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah 🙏🤲🤲

  • @TarrikSaid
    @TarrikSaid ปีที่แล้ว

    Salam aley kum shekhi naomba namba yako nina maswali mengi nataka kukuuliza aminaa mrisho uganda

  • @rahmahalifa7859
    @rahmahalifa7859 2 ปีที่แล้ว

    SubhanAllah

  • @muslimakassim4320
    @muslimakassim4320 2 ปีที่แล้ว +2

    As salaam aleykum sheikh naomba namba yako

  • @tallyfa05saeed67
    @tallyfa05saeed67 2 ปีที่แล้ว +1

    Naomba tafsiri ya hiyo dua ya kuwaombea wazazi waliotangulia

    • @Abdi.of.the.Rezitos
      @Abdi.of.the.Rezitos 2 ปีที่แล้ว +1

      Rabbi ghfirlii waliwalidaya warhamhuma kama rabayanni saghiira.maana yake ni Rabi nisamehe mimi na wazazi wangu wawli na uwarehemu kama walivyo nirehemu mimi nilipokua mdogo siwezi kitu.

    • @tallyfa05saeed67
      @tallyfa05saeed67 2 ปีที่แล้ว

      @@Abdi.of.the.Rezitos MashaAllah Shukran sana

  • @ashaomar6345
    @ashaomar6345 2 ปีที่แล้ว

    Assalam aleikum me nikona swali nimetokewa na miujiza nikipika chapati jina la Allah likajichora je inamaana gani? Naomba kuelimishwa maana hata chai piya nilipika some few months ago piya jina la Allah likajichora

    • @aqonlinetv
      @aqonlinetv  2 ปีที่แล้ว +1

      Mwenyezi mungu anakukumbusha juu ya uwepo wake na dalili zake. Hivyo zidisha ibada huwenda kuna kitu umepunguza ama unakosea kwenye ibada zako. Ama pia ni fikra na macho yako tuu ndiyo yakupelekeayo kuona hayo.