Dalili za Ugonjwa wa Kisukari Aina ya Pili na Kisukari aina ya kwanza.

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 25

  • @NasraMrisho-z4o
    @NasraMrisho-z4o หลายเดือนก่อน

    Asanteee dokta

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz 4 ปีที่แล้ว +1

    daktari upo vizuriii.... asanteee sana

  • @JulithaGasper
    @JulithaGasper 5 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana doctor

  • @JosephinaMaganga-b3b
    @JosephinaMaganga-b3b 2 หลายเดือนก่อน

    Asante dokta

  • @MankaMosha-vx6ih
    @MankaMosha-vx6ih ปีที่แล้ว

    Mungu atusaidie nimeenda kupima juzi nikakutwa na sukari Mungu aseme namaisha yetu

    • @Salahatibuhatibu
      @Salahatibuhatibu 4 หลายเดือนก่อน

      Pole sana Mungu atakujaliya

  • @merykabogo7636
    @merykabogo7636 4 ปีที่แล้ว +2

    Ahxante daktari kwa elimu nzurii xnaaa ,nlikuahidi daktari ntakjaa kukupa zawadi kwanii umetuokoa wengi xnaa kwenye swala la Lixhe!!

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 3 ปีที่แล้ว

    Sahihi doctor vyema

  • @salehmohd5231
    @salehmohd5231 ปีที่แล้ว +2

    Je??doctor mkojo ukiwa na ladha ya chumvi au sukar unadalili katika hilo la kuashiria diabetes?

  • @zaheernakhwa903
    @zaheernakhwa903 4 ปีที่แล้ว +3

    Allah atujalie salaam dadali zote hizo zilinipat na saiv nnayo sukar ila Allah atuzidishie uzima Inshallah

    • @zainabusaidy3614
      @zainabusaidy3614 4 ปีที่แล้ว

      Niliwah kusoma comment yako mda ulisema umewezakudhit sukar yako

    • @zaheernakhwa903
      @zaheernakhwa903 4 ปีที่แล้ว +1

      @@zainabusaidy3614
      A Alayykum ndio nimeizibiti sukar alhamdulilah situmii daw ila na hesabik ni mgonjwa wa sukar

    • @zaheernakhwa903
      @zaheernakhwa903 4 ปีที่แล้ว

      @@zainabusaidy3614 Inshallah

    • @zaheernakhwa903
      @zaheernakhwa903 4 ปีที่แล้ว

      @@zainabusaidy3614 dad bora nitafute wew maaan sijui upo wapi nimeeka namba naon sijaipat bor nichek wew+96893278748

    • @brigitamakoha9941
      @brigitamakoha9941 4 ปีที่แล้ว

      @@zaheernakhwa903 eeee m pia nina sukari situmiii dawa kabisa labda nile keki

  • @ShitalaNelly
    @ShitalaNelly 11 วันที่ผ่านมา

    Mimi pia ganzi huwa inanitokea ila nilienda kupima kisukari sina hadi macho yanauma inaweza kuwa nikisukari

  • @maggiemuna6085
    @maggiemuna6085 7 หลายเดือนก่อน

    Probability ya kupata kisukari ni kuanzia miaka mingap doctor?

  • @brigitamakoha9941
    @brigitamakoha9941 4 ปีที่แล้ว +1

    M nikua nakula.mchele mbichi ndio nikapata kisukari na situmii dawa kila wakati namaliza hata miezi mbili sili dawa. Najinyima tu kula vitu vya sukari na kula sana situmii dawa ila maumivu ya kiuno na mgongo ndio naskia sana pia,,, nilienda spitali nikapewa dawa za maumivu nilika maumivu ya pungua lakini bado tatizo lipo na niko inchi ya inje

  • @nuhmakoba1969
    @nuhmakoba1969 4 ปีที่แล้ว +1

    Nikiamka asubuhi, ninapoweka ninapokanyaga kwa Mara ya Kwanza nahisi Kama ganzi kwenye kisigino mguu wa kulia. Naomba ushauri Dr

    • @zaheernakhwa903
      @zaheernakhwa903 4 ปีที่แล้ว +1

      Nuh makob jitahid kunywa maji kwa wingi vile usitumie vyakula vya uwang na mafuta pendelea kula mboga mboga kwa wing na bamiya kwa wingi Inshallah gazi itatoka na ujitahid kufany mazoezi

    • @edendehazard5416
      @edendehazard5416 3 ปีที่แล้ว +1

      Piga simu au whatssap nikusaidie +255 628317970

  • @milambojunior7772
    @milambojunior7772 3 ปีที่แล้ว

    Maumivu ya misuri sio dalili ya kisukari!?