Juma Njoro, Nidhamu ya kazi ni Msondo wale tena wakiwa full Nondo,,kuna nidhamu ya kazi,chama cha mapinduzi,uzuri wa mtu si shani, sogea karibu, organ la waziry ally si mchezo, hivyo vitu hataree
ha ha h ha ha ha ha nakumbuka nikibadilisha stesheni kutoka aidhaa ya taifa kwenda idhaa ya biashara au kwa sisi tuliokua Dar ikifika saa sita mchana naweka external service ndio napata nyimbo za kizungu
Leo boxing day 26/12/2022 kama unakubaliana namimi kwamba huu ni mmoja wa nyimbo bora kabisa za DDC Mlimani Park, gonga like za kutosha
Anayesikia ufundi wa gita la bass kama mimi, agonge hapa chini
Maadili toka kwa Hawa Waimbaji was DDC Milimani Park Orch. Kwa miaka nenda Rudi, rekondi imeboreka. Ahsante kwa uhondo. Dr. Ogeto International
Nashukuru sana kwa sauti zenu nzuri sana
Inafika mahara natamani ningezariwa zamani kwamaana wamefaidi nyimbo nzr zenyemafundisho
Ama kweli za kale ni dhahabu, huu wimbo naupenda sanaaaaaaaa, una fundisho zuri sana, hizi nyimbo hazichuji kwakweli
Nikweli dada uko sahihi!!1
Ni kweli nyimbo za zamani zilikuwa na uhalisia wa maisha tunayoishi wanadamu,na kwa kweli zilikuwa na mafunzo mengi sana dada yangu Beatrice Shadrack.
best song.. maudhui mazuri sana
These guys were the mighty singers. The song is well composed, educative and refreshing!
Some songs bring tears in my eyes
I love this beautful song ....old is gold.
Dah, laiti dunia ingalikuwa ina reward ningeshauri ifanywe hivyo!!!
Iko. Vzr..!
it is great to listen to these best songs,
Juma Njoro, Nidhamu ya kazi ni Msondo wale tena wakiwa full Nondo,,kuna nidhamu ya kazi,chama cha mapinduzi,uzuri wa mtu si shani, sogea karibu, organ la waziry ally si mchezo, hivyo vitu hataree
💚And I
kwa kweli hizi nyimbo zina maadili na tungo makini sana.
Hii sio og ,imerudiwa upya na bitchuka pamoja na max
Eeh Sikinde, nani yupo namimi kufaidi vipaji vya wanamuziki hawa bora kabisa wa Tz
These are best songs that you can't compare with now as bongo fleva mchiriku l mean they very educated
DDC had the best music during their heydays.I like their songs.For kiswahili students,their songs were best language tutorials
mawaidha kocho kocho...Bado ndiyo waimbaji wanatawala na kutesa anga...
love the vocalist....and saxophones
Golden oldies...wow!
vipi hile wimbo ngalulu fungua njia kitoto chaanza tamba and dar es salaam jiji umbea mwingi ukila kisavu kazaa roho unazo hizo
th-cam.com/video/w-luCkppXQY/w-d-xo.html
Acha Tu old Is Gold
The best of Swahili culture
Mziki wa uhakika na mawaidha kweli.
Mistari yakuaminika na yenye mafunzo, b sure always before u take any step
nyimbo za zamani zilimaanisha, hivi ule wa ...duniani kuna mambo, mambo yenyewe ya ajabu, jamani nifanye nn, ooh nifanye nn. uliimbwa na nani?
Praisegod Lukio ulimbwa na vijana jazz
DDC mlimani park miziki iliyo komaa
Music that went to group of schools and graduated.
Hii imepooza. Tuwekee original ya hii kitu.
they sing the realy everyday bongo life
Mbona munaandika kizungu kingi hapa jamani tujuvunie lugha yetu
sijui kama kutatokea wanamuziki kama hawa. siku izi ni za wabana pua aisee.
Old is gold
Mwiba wa kujichoma hauna msiba.
The song you are most likely to find me humming
video ya abdala gama irudi mwimbo wa ukae flz
acha kabisa bwana, true
Uzuri wa sura si shani
ukweli usio na fumbo ..sms imefika
Kopi ii
wow!
2024🎉
Jamani ile albamu ya supu imetiwa nazi nyimbo kama "njiwa Manga" na ile albamu ya mtoto wa mitaani. nitaipatale?
kweli kabisa
Leonard Mambo Mbotela KBC.jee huu ni ungwana?
Solo
2021
Hakika ddc mko vema
This is not original version, not engineered
duh kitambo
bola hata mtukumbushege
Naomba original yake
Nadhani hii ni og
Enzi za RTD hata kama hukupanga kuusikiliza utazisikia tu kipindi cha salam mchana
ha ha h ha ha ha ha nakumbuka nikibadilisha stesheni kutoka aidhaa ya taifa kwenda idhaa ya biashara au kwa sisi tuliokua Dar ikifika saa sita mchana naweka external service ndio napata nyimbo za kizungu
Vijana wanaponda!!!
Na mimi yamenikuta dadaangu
Huu wimbo umeharibiwa kwa kiasi kikubwa lakini suluhisho ni kwenda RTD watoe rekodi ya mwanzo Ndio iwekwe ‘TH-cam!’
BURUDAAAAAAN VITU VINA UJUMBEE MURUWAAA
the write musician without good in comes those days the were sopose to be in hollywood
Sijaupata NIDHAMU YA KAZI
juma njoro nidhamu ya kaz nichek ninao