Kiukweli huu ni ujumbe mzuri sana hasa kwa wale wenye roho mbaya kumchukia mtu bila sababu neema zote mtoaji ni ALLAH tu kwahiyo msikonde kwa neema za watu
WIMBO HUU MARA YA KWANZA KAIMBA BICHUKA YUPO OSS NDEKULE NGOMA WAKIWA PAMOJA NA GURUMO ILA HUU KAURUDIA AKIWA SIKINDE MSICHANGANYE MAFAILI HAPO HAKUNA MOMBA MAANA MOMBA NI MSONDO.
Ni Kati ya nyimbo ambazo naamua kusikiliza kutwa nzima, yaani narudiarudia kutwa nzima, mzee Bichuka umebaki wewe tu, Mungu azidi kukupa afya. Nakumbuka enzi zile za miaka ya 90 ukipita mitaa ya kwetu Sinza mida ya jioni ukielekea mazozini. Hakika wewe ni hazina.
Human are not good, they planned to kill an innocent person. So the singer is thanking God for rescuing him and is also asking why should you hate someone who has not wronged you anything.
Wiki 2 zimepita nilikuwa naye hosp Kcmc tulilazwa 1 room. Nilifurahi sana kuonana naye japo tulikutana na matatizo ya kuumwa. Mzee bichuka big up sanaaa
Huyo sio Bitchuka bali hilo ni Chama zima la Nginde, yaani DDC Mlimani Park Orchestra na Utunzi wa Rehani Twaha Bitchuka Binadamu. Mungu ampe uhai. Msipotoshe kwa kusema huyo ni Bitchu peke yake, skiza Mipini inavyopapaswa na Miwa inavyotafunwa humo kabla hujaskiza hiyo mikaango ya Chips !!
Santeeeee...mzee mzima Hassain Rehani Bitchuka "Stereo" akilalamika jukwaani akiwa na Orchestra Safari Sound,alipohamia kutoka Nginde miaka ya kati ya 1980s... Huu wimbo unanikumbusha enzi hizo nasoma Shule ya msingi Mapambano (Sinza), wakati naishi kwenye magorofa ya jeshi, Mwenge. ..
Safi sana nawakubali Hawa wazee nibalaa
NIMEGUSWA NA KUTOKAEWA NA HII CMC JMN UYU MZEE AJENGEWE MNARA💯✅🤎
Nyimbo nzuri sana,hakika uchoki kuisikiliza pia ujumbe mzuri kwa wenye roho mbaya
Mafundishonmakali sana...na ameonyesha kiwango kikubwa Cha Imani ktk kumtegemea mungu binadamu Hana chochote..
Kiukweli huu ni ujumbe mzuri sana hasa kwa wale wenye roho mbaya kumchukia mtu bila sababu neema zote mtoaji ni ALLAH tu kwahiyo msikonde kwa neema za watu
WIMBO HUU MARA YA KWANZA KAIMBA BICHUKA YUPO OSS NDEKULE NGOMA WAKIWA PAMOJA NA GURUMO ILA HUU KAURUDIA AKIWA SIKINDE MSICHANGANYE MAFAILI HAPO HAKUNA MOMBA MAANA MOMBA NI MSONDO.
Umetenda mambo mazur kwenye muz ahsante bichuka
Mzee bichuka kila la kheri kwako upone haraka maradhi yanayokusumbua inshaallah
safi sana ,hakika watu hawa waliimba
Ni ZAIDI ya busara za kawaida...mungu akutunze mzee bichuka
Ni Kati ya nyimbo ambazo naamua kusikiliza kutwa nzima, yaani narudiarudia kutwa nzima, mzee Bichuka umebaki wewe tu, Mungu azidi kukupa afya. Nakumbuka enzi zile za miaka ya 90 ukipita mitaa ya kwetu Sinza mida ya jioni ukielekea mazozini. Hakika wewe ni hazina.
Asante Kaka Bitchuka kwa mawaidha katika nyimbo zako. Hongera!!
kwakweli ni moja kati ya nyimbo bora kuwahi kupigwa toka kupata uhuru safi sana bichuka
Muziki ulipokuwa muziki, vyombo na sauti vyote safi
Golden voice
Hii nyimbo haipitwi na wakati hata
Kama unawakubali awa wazee gonga like apa, Bichuka, momba, Dede x, Tx Moshi x, atariiii
Momba na tx Moshi hawajaimbia sikinde
Bitchuka we ni noma sana mungu akupe maisha marefu mpaka ushangae
Wimbo mzuri ,safi bitchuka . Nyimbo nyingi zilipendwa zina mafunzo , burudani pamoja na maadili
Amefunza Wengi maadili ya maisha kupitia tunzi zake makini bila matusi Wala Ila..japo amestaafu Bali masomo take yaendeles🙏🙏
Bichuka Mungu akujalie mema mazuri kwa maadili unayotoa kwa wanadamu wenzio big up sir God still blessing you!!
Hizi ni nyimbo za marekebisho
We ni shiiiiiiida sana mzee mungu akulinde mpaka ushangae
Jamani Bichuka nakupenda Sana! Tunzi zako zinahisia Kali! Asante kwa wimbo mzuri!
Safi sanaa
6a
Human are not good, they planned to kill an innocent person. So the singer is thanking God for rescuing him and is also asking why should you hate someone who has not wronged you anything.
Walikua wanajuwa sana nyimbo inaeleweka
Kwa kweli Mzee Bichuka wewe ni Mwana muziki, Mzazi, Mlezi na Mwalimu
Nyimbo za zamani zina ujumbe wa kuishi. Na hazichakai
Bichuka hatareeee saaaanaaa...sauti ya ukweliiii mnooooo
Nililazwa hosp kcmc room 1 nilifurahi sana kumwona
Wiki 2 zimepita nilikuwa naye hosp Kcmc tulilazwa 1 room. Nilifurahi sana kuonana naye japo tulikutana na matatizo ya kuumwa. Mzee bichuka big up sanaaa
Huyo sio Bitchuka bali hilo ni Chama zima la Nginde, yaani DDC Mlimani Park Orchestra na Utunzi wa Rehani Twaha Bitchuka Binadamu. Mungu ampe uhai. Msipotoshe kwa kusema huyo ni Bitchu peke yake, skiza Mipini inavyopapaswa na Miwa inavyotafunwa humo kabla hujaskiza hiyo mikaango ya Chips !!
huu wimbo nimeuelewa, mkali kinomaaaa
Stereo sound Bitchuka. Acha kabisa
Combination isiyo kifani. Golden voices.
Bitchuka amenikumbusha mbali sana wakati huoooo
hapo nakumbuka qutor la solo la kassim rashidi kinzunga
Bitchuka tafadhali toa album nzima ya nyimbo, tunakukubali sana. Album uite the best of Bitchuka .Big up Bitchuka!
Kweli ziwekwe kwenye video angalau vijana wa ckuhizi waijue nakuiheshimu miziki yetu ya asili
Big Up asante Hassan bi chuka
Hawa ndio wenye mziki wao sikia saut inavolalamika og, cku hizi tunaimbiwa matus tu hua natamani kulia
Ziwekeni kwenye video jamani mnatunyima uhondo Bichuka nakuomba kaka
Wimbo umeniliza huu....nawakumbuka marehemu baba na mama...
Pole sana kaka....
George Matahimba pole sana
Wapi zamani chini ya mti
Hana wema usimuone kucheka ohh,mtendee la muhimu hatoridhika,akishakusalimu moyoni akasirika.
"Apita akusalimu, moyoni akasirika" 🤗
Free pemba
BICHUKA WEWE NI MOTO WAKUOTEA MBALI KWA SAUTI YA KINANDA, MUNGU AKUOE AFYA NJEMA, HUU MUZIKI HAUSHI HAMU KUUSIKILIZA, HONGERA SAAANA NGULIBWA MUZIKI.
fund na mwalim wa mzik
2020 still watching
Santeeeee...mzee mzima Hassain Rehani Bitchuka "Stereo" akilalamika jukwaani akiwa na Orchestra Safari Sound,alipohamia kutoka Nginde miaka ya kati ya 1980s...
Huu wimbo unanikumbusha enzi hizo nasoma Shule ya msingi Mapambano (Sinza), wakati naishi kwenye magorofa ya jeshi, Mwenge. ..
Ramadhani Abas Hawa wazee si mchezo mungu awalaze mahali pema peponi
1980 nilikua darasa la tatu katika shule ya msingi mkinga_tanga
Bichuka ngurumo Shaban Dede cosmas chidumule kizazi Cha sauti ya dhahabu
Suleman mbwembwe, tx
bichuka upon juuu
Vituko vya binadamu zaidi simu ya nyoka! Ukweli kabisa. Ubinafusi umezidi.
Msaada tutani: Sielewi maneno anayoimba baada ya SI WAZURI BINADAMU.........
Naupenda wimbo huu kwa saidi ya miaka 30. Wimbo bora sana❤❤
Maingu maingu
hanawema usiokucheka
nice song
Bichuka wee
Sawa
hizi zilikuwa mashini
wimbo mtamu!
Nyimbo yanikumbusha nilipokua darasa la tatu
Yanikumbusha 1980 nikiwa datasa la tatu
Nyinyi wazee vichwa vyenu vilikuwa nani? Wimbo utazani umetoka kwa mungu! Jamaniiiii!
Shylagwa de Balima hapa umepitiliza kusema umetoka kwamungu
Nalia sana niusikiapo wimbo huuu. Nawakumbuka wazazi wangu na marafiki zangu waliotangulia mbele za haki. Dunia haitorudi tena nyuma
Kwn kitu kizuri huwa kinatoka wapi kama si kwangu?.......sasa unashangaa nn?
ujumbe maridhawa
Madini ya sauti
Wapi Ntoly and Aly kilo 1988 - 1991 Mawenzi sec school
Teethe e wherrrrrttere ewere reseeded
In hatariii
Safi sana ujumbe Wa Busala
Napenda sana mziki walika zote
Dah
Nikweli tunaowengi tunaishi Ila siowazur hata
hana wema usimwone kucheka oh, apita akusalimu moyoni akasirikaa!!! &%100 napata raha sana
Nice song!
NYI ZA SIKINDE NI ZA UKWELI NA UJUMBE MZITO SANA NAWAOMBA DDC MLIMANI WAZIFANYIE VIDEO WADHAMINI WATAPATA KWANI ZINAPENDWA NA WENGI MA MTSFUNIKA
Marian rajabu