Dah! Pongez nyingi sana kwako mama. Hakika nchi inazidi kufunguka na sisi vjana wako tunazidi kuchapa huku tukiiga falsafa Zak. Hongera sana Mh. RAIS wetu mpendwa👏👏👏
Ishu sio kuwa washirika wetu,Ishu ni kama uliwahi pata ajiri yoyote ambayo juu kuna muhindi utajua nini namaanisha. Mueka hazina au malipo akiwa muhindi,mshahara wako mwenyew unabembelez kama unaomba mikopo😢 Utu wao ni mdogo sana hao watu dhidi yetu,Kimsingi wanapaswa kutuheshim tukiwa ndani ya nchi yetu.
Moja kati ya vitu navyotegemea Ni kuona Waziri wa Sekta Y viwanda na Biashara Anachangamkia Fursa na Kuleta Ushawishi kwa Kiwaanda Cha Bajaji Kije kujengwa Tanzania...... Mama Kafungua Fursa sisi Tuzitekeleze kwa Vitendo
Raisi pekee duniani anayewaza mausiano mazuri na maendeleo wakati raisi wengine wanawaza kupigana tu uko mungu muifadhi na kumpa afya njema raisi wetu wa Tanzania mh SSH. Mimi ni mzalendo wa kweli kwasababu nawapenda viongozi wangu
Kweli anastahili kwa raisi hekma NA busara NA akili NA uwema NA shujaa dalili nchi imetulia NA maandeleo vizuri sana barabara haspital viwanda kweli anaangaika kwa ajili ya watanzania raisi anajua halali NA haramu ukimtazama tu unampenda kwa allah hapa kazi mama mungu atakulipa tu wala usijali hii dunia akhera kuna mengi sana sana
Kila la heri Mheshimiwa Rais Dr Samia Suluhu Hassan tuna mengi ya kujifunza kutoka India wamepuga hatua kubwa kwenye elimu, technolojia, Viwanda vidogo vya kati na vikubwa kabisa, Afya na hata utalii! Mahusiano ya kimkakati na India ni muhimu kwetu. Tutafutie wawekezaji wa mskaa ya mawe Kabulo Ileje Mama India wanayatumia kwa wingi bado. Mungu abariki ziara yako.
Mama ange omba kuonana na watu wa kabila la siddi ambao kiasili ni watu kutoka upwa wa afrika mashariki waliochukuliwa kwenye biashra za utumwa ,pia kuwapa fursa wanaotaka kurudi afrika warudi Mama anaupiga mwingi Nawasalimu kwa salamu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania
Sisi tunaitaji maendeleo ktk technology huko mliko kwenda hatuwezi tegemea Kila kitu kununua toka njee ni utumwa ktk mataifa yetu good move but is it what Tanzania need from exelence president Samia sluu Hasan viti lndia this is the question mark to we Tanzania people
MAMA NAKUKUBALI SANA YAANI NAJIULIZA ULICHELEWA WAPI KUA RAIS ? MUNGU AENDELEE KUKUTUNZA NA KUKUPA MAARIFA MENGI ZAID YA KUTULETEA MAENDELEO, HAKIKA NAKUPENDA ONE DAY NITAKUONA UNIPE KAZ ZA UJENZ WANAWAKE TUNAWEZA
Anaendelea kuuza taifa letu huko kwa kusign mikataba ya ajabu ajabu na mikataba hiyo inaweza kuwa imeandikwa kihindi Yeye ni kuweka signature tu . Jipu hilo litumbuliwe tu maana hamna namna
@@bongo39 wewe na huyo rais wako wote wapumbavu na mnafirwa. Huyo unayemuita rais mimi namuona ni kama housegirl wa mabeberu na wageni wasio waafrika. Here you’re unasapoti usenge anaofanya. Mtoto wa mbwa wewe
Kiitifaki Mkuu wa Nchi akiingia Nchi nyingne shughuli yote ya Kiulinzi inakuwa ya Nchi husika isipokuwa Kwa baadhi tu ya Nchi zenye nguvu kiuchumi na Kijeshi kama Marekani,China,Urusi ,Korea zingnezo taratibu za Kiulinzi Kwa kiongozi wao huwa wanazifanya wao nadhani hii kutokuamin Nchi nyingne
@@Jeremiahlukumay miaka 60 ya uhuru mpaka leo kama taifa hatuna dira wala vipaumbele tupo kama kichwa cha mwendawazimu, raisi anaye kuja anakuja na utaratibu wake na vipaumbele vyake
@@ahmedbashash3672 wewe hujijui hata kidogo,kumbe wewe hulipagi Kodi?kweli watanzania bado tupo gizani,hata hamjui kuwa ktk kununua Kila bithaa hapo ndio mnakatwa kodi?kumbe ccm imewapumbaza mpaka hamna hata elimu ya Kodi?
Ongera sana Rais wangu kwa kazi nzuri👍👍👍❤❤
Very proud of you mama ❤Big up Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿
nothing nothing to proud we are regret to her.
Hongera sana Madam Samia. Mungu yuko nawe tuongoze vyema na Mungu ndie atakulinda na mafisadi wa ndani na nje. Uko vizuri tunajivunia wewe
Madam President you are so eloquent.I salute you.
ماشاءالله امنا سمي نرجوا لك خيرا وسرورا لاسثمار في حكومة التنزانيا
Thank you Tanzainan president ❤
Hongera sana mheshmiwa rais Samia Kwa kuitangaza nchi yetu Tanzania India ni wenzetu hao
Hajatangaza yy tangia muda mfano Magufuli
India wamekuwa washirika wetu wa Muda mrefu sana tunakushuru sana Mh Rais kwa safari yako hiyo Mungu akutunze 🙏🙏🙏
kuanzia lini?na wewe umejuaje?
@@Jeremiahlukumay Nimejifunza siyo kila mtu naweza bishana nae Rudi darasani jifunze utaelewa kwann nimesema hivi
Hongera mama chapa kazi. Twakupenda kiongozi wetu
Kitu ng'eli shortcut and clear big up
Huyu ndie mama, mapenzi na huruma ndio sifa yake, mungu akulinde urudi salama
Mama ❤️🇹🇿
Was so nice trip of our lovely madam presdent
Mama hasante kwa kuiheshimisha tanzania na raia wake na kuitangaza tanzania taifa lenye amani na ukarimu kwa binadamu wote.
Dah! Pongez nyingi sana kwako mama. Hakika nchi inazidi kufunguka na sisi vjana wako tunazidi kuchapa huku tukiiga falsafa Zak. Hongera sana Mh. RAIS wetu mpendwa👏👏👏
Uliifunga wewe nchi ?
Ila watu bana ivi kumbe inchi ilikua imefugwa😢 au mm ndio sijui. 😅
@@josephusimbanilo9500 ndo shangaa sasa,,eti nchi ilifungwa
@@katwigayona8041😂😂
@@katwigayona8041Mtoa comment anaonekana ni mjinga mmoja aliyejaa u.t.i
Kazi iendelee kwa heshima, amani, upendo na unyenyekevu.
Kazi nzuri mama yetu tunakupenda sana
Ziara njema our respective mama president!
Safii Sana Mama, unaendelea kuifungua nchi Tanzania inazidi kufahamika zaidi Kimataifa
Mitano tena 🔥 🔥 🔥
Tubadilishe katiba tumpe miaka mitano tena
Safi sana amuone amrish puri huko na sharuk khan
Tunakupenda Mama
Huyu ndiye Rais wetu wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Big up mheshimiwa
Asante mama,tuwakilishe vema
Love. Friend india🎉❤
MAMA YUKO KAZINI ❤❤❤❤
We love you Mama🥰
Si lazima kila mmoja amuelewe Rais wa nchi. Muhimu mradi anachofanya ni kwa manufaa ya nchi yetu. Zaidi walio wengi wamuelewe. Hongera Mh Rais wetu.
Unaweza kutuambia hili linamanufaa gani
India imekuwa sehemu nzuri kwa kupata mafunzo science na technology
Hongere mama
Hongera sana mama
Ishu sio kuwa washirika wetu,Ishu ni kama uliwahi pata ajiri yoyote ambayo juu kuna muhindi utajua nini namaanisha.
Mueka hazina au malipo akiwa muhindi,mshahara wako mwenyew unabembelez kama unaomba mikopo😢
Utu wao ni mdogo sana hao watu dhidi yetu,Kimsingi wanapaswa kutuheshim tukiwa ndani ya nchi yetu.
Mama anakagua gwaride India hongera mama hakikisha unatuletea mazuri ya huko pia kumbuka Kassim majaliwa aje awe rais tubadilishe tu katiba
YAAN HADI NAONA KUA ULICHELEWA KUA RAIS
Moja kati ya vitu navyotegemea Ni kuona Waziri wa Sekta Y viwanda na Biashara Anachangamkia Fursa na Kuleta Ushawishi kwa Kiwaanda Cha Bajaji Kije kujengwa Tanzania...... Mama Kafungua Fursa sisi Tuzitekeleze kwa Vitendo
Mungu aendelee kukuongoza baa
Raisi pekee duniani anayewaza mausiano mazuri na maendeleo wakati raisi wengine wanawaza kupigana tu uko mungu muifadhi na kumpa afya njema raisi wetu wa Tanzania mh SSH. Mimi ni mzalendo wa kweli kwasababu nawapenda viongozi wangu
Safi sana
India ni nchi nzuri kwa masomo ya science and technology lakini tukisoma tukirudi ni mbinde kusajiliwa hapa sasa sijui kwa nini na they are above us
Kweli anastahili kwa raisi hekma NA busara NA akili NA uwema NA shujaa dalili nchi imetulia NA maandeleo vizuri sana barabara haspital viwanda kweli anaangaika kwa ajili ya watanzania raisi anajua halali NA haramu ukimtazama tu unampenda kwa allah hapa kazi mama mungu atakulipa tu wala usijali hii dunia akhera kuna mengi sana sana
Gud job mama❤
Mama our President you are in India tuletee mapya Tanzani mama yetu
Wenzetu wanatunza mazingira Kwa kupanda miti kama Inavyoonekana. Ila makao makuu ya nchi Dodoma Kila kukicha miti inakatwa. Jangwa linatunyemelea
Uyo alie mkaribisha ni PM MODI?
Kaziiendelee Amiiin.
Kila la heri Mheshimiwa Rais Dr Samia Suluhu Hassan tuna mengi ya kujifunza kutoka India wamepuga hatua kubwa kwenye elimu, technolojia, Viwanda vidogo vya kati na vikubwa kabisa, Afya na hata utalii! Mahusiano ya kimkakati na India ni muhimu kwetu. Tutafutie wawekezaji wa mskaa ya mawe Kabulo Ileje Mama India wanayatumia kwa wingi bado. Mungu abariki ziara yako.
👍⭐️🙏🙏
Yaap safi sana
Watu wa utifaki walikua wapi ?
samia piga kazi mama nenda kafungue milango na kubadilishana mawazo uje tujenge tz yetu auna baya mama
Umeenda kumalizia na bahari mama hongelaaaa😂
Mama ange omba kuonana na watu wa kabila la siddi ambao kiasili ni watu kutoka upwa wa afrika mashariki waliochukuliwa kwenye biashra za utumwa ,pia kuwapa fursa wanaotaka kurudi afrika warudi
Mama anaupiga mwingi
Nawasalimu kwa salamu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania
Sisi tunaitaji maendeleo ktk technology huko mliko kwenda hatuwezi tegemea Kila kitu kununua toka njee ni utumwa ktk mataifa yetu good move but is it what Tanzania need from exelence president Samia sluu Hasan viti lndia this is the question mark to we Tanzania people
Kat ya hao waliompokea ni yup Rais wao India?ni huyo Mubaba au ni huyo Mumama
Mama uyooo❤
yani mama unaongea kwa amani sana salutiiii kama waindia tunawamudu hivi
🎉
Aende akazuru na gaza
Ssa wasiotaka maendeleo wataumia bure mma anauweza hasa uongozi tena bora kawashinda wakongwe kina yoweri
Mama kwa kiengereza noma
kumbe wa india ni washamba yaani wamepoa ngoja waje bongo watafurahi
MAMA NAKUKUBALI SANA YAANI NAJIULIZA ULICHELEWA WAPI KUA RAIS ? MUNGU AENDELEE KUKUTUNZA NA KUKUPA MAARIFA MENGI ZAID YA KUTULETEA MAENDELEO, HAKIKA NAKUPENDA ONE DAY NITAKUONA UNIPE KAZ ZA UJENZ WANAWAKE TUNAWEZA
Jongera mama umeonesha uweledi mkubwa kwa hakika ww sio pocho
Kwa Raha zako mama mungu akupe nini tena?
Ampe kepu za miguu😅😅
Mama ongea nao vizur uje na mkataba wa kuwabinafsisha gombe kigoma ziara nyingi oooyeee
Anaendelea kuuza taifa letu huko kwa kusign mikataba ya ajabu ajabu na mikataba hiyo inaweza kuwa imeandikwa kihindi Yeye ni kuweka signature tu . Jipu hilo litumbuliwe tu maana hamna namna
Wacha upumbavu maisha ya mama yako yanakushinda kumuhudumia mpaka asaidiwe na wanaume kula unaingilia ya wengine
@@bongo39 wewe na huyo rais wako wote wapumbavu na mnafirwa. Huyo unayemuita rais mimi namuona ni kama housegirl wa mabeberu na wageni wasio waafrika. Here you’re unasapoti usenge anaofanya. Mtoto wa mbwa wewe
Kwsni hujui mama yako ndio mchezo wako wa nyuma kwa nyuma mpaka kakukuza wewe au unajifsnya hujui tena anaujua haswa mchezo mnhhh
@@bongo39 Sawa mimi siongei na msenge kama wewe hata mamako alitombwa ndio akakuzaa na sasa akafungulia kila mtu anamtomba mtaani kawa sungura tope😂😂😂
@@bongo39wacheni matusi basi watanzania.
Hii mikataba sasa si lazma yote uikubali,,mingine uwe unaikataa,,,mara nyingi mtu anayetaka kizuri huwa ana mtindo wa kunyenyekea,,,
Safari salamA
MUNGU AKUTANGULIE KATIKA KUTULETEA MAENDELEO RAIS WETU KIPENZI ,TUNAONA KAZI ZINAENDELEA
Naomba kufahamu itifaki kidogo. Mbona siwaoni walinzi wa Rais wetu, hapo anaposhuka mpaka kufikia kwenye hiyo stage?
Kiitifaki Mkuu wa Nchi akiingia Nchi nyingne shughuli yote ya Kiulinzi inakuwa ya Nchi husika isipokuwa Kwa baadhi tu ya Nchi zenye nguvu kiuchumi na Kijeshi kama Marekani,China,Urusi ,Korea zingnezo taratibu za Kiulinzi Kwa kiongozi wao huwa wanazifanya wao nadhani hii kutokuamin Nchi nyingne
@@michaelboniphace3685 nashukuru. Kama ndivyo, Itakuwaje kwa nchi ambazo huenda hazina usalama kama yetu?
Kiitifaki.. rais anapokuwa ktk shughuli za kukaguwa gwaride Hatakiwi kuwa na walinzi wake..
@@ibrahimally8073 nashukuru Sana Kaka
Kamlinde ww
Mama Samia Hana mume? Kwa nini asimzindikize kwenye hizi ziada?
Hongera bibi yetu mwaya, umeezeeka , ijayo utaweza kweli😅
Labda umezeeka wewe. Cheki mdundo mguuni. Kizee anaweza kuvaa hicho kiatu?
Wacha chuki wewe mbwa kazeeka mama yako bichwa limekujaa mavi yako meusi ndio maana chuki tu pumbaaaff
Hadi Raha yaaan
Ameongea kizungu ya mtoto wa pp2 hapa kenya
Tangu juzi atuna umeme wala maji
Next dream probably be home around
Hio deligation yote ya mawaziri na raisi imeenda huko kufanyaje? Mbna kama kodi zetu zinaharibika
ndio hivyo mama anaenda kula bata duniani Kwa Kodi zetu.
Kodi unaijua wewe maskini tu
@@Jeremiahlukumay miaka 60 ya uhuru mpaka leo kama taifa hatuna dira wala vipaumbele tupo kama kichwa cha mwendawazimu, raisi anaye kuja anakuja na utaratibu wake na vipaumbele vyake
@@ahmedbashash3672 ccm mpaka leo iko madarakan sababu ya watu wajinga kama wew
@@ahmedbashash3672 wewe hujijui hata kidogo,kumbe wewe hulipagi Kodi?kweli watanzania bado tupo gizani,hata hamjui kuwa ktk kununua Kila bithaa hapo ndio mnakatwa kodi?kumbe ccm imewapumbaza mpaka hamna hata elimu ya Kodi?
Muhimu.sana.hii.ziara.kwa.taifa.kubwa.kama.hili
Huu ndio uongozi ....hasa unapokuwa na mahusiano na mazuri na wenzio....naamini uchumi utakuwa...kwa kasi sana
Uchumi upi?
@@patrickKitambo ..uchumi wa nchi
Hivi form 4 ulifaulu kweli wewe?
Mama waombe,mashine za dar cc watu wako wengi wanateseka ugonjwa wa Figo imekua janga na garama Iko juu sanaa😂😂😂😂
Limenyimwa mkono na uyo mama apo mwanzo...adi aibu ..eti anajifanya anapandisha chupi inatera ndani ya dear😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwani bange yako ulivutia wapi?
dah uraisi amakweri nikazi
Nothing to normal after 😂😂😂😂😂😂
Mama yetu huyo
Sema Mama yako
Hiyo ni gari au tractor 🚜
@@ahmedbashash3672Fanya adabu matusi ya nini sasa? Mshenzi mkubwa
Tukumbuke mama
😀😆
U
Kisha fika India duu
Kwan ajabu pumbaaaf
Ongera mama tunaiman kubwa na wewe
Huyu mama simwelewi
Mnatoa sifa kichaa akivua nguo hadharani pia
Safari salama