Amen...Ni hakika hii hekima Tosha, ASKOFU GWAJIMA Ubarikiwe mno na ASKOFU KABIGUMILA Ubarikiwe mno, yaan Nabarikiwa sana hakika Tanzania itaenda Next level
Nampenda.sana askofu gwajima niliomba upako.wa askofu gwajima unijie kwa sehemu heeeeeeee ulinijia nahubiri hatari ni mwanamke ila nahubiri hatari nimemuomba Mungu aje anikutanishe na gwajima kwanza niliomba awe kaka yangu kiloho ikawa kitu kikitokea nikisema ss ukoo wetu una nguvu akiwemo.kaka yangu gwajima.naamuru.kupita.kwa.jina la yesu ghafla lile jambo linaisha saizi nahubiri sana
Nimejifunza ujasiri wa kujiombea mwenyewe Asante sana pastor Gwajima
Amen...Ni hakika hii hekima Tosha, ASKOFU GWAJIMA Ubarikiwe mno na ASKOFU KABIGUMILA Ubarikiwe mno, yaan Nabarikiwa sana hakika Tanzania itaenda Next level
I love you Dady Gwajima
Tulifurahi sana kumtembelea Babu yetu wa kiroho....Mungu awabariki watu wa Ufufuo na Uzima nyinyi ni watu wakarimu sana
Ameeeen,ameeeen,baba yangu ni mkuu sana
Nampenda.sana askofu gwajima niliomba upako.wa askofu gwajima unijie kwa sehemu heeeeeeee ulinijia nahubiri hatari ni mwanamke ila nahubiri hatari nimemuomba Mungu aje anikutanishe na gwajima kwanza niliomba awe kaka yangu kiloho ikawa kitu kikitokea nikisema ss ukoo wetu una nguvu akiwemo.kaka yangu gwajima.naamuru.kupita.kwa.jina la yesu ghafla lile jambo linaisha saizi nahubiri sana
Hii Safi Sana. Imekaa vema mnoo
Ushuhuda Mkubwa sana ,hongera sana pastor Dickson
Ameen,ameeen,baba JG WEWE NI MSINGI WANGU,TOKEA NAOKOKA MPAKA LEO
Askofu Gwajima Wewe ni mfano wa kuigwa ❤
Mchungaji Gwajma nimefurahi sana umekuza na umezaa wengi mpaka wengine umewasahau
Mungu ametupa Baba JG
Amen Amen
Ameni
Amennnn🎉🎉🎉🎉
Nimashine sana huyo
🔥🔥🔥🔥🔥
Tumepata baba Bora kuliko wote hilo ni kweli kabisa
Na Mimi nafatilia wewe kama unapofuata gwajima