Mwanasheria wa CLUB kubwa kama YANGA anakuwa mwanasheria wa mchongo dah,mbna ishu inajieleza kabsa iko CLEAR kaaibisha Taasisi na wakiendelea na chokochoko huko mbele watakutana na kitu kizito
Huyu mpuuzi pia hauwezi kutumia busara kwa Kibabage na ukatumia sheria kwa Kagoma hapo kwa sababu makubaliano yalifanyika juu ya wachezaji wawili ni either mikataba ya wote wawili iwe imevunjika au iendelee. Kwa Fountains Gate kuweka mashariti mapya kwenye mkataba wa awali hiyo ni COUNTER OFFER ambayo ni sawa sawa na Bleaching of contract. Hapo Yanga bado wako sawa Fountains Gate wamechemka.
@@danielgeorge2766 huyu sio mpuuzi bali singida walikuwa na nia njema na yanga hawakuhitaji kuwatia yanga aibu nandio maana ukimsikiliza singida wao walifanya suluhu ya kimkataba ili yanga wasiwakose wachezaji wote ila yanga ndio wajinga kwasababu ustaarabu walio ufanya singida yanga hawakuuthamini maanayake mikataba yote m2 wa kibabage na kagoma kisheria yanga walisha shindwa masharaiti outomatical singida ilikuwa inawasomba wachezaji wao
@@danielgeorge2766 ndugu counter offer inatolewaje na upande wa fountain gate na ndo wanaouza tunaomba utufahamishe zaidi tusiojua nilitegemea yanga waki introduce offer mpya ndo iwe counter offer
Mwanasheria wa yanga alikurupuka Kuwa mwanasheria baada ya kutoka chuo bila Kupitia na kuwa chini ya Wanasheria nguli,na inaonekana hata field hakufanya
Wamelew mihogo haooooooo😅😅😅😅😅 uto wenye hakili wawili t
Mwanasheria wa CLUB kubwa kama YANGA anakuwa mwanasheria wa mchongo dah,mbna ishu inajieleza kabsa iko CLEAR kaaibisha Taasisi na wakiendelea na chokochoko huko mbele watakutana na kitu kizito
April mpaka July haujalipa malipo bado unakuja mbele ya kioo ukijinadi unajua sheria YANGA Vilaza kweli
Yanga ni machoko sana akili hawana hata kidogo
Yanga hapa wamechemsha
Nimepata picha sasa,fitna ya mpira imeingia kati kumbe!
Yaaani YANGA ni full UTOPOLO
Ngereza na yule mwenzake alikuwa anashinikiza singida waishitaki yanga wkt suala halijasikilizwa na tff. Mbona munachuki sana nyi tv3
Hiyo benki mnayoitumia hameni.....huwezi deposit ela benki bila descriptions....labda kama nyote mnatudanganya!
Mashabiki wa makolo mko na hasira na vipigo vitatu mfululizo mnaendelea kutema povu kila mtaa 😂😂😂😂
Ushauli kwa yanga wamwajili mwamba huyu kuwa mwanasheria wayanga ili kuepuka haibu wanazo kumbana nazo mwamba ni mwanasheria safiiiii
Contextualization inasema SFG wamekuwa wahuni tu.....angekuwa JUDGE ndo anasimamia hii case msingepona kabisa.....
Yanga walevi tu,hawajui Kireno.
UTOPOLO WAMELAANIKA WAKAMUOMBE RADHI MZEE MAGOMA TENA HADHARANI 😂😂😂😂 KURUJUWANI OYEEEEEE OYEEEEEE
Kurjuan sio mchezo
Hakuna anayejua ukweli Wa hili watanzania jueni SFg itavutia kwao Na Yanga watavutia kwao tuache vyombo vya Sheria vifanye kazi
Hakuna meanasheria pale uto 😂😂😂
Yanga awezi kushinda kesi kwaivyo sisi ndo tutamshtak
Mwanashelia wa yanga atakua mwana familia ila kwenye akili hayupo bola hata wangempa mzee magoma anaweza au mm
Kama mkataba ulivunjwa pesa mngerudisha kwanini mpange matumizi Biashara Ni makubaliano swala linautata
Viongozi Yanga wahuni kabisa
Huyu mpuuzi pia hauwezi kutumia busara kwa Kibabage na ukatumia sheria kwa Kagoma hapo kwa sababu makubaliano yalifanyika juu ya wachezaji wawili ni either mikataba ya wote wawili iwe imevunjika au iendelee. Kwa Fountains Gate kuweka mashariti mapya kwenye mkataba wa awali hiyo ni COUNTER OFFER ambayo ni sawa sawa na Bleaching of contract. Hapo Yanga bado wako sawa Fountains Gate wamechemka.
@@danielgeorge2766 Yanga walishindwa Nini kulipa hela kadiri ya mkataba? 😢
@@danielgeorge2766 huyu sio mpuuzi bali singida walikuwa na nia njema na yanga hawakuhitaji kuwatia yanga aibu nandio maana ukimsikiliza singida wao walifanya suluhu ya kimkataba ili yanga wasiwakose wachezaji wote ila yanga ndio wajinga kwasababu ustaarabu walio ufanya singida yanga hawakuuthamini maanayake mikataba yote m2 wa kibabage na kagoma kisheria yanga walisha shindwa masharaiti outomatical singida ilikuwa inawasomba wachezaji wao
@@danielgeorge2766 ndugu counter offer inatolewaje na upande wa fountain gate na ndo wanaouza tunaomba utufahamishe zaidi tusiojua nilitegemea yanga waki introduce offer mpya ndo iwe counter offer
Nimemsikiliza Na kagoma anaongea different story Ayn hadith hi azifanani
Pale yanga mwenyr akili kwa sasa ni mzee magoma
Pumba tupu kilichotokea nijanja katiya singida na simba
Mwanasheria wa yanga mbona anachanganya mambo?
Mwanasheria wa yanga alikurupuka Kuwa mwanasheria baada ya kutoka chuo bila Kupitia na kuwa chini ya Wanasheria nguli,na inaonekana hata field hakufanya
Shida nikwamba baadhi ya viongozi Tanzania ni wasomea mitihani tu.
Yanga wanajua uchawi tu hawajui chengine chochote
Nyinyi ndo mnaharibu mpira mnauza wachezaji mara mbili
@@majaliwabwitonde6900 mchezaji hajauzwa mara 2 ila kipindi wanamuuza kwa simba,mkataba ulivyunjwa na Yanga wenyewe,au wewe hujaelewa wapi
KAPIME MALARIA UKIAMBIWA HUNA UJUWE KURUJUWANI IMESHA KUPIGA 😂😂😂😂 KURUJUWANI OYEEEEEE OYEEEEEE 😂😂😂
Nyie ndio hata darasani mlikua mnapata mbili ya mia maana hata umbiweje au ulekezwe vipi huelewi
Mpumbavu wewe simba ndio choko subiria kesho mtapata aibu Libya atawanyoosha
@@Peninandembo yanahusika nn hapa ya Libya hapa 2naongelea mkatab wakagoma mbna kam unatok nje ya maada
YAMEKUWA HAYO 😂😂😂😂 MACHOOKO NYE
Yanga wenye akili ni wawili tu, mh. Kikwete na Sunday Manara wengine ni choko tu
@@laninjeje8290 hahahhahahaha