Safi sana wanajeshi wetu endeleeni kupambana tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko Edut: Kwa mapokezi haya kwa nini mchezaji asinitume kwa asilimia 100
Nawaomba sana Haji na Ally muwe kitu kimoja, wanasema umoja ni nguvu. Kwa karama mlizojaaliwa, mkiziunganisha, mtatengeneza kitu kizuri sana. Tunawapenda nyie wote
Asante sana kwa kurud salama,Asante Mungu kwa kijana msemaji kwa kwenda nakaz ya vijana
Hongera semaji Ali kamwe 🎉🎉🎉
Hongera wachezaji kurdi na kombe 🎉🎉🎉🎉
Yaan nilivyo na furaha nikiangalia kama ni kombe la Africa daaah eeeh Allah jaalia uwe mwaka wetu huu wa kuleta kombe la CAF Tanzania
HAKIKA 💪🩸💪
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Alikamwe anawajulia Wanachama, Wapenzi na Mashabiki wa YANGA, nafasi yake aneitendea haki.
Aminaa
HAKIKA
Hongera injinia hersi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera mashabiki mlio jitokeza🎉🎉🎉🎉
Ally kamwe man of the people
Asante Sana wapambanaji wetu mungu awe mbele yetu msimu huu
Kwa hali kamwe eti ajiuzulu sio kwl bana bora manara atafute chakufanya atuache na Ali wetu tu yye kashazeeka hya mambo awezi
🔥🔥🔥🔥🔥
Yanga wanasifa jaman❤
Hongera sana Mshujaa wetu. 💪💪💪💥💥💥🇹🇿🇹🇿🇹🇿💚💛💚💛💚💛💥💥💥💪💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿
tulio Lia juzi kisa kamwe na sai tunafuraha ya kamwe kurudi tujuane hapa sio yule sai kalala na zay wake😂😂
Hongera benchi la ufummndi
Ila Yanga, Mungu itetee Klabu mzima ya Yanga na wachezaji wake wote🙏🏼🙏🏼
Safi sana wanajeshi wetu endeleeni kupambana tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko
Edut: Kwa mapokezi haya kwa nini mchezaji asinitume kwa asilimia 100
Daima Mbele Nyuma Mwiko ❤❤❤❤❤❤
We injinia sisi kama wananchi tunakushukuru sana kwa kumbakusha kamwe home
Nawaomba sana Haji na Ally muwe kitu kimoja, wanasema umoja ni nguvu. Kwa karama mlizojaaliwa, mkiziunganisha, mtatengeneza kitu kizuri sana. Tunawapenda nyie wote
Wananchiiiiii mmetisha sana hii ndio timu ya watu na makombe
Yanga on fire
ilo goma la pacome zouzoua ni la hatari sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Yanga 🎉🎉🎉🎉🎉
Huyo manara atafute kaz nyingine bhana atuachie ally kamwe bhana
Chama langu🎉🎉🎉
Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
Na mimi sijalala huku Kigoma😂
Hongera Mr kigomaaa😂
😂😂ila yanga ni dawa inayotibu magonjwa mengi kama vile mawazo, stress , pressure sukari kuhara , mabaka , maana ni full Raha yanga ndiiiii
Hamuogopi😂😂😂🎉
Yanga 🎉🎉🎉
Manara n bora astaafu tu asitafutwe kuaibika bure kwa kamwe, huu sio muda wa wananchi kupigwa porojo wanataka uhalisia wa timu yetu
Kabisa Ally Kamwe Yupo Vizuri
Manara hawezi kutoka saa 8 usiku akaja Airport amwache mke kitandani😂😂😂
Kabisa
Yanga kweli timu ya wananchiii
Hongereni Kwa kujitoa kwenu 🎉🎉🎉
We dube ungebaki Kule Kwa wale lamba lamba ungeupata wapi upendo kama huo
Wananchi YANGA kwa Raha zao
Umri ni namba manala hawezi hii ni Ali kamwe.
#timuyawananchi🔰🏆🙏
Hadi raha
Yangaaa
🙌🙌🙌
Dube anayo furaha jaman!
🎉🎉🎉❤💚💚💛💛
Tmu inapenda shughuri hiii😂
Lazima dunia ijue kuna Tanzania
Sasa ni zamu ya sanda FC,sijui watashuka na kitu gani.
Bonge la vaibo hii ndiyo yanga africa
Mamae izi furaha alitaka kututolea mzee magoma😂😂😂😂shenziiiii
🤣🤣🤣🤣🤣 wananchiiiiiiii hamnabaya💚💛💚🖐️
Yanga taifa kubwa
Watu tununue jezi.....
Mamae show show 💛💚
We tuna kamwe,kwan huogopi
Linakuja kubwaaaa!
😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎
Raha sana
Love yanga
Jamani makolo lazo lazim mukub
Yanga Raha tupuu
Nimeamini kweli wananchi hawana dogo
💚🔥🔥🔥
😂😂😂 sisi haooo
Raha snaa
🔰🔰
Kazi kuwapa kazi tu mapolisi😂😂😂😂
Pacome zouzua
🎉🎉🎉🎉💛💛💛💚💚💚
Alaf alikamwe aondoke 😂😂😂Ili iweje
Nimesilimu kwaiyo naamia yanga nilikua Simba 🚶♂️😡
😂😂😂😂
🔥🔥🔥🖤💛💚🔥🔥🙏🙏💯
Ko na hao wamama awakulala na waume zao😂😂😂😂kisa yanga
Bado Simba tarehe 8😂
Limdeni kichwa Cha DUBE wangekitoa
Timu ya taifa
😅
Tim yawananch
Kamwe kamwe kamwe! Nimekuita mara tatu, kwakwel uliwavuluga wananchi!
Imekuwa rrahaa san tume injoy kbs
🫡🇹🇿
𝐌𝐖𝐀𝐌𝐀𝐒𝐈𝐒𝐇𝐀𝐉𝐈 𝐊𝐀𝐋𝐀𝐋𝐀 𝐍𝐘𝐔𝐌𝐁𝐀𝐍𝐈 𝐀𝐅𝐈𝐒𝐀 𝐇𝐀𝐁𝐀𝐑 𝐘𝐔𝐏𝐎 𝐀𝐈𝐑𝐏𝐎𝐓 𝐀𝐍𝐀𝐇𝐀𝐌𝐀𝐒𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐃𝐀𝐃𝐀𝐃𝐄𝐊𝐈 𝐊𝐀𝐌𝐖𝐄 𝐀𝐓𝐀𝐁𝐀𝐊𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐀 𝐊𝐀𝐌𝐖𝐄 𝐓𝐔 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐀 𝐁𝐈𝐋𝐀 𝐀𝐋𝐈 𝐊𝐀𝐌𝐖𝐄..!!???😂😂
We injinia sisi kama wananchi tunakushukuru sana kwa kumbakusha kamwe home
Yanga 🎉🎉🎉🎉🎉