MBWADUKE: AANIKA TAKWIMU ZA KUTISHA YANGA/AMTAJA DUBE, DUKE, MAX/AFICHUA MAPUNGUFU JESHI LA GAMONDI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 ต.ค. 2024
- Mchambuzi wa soka, Ramadhani Mbwaduke, maarufu Mzee wa Data, ameuchambua kiufundi Mchezo wa kombe la Toyota uliochezwa nchini Afrika Kusini na kushuhudia Yanga ikiichapa 4-0 Kaizer Chiefs.
Mbwaduke ameeleza takwimu mbalimbali za Wachezaji wa Yanga, huku akifichua pia mapungufu ambayo kwa mtazamo wake anatamani kuona benchi la ufundi chini ya Miguel Gamondi linafanyia kazi.
Aah mbwaduke ni kibokoo👏👏👏
Young African Raha jaman,❤❤❤🔥🔥🔥
Safi sana Mzee wa data
Huyu mzee noma
Nakuelewa sana fadher
Mmh hv Mbwaduke huko kichwani una Calculator au Memory Card 😮😮😮
Anatumia Data (mzee wa data)
Mchambuzi kwa kutumia data, safi sana
Napenda anavyochambua mzee
🎉🎉🎉
Sawa kabisa kwa uchambuzi safi unaweza
Mbwaduke bwana nakuelewa sana
😮
Mzee wa data nakukubali bro❤❤❤❤❤
🎉
huyu mbwatuke apewe KITENGO ni mtu wa mpira tena uko VIZURI kichwani mwake safi sana
Tr 8: ni ubaya unyoko hao SANDA wata chagua kuzika ama kusafilisha
😊😊
Yanga on 🔥
Mbwaduke ukojuuùuu❤❤❤❤❤❤❤❤
Safi mbwanduke
Yanga kiboko
Daah huyu jamaa hatari sana ana ubongo wa ajabu
Mzee wa data hongr
Mbwa Duke leo umetia mpnz ynga hajawha na perfomance ht mech wamezidiwa kila idara icpokuwa nawapa hongera kwa ushindi ila kuposes mpira mech zote hiz wako nyuma sana
We ulikua unaangalia X so mpira karudie tena au ka inauma katika isikuchubue!
🎉🎉🎉🎉🎉❤
Huyu ndo mchambuzi
Mechi tatu magoli 5 kweli msimu huu naona goli nyingi msimu huu SI chini ya 100+
Dogo kalalee duuuh
Mzeee wa data nkukubali
Ivi ukitaka kufanya nao interview hao wachambuz unawalipa au utaratibu ukoje😅
Hao wanao uliza maswali wanazo hizo data
Mbwaduke Yanga wanacheza kulingana timu inavyocheza! Linganisha Yanga ilivyocheza na Ausb na Leo na Kaizer ni sawa?
Ukovizuli
Huyu kafanana na babu tale mbona
Zungumzia ubora wa time Mzee so ukwasi wa msuli wa kifedha mzee
safiiii Ubarikiwe saana
Ramadhani Mwanduka wewe ndio Mchambuzi East Africa hakuna kama wewe napenda na Hawa Wengine waige toka kwako unatumia mda Mwingi kujifunza na kuhifadhi data
Aaahebu muachieni jamaayangu kumuuliza upumbavpu
😊😊