Aliyeota yeye mrefu au amepaa au kuruka (2)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 19

  • @rizikahmad6930
    @rizikahmad6930 ปีที่แล้ว

    shekhe mm nimeota nimemuona mtu mlefu sana alafu ulefuwake sio wakawaida nimlefu sana

  • @yusranizar5269
    @yusranizar5269 5 ปีที่แล้ว +1

    Shekhe Mimi huwa naota Saana nyele ndefu na nimepata maana yake Allah ibarik fik

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  4 ปีที่แล้ว

      Pole sana inaonyesha huwa unapata huzuni mara kwa mara na nina shaka yaweza kuwa ni alama kubwa ya kusumbiliwa na shaitwani unaishi wapi wewe

  • @koshihadiraabdalla5673
    @koshihadiraabdalla5673 4 ปีที่แล้ว +1

    Asalam alaykum shekh Mimi sijazaa mtoto wa kiume nimeota nimeokota mtoto wakiume mwenye alizaliwa kabla ya kufikiasha mienzi siku ya pili nikaota nimezaa lkni sikuonyeshwa mtoto gani siku ya tatu yake nikaota tena nimezaa lkni kwa taabu sana nikasaidiwa na mamake madam wangu nilipomaliza kwa maana tulikuwa ufukweni mwa bahari na bahari yenyewe ulikuwa na maji kidogo tulipotwaa mtoto kuvuka sehemu ya pili maji yakaanza kuongezeka mpaka kitovuni yule mama akaniambia nope mtoto nikusaidie tuvuke nikamwambia silazima tuvuke tusubiri hukuhuku na ule upande tunao tunaenda kulikuwa na mwanaume anatusubiri na anafuraha Sana Hadi anasema vukeni mrudi huku ,pia sisi tulitokea upande tukavuka kabla ya uchungu inamaana gani

  • @habibahhabibah9409
    @habibahhabibah9409 5 ปีที่แล้ว +2

    Jamni mi nimeota Mr nying nikipaa au nakuwa nafkuzwa na kundi la watu kish napaa huku nikisoma ayatu liqurusiwi au aya nyingi amabazo huwa sizifahamu hiyo nayo ipoje?

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  5 ปีที่แล้ว

      Ishara ya kuwa unaulinzi madhubuti kuto kwa M/Mungu au muda wako sio mbali sana hivyo shikamana na ibada

  • @raissamugisha1653
    @raissamugisha1653 3 ปีที่แล้ว

    Mi naota naona watu warefu nini maana yake

  • @yusranizar5269
    @yusranizar5269 5 ปีที่แล้ว +1

    Pia naotaws sana nimevaa puipui leusi maana yake

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  5 ปีที่แล้ว

      Hiyo ni ndoa buibui ni stara

    • @pilianthony2442
      @pilianthony2442 5 ปีที่แล้ว

      Je ukiota samaki wakubwa je

    • @pilianthony2442
      @pilianthony2442 5 ปีที่แล้ว

      ukiota junia LA Michele Na ukiota unapanga folen arafu wenzio wapata mifuko minne arafu mm Na pata mifuko 2 nipo uliza walisema hiyo ya kutosha hiyo ndio ndoto yangu

  • @ndiwakibetjohn1989
    @ndiwakibetjohn1989 4 ปีที่แล้ว +1

    Inamaana gani ukiota unapanda au kuvuna mahindi?

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  4 ปีที่แล้ว

      Poleni huo ni msiba ikiwa sio kipindi cha kupanda na sio mkulima aliyeota ila ikiwa ni mtu wa aina hiyo na mkulima basi fahamu ndio maana yake

  • @yusranizar5269
    @yusranizar5269 5 ปีที่แล้ว +1

    Na ikiwa umeota shekhe umemuona mzee mwenye nyele nyeupe madevu meupe amekaa kwa kitanda cha mwakisu anakuombea mngu dua mama take nini?

  • @yusranizar5269
    @yusranizar5269 5 ปีที่แล้ว +1

    Ukiota wafanya mapenzi na sura za mumeo au MTU yoyote usingizini umjuwao au usomjuwa au mtalaka U pia nduguyo

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  4 ปีที่แล้ว

      Hayo ni matatizo

  • @fatemaissaissafatema6310
    @fatemaissaissafatema6310 4 ปีที่แล้ว

    Salaam salaam mbona kimya sana

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  4 ปีที่แล้ว

      Wa, salaam habari yako nilikuwa naumwa kiasi🙏🙏🙏🙏