SABABU YA UMMAH KUTENGANA//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 14

  • @IssaKilala
    @IssaKilala 11 หลายเดือนก่อน +6

    Shekhe Allah akuongoze na azidi kukudhibisha zaidi kwenye haki hakiki wewe ni ktk wasomi wakubwa wa din wa Africa mashariki

    • @mussakhamis-g8c
      @mussakhamis-g8c 11 หลายเดือนก่อน

      Ktk mitandao aongeze kutupa ilmu

    • @omarkombo3246
      @omarkombo3246 11 หลายเดือนก่อน

      Baarakallahu fiika yaa sheikh

  • @katore1982
    @katore1982 11 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah TabarakaAllah... ustadh Allah akuzidishie subra elmu na hekma uzidi kutujuza nakutufunza Sunnah hadith na vinginevyo ktk dini yetu Islam.

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340 11 หลายเดือนก่อน +2

    Maashaa Allah shukran Dr kwa elm jazzakallakheir

  • @ammaarmwinyi1120
    @ammaarmwinyi1120 11 หลายเดือนก่อน +1

    Barakallahu fiik , ume gusa ofisi maasha Allah ,Allah atuongoze sote inshaa Allah

  • @VyumvyeohoreIssa
    @VyumvyeohoreIssa 11 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akubariki Kwa kufata sunna ya mtume.Muhammad.kunako umoja wa umma huu

  • @umarumzamidu
    @umarumzamidu 11 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akuzidishie elimu na akuingize fil dausi

  • @fatmaZakiya
    @fatmaZakiya 11 หลายเดือนก่อน +3

    Shukran Sheikh Allah akujaze heri amiin

  • @AdamuBakari-eo2tw
    @AdamuBakari-eo2tw 11 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli kabisaa

  • @alimwawema9932
    @alimwawema9932 11 หลายเดือนก่อน +3

    Wacha kubabaisha watu sema ukweli. Ikiwa mtu yuwafuata wazushi kama hassan banna Sayyid Qutb Qardhwaawi. Wewe ni hizbi hataujificha.
    الله المستعان

    • @Team-t6k
      @Team-t6k 11 หลายเดือนก่อน

      Heshima kwanza kabla ya kutowa kauli neno lolote nipe dalili kuwa hizbi ni watu wa motoni ? Ao pako salafi ni watu wa peponi ? Ivi huwoni kuwa Allah anangaliya mwisho wa mja una uhakika gani kuwa utamaliza vizuri? Tumuombe Allah mwisho mwema ila kusema kuwa huyo ni hizbi ao salafi sio njiya mtu kuingiya peponi bali Muislam anatakiwa kufata coran na sunna kisha nakukumbusha tu hata maswahaba walikoseya kama watu na Dr anaweza kukoseya saana tu kama binadamu mweye na kundi lenu mlijafanya malaika hamkoseyagi lakini mnachofundisha mjuwe mnanuku kwenye vitabu kama wangine ila ufahamu wa watu njoo tafauti baki na usalafi wenu na sisi tunabaki na coran na sunna.

    • @alikarama5340
      @alikarama5340 10 หลายเดือนก่อน

      Unaeza Taja watu wa bidaa anaowafata Dr islam?? Au unajiongelelea muogope Allah