Mpinga picha umehongwa kumharibia Lisu mikutano yake. MBONA huonyeshi watu wanao msikiliza? wewe humtakii mema, anaonekana anaongea na kikundi cha watu sio mkutano. Una tatizo
Camera manu hivi lengo lako ni kumuonyesha mh.Tundu Lisu tuuuu? onyesha pia watu wanaosikiliza, usimfanye Lisu aonekane anaongea peke yake tu. Mbona hueleweki Ndugu?
Mna kop mukutano mnaleta kwenye cm.ndo.mnatutisha au mtapigwa kama mbwa.lisu hanapambana mwenyewe tu
Huna jipya lisu,,
Bora uokoke tuu
Waoiga pucha wote ni wa chama chetu.wakipata wapiga picha wao ndo.hutaona hayo hunayoyataka.
2:03
Mpinga picha umehongwa kumharibia Lisu mikutano yake. MBONA huonyeshi watu wanao msikiliza? wewe humtakii mema, anaonekana anaongea na kikundi cha watu sio mkutano. Una tatizo
Camera manu hivi lengo lako ni kumuonyesha mh.Tundu Lisu tuuuu? onyesha pia watu wanaosikiliza, usimfanye Lisu aonekane anaongea peke yake tu. Mbona hueleweki Ndugu?