Uliyosema Lipumba ni sahihi kabisa hata hivyo Watanzania weng hawafahamu jukumu lingine la.msajili wa vyama vya siasa namna anavyoweza kusuluhisha kisheria migogoro ya vyama...naomba elimu hii ifahamike
democracy ya nchi hii imekwisha na imemezwa na hii ni picha harisi ya unafiki wa wale wanao jiita wasimamiaji wa demokrasia.............kurudishwa kwa huyu mtu ni kuiuwa kabisa demokrasia ya nchi hii
Prof mpumba au akili zinaanza kumluka chama kina wakati mgumu pumbavuuuu ulitukimbia wakati wa uchaguzi km ungekuwa kamanda wa kikosi unakimbia wakati mapigano alafu wapiganaji wanapona unarudi na kusema wewe ni kamanda tena hapo ni kukushuti tu
Kumbe kusoma sana siyo ishara ya kuwa na hekima!
Trump yupo sahihi, africa inahitaji irudi kwenye zama za kikoloni
Ndio maprofesa tulionao Tanzania,kwani msajili ni mahakama?si aende mahakamani.
cuf kama watakubali huyu MSALITI wa chama arudi basi wajue wamejimaliza
Wanasiasa wanafurahisha!
mbona wabunge wa cuf na madiwani wameongezeka ukiwa haupo mzee vp wwe
Uliyosema Lipumba ni sahihi kabisa hata hivyo Watanzania weng hawafahamu jukumu lingine la.msajili wa vyama vya siasa namna anavyoweza kusuluhisha kisheria migogoro ya vyama...naomba elimu hii ifahamike
hatukuamini tena wewe ni kigeugeu
well professor!!
Professor huyu ovyo tu hata hafai kusikilizwa ni aibu kubwa sana
huyu ndiye mwenyekiti halali kikatiba ila aliteleza.
hahahaha. Lipumba unamatatizo hauko sawa
Tukaneni tu lakini yuko sawa kisheria
lazima uwe mwenyekiti
kubwa hovyoooo
Naona chama kinapotea kabixa pesa ki2 kingine kweli
utakua mwenyekiti wa Nani? ?? wa cuf au wa msajili wa vyama???? kiukweli umechanganyikiwa kiukweli kuanzia Leo nakwita lipumbavu hujui ulitendalo
Hana rorote huyo lipumba kaishiwa maneno yakuongea nika muelewa mm
povu hiloooooo
ni shida
God is watching us,we need to be care more than we can,,
Siasa
lipumbavu wewe sio lipumba
lipumba unahangaika na roho
mamluki hyo!
hana lolote mbabaishaji tu
democracy ya nchi hii imekwisha na imemezwa na hii ni picha harisi ya unafiki wa wale wanao jiita wasimamiaji wa demokrasia.............kurudishwa kwa huyu mtu ni kuiuwa kabisa demokrasia ya nchi hii
SHIDA kweli
mamluki 2 huyo, hilo jamaa lisaliti nilikiwa namkubali sn ila saiv amenikalia kushoto
hatuna imani na wewe tena haufai haufai
kunakubwabwaja na kuongea vitu viwili tofauti hapo mm naona mibwabwajo
Hana msimamo, anadhalilisha tu taaluma yake.
msaliti huyu anadhania watu ni wajinga
aibu kubwa hii kwa cheo cha profeseri
prof lipunda you should think twice before you act
Hana lolote mi nahs anatumika.... Lipumba ulikimbia nn na kimekurudisha kipi au ulidhan Chama kitakufa....
huyo nia yake kuvunja ukawa nguvu pesa zina mshusha hadhi
yuda yuda yudaaaaaaa
Huyu hana lolote kapigika na maisha lazima awe mwenyekiti?
pumbavu
namkubali lipumba hapendi kuburuzwa
kweli kabisa hapendi kubuluzwa pia anajitambua.
kumbe kuna wasomi wajinga
xx c hawakutak hao wanachana unang'ang'ania nn Unanjitia aib hatukutak msalit ww tumechukua vit ving tu ulipojiuzulu ww na chama kipo xawa tu
Lipumbavu
Prof mpumba au akili zinaanza kumluka chama kina wakati mgumu pumbavuuuu ulitukimbia wakati wa uchaguzi km ungekuwa kamanda wa kikosi unakimbia wakati mapigano alafu wapiganaji wanapona unarudi na kusema wewe ni kamanda tena hapo ni kukushuti tu
mamluki huyo
mshenzi. mkubwa. wewe. usie. jua. thamani. ya. elimu. yako
prof lipunda you should think twice before you act