#zandaaani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.ค. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 45

  • @DM_15
    @DM_15 21 วันที่ผ่านมา +2

    Mayele top score misiri

  • @othmantv2654
    @othmantv2654 21 วันที่ผ่านมา +3

    Code ya leo haihitaji hata D 2....😂😂😂

    • @GEORGERUTANGANTEVYI
      @GEORGERUTANGANTEVYI 21 วันที่ผ่านมา

      ❤😊😊😊
      ❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂❤❤❤😂😂😂❤😂😂😂❤😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂❤❤😂❤❤❤❤😂😂❤❤😂😂❤❤❤😂😂❤❤❤❤❤❤❤

    • @mtotowamanka
      @mtotowamanka 21 วันที่ผ่านมา +1

      F

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374 21 วันที่ผ่านมา +1

    Eti Kama wanamtaka wao kumbe wanaenda kutoa sadaka😂imeenda

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 21 วันที่ผ่านมา +1

    Hans katudanganya 😂😂😂😂😂😂

  • @RobertChacha-hb9re
    @RobertChacha-hb9re 21 วันที่ผ่านมา

    Kweli code ya leo haiitaji d 2😂😂😂

  • @jamespeter5882
    @jamespeter5882 21 วันที่ผ่านมา +1

    Kila siku nawauliza huwa mnachambua mpra au ushabiki

  • @josephchuwa1206
    @josephchuwa1206 20 วันที่ผ่านมา

    Code nyepesi sana Fei totooooo

  • @baharanimasoud
    @baharanimasoud 21 วันที่ผ่านมา +1

    Momo upo kama chawa wayangaa

  • @victorronald1449
    @victorronald1449 21 วันที่ผ่านมา +1

    Simba hakuwahi kumihitaji

  • @richardkokoro3269
    @richardkokoro3269 21 วันที่ผ่านมา

    Kajisahau kaongeza kama yeye ni kiongozi wake eti hakuna anayeweza kukataa. Kwani hivyo vitu haviwezekani?

  • @MohdAli-fl2ef
    @MohdAli-fl2ef 21 วันที่ผ่านมา

    Nobody knows about tomorrow tusimalize maneno

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 21 วันที่ผ่านมา

    Madunduka hawataki kuukubali ukweli hawana uwezo wa kumsajili mayele wala feisal wanawapumbaza mashabiki wao wasiojielewa

  • @zickdeus5497
    @zickdeus5497 21 วันที่ผ่านมา

    Man yani na paul mkai mmemwachia aende duuh!!? Mbn chama letu hili tumekuwa wanyonge san kias hiki

  • @SIMONHERMAN-qv2ln
    @SIMONHERMAN-qv2ln 21 วันที่ผ่านมา

    2

  • @user-px6jj4tu7m
    @user-px6jj4tu7m 21 วันที่ผ่านมา +2

    Ndio tabia zao tunawajua hawa, kama wanataka wao kumbe wanatoa sadaka.

  • @invocavitykitaly2483
    @invocavitykitaly2483 21 วันที่ผ่านมา

    1

  • @msomiadam250
    @msomiadam250 21 วันที่ผ่านมา

    Ujawai kuongea k2 cha ukweli wew

  • @AthumanAlly-zw9ni
    @AthumanAlly-zw9ni 21 วันที่ผ่านมา

    Duuh huyu jamaa hana utofauti na shoga

  • @SenoNorbertKiemena
    @SenoNorbertKiemena 21 วันที่ผ่านมา +1

    Ama kweli nimeamini nyie wachang'ombe wawa wasafi mnatumiwa na nyuma mwiko acheni uchambuzi uchwara mbw nyie

    • @murshidyabdallah1356
      @murshidyabdallah1356 18 วันที่ผ่านมา

      Sio wasafi tu midia zote hapa tz nikama wanaitumikia nyuma mwiko wanabaki kuonesha kuchambua mpira kumbe waelezea mambo yao ya nyuma mwiko

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 21 วันที่ผ่านมา

    Momo leo umeongeya kikubwa

  • @GabrielAmma-jp1oo
    @GabrielAmma-jp1oo 21 วันที่ผ่านมา

    Tatizo unakuwaga mwongomwongo sana

    • @bigjizee4130
      @bigjizee4130 21 วันที่ผ่านมา

      Lini amedanganya

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 21 วันที่ผ่านมา

    Sikieni nyie hao wote ni Bakhresa ikiwa farmily kazi ndio huko Azam na Azam ndio Bakhresa .mchukueni ila Eng Hers ,yuko sawa kwa hiza kazi tena imara sana .nitafurahi sana kina bakhresa wakiachiana wampeleke simba .nitafurahi tena na chochea kuwa Fei ni mzawa apandishwe anatakiwa acheze Simba mpelekeni plz.Hers atafurahi sana ndio kutakua nabushindani lakini maisha ya wachezaji wenu yatakua ni magumi tu hayana raha paka Mo atoke pala nyie omba omba wa babu jiii amkeni mpira biashara ijengeni timu yenu mutaomba paka lini

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 21 วันที่ผ่านมา

      Inakuhusu nini huko kuomba omba alaaaaa

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 21 วันที่ผ่านมา

    Feisal

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 21 วันที่ผ่านมา

    Belive me Fei anakuja Simba

    • @hirizonetz9558
      @hirizonetz9558 21 วันที่ผ่านมา

      Unaota😂

    • @olaislukumay2208
      @olaislukumay2208 21 วันที่ผ่านมา

      @@hirizonetz9558 hata ndoto huwa na ukweli

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 21 วันที่ผ่านมา

    Mbona sielewi

  • @user-ww4so9ks9c
    @user-ww4so9ks9c 21 วันที่ผ่านมา

    Fei huyo

  • @stn4873
    @stn4873 21 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas9164 21 วันที่ผ่านมา

    Kwani mo na bakhresa nani bilionea?

    • @TwalibKwelii
      @TwalibKwelii 21 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe hujuwi kama bakhresa ndio niloneya na kama huamin fuatiliya

    • @cosmasthomas9164
      @cosmasthomas9164 20 วันที่ผ่านมา

      @@TwalibKwelii heee kaka kuuliza siyo ujinga,miaka yote jarida la Forbes huwa linatuambia kuwa mo ndiye bilionea wetu wa tz.ila Asante kwa kunisaidia👍👍

    • @TwalibKwelii
      @TwalibKwelii 20 วันที่ผ่านมา

      @@cosmasthomas9164 waarubu kiuhalisiy ndio matajr wa dunia ila umewah kuwasikiy hata cku moja kutajwa kwenye forbers watu basi na mzee wetu bakhresa huwez kumsikiy kwenye hizo takwimu za mitandaon yule mzee kipaj kwa biashara na Mungu kambarik hana mpinzani na tena ama msaada mkubwa xan sio kwa tz tuu bali ni Africa kiujumla

    • @user-pb3ub3gl4q
      @user-pb3ub3gl4q 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@cosmasthomas9164 Bakharesa kazisambaza mali zake kwa watoto wake ndiyo maana,ila yuko juu sana kamzidi mo

    • @cosmasthomas9164
      @cosmasthomas9164 19 วันที่ผ่านมา

      @@user-pb3ub3gl4q Asante ndugu👍👍

  • @ekisuka1
    @ekisuka1 21 วันที่ผ่านมา

    Huo mkataba ni wa kiuonevu na kama aliusign ni kwa sababu ya shida na umru, bado ana uwezo wa kuupinga na kwenda atakako, akamuone mama amsaidie.

  • @stanleymwaselela1849
    @stanleymwaselela1849 20 วันที่ผ่านมา

    Feitoto

  • @chillogeorge1383
    @chillogeorge1383 21 วันที่ผ่านมา +2

    Ningewashangaa Azam kama wangemtoa Feisal aende simba akacheze ndondo, wakati wao wanakibarua kirefu kwenye Ligi ya Mabingwa.
    Simba bado wanadhani Azam hii ni ile waliyozoa akina Manula, Kapombe, Erasto nyoni, Boko, nk.
    Wanatakiwa wajue kuwa kitonga hio ilisha isha kitambo. Lazima waongeze ubunifu