Mdogo wangu Mwijaku siku zote nilijua wewe ni mtu wamasiara sanaaa ,na pia ni mtu ambae nilijua wewe ni Moja wa wasanii wapenda starehe kumbe ni tofauti nilivyo kuwazia ,hongera sanaaaa Bwana mdogo ,wewe una akili kuliko Diamond nakupenda sanaaaa ,mdogo wangu
Mdogo wangu Mwijaku siku zote nilijua wewe ni mtu wamasiara sanaaa ,na pia ni mtu ambae nilijua wewe ni Moja wa wasanii wapenda starehe kumbe ni tofauti nilivyo kuwazia ,hongera sanaaaa Bwana mdogo ,wewe una akili kuliko Diamond nakupenda sanaaaa ,mdogo wangu
Kwann baadhi ya waandishi mnakuwa wa hovyo sanaa?? Mnaandika vitu ambavyo havipo pumba kweli
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤p
Kwani nyumba yenyewe ina maajabu gani jamani yaani ndiyo umejenga umejitahidi basi usiwe limbukeni mshukuru mungu inatosha
Kumbe uko vizuri!Nimekuelewa huo ndio uwanaume.....unatia moyi wa kupambana......huo ndio uwanaume
Nyumba ya kawaida tu unatukana watu n amna hii hiyo mbon a ni nyumba ya kawaida tu mwijaku
hongera sana my lol model umenipa nguvu yakupamba zaid katika maisha🎉💕🇹🇿
Mwandishi acha wivu wa maendeleo ya mwijaku
Hongera mwijaku
Jitahidi kuongea vizuri usi watharau watu hiyo nyumba hutaicha watu watakubeba siku moja be good
Hivi mnasikiliza seriously 😂😂😂
Mi nikitoka Oman. Nitakuletea zawadi
Mjengo mkalii mwijako ongera sana..
atumbuliwa kwani anafanya kazi serekalini usema ameibiya serekali sema serekali yetuu haiifatilii mambo kama hayaa serekali yamama samia kiongozi mwenye utuu ingekua uongozi mwingine angehojiwa tuu aonyeshw chanzo chamapato yake nakalipaje kodi
Hongera Sana mwijaku
Una haki yaku ongea Mwijaku you made it.
Kila m2 kapangiwa liziki yake. Apa duniani,
AchA DHArau mwijaku kutwa kumsema mond acha chuki huna point
Safi sanaa
Izi habari zenu zakipuuzi zitatufanya tuone kila kt chakipuuzi
Hivi waandishi mmnakosa mtu wa kumhoji? Mwenye pesa hajisifu, Takukuru inamhusu، huenda ana njia za madawa ya kulevya,
Madawa ya kulevya na TAKUKURU wapi na wapi 😳
Gorofa moja kelele vp ungejenga gorofa tano ungemtukana rais
bila kumtaja mond maisha yako hayaendi, uzuri mond hua hatoi kiki kwa wajinga km wewe