Mudavadi amkosoa Rais Uhuru kuhusu matamshi yake baada ya kuonekana kumuunga mkono Raila

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 210

  • @timothyonyango9
    @timothyonyango9 2 ปีที่แล้ว +14

    At least he has confirmed where he is and it is not rumors any more. Let us make hay while the sun shines. Keep up the spirit Madvd.

  • @adhiambonyasuna4043
    @adhiambonyasuna4043 2 ปีที่แล้ว +16

    Mudavadi I feel sorry for you,you were an MP,vice president for 1 WK,now u are going nowhere,just chill and join either ruto or raila.malala asikukazie life,Malala ako kwA ruto anakudanganya tu,anakula million uko

  • @benjohnson1763
    @benjohnson1763 2 ปีที่แล้ว +12

    Join uda ndio BABA awachape vizuri mkiwa nyote pamoja

  • @jameskimani6850
    @jameskimani6850 2 ปีที่แล้ว +2

    Raila tosha

  • @gadaffihemed2370
    @gadaffihemed2370 2 ปีที่แล้ว +7

    I love how Malala pretend to advocate for MDVD but in otherwise he fight for his own benefits😁

  • @bougeem.g.m488
    @bougeem.g.m488 2 ปีที่แล้ว +1

    Raila Our Mandela

  • @harrisonikumbu8262
    @harrisonikumbu8262 2 ปีที่แล้ว +4

    the president has every right to show his preference for the nxt president. mdvd is working for Ruto

  • @wangaim2
    @wangaim2 2 ปีที่แล้ว +19

    MDVD is most confused presidential candidates. When will he wakeup from slamber?

  • @lilliankathure9812
    @lilliankathure9812 2 ปีที่แล้ว +1

    Hapo ni kweli kabisa

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels1854 2 ปีที่แล้ว +9

    Huyu ametoa wapi balls ya ku question rais skuizi…wacha tufungue files ya makaburi

    • @crazytackler.6427
      @crazytackler.6427 2 ปีที่แล้ว

      It's only you who has no balls to question anybody. Any wise, patriotic citizen Citizen should be willing and able to question the leadership on a daily basis. We are their bosses after all.

    • @gracekamau3263
      @gracekamau3263 2 ปีที่แล้ว

      Fukara hawezi uliza nothing

  • @dankago8668
    @dankago8668 2 ปีที่แล้ว +18

    Mudavadi heading nowhere. He can't even win in western region leave alone presidency. He will get his usual 500k votes

  • @happyone5537
    @happyone5537 2 ปีที่แล้ว +10

    I am of the opinion that Uhuru would have liked Mudavadi more but he has dragged himself too much like a chameleon. Odinga is a older but chap chap.

    • @safinakentan7552
      @safinakentan7552 2 ปีที่แล้ว

      Even they could put him as president

    • @festusogwankwa9626
      @festusogwankwa9626 2 ปีที่แล้ว +4

      I agree with you.Raila is old but moving fast and aggressive to seek power.
      Mudavadi is behaving like last borns dragging themselves around thr mothets bedroom waiting for them to come out apewe doo ya kununua sweet.

    • @safinakentan7552
      @safinakentan7552 2 ปีที่แล้ว

      @@festusogwankwa9626 He wants to get on silver plate

    • @catherinewangari4942
      @catherinewangari4942 2 ปีที่แล้ว

      Kunyemelea,na hawezi fika mungu in nani,

    • @cannonprosper5294
      @cannonprosper5294 2 ปีที่แล้ว

      Chap chap ama ni mzee wa uzingizi tu!

  • @josephmwangi9556
    @josephmwangi9556 2 ปีที่แล้ว

    Azimio la umoja Raila for President

  • @SHAKIRU-kw8bh
    @SHAKIRU-kw8bh 2 ปีที่แล้ว +1

    Well spoken Sir.

  • @cyrilmascot1713
    @cyrilmascot1713 2 ปีที่แล้ว +3

    maziwa lala... imeoza... malala is an empty debe

  • @maryfrancinemamba7921
    @maryfrancinemamba7921 2 ปีที่แล้ว +6

    Mdvd has lost relevance.let him bring on his manifesto sio kukosea daily when others talk

  • @wlkmwlkm3381
    @wlkmwlkm3381 2 ปีที่แล้ว +2

    DVD anapangwa na malala .😂😂😂😂kata yise bane

  • @MaganasMedia
    @MaganasMedia 2 ปีที่แล้ว +3

    *Mudavadi hujui hata kutafuta kura bana, zzeerooo influence*

  • @domnicodhiambo5034
    @domnicodhiambo5034 2 ปีที่แล้ว +2

    Malala is very imature

  • @isninoabdi4786
    @isninoabdi4786 2 ปีที่แล้ว +8

    MDVD adult but mind child..former Vp Hana value even named.. Mdvd it's good for him to b silent.

  • @johnonkoba740
    @johnonkoba740 2 ปีที่แล้ว +3

    Huyu ni takataka kutoka western bloc hovyo sana

  • @martinwairiuko1369
    @martinwairiuko1369 2 ปีที่แล้ว +3

    Viongoz wetu kea heshima achieni mungu atupe kiongoz.2022.Wakenya wataamua pls.whoever wins will carry the day.

  • @david2simiyu66
    @david2simiyu66 2 ปีที่แล้ว +4

    Nyinyi endeni UDA pole pole wacha kelele

  • @andrewsfrequencyofficial9436
    @andrewsfrequencyofficial9436 2 ปีที่แล้ว +1

    Sasa Rais angesema ni mudavadi si mudavadi angefuraia?
    Awache parasha....Raila ndio tunatambua

  • @evonrn2000
    @evonrn2000 2 ปีที่แล้ว +1

    Raila.Karua 2022

  • @terahedd2
    @terahedd2 2 ปีที่แล้ว +3

    Kwa hivyo mnataka endorsement,ngooooooo

  • @billyongus344
    @billyongus344 2 ปีที่แล้ว +6

    Madvd will join tangatanga very soon..for the likes of malala just pure immaturity and noise i

  • @Danjeff22
    @Danjeff22 2 ปีที่แล้ว +2

    MDVD anasumbua aende sogoi apewe pesa

  • @japhet3829
    @japhet3829 2 ปีที่แล้ว

    That why I like Kibaki.. Alikaa kando na hii juu anapenda Kenya lakini Uhuru anataka atuamulie mtu hatutaki

    • @user-wr9fn4ny4i
      @user-wr9fn4ny4i 2 ปีที่แล้ว

      Do forget my Friend, Kibaki was 100%in support of Uhuru.

  • @michaelnganga8830
    @michaelnganga8830 2 ปีที่แล้ว +2

    Mbio Zina wenyewe hata hiyo marathoni mtashindwa na huyo mtu wako tupe break tumechoka

  • @aliamirbakar5580
    @aliamirbakar5580 2 ปีที่แล้ว +1

    Only Raila he can.....wengine kelele mingi hato mzuilia ngombe kunywa maji..Bubu na anasema makubwa haya we will never vote form mudavadi hypoct.....

  • @tripplek6518
    @tripplek6518 2 ปีที่แล้ว +1

    Mudavadi just threatens atasimama but inside his heart anajua RAILA is the fifth...inawezekana ,...baba hadi ikulu

  • @diddiousdesign2147
    @diddiousdesign2147 2 ปีที่แล้ว +3

    This boy Malala need to be taken care off, he’s chest bumping so much w

  • @vivosereni
    @vivosereni 2 ปีที่แล้ว +4

    Mudavadi you are NOT young plz !!

  • @samuelnzaka
    @samuelnzaka 2 ปีที่แล้ว +4

    Ww ingia kwa Ruto wacha kelele mingy c huwa unaenda na Malala ucku .unashangaza kijana mdogo kama rika ya mwanao anakuongoza aibu sana na umekaa miaka mingy kwa siasa enda kwa Ruto ufanywe speaker wa senate u r not a presidential material.

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 2 ปีที่แล้ว

      Watu wamuita kalonzo watermelon 🍉 bt Hilo jina lamfaa huyu mdvd

    • @samuelnzaka
      @samuelnzaka 2 ปีที่แล้ว

      @@andallaathman3856 They ought not to criticize Ruto while campaigning coz they r jst going to his camp why r they criticizing him

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 2 ปีที่แล้ว

      @@samuelnzaka siwakwende tuu bc coz malala akiamka raila musalia raila wote watafeli hata Huyo malala ugavanor pia haupati atapata hizo pesa Kwa ruto tuu

    • @samuelnzaka
      @samuelnzaka 2 ปีที่แล้ว

      @@andallaathman3856 career zao ztaisha ju ya pesa watapewa na Ruto wajinga sana

  • @desmondachocky537
    @desmondachocky537 2 ปีที่แล้ว +3

    Huyu naye ni mtu wa Ruto,everybody knows that by now.

  • @samsokes4085
    @samsokes4085 2 ปีที่แล้ว +2

    We know u support Ruto so just join him hapan sumbua sisi mr cemetery grabber

  • @samuelosano6004
    @samuelosano6004 2 ปีที่แล้ว +2

    Raila will kick the hell out of you Mdavadi and Ruto combined my friend.

  • @edwardkamau9063
    @edwardkamau9063 2 ปีที่แล้ว +1

    Wacha wewe....better Ruto than Raila...

  • @johonsamirkhondo8387
    @johonsamirkhondo8387 2 ปีที่แล้ว +1

    Mdavadi hana lolote.na hawezi shindana na baba

  • @FunnyBabies244
    @FunnyBabies244 2 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂 mudavadi Anangojeanga Kudandia tu Tangu Kitambo

  • @tfl4963
    @tfl4963 2 ปีที่แล้ว +1

    Malala waongea upuzi hapa!!! Can you pay KRA debt owed by Goldenburg suspects???

  • @na-shownakshi7453
    @na-shownakshi7453 2 ปีที่แล้ว +7

    Madivid you are always confused bradheee,come down support the winning team.

  • @mauricekumenda5123
    @mauricekumenda5123 2 ปีที่แล้ว +3

    Mudavadi never fails to surprise. Why are you criticizing everything when you know it doesn’t change a damn thing. This is
    The same country that accepts Ruto’s stolen money even churches accept the same and he still has more poll numbers than you can only dream off . Look at Raila’s diehard fans, do you have any.? Bro stupidity is repeating the same thing expecting a different result. Which one are you.

  • @rasputin7323
    @rasputin7323 2 ปีที่แล้ว +1

    Mdvd always waiting for endorsements.When they don't endorse him his jilted.

  • @yusufjoseph6094
    @yusufjoseph6094 2 ปีที่แล้ว +2

    Mudavadi is just a sycophant kwenda ukalale

  • @webuyetv3342
    @webuyetv3342 2 ปีที่แล้ว

    Leadership is from God

  • @edwardkamau9063
    @edwardkamau9063 2 ปีที่แล้ว +1

    Well said Mudavadi

  • @ibrahimomare7073
    @ibrahimomare7073 2 ปีที่แล้ว

    Uhuru atajua hajui

  • @na-shownakshi7453
    @na-shownakshi7453 2 ปีที่แล้ว +3

    Madivid hi race wewe bado 🤣🤣🤣🤣🤣tuliza .

  • @wezhc3013
    @wezhc3013 2 ปีที่แล้ว

    Kwambie mr mudavadi sisi hatutaki wazee

  • @eliahanunda2524
    @eliahanunda2524 2 ปีที่แล้ว +2

    Wewe mdavadi wacha uivu,Raila ako na sera,uwezo na kipawa Cha kuongoza wewe ni stori tu unaambia watu,wachana na baba

  • @paulmukhwana5181
    @paulmukhwana5181 2 ปีที่แล้ว +1

    As a Luhya, I will speak openly that Mudavadi is going nowhere. You are being used but Ruto to divide our votes. Sisi Kama waluhya ukweli ni kwamba kura zako hazitafika laki mbili. Wachana na urais hata ubunge upiganie hutapata

    • @Danjeff22
      @Danjeff22 2 ปีที่แล้ว

      Alirogwa when there is a little light for him to take over anaingia mshikata

  • @josephkimondo1315
    @josephkimondo1315 2 ปีที่แล้ว +1

    Mudavadi wewe uko na kiburi sana na iyo kiti huwezi pata wacha kiherehere

  • @meec0077
    @meec0077 2 ปีที่แล้ว +1

    Mr. Mudavadi... Please wake up and count your friends. Malala is a stumbling block on your decency. the boy is just an opportunist!

  • @kennedybutiko7651
    @kennedybutiko7651 2 ปีที่แล้ว +9

    Mudavadi is 💯% right. No one has right to tell Kenyans whom to vote for. Kenyans shall decide at the ballot so watu wauze sera. So far the only sera we are hearing is bottom up...the rest are waiting for endorsement.

    • @catherinewangari4942
      @catherinewangari4942 2 ปีที่แล้ว

      Ile munda mwananchi ameteseka ndio mlefu ,hatutaki vitendawili,propaganda's twataka maendeleo,UDA juuuu kabisa.

    • @dominicochola7181
      @dominicochola7181 2 ปีที่แล้ว

      you are talking like an idiot,do you remember when Moi said Uhuru was his preferred candidate in 2002,huyu yuyu MDVD was the vice president, had no other option but to vote for Uhuru which they terribly lost,mwache makasiriko,Mwasalia is too slow though young,if he wants to join UDA he is free but kelele mingi wataacha

    • @dominicochola7181
      @dominicochola7181 2 ปีที่แล้ว

      @@catherinewangari4942 and wananchi wameteseka kwa mkono wa vijana,is it not so?

    • @kennedybutiko7651
      @kennedybutiko7651 2 ปีที่แล้ว

      @@dominicochola7181 idiots are those who insult others for no apparent reason because they can not stomach the truth

    • @sonofkingdavid6686
      @sonofkingdavid6686 2 ปีที่แล้ว

      @@catherinewangari4942 we ulizaliwa wap eti propaganda Kati ya raila na Yule jamaa ya sugoi nan ako na propaganda better raila tumeona vitu alisema.we toka Kwa usingizi

  • @edquest5764
    @edquest5764 2 ปีที่แล้ว +4

    Of course Mudavadi is younger than Baba ........ Ama shida iko wapi.....
    Go Mudavadi we are behind you as Luhya Nation and Kenyans at large.
    Anglo leasing my foot........ How many years bare this..... Moi was here Left, Kibaki was here left uhuru has been here he is about to leave....... How Long does it take to solve a case where large sums of money are lost.......
    So DP Ruto was Right after all........ People are being forced to support Baba......... If Not File inakuja haraka kabisa ati umeiba........
    What government is telling us citizens is that the President knows who is stealing the 2bilion per day but because the thief is politically correct....... He is allowed to keep stealing..........
    Waiguru was with Baba...... Everything NYS etc were shelved infact she was cleared by Baba Mps after enough conjecture English....... Immediately she said UDA ....... Hehehe .... File was brought haraka kabisa............
    What I see as an ordinary Kenyan is that government has the means to fight corruption but it is too entangled in the same that fighting it may easily mean shooting itself ni the foot........
    A former KPLC MD was in court at some point....... His wife or was it his secretary , was suing the longest serving KPLC MD claiming the court to allow her a share of Ksh 700mil. In an account held by the MD........
    This was too much Money....... No body in the then government could smell anything fishy, with such huge sums........ I mean how come .... And this was just one account in court.
    People in government just looked the other way as if 700m is nothing..... Today someone coming here with sijui what is in Jersey............
    If Moi saw Nothing criminal about Mudavadis involvement in Anglo... Kibaki saw Nothing that would criminalize him, Uhuru HE saw Nothing ...... At least for the last 9years .........
    What is it that he has seen just a few weeks before leaving office....... Why Now????
    HE Mudavadi ......... Kaa ngumu kama Gumo......... We are behind you 100%....... Let heavens Fall.

    • @sonofkingdavid6686
      @sonofkingdavid6686 2 ปีที่แล้ว

      Talk as an individual not luhyas owky shenzi sana kama mm simtambui aende asimame kama MP huko kwao

  • @phoenixhub4454
    @phoenixhub4454 2 ปีที่แล้ว +1

    1.3 billion wanajuana kwa vilemba wanao kula sahani moja na hii chuki yote nikua rais amekataa kuwaunga mkono sasa imekua vita juu ya baba mudavadi anajulikana wapi surely simunamdanganya tu bure hakuna mahali anaenda

  • @georgejuma9221
    @georgejuma9221 2 ปีที่แล้ว +1

    It's nw obvious that he is heading to UDA cz he is nw astrong defender of ruto.

  • @harunnjunge5880
    @harunnjunge5880 2 ปีที่แล้ว +5

    I can vote for this guy for real

    • @crazytackler.6427
      @crazytackler.6427 2 ปีที่แล้ว +1

      Well yours is just one vote. And it's never anybody's interest to know whom you support

    • @chozilasamaki5473
      @chozilasamaki5473 2 ปีที่แล้ว

      @@crazytackler.6427 hata mimi na familia yangu tutampa MUDAVADI Lakini siwezi mmpa kura zetu kwa mzee wa AZIMIO la kualika watu kwa diner 1M, hiyo kazi Nngooo!

    • @abdurahimabdulkadir3926
      @abdurahimabdulkadir3926 2 ปีที่แล้ว

      @@chozilasamaki5473 mwaeza piga zikakosa kuisabiwa mwambie MDVD atoke auze sera zake yy kila siku ooh raila hivi mara vile sasa toka ukauze sera wacha kila siku mkutano kakamega au huamini kma watu wako watakupa kura pia

  • @tomwamalwa4988
    @tomwamalwa4988 2 ปีที่แล้ว

    Our leaders should style up in their utterances.

  • @evansgichana5082
    @evansgichana5082 2 ปีที่แล้ว +2

    Nonsense

  • @wlkmwlkm3381
    @wlkmwlkm3381 2 ปีที่แล้ว +1

    Malala wewe chunga sana utakaa home totally ask lumumba

  • @ruthnjambi728
    @ruthnjambi728 2 ปีที่แล้ว

    Kabisaaaaaaaa.Wakenya wataamua.

  • @paulnzioka1009
    @paulnzioka1009 2 ปีที่แล้ว +2

    Madvd sema pesa iko wapi ya agloleasing....Acha kilia lia

  • @mwendakelvin2371
    @mwendakelvin2371 2 ปีที่แล้ว +1

    Hustler nation😊😊

  • @ferdinandodanielo1
    @ferdinandodanielo1 2 ปีที่แล้ว

    Mudavadi aungane na Ruto Baba atawashinda asubuhi namapema.

  • @peterachuti8237
    @peterachuti8237 2 ปีที่แล้ว +1

    Mudavadi is just a mere toddler let him relax

  • @johnnjenga5969
    @johnnjenga5969 2 ปีที่แล้ว

    I will vote for William ruto

  • @danielmurathe9282
    @danielmurathe9282 2 ปีที่แล้ว +3

    My fellow Kenyans, don't take Uhuru serious whenever he speaks anything. This is not the Uhuru we elected on 2013 n 2017.NO!!! There's a problem!! Just ignore him for He's digging his own grave. Hello be forgotten n shame will follow him. Suppose Ruto wins, what shame will he(Uhuru)bear????? N automatically Ruto will win. Where the hell will Uhuru hide his face??????who did kibaki propose to succeed him??? Nonsense!!!!!

  • @ernestsang8392
    @ernestsang8392 2 ปีที่แล้ว

    Very good Mr.Mudavadi

  • @benjaminmeangi9025
    @benjaminmeangi9025 2 ปีที่แล้ว

    God knows who will be next president don't bother your self

  • @osano_97
    @osano_97 2 ปีที่แล้ว

    MM is lost, he have no voice and I doubt if you can handle presidential campaigns! If ODM couldn't manage especially setting up agents nationwide who's MM? Secondly Luhyas never vote in block! He should go back to the drawing board! He can only manage governors campaigns and thats where his league is! Presidential campaigns are tricky especially on a third world no wonder arap maashamba went into a looting spree to raise funds for his bids!
    Secondly ruto is not going to support him, no way! Him too now that chances of him winning a Presidential seat are nearly zero, he could be eyeing that opposition position! And I'm promise you right now he's regretting for not supporting the bbi! That thing was a savior and could have helped alot of including this one! Yeah no way that ruto could support him not unless he takes a running mate position which of course is reserved for the mountain! Mm should be grateful and thank uhuru, he's made them significant all throughout....that dynasty boy is a man of people and shall be remembered forever ever unlike his predecessors

  • @samuelosano6004
    @samuelosano6004 2 ปีที่แล้ว +1

    Mdavadi, you are not young anymore. You just don't have an agenda and no followers. Go deputize Ruto and Raila will small all of you.

  • @elizabethwagare3985
    @elizabethwagare3985 2 ปีที่แล้ว +1

    Ruto for present 2022

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 2 ปีที่แล้ว +3

    Jambo kenya !ningelipenda hon Malala kuzingatia maneno ya Bishop wanjiru aliyoyasema hivi juzi kati na mambo na kujipiga kifuwa na pia maneno ya Rais Uhuru kuwa vijana watembe pole pole .isitoshe namwambia hivi usijifanye wakili wa hon mudavadi na spokesman wa mulembe Nation ,wacha bwana musalia ajitete na ajiseme coz bwana Malala usimchambe bwana RAO but zungumzia sera ya chama Cha ANC na sio matamshi Haya"" sisi hatutishwi na hatuogopi "pliz tuangalie matamshi yetu kwa public na pia tudumishe umoja na amani ndio nasema Babah Amezinduwa Azimio la umoja so twende mos mos na ujue unacho kiongelea na kufanya kwa faida ya wakenya wale sio mtu,kabila,watu au kwa ubinafsi wa mtu but through genuine concerns or political internet or desire but pliz try to he patriotic.

  • @judithmiruka8954
    @judithmiruka8954 2 ปีที่แล้ว

    Umechelewa sana malala

  • @JackJack-zl1ir
    @JackJack-zl1ir 2 ปีที่แล้ว +1

    He's Ruto man with his young Luo boy Malala, tuko na wanaume kwa Waluhya and by the way u not young either mdavadi.

  • @wezhc3013
    @wezhc3013 2 ปีที่แล้ว

    Hakuna kitu kama hiyo

  • @marcustonnie718
    @marcustonnie718 2 ปีที่แล้ว +1

    Patrick can't win even his own constituency yet want to be president, someone help me make sense of this, which world are u living in sir, u definitely dreaming spanner bowy.

  • @muhammudabdi7381
    @muhammudabdi7381 2 ปีที่แล้ว +9

    I would pay any price to see Uhuru's face when Ruto wins the next election

    • @somalebochannel2883
      @somalebochannel2883 2 ปีที่แล้ว +1

      Who Told U , Ruto Atakuwa Prezoo . Atatoboa Hata Kidogo.

    • @zippyjepps2750
      @zippyjepps2750 2 ปีที่แล้ว

      @@somalebochannel2883 Then who will be?

    • @assanyakundi9766
      @assanyakundi9766 2 ปีที่แล้ว

      Uhuru is shameless.

    • @joy-ye6ev
      @joy-ye6ev 2 ปีที่แล้ว +2

      @@somalebochannel2883 eee mnaona mlima kenya ikiwa nyenu sababu ya uhuru hiyo ni history Embu, Meru hatuko kwa Raila, Ruto tosha

    • @LoveMamlie
      @LoveMamlie 2 ปีที่แล้ว

      @@joy-ye6ev and nobody cares since no love lost.

  • @priscahkavetsa7731
    @priscahkavetsa7731 2 ปีที่แล้ว

    Ubaya wa Raila vitina ndio mingi tuna angalia utenda kazi Mudavadi songa mbele msafi ni nani

  • @catherineikovwa3401
    @catherineikovwa3401 2 ปีที่แล้ว

    Wewe mudavadi jiunge na Ruto Tafadhali huwache kutusumbua

  • @afrifire6941
    @afrifire6941 2 ปีที่แล้ว

    A cry babe🤣🤣🤣

  • @muindejohn4077
    @muindejohn4077 2 ปีที่แล้ว

    Yes you have spoken

  • @mauricewanjala5434
    @mauricewanjala5434 2 ปีที่แล้ว

    Madimoni ya mululu..no news

  • @hygienicproducts116
    @hygienicproducts116 2 ปีที่แล้ว +3

    ruto's tire is tube less, it's empowered by God,it won't down.hold your horses.

    • @dominicochola7181
      @dominicochola7181 2 ปีที่แล้ว

      Which church do you pple go to,a man who stole someone land,Mteshi and the courts found that truly he stole the land,you still open your mouth to include the name of God in his shaddy dealings,Yesu anawaona jameni

    • @phoebewanjiru1955
      @phoebewanjiru1955 2 ปีที่แล้ว

      Ochola you seem to have never committed crime. Even raila told you mchange pesa and put in his pocket. Ran for handcheque and told you Jordan had crocodiles. Paty money he eats alone and shortchanged nasa

    • @sonofkingdavid6686
      @sonofkingdavid6686 2 ปีที่แล้ว

      @@phoebewanjiru1955 better coz yy hakulazimisha mtu atoe hyo pesa bt mwenye anatumia position Yake ili kunyanyasa masikini amelaniwa

    • @hygienicproducts116
      @hygienicproducts116 2 ปีที่แล้ว

      @@dominicochola7181 am not at liberty to confirm to you my church. OK which is yours?

  • @jumak.ismail2504
    @jumak.ismail2504 2 ปีที่แล้ว +1

    Hustler nation ni same na Leopard kuiambia swara make me the king coz I do eat grass and we know leopard do eat swara

  • @muziki79
    @muziki79 2 ปีที่แล้ว

    It's gonna be a ruto mudavadi vs raila karua presidential contest 2022 ....ukweli ni kwamba, in no one's hands are we Kenyans safe....personally I think Kenyans should vote the lesser evil 🤔

    • @abelnoble
      @abelnoble 2 ปีที่แล้ว

      Your wish. Ruto isn't taking any OKA member for his DP; UDA has many and enough able members to fill those shoes. You take Karua on your side so you start wooing Mt-Kenya for yourselves? Nice try.

  • @collinskokeno4373
    @collinskokeno4373 2 ปีที่แล้ว

    Hii mutu aende wheelbarrow mara moja

  • @chegepius6954
    @chegepius6954 2 ปีที่แล้ว

    Musalia pole

  • @kisurangusa554
    @kisurangusa554 2 ปีที่แล้ว

    Huyo mdvd bure kabisa???

  • @Kirimikilea
    @Kirimikilea 2 ปีที่แล้ว

    hatutishwi

  • @rodgersmuyechi5102
    @rodgersmuyechi5102 2 ปีที่แล้ว

    Mudavadi wacha kupiga uhuru,tuambie yako tafta Kura achana na uhuru,

  • @jessicanjeri9314
    @jessicanjeri9314 2 ปีที่แล้ว

    Hata waluhyia ndio hawatavote mdvd

  • @nyapetegath409
    @nyapetegath409 2 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa amefanya economic kweli

    • @crazytackler.6427
      @crazytackler.6427 2 ปีที่แล้ว

      Redeem yourself from the bankruptcy of ideas fast. There is nothing like Economic as a discipline. Get some literacy skills fast.

    • @faithmwangi8816
      @faithmwangi8816 2 ปีที่แล้ว

      A man enough stands on his own without waiting to be endorsed by the outgoing prezzo tangu lini prezzo na kura yake moja akaingiza mtu state hse raia hatupangwi round hii ruto has all tribes behind him rao luos r the majority behind him with prezzo if they can manage to take him to state hse fine numbers n time will tell

  • @leawamukota9217
    @leawamukota9217 2 ปีที่แล้ว

    Waluya hawana akili

  • @josephmwangi9556
    @josephmwangi9556 2 ปีที่แล้ว

    Mudavandi ni nani Kenya hii..

  • @johnkiriko7353
    @johnkiriko7353 2 ปีที่แล้ว

    Uyu uhuru manono hana jipya

  • @nyikanetarapcheplel1904
    @nyikanetarapcheplel1904 2 ปีที่แล้ว

    Uhuru si mungu