sasa sheikh mazinge umewasilimisha wengi wakristo kupitia bibilia na vitabu vyao vengine na ukatupa msimamo sisi waislam kua uislam ni mzur kwa kutumia Quran na sunna sasa swali, iweje hii leo wewe unafanya maulidi (bidaa) ambayo haipo ktk Quran and sunnah ?
Unajiita et profesa, unawasilimisha watu unswatoa kwenye batili unawaitia maulidi,mangoma ngoma na bidaa kibao hasa utakuwa umemsaidia nini,arafu unawambia manaswara Christmas haipo katika biblia wemwenyewe maulid hayapo katika quruani wala aduthi za mtume uzushi tyuu
@@fikafikan8484 Anayewaongoza watu na mazinge au Allah?, Kufanya bidaa kama Maulid ndiko kumtangaza Allah na mtume? Sasa kukataa bidaa na wanaoneza bidaa zenyewe ndio kunamfanya mtu asiwe Muislamu eti? Maulid ni upuuz na kama kweli ni haki basi wapite katika mihoja 19 ya Bachu
Wewe kafiri ndie anaelalamika kwakuwa analaana yesu kristo ndie mfalme duniani na mbinguni hata wafuasi wake hawalalami kafiri mkubwa mara laki tisa kalalamike msikitini
Bibilia kwani kitabu cha mungu sio kitabu cha mungu kitabu chamungu taurati zabur injil na quran hakuna bibilia hapo wala mungu haijui hio bibilia wala yesu mtume wamungu hajui bibilia
Ikiwa mauliri NI UZUSHI JE UGAWO WA TAWHEED YA UTATU MUMEITPATA KUPITIA AYA GANI AU HADITHI IPI??? 😂😂😂😂😂😂😂😂 AMA KWELI MUNAPOSIKIA UKWELI WA HAKKI KWA WANA WA MAULIDI YANAWACHOMA SANAAA KWA UKWELI WANAYOYASEMA 😂😂😂😂😂😂
Swadakta sheikh 💚 tutazi kumsifu na kumswalia 💯 mtume MOHAMMAD (S.A.W) Kipenzi kya ALLAH nani kipenzi wetu .
Sheikh mazinge mashaAllah nakupenda kwa ajili ya allah wew ni jeshi
Umri Taweel Sheikh Mazinge
MashaAllah azdi kukupa umri mref na mwisho mwemaaa,,naikumbuka ile unapenda kusema hiiii
DD Mazinge Masha Allah 👏
MASHALLAH SHEIKH MAZINGE MUNGU AKUEKE
hongera kidume w allah
Allah akuifadh sheikh Mazinge
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.
Ustadh mazinge tunakupenda sanaa ❤ Allah awe pamoja naww daima in sha allah na akupe mwisho mwema ustadh wetu😊😊😊
Mazinge mungu akubariki
MAULIDI NAONA YATAZIDI WALLAHI
Tabaraka Allah and Alhamdhulillah
Uhai
Story book
Hatari sanaa😂😂
King Solomon alimsifia YESU KRISTO,
Allah awaongoe kwakweli huyu jamaa nae bidaa zimemkaa mbona alishindwa jibu swali la mchungaji ukiniletea Aya ya kuruan inayotaja mauli au adithi nitasilimu mbona ulichemka, ukweli mnaona aibu kwakuwa mmeshapotea inabidi muendelee kutetea ouvu wenu huo wa maulidi,
Alakini inaonekana wacristo wanakusumbuwa sana
Kweli kabisa
Nickiapo saut yko sura yngu huwa yeny tabasam nahasw pale ninapockia tumsifu Mtume wetu kipenz chetu mkubwa wa daraja furah yngu huwa haina kifan,
Babu sifu Mtume SAW bila maulidi
Hayo maulid tayari ni kumsifu mtume😂😂. Sasa shida ni nn😂
Eti pia pia😂😂
Kumsifu tunamsifu usiku na mchana ila hii tabia ya ngoma firimbi pia ni kumsifu Mtume?
Shida ya Ngoma ni nini. Mbona mtume wetu (SAW) alipijiwa matwari.
@@yassirswaleh7127allah atuongoze
sasa sheikh mazinge umewasilimisha wengi wakristo kupitia bibilia na vitabu vyao vengine na ukatupa msimamo sisi waislam kua uislam ni mzur kwa kutumia Quran na sunna sasa swali,
iweje hii leo wewe unafanya maulidi (bidaa) ambayo haipo ktk Quran and sunnah ?
Unajiita et profesa, unawasilimisha watu unswatoa kwenye batili unawaitia maulidi,mangoma ngoma na bidaa kibao hasa utakuwa umemsaidia nini,arafu unawambia manaswara Christmas haipo katika biblia wemwenyewe maulid hayapo katika quruani wala aduthi za mtume uzushi tyuu
Huyu baybo inamsumbua sasa anataka kutupa ushahidi sisi waislam kupitia bibilia 😂😂😂😂😂anacheza cheza tu.
Kucheza vp fafanua mazinge anae ongea ukweli
@@fikafikan8484 Wewe ungekaa ukaangalia haki , Mazinge anafanya sarakasi hapo,
Afu nasikitika hao wanaocheka hamfahamu aisee kicheko kitakua fedheha siku ikifika shetani ndo ndivo alivyo kama ivo mlivo aisee
Shetani wewe mfaasi wa laanatullah bini taimiya
Picha ya bachu inahusika vp hapo
Jamani mzee mbona unapotosha waumini wenu waisilamu someni koroani na biblia Mazinge anapindua aya
Aya gani kapindua mrogo ww
Kajifunze kuitamka Quran then uje na pumba zako
Hata kiswahili hamtaki mnataka kiarabu ili mdanganyane vilaza wakubwa kweli nyie
Sasa Biblia waislamu inatuhusu nini, hoja 19 za Bachu si mjibu basi? Maulid ni upuuz mzee wetu,
Ww nakuona sio muisilamu huyo anawqtoa wakiristo katika kiza ana mtangaza Allah na mtume wake kunacho kuuma nn
@@fikafikan8484 Anayewaongoza watu na mazinge au Allah?, Kufanya bidaa kama Maulid ndiko kumtangaza Allah na mtume? Sasa kukataa bidaa na wanaoneza bidaa zenyewe ndio kunamfanya mtu asiwe Muislamu eti?
Maulid ni upuuz na kama kweli ni haki basi wapite katika mihoja 19 ya Bachu
Halafu mmekosa ushahidi vitabu vyenu vinawachanganya alafu mnasema marehemu muhamadi yupo kwenye Biblia hakuna mara ndo roho mtakatifu kwakuwa mmeona korani haina vielelezo vinavoridhisha acha uongo mzee afu nanyie waisilamu mnacheka
Ww kafiri nyamaza yesu mwenyewe ajua quran ni nn
Wewe kafiri ndie anaelalamika kwakuwa analaana yesu kristo ndie mfalme duniani na mbinguni hata wafuasi wake hawalalami kafiri mkubwa mara laki tisa kalalamike msikitini
Lait ungejua ukwer ulipo usinge sema hivo soma vitabu hasa baibo utajua mengi na ukwer
Bibilia kwani kitabu cha mungu sio kitabu cha mungu kitabu chamungu taurati zabur injil na quran hakuna bibilia hapo wala mungu haijui hio bibilia wala yesu mtume wamungu hajui bibilia
Watu wa bidaa hawana maneno kwenye mizushi Yao ya maulidi
Acha usenge
Ebu niambiye nini maana ya maulid ili tutatwe chuki baina zetu sisi waislamu umma Bora .
Acheni mijadala wee usofata maulid sawa na ss tunaofata tuachie maulid yetu
Nyinyi badala ya kuangalie mambo muhimu mwashugulika na waislamu wenzenu
Ikiwa mauliri NI UZUSHI JE UGAWO WA TAWHEED YA UTATU MUMEITPATA KUPITIA AYA GANI AU HADITHI IPI???
😂😂😂😂😂😂😂😂
AMA KWELI MUNAPOSIKIA UKWELI WA HAKKI KWA WANA WA MAULIDI YANAWACHOMA SANAAA KWA UKWELI WANAYOYASEMA 😂😂😂😂😂😂