"KUNGWI kakupa mzungu huujui maana yake mfate akakwambie maana ili uondokane na usungo, Siku zote mwanamke mazingira jambo la kwanza ni kujipenda na ndio maana ya pambo la nyumba"
ila kungwi dume kwanza nkupe hongera kakangu kwa maana ulijua kuchagua mwanamke mwenye sifa zake mashaalah 💋 ni mrembo sanaa kama kweli nimkeo bc Mungu awajalie umri mrefu jmn nice couple ❤
Very Informative,I like the local set up ❤
Haa 😮mwali kigogo maana sio kigegooo😅
In shaa Allah mwenyez mungu tujalie xx ambao atuta India kwenye ndoa nasi tuingie tutaone
Na huyu mwari mbna anataka kuyatimba kama hataki ndoa si aseme kuliko kufanya Ivo sijampenda kabisaa maana kungwi dume hanaga baya kwa Kaz yake❤
Na ni mtu mzima kbs
Chanel ya Ibra imehakiwa kwa sasa hutaweza kupata lakini anaomba muwe wavumilivu kidogo
Kumbe Mimi tang juz Naitafta Amna
Haaa
Inshllh
Inshallah
MKE wa kungwi anashep
WALLAH SIICHOKI KUTIZAMA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ma Shaa allaha 👌
insha'Allah tupo pamoj ❤
Mwari kigego n uerevu wake naipenda sio haba😂😂😂😂😂
Sasa huyu mwanaume ni mwali au lijali 🙄🙄 sijaelewa hapa
#Ibra the don umebadisha account dada nimepanda kujifunza mengii mungu akubariki
😂😂😂mwari kigego😅😅😅
ila kungwi dume kwanza nkupe hongera kakangu kwa maana ulijua kuchagua mwanamke mwenye sifa zake mashaalah 💋 ni mrembo sanaa kama kweli nimkeo bc Mungu awajalie umri mrefu jmn nice couple ❤
Uko vizuri dear hendelea kutufunza
Hongeraaa mtunzi mafunzo mazuri sana
Naisubiri ❤❤❤
Mashaa Allah movie nzuri sana❤❤❤
Mwari kashakuwa kigego nilijua tu yatomtokea puani mwari kigego😂😂😂
😅😅😅😅yuaendapi Sasa nae n mwari kigego kweli😂😂
Hasante san Kwa mafunzo mazuri❤❤❤
❤❤❤❤ najifunza mengi
Dah Tusio oa bado tujifunze kitu shukrani sana mungu akuzidishie kwa mafundisho yako
Kwakwel
❤❤❤mm pia naisubir
Inshaallah
Inshallah tufike hiyo tarehe
Waooooh waMepitiliza
Ila mambo yatakuwa mazuri polen kwa usumbufu ulio jitokeza
Ila muda c mrefu itakuwa sawa tunaomba mtuvumilie kidogo
Ibra! Unajua kaka
❤️❤️❤️❤️👌
❤❤
B haruc mtarajiwa limekushuka
Asante mumgu
Anza tulipoishia kaka ibraaa
Jamenii wanawake hata kinya Huna😂😂😂
Shukran
To be continued
❤❤❤❤
🌹🌹🌹🌹🌹
Mali huyu hafai ataa
Najifunza mengi japo cjaolewa
Namm sijaowaaa
❤❤❤❤❤🙏🙏🙏
Omulimu omulunge
Mwari malaya uyo jmn
Malaya anamjua Malaya mwenzake!
Asant kak kwa mafuzo
Kiswahili jamani hadi laha,ishima
Nahitaji sehemu ya nne jmn nimetafuta mpk nimekoma
Sehemu ya 19 plzz
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Akaunt ya Ibra kuna mtu ameihaki ndio maa huwezi kuona kazi zake
Ndio mana atu muoni😮😮
Tunaomba utuekee subtitles za kizungu ili tuweze kushea Kwa marafikizetu
Nimelipokea na nitalifanyia kazi
Bora hata chaneli yetu imeludi
Wanawake tukinyanyuka tujue kubana mkono mbele mimi kwenye simu nimeona je huyo aliekuepo live ilikuwaje😢😢
Na mm nimeona 😂
@@user-mk5qk9kw1z
Basi haya mtt wa kike unanyanyuka bila kujibana
😂😂😂😂𝑚𝑎𝑡ℎ𝑜 𝑑𝑎𝑟𝑢𝑏𝑖𝑛𝑖😂😂
❤❤