UNAKUMBUKA HII? SASA VINGOROGOJO (VITOROLI) KIGOMA FURSA KWA WATOTO WAKATI HUU WA LIKIZO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 มิ.ย. 2021
- Karibu kigoma karibu Wilayani kasulu,hapa ni katika Kijiji bugaga Moja ya Furaha ya watoto walio wengi katika michezo hasa kipindi Cha Likizo,nikuchezea hivi vitoroli kwa jina maarufu kwa kigoma inaitwa Vingorogojo.
Inawezekana nikawa nimekukumbusha mbali Sana inawezekana pia hata wewe unaetazama video hii ulishawahi kutumia vitu hivi,Sasa pamoja na kuongezeka kwa Vingorogojo hivi hasa katika vijiji kwa kigoma kwa kuchezea watoto,Kuna watu walikua na mitazamo tofauti kua watoto wakichezea hivi hawafany vizuri Darasani.
Ayo TV imezungumza na baadhi wa Wazazi katika Kijiji Cha Bugaga waneleza faida ya michezo hii na utengenezaji wa Vingorogojo kwa watoto
Huuuuuuu beskeli zetu za kiasili mwenyezi Mungu tuongezee maarifa waafrika ili fisa zako na ukuu wa waafrika utukuke zaidi
Long time kifanya village enzi zangu nilikuwa bonge LA FUNDI hapo. Siioni yakufananisha hata. Moja zinaitwa DINGARA/BAGADU du zipo za tairi tatu kama bajaji
Kwa kiha Hizo za taili Tatu zinaitwa KUYEKA 🤣🤣
Unanikumbushaa mbaliii broooo
Hyo nimepga Sana mpaka kuyeka zitafte zipo it's looking like car
Ivo ata mpaka leo Congo wanatumia sana zaidi wakubwa katika mji wa Goma.
Bingwa wa kutengeneza vitololi enzi zetu alikuwa anaitwa Nasibu kiromba,Cherabulo Kakonko.
Hahaha ila vinakula nguo kudadeki
Da hatari sana
Shatumia sanaa adi nkapata ela ya kununua baiskel
Welcame nyumbigwa
Hiyo ndio asili yetu mzee, haipatikani mkoa wowote Tanzania zaidi ya KIGOMA( RUSESA-KASULU)
Hata Dodoma ipo hiyo asikudanganye mtu
Hata njombe, kawaida sana, zinaitwa bagado
Asili yetu fahari yetu, KIGOMA 🔥🇹🇿
Gari langu hili niliyamiliki sanaaa
Long time sana
Dah kweli huko tumepitia sana
daaaa rkn millady sawa unatisha
Kibondo kifura jamaa alikuw anaitwa ndigeza alikuw na toroli lilikuw linatembea mbaya siku 1 tulikuw timebebwa tukapitia mlevi mmoja akiwa barabarani hadi sasa sijui hali yake 15 years ago
Dah
Du inanikumbusha mbali Sana na tumetokea mbali mwaka 1995 mpka 2000 du
nikitu ha wajui hizo zina uzwa pia mm nilikua fundi wa kutengeza na kuuza kabisa kwetu ni buholo kasulu pale
From NYUMBIGWA NIMEENDESHASANA NAHUWA ZINAUMIZA KAMA PIKIPIKI
si kwa watoto tu mi mwenyewe nimecheza sana marumba ksl
Mmenikumbusha Nyumbani KWAGA
Kiguluguju Enzi izooo
Kigoma
nomependa san
Ngorongoj inaathir
Tisha sana
ndio asili yetu atukai nyumban
@@balloxhineida7256 yap yap
Kg atufelig kiukweli
NixhawAw xana hay mamb
Bagadu
Hahahahaaaaaaaa Aise
Duu nakumbuka mwka 1994
Hata huku Amerika watoto wanazitumia hizo tena huenda wamekopi kwetu. Watoto wao wamazitumia ingawaje zao zimeboreshwa. Badala ya miti wametumia chuma lakini korogojo kabisaaa. Zinawafanya watoto kuwa wachangamfu. Mtoto wankiume asipochezea korogojo ujue hata ujanani kutakuwa na tatizo katika ubunifu wa mabmbo kadha wa kadha.
Wanaita Scooter.
Ikitololi Kakonko ndivyo tunaviitaga sisi
Kwetu tunaita ebigabeli....
V
Duuh hikali
Kipakala🤣
si kwa watoto tu mi mwenyewe nimecheza sana marumba ksl