"Yule mwanaume alie olewa mke bila kumuona na mwanamke bila kujuana na muumewe, wakati mume ametoka safari yake wakakutana na mke wake bila kujua kwamba ni mkewe, wakaongea mawili matatu mwisho wakafanya mapenzi. Baadae wakaagana, mume anafika kwao anaambiwa mke wako huyo hapo na ndie walikutana kule mjini wakafanya waliyoyafanya, suali likaja je hili lilikua tendo la ndoa au ilikua zinaa?" Utenzi huo ndio ninaouulizia, nitangulize samahani kwa usumbufu
Mashaallah
Assalaam alaykum, samahani naomba shairi lile la mtu na mke wake waliozini bila kujuana
waalaikum salam mbn kimo ktk akaunti hii andika kisa cha mama aliezini na mwanawe sehemu ya kwanza
"Yule mwanaume alie olewa mke bila kumuona na mwanamke bila kujuana na muumewe, wakati mume ametoka safari yake wakakutana na mke wake bila kujua kwamba ni mkewe, wakaongea mawili matatu mwisho wakafanya mapenzi. Baadae wakaagana, mume anafika kwao anaambiwa mke wako huyo hapo na ndie walikutana kule mjini wakafanya waliyoyafanya, suali likaja je hili lilikua tendo la ndoa au ilikua zinaa?" Utenzi huo ndio ninaouulizia, nitangulize samahani kwa usumbufu
saw nitajitahid kukutafutia
Ally Samson........tenz zake zote hunikoshag
asante