SERIKALI IMEAMUA KUWAJENGEA NYUMBA WANANCHI WAKE DODOMA KWA MKOPO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
  • Baada ya Serikali kutoa mkopo za zaidi ya Bilion 71 kwa Shirika la nyumba la taifa NHC kwa ajili ya kujenga nyumba 1000 katika maeneo ya Chamwino Ikulu na Iyumbu kwa lengo la kupunguza changamoto za makazi kwa wananchi wake kufuatia maamuzi ya Serikali kuhamia Dodoma ambapo lengo ni kuwauzia nyumba hizo wananchi kwa kipato cha chini kwa gharama naafuu.
    leo June 11, 2021 Mkurugenzi mkuu wa Benki ya Azania ambayo ndio itakuwa wadhamini wa mikopo kwa wananchi watakaouziwa nyumba hizo Charles Itembe ametembelea mradi huo ili kujionea ujenzi unavyoendelea huku akiwataka wananchi wa kipato cha chini kujitokeza kwa wingi kuchangamkia nyumba hizo pindi zitakapokamilika.

ความคิดเห็น • 137

  • @saidrajabu9589
    @saidrajabu9589 3 ปีที่แล้ว +18

    Nyumba ya maskini kununua mwisho wa kununua ni mil tano sema mmejijengea wenyewe kipato cha maskini hakifiki milioni 70 tuwekane ukweli

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana Raisi wangu mzee baba

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 ปีที่แล้ว +1

      AHSANTE UMEPEWA BURE???

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 3 ปีที่แล้ว

      @@salimsaid7200
      🤣🤣🤣🤣

  • @mutalemwafaridu5341
    @mutalemwafaridu5341 3 ปีที่แล้ว

    Thanks for the good work to the nation

  • @allymapinda8804
    @allymapinda8804 3 ปีที่แล้ว +9

    Kwa jinsi Bongo ilivyo, hizo nyumba zitauzwa kwa matajiri/watoto wa vigogo na walengwa kuambulia kuangalia tu😳👀

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 3 ปีที่แล้ว +8

    Pandeni miti maana Dodoma mungu aliinyima miti.

  • @mklarazaa719
    @mklarazaa719 3 ปีที่แล้ว +17

    Kuna kipindi zilijengwa mwanza nikauliza bei ni milioni 70 masikini yupo hapo kweli

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 3 ปีที่แล้ว +1

      Wanazingua hao Milioni.70 kwa mwananchi wa hali ya chini uyo??

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 3 ปีที่แล้ว +3

    Bei gani mbona maneno meeeeeeeengi mnashindwa kuitaja bei elekezi ya izo nyumba zenyewe?na kwa kipindi gani?

  • @ramadhanichalachala549
    @ramadhanichalachala549 3 ปีที่แล้ว +1

    Siyo kweli hizo nyumba mtauziana wenyewe ila angekuwa JPM nikweli wangekopeshwa masikini

  • @gilbertidi9682
    @gilbertidi9682 3 ปีที่แล้ว +1

    MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI..................

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 ปีที่แล้ว +1

      ONGEZA SAUTI LABDA ATAKUSIKIA.

  • @AhmedMohamed-so7db
    @AhmedMohamed-so7db 4 หลายเดือนก่อน

    Bei gan sii mnajua kadirio ama mnatichocha

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 3 ปีที่แล้ว +8

    Jamani wekeni kampuni ipande miti sasa yaani panatisha si kwa ukame

  • @kasililamecksatano7302
    @kasililamecksatano7302 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana Tz sisi siyo masikini

  • @amzamrid3571
    @amzamrid3571 3 ปีที่แล้ว

    Asante sana

  • @aboubakar4793
    @aboubakar4793 3 ปีที่แล้ว +1

    Unakopa benk afu ukishindwa kulipa bank inakuwa mali yao wenyewe

  • @MrNoNonsenseYes
    @MrNoNonsenseYes 3 ปีที่แล้ว +2

    Concrete jungle in the making, kueni makini sana mimea ni muhimu sana zaidi ya vile munavyofikiria

  • @nipolive..2745
    @nipolive..2745 3 ปีที่แล้ว

    Mwenye mawasiliano na wahuska. Nitumie namba nipo kigoma nije na mi nikope nyumba

  • @omaryregga5315
    @omaryregga5315 3 ปีที่แล้ว +1

    Kiukweri hizo nyumba wanajengewa matajili huku sumbawanga hizo nyumba wanakaa matajili tu

  • @frederickmwakatobe4669
    @frederickmwakatobe4669 3 ปีที่แล้ว

    Mimi ni mwananchi maskini napata milioni mbili na nusu kwa mwaka. Ntapateje nafasi ya kununua nyumba hizo?

  • @bonyngere3758
    @bonyngere3758 3 ปีที่แล้ว

    Nakuona kaka mkubwa mkurugenzi mkuu Azania Bank

  • @ooafrica3626
    @ooafrica3626 3 ปีที่แล้ว +5

    Apa inatakiwa miti ipandwe kweli kweli

  • @kiatu
    @kiatu 3 ปีที่แล้ว +4

    Watakopa hao wanaochota pesa zetu huko hazina

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 ปีที่แล้ว

      WANAO CHOTA WATALIPA CASH.

  • @tusajigwekanemela2864
    @tusajigwekanemela2864 3 ปีที่แล้ว

    Tunazisubilia yetu machooo

  • @kabalajunior5441
    @kabalajunior5441 3 ปีที่แล้ว +4

    Hiyo nchi Ni kavu sanaaa jmn

  • @highvoltages4169
    @highvoltages4169 3 ปีที่แล้ว +1

    _"Wananchi wa kipato cha chini kununua hizo nyumba"_
    ULIZA BEI,
    Halafu ndo utajua ni wananchi gani watanunua, wenye uchumi wa hali ya chini au hali ya juu

  • @asiakimolo5616
    @asiakimolo5616 3 ปีที่แล้ว +5

    Wameshajipanga ,pangu pakavu tutaziona tu kwenye TV

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 ปีที่แล้ว +1

      Kama za Kigamboni za wauguzi kama sikosei

  • @aboubakar4793
    @aboubakar4793 3 ปีที่แล้ว +1

    Tengenezeni nyumba na muuze kwa milion moja hadi mbili na zenye laki 7 ndo tujue mnasaidia wanainch sio hizo

  • @blackbeauty579
    @blackbeauty579 3 ปีที่แล้ว +3

    Bei gani tujue mapema

  • @williebenmarunda9854
    @williebenmarunda9854 3 ปีที่แล้ว

    Nyumba zinajengwa barabara za vumbi?

  • @sponsalfaThedjalfani
    @sponsalfaThedjalfani 3 ปีที่แล้ว +1

    Mvua ikinyesha hapo pako salama?

  • @chingawadunia3621
    @chingawadunia3621 3 ปีที่แล้ว

    Tunahtji Kaz wakuuu

  • @morganrobinson3542
    @morganrobinson3542 3 ปีที่แล้ว +1

    Swali ni kwamba hao walengwa watazipata kweli! Maana kifuatacho hapo ni vigogo mitoto yao kujimilikisha juu kwa juu.

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 ปีที่แล้ว

      HAPO HAKUNA MLENGWA NI POCHI YAKO 2

  • @ramlazuber6038
    @ramlazuber6038 3 ปีที่แล้ว

    Watalizwaaaa WATUUU huko ipo siku.

  • @aishaomari944
    @aishaomari944 3 ปีที่แล้ว

    Oda plz

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 ปีที่แล้ว +2

    Tajeni bei bc tupime km vp bora tujenge wenyw

  • @mrgeorgeisdory5277
    @mrgeorgeisdory5277 3 ปีที่แล้ว +4

    Magufuli hoyeeeeeeee
    Rest In Peace Mfalme 👑👑👑👑

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 3 ปีที่แล้ว

    Hakuna mtu mwenye kipato cha chini mwenye hiyo hela

  • @gracielachiloloma2154
    @gracielachiloloma2154 3 ปีที่แล้ว +2

    Bei gan

  • @simonishija8087
    @simonishija8087 3 ปีที่แล้ว

    Jamaa kafanana na lizy one

  • @vedastokeya3344
    @vedastokeya3344 3 ปีที่แล้ว

    Tanzania bhana eti nyumba za watu masikini ukiuliza bei unaambiwa 33M -- 70M Kuna mtu masikini mwenye hiyo hera ongeeni vitu halisia kama tupo tz sio London.

  • @mussaabdiel9797
    @mussaabdiel9797 3 ปีที่แล้ว

    Ajira babkubwa kwa waliopo huko iyumbu

  • @staralive9260
    @staralive9260 3 ปีที่แล้ว

    Wanachi wa chini ni kigezo tu lakini kwasababu lengo sio wananchi wa hali ya chini.

  • @aganolamotoeliya2027
    @aganolamotoeliya2027 3 ปีที่แล้ว +2

    Hivi maskini ni yupi? Kama anaweza kununua hizo nyumba atakua maskini kweli?

    • @highvoltages4169
      @highvoltages4169 3 ปีที่แล้ว

      Hapo sijajua aina ya maskini wa kununua hizo nyumba

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 3 ปีที่แล้ว

    Akuna Nyumba Ya Masikini Apo Maneno Tu Utamkwa

  • @sijalikifunyo912
    @sijalikifunyo912 3 ปีที่แล้ว +2

    Miezi mitatu wakati miundombwinu mingi bado!!!!

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 3 ปีที่แล้ว

    Kujenga nyumba sio tatizo bali nyumba zikikamilika tamaa ya baadhi ya Watendaji wa Ngazi za Juu wanaingiwa na tamaa ya fedha hivyo Rushwa zinakuwepo na kufanya wananchi wenye uhitaji makazi bora kukosa nyumba sababu ya ukiritimba uliopo.
    Azania Benki naomba mtende haki kwa watu wote hasa wastaafu nadhani zingewasaidia sana maana wanapoteza fedha nyingi kupata makazi ya kudumu baada ya kustaafu.

  • @ooafrica3626
    @ooafrica3626 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @ambakisyemwakinunu2002
    @ambakisyemwakinunu2002 3 ปีที่แล้ว

    Hakuna chochote ni danganya toto ni watu kujitengenezea njia za kujinufaisha wao tu, hizo nyumba zitamilikiwa na wenye pesa tu hakuna mtu wa hali ya chini atakaeweza kumiriki nyumba hizo kwani gharama zake hatoweza kuzimudu

  • @chingawadunia3621
    @chingawadunia3621 3 ปีที่แล้ว

    Mm nazjua mpk unapoonglea nakupngza San mm Kam machinga San

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 3 ปีที่แล้ว +4

    Hizo nyumba masikini hawazipati.

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 ปีที่แล้ว

      AKIWA NA PESA ATAIPATA.

    • @ambakisyemwakinunu2002
      @ambakisyemwakinunu2002 3 ปีที่แล้ว

      @@salimsaid7200 kama ni milion 70 ni masikini huyo? Masikini akopeshwe kwa milion 5,6,7 hapo sawa, wewe unavyofikiri zitapatika za Kiasi hicho?

    • @IBENGM
      @IBENGM 3 ปีที่แล้ว

      @@ambakisyemwakinunu2002 Nyumba gani hyo inathamani ya Mil 5? Hyo sio nyumba labda useme banda!

    • @ambakisyemwakinunu2002
      @ambakisyemwakinunu2002 3 ปีที่แล้ว

      @@IBENGM ndugu yangu hayo ni maisha watu usiyadhihaki kama wewe Unapesa kaa kimya,Hata hiyo unyoiita wewe nyumba waliokizidi kifedha wanakiita kibanda, tuna madaraja hapa duniani kikubwa tuheshimiane

    • @IBENGM
      @IBENGM 3 ปีที่แล้ว

      @@ambakisyemwakinunu2002 Haya bwana isiwe shida sema nia yangu ilikuwa sio kudhihaki bali ni mtizamo tu maana kila mtu anauelewa wake.

  • @zuwenaabrahman9913
    @zuwenaabrahman9913 3 ปีที่แล้ว +2

    mumepoteza pesa hapo mulikuwa mujenge magorofa ya mana ili wakaazi wangepata wengi kuliko Mia tatu mulio taja

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 ปีที่แล้ว

      NENDA MICHENZANI UKAONE PALIVO OZA NA KUNUKA HADI AIBU.

  • @alhajimbwambo3785
    @alhajimbwambo3785 3 ปีที่แล้ว

    Bei nishingapi

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 3 ปีที่แล้ว +1

    Hawa walio vaa Makoti kwenye jua hilo jamani

    • @charlesngarapi8434
      @charlesngarapi8434 3 ปีที่แล้ว +2

      Sasa hvi dodoma baridi

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 3 ปีที่แล้ว +1

      @@charlesngarapi8434 . Hua wana vipindi vya baridi kumbe. Au upepo

    • @edsu3092
      @edsu3092 3 ปีที่แล้ว +1

      @@bjzee1981 barid tena kali

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 3 ปีที่แล้ว

      @@edsu3092 . Shukran kunifahamisha. Sijawahi kufika Dodoma hua naelewa tu ni sehem ya joto nani pakavu sana

    • @rahimdikungule3737
      @rahimdikungule3737 3 ปีที่แล้ว

      @@bjzee1981 sahivi sio kama miaka ile ya 2000 kuna baridi hatare

  • @najmaulaya8819
    @najmaulaya8819 3 ปีที่แล้ว +1

    Mbona kama jangwani mmmh

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 ปีที่แล้ว

      DODOMA SINGIDA TABORA SHINYANGA NA MWANZA NDIO KULIVYO WEWE KWENU WAPI????

    • @degelajeshibatamaji3105
      @degelajeshibatamaji3105 3 ปีที่แล้ว

      Kwa mwanza sio kweli

    • @saimonmanyerezi7169
      @saimonmanyerezi7169 3 ปีที่แล้ว

      Tembea uone wewe umejifungia vijibweni tuuu,hata jiografia huijui?????..

  • @aboubakar4793
    @aboubakar4793 3 ปีที่แล้ว

    Hakuna nyumba za wanainchi wenye kipato cha chini hv selikali nayo kumbe ni yakifiki hivi

  • @gerkombo6512
    @gerkombo6512 3 ปีที่แล้ว +1

    Inabidi maji yachimbwe chini, la cvyo hilo ni jangwa.

  • @chingawadunia3621
    @chingawadunia3621 3 ปีที่แล้ว

    Tupeni Oda ya Kaz kw madalal wadogo wqkuuu

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 ปีที่แล้ว

    Kwanza kiuhalisia hizo nyumba sio za kimaskini wataenda kuishi wenyewe

  • @antonyvallerian1718
    @antonyvallerian1718 3 ปีที่แล้ว

    Tukopesha mama

  • @salha6596
    @salha6596 3 ปีที่แล้ว

    Kwa sisi tuliopo nje ya nchi tunapata je uduma?

    • @dostovan5142
      @dostovan5142 3 ปีที่แล้ว +2

      Uduma gani,rudini kwanza

    • @salha6596
      @salha6596 3 ปีที่แล้ว

      Naitaji mkopo wa nyumba nitaoataje mkopo huo nipo nje ya tz

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 ปีที่แล้ว

      @@salha6596 PIGA SIMU BENKI.

  • @wazirimbwambo672
    @wazirimbwambo672 3 ปีที่แล้ว +1

    Bei bei

    • @paulnsabi3779
      @paulnsabi3779 3 ปีที่แล้ว

      Mambo gani muhimu yazingatiwayo kukopa/kununua ni watumishi au wajasiriamali,Bei ya kununua/mkopo,ukubwa wa nyumba muda wa kulipa,je mikoa mingine mradi huu upo,kupanga kero

    • @benethmengele9255
      @benethmengele9255 3 ปีที่แล้ว

      Bei gan toeni maelekezo ya kutosha

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 3 ปีที่แล้ว

      Hizo nyumba ni za serikal sio maskin

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 ปีที่แล้ว

      @@paulnsabi3779 HIZO HABARI ZOTE NENDA BENKI UTAZIPATA.

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 ปีที่แล้ว

      @@benethmengele9255 HUYO NI MSIMIAJI 2 HIZO HABARI NENDA KITENGO CHA KUNUNUWA WATAKUPA MAELEZO YOTE.

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 3 ปีที่แล้ว

    Eti milion 70 kipato cha chini hawa jamaaa hawajielewi

  • @msafiriiddy3135
    @msafiriiddy3135 3 ปีที่แล้ว +1

    Sio vizuri kupendelea kukaa kwenye makazi ya watu Wenye kipato cha chini kwanza Wizi ,umalaya,wivu, kurogana, mimba za utotoni ni vitu muhimu kwenye makazi ya masikini

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 3 ปีที่แล้ว

      Kwanza kiuhalisia hizo nyumba sio za kimaskini

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 KWELI UMESAHAU NA UCHAFU WA MAKUSUDI......

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 ปีที่แล้ว

      @@ilynpayne7491 WABONGO WAMEZOWEYA KUDANGANYWA WAKIAMBIA ZA MASIKINI WANAFURAHI HAJUWI HIYO NI BIASHARA MWENYE PESA ANAUZIWA UTAONA KUNA WATU WANAFURAHIA NA KUSIFIA KAMA WAMEPEWA BURE.

    • @husseinsaid9007
      @husseinsaid9007 3 ปีที่แล้ว

      Si uwongoo maana nawajuwa mm hlfu mara umepewa jini wa kujitakiA

  • @naipendatanzania3248
    @naipendatanzania3248 3 ปีที่แล้ว +1

    Ulie kuwa kalibu vyumba vingapi izo nyumban na lazima awe mkazi wa dodoma tu au mtanzania yoyote

  • @kiatu
    @kiatu 3 ปีที่แล้ว

    Unakopesha mamilioni halafu ndio kwanza leo unatembelea😟

  • @ashamwandu6572
    @ashamwandu6572 3 ปีที่แล้ว

    Nitanunuwa

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 ปีที่แล้ว +1

    Bora kununua kiwanja milion 6 kujenga kibanda chumba seble nikae 😅

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 ปีที่แล้ว

      HAPO SAWA UMEPATIA SANA👍👍👍👍

  • @tanzaboy4824
    @tanzaboy4824 3 ปีที่แล้ว

    Wanakupanga wanasema kipato cha chini alafu hakuna nyumba ya milion 50

  • @kakamkubwa3210
    @kakamkubwa3210 3 ปีที่แล้ว

    @Tanzania mmesha tulia hela zetu hakuna masikini atakae pewa hawana uwezo huo mmejijengea nyie wenyewe mtamilikishana kwa kujuana bola mngewapa viwanja tungejua ni kweli ila sio nyumba

  • @marcominja8850
    @marcominja8850 3 ปีที่แล้ว +1

    Mnajinadi kuwa nyumba ni nafuu huku mnaogopa kutaja bei, hakuna cha unafuu hapo na pia vijumba vidogo sana.

    • @salumabdallah6680
      @salumabdallah6680 3 ปีที่แล้ว

      Jenga yako kubwa sasa maana kila kinachofanywa na serikali awamu ya 6 mnaona hakifai

    • @marcominja8850
      @marcominja8850 3 ปีที่แล้ว

      @@salumabdallah6680 mnaona na nani?

    • @twilamtumbi5351
      @twilamtumbi5351 3 ปีที่แล้ว

      @@marcominja8850 kiswahili kigumu. Muulize vizuri

    • @sankofaman4112
      @sankofaman4112 3 ปีที่แล้ว +1

      @@salumabdallah6680 huu ni mradi wa awamu ya tano. Awamu ya sita haijaanzisha mradi wowote zaidi ya mradi wa mama kubadilisha mishungi na kupiga picha.

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 3 ปีที่แล้ว +1

      Miradi ya awamu ya tano JPM mama hajaanzisha chochote zaidi ya misemo ya kanga taarabu na kubadilisha mishungi na kupuyanga na ndege . Mtamkumbuka JPM angekuwepo hizo nyumba ziko mbali sana

  • @ramadhanimbulu6716
    @ramadhanimbulu6716 3 ปีที่แล้ว

    Fanyeni kama Kyle Libya alivyofanya Gadafi nyumba kama hizo alijenga watu wakapewa wakae bure kwa watu masikini kama sisi,unawauziaje masikini nyumba?

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 ปีที่แล้ว

      HAPO TUNGEJUWA KAMA SISI SIO MASIKINI........SIO KUBANDIKANA MADENI YA MAISHA.