ASKOFU MWAMALANGA AIVAA NEC NA VYAMA JUU YA POLISI "HAMUWASHIRIKISHI/WANATOROSHA KURA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
  • ASKOFU MWAMALANGA AIVAA NEC NA VYAMA JUU YA POLISI "HAMUWASHIRIKISHI/WANATOROSHA KURA"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

ความคิดเห็น • 36

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 2 หลายเดือนก่อน +5

    ⁸Asante na hongera askofu kwa kuongea ukweli.

  • @salihinashamaghana513
    @salihinashamaghana513 2 หลายเดือนก่อน +2

    Baba askofu Mwamalanga Mungu akupe maisha marefu ,

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub 2 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana watumishi wa Mungu,ccm wamezidi kwa wizi wakura watakuja kuharibu amani ya nchi

  • @MayalakusekwaNkwabi
    @MayalakusekwaNkwabi 2 หลายเดือนก่อน +3

    Viongozi wakubwa wa Dini acheni UNAFIKI semeni Ukweli KATIBA ni mbovu inamfanya Rais kuwa Mungu mtu CCM wanatumia polisi,Jeshi na usalama kuiba masanduku ya kura .

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 2 หลายเดือนก่อน +2

    Good advice

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 2 หลายเดือนก่อน +4

    Polisi uwa wanapewa maelekezo na serikali kuhakikisha ccm inashinda, ndio maana wanabeba masanduku ya kura na kukimbia nayo.

  • @Dagerboy97
    @Dagerboy97 2 หลายเดือนก่อน +2

    usidanganyike ogopa kuone neno uhuru halikupaswa kuandikwaaa likiandikwa madhara yake ni makubwa sanaaaa uhuru ni wajibu

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 2 หลายเดือนก่อน +2

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

  • @LemaRapoi-np2gs
    @LemaRapoi-np2gs 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akupe maaisha marefu mchungaji emungu tuletee watu kamahawa kwenye uongozi wataifaletu

  • @nelsonmwavipa9761
    @nelsonmwavipa9761 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi nakuelewa vizuri sana mtumishi wa mungu.

  • @jeitangogo-rf8uf
    @jeitangogo-rf8uf 2 หลายเดือนก่อน +1

    Amina baba asikofu sena kweli🎉🎉🎉

  • @IssakaKamala
    @IssakaKamala 2 หลายเดือนก่อน +2

    Viongozi wa dini wasimamie uchaguz bilashaka matatizo yataisha
    .

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 2 หลายเดือนก่อน

    Askofu Mwambalang,uwa na kuelewa sana,viongozi wa dini mnaojitambua lisimamieni ukweli na haki,kila mwenyemamlaka aogope kwenye nafasi yake kuharibu uchaguzi,aogope kuliangamiza taifa,watanzania tunapenda haki.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 2 หลายเดือนก่อน +2

    ASKARI ANAKUWA ANASABABISHIWA UADUUI WA WANANCHI😢😢

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenda zake kumbe alitoa maelekeza ya kuhalibu kwenye taifa hili maana%kubwa wanalalamika Sana watawala jifunzeni mnatengeneza sumu kwa Wana nchi simameni kwanyenafasi zenu askari mnaingiliwa msibebe raana isiyo yakwenu

  • @stevensteve7519
    @stevensteve7519 2 หลายเดือนก่อน

    Kila siku tunawaombea viongozi watuongoze kwa haki na kweli. Viongozi wanaojipatia nafasi za uongozi kwa njia zisizohalali Mungu atawapiga hatawaacha kamwe.

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa wanaoharibu uchaguzi ni sawa mtu anaendesha mutumbwi anaporundika mzigo upande Moja ukizima watu waliomo huzama kwahiyo hatamunaoiba hamutakuwa salama sote tutaitwa wakimbizi

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 2 หลายเดือนก่อน +1

    Safari hii uchaguzi ni mgumu sana. Haki itendeke.

  • @user-ih1pk1vs4q
    @user-ih1pk1vs4q 2 หลายเดือนก่อน +2

    Binadamu asiye mwaminifu hutafuta maneno matamu kama TBC ukweli na uhakika ( Tuma huru ya uchaguzi kuna maneno haha ya kitaperi ukweli ) na Huru pia

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 2 หลายเดือนก่อน

    Vurugu ni za CCM.bado Wana CCM anasema upinzani wanavuruga. Chama tawala muogopeni mungu. Na ndio maana Leo viongozi wa Chama tawala mungu anawapa adhabu. Mnaanza kulawiti. Mara kumuingiza kijana chupa kinyume na maadali. Mungu hapendi watu wake wateseke

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 2 หลายเดือนก่อน +1

    KATIBA MPYA MBONA HUJAGUSIA MWESHIMIWA ASKOFU4

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 2 หลายเดือนก่อน +1

    Fuatilia inafuata nawashukuru kwa kufuatilia

  • @user-rt3nt1lj7n
    @user-rt3nt1lj7n 2 หลายเดือนก่อน +2

    Safisana.ubalikiwe

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 2 หลายเดือนก่อน

    Baba Askofu tumeona rushwa zikianza kutolewa kila mahali bahasha,bahasha hata katika baadhi ya nyumba za ibada!, pikipiki zenye alama ya SSH mia 700 kila mkoa!, kampeni za kutatua matatizo ya wananchi yaliyosababishwa na wao wenyewe, nk sijui vyama wataanzia wapi kuialika polisi kuwaambia wanataka uchaguzi huru wakati kuna maelekezo watapewa kutoka juu na mdau wa uchaguzi ambaye ndiye mteule wa IGP?!

  • @user-fr7jj1bo7y
    @user-fr7jj1bo7y 2 หลายเดือนก่อน +1

    polisi mkoa wa Dar es salaam walikuwa busy usiku wakisambaza masanduku yakiwa na kura na hata wale waliokamatwa na vitita vya kura kwy mabegi hakuna aliyechukuliwa hatua hata mmoja

  • @melch3097
    @melch3097 2 หลายเดือนก่อน +1

    Viongozi mlijisahau, sasa mmeamka, tunashukiru kwa hilo,

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 2 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli police ndio wavuluga Amani. Kwanini police wanawasikiliza Wana CCM peke yake? Wala sio tume huru. Tunadanganywa. Kama time huru kweli. Tamisemi wasisimie uchaguzi. Tasisi ya dini isimamii uchaguzi. Maneno Yao kusema boresheni daftari la wapiga kura. Kila mwanaichi anahaki. Hakuna haki yeyote.

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 2 หลายเดือนก่อน +1

    Baba mchungaji, kumbuka kuwa polisi wanaagizwa tu kufanya hayo wanayoyafanya, sio kwamba huwa wanajiamulia wenyewe kuharibu uchaguzi.

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli, polisi wanapokea, kutii na kutekeleza maagizo yanayosababisha chuki na lawama za wananchi kwa askari polisi wetu.

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 2 หลายเดือนก่อน +1

      UCHAGUZI WA 2019 NA 2020 CHAGUZI ZILE ZILIKUWA NI ZA KIJAMBAZI KABISA UJAMBAZI WA AIBU DUNIANI!!!

    • @reginas1832
      @reginas1832 2 หลายเดือนก่อน

      Wanatakiwa watumie akili waliyopewa na Mungu.​@@FrankMwakatundu-cu6bd

  • @petroalfred5108
    @petroalfred5108 2 หลายเดือนก่อน

    Hawa ndio viongozi wa dini sasa sio wale wanaopishana milangoni kwa wanasiasa kujipendekeza

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 2 หลายเดือนก่อน

    Party too please

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona hamkuongea wakati magufuli yupo hai? Huo ni unafiki

  • @eliaskitundu7377
    @eliaskitundu7377 2 หลายเดือนก่อน

    Tunaomba