penda sana madebe yaan nilikuwa cpend move za kibongo lkn madebe amenifanya nivutiwe sana na move za kibongo kila la kher madebe nakukubal sana mwenyez mungu azid kukuongoza
Sio kuziba pengo Bali madebe ni madebe tu na k ni kanumba tu yaani hayo ni majembe mawili yalio kua job but moja lilotutoka R I p knmb , penda sana L P kwa ujumla.
Madebe hongera kwa kazi kubwa mungu akupe maisha marefu maana tamthilia zako zafundisha zaelimisha za badilisha jamii wewe ni Bora katika walio Bora!! Nakutakia kaz njema!!
Juhud n sehem ya maisha na maisha bila juhudi n km mpira bila refa itakua vurugu tupo bro mungu akupe umri mrefu na wenye mafanikio ili tuzid kupata furaha mashabiki wakooo
kweli lidai,hii nchi kuna watu wanatembea uchi,nchi improve kibiashara,tangaza ndoa,wenzio wanatangaza mtaji,ukipeleka barua sh.50000 mahali sh.2000000.
Madebe mmwamba wa kuigiza bongomovies TZ ✍️❤️. MADEBE DØN🦾🦾
penda sana madebe yaan nilikuwa cpend move za kibongo lkn madebe amenifanya nivutiwe sana na move za kibongo kila la kher madebe nakukubal sana mwenyez mungu azid kukuongoza
salmada njou
Ukwl sana nimekuja hapa sababu madebe
Gud san madebe unawez
Haha Hatamimi aiseee
@@manoahTv98 kuduki
Uko vizri kaka ake nakukubali Sana'a umecover nafasi ya kanumba kwa upande wangu umeziba pengo kbsaaaa😍😍
Sio kuziba pengo Bali madebe ni madebe tu na k ni kanumba tu yaani hayo ni majembe mawili yalio kua job but moja lilotutoka R I p knmb , penda sana L P kwa ujumla.
maadili yanazingatiwa na huyu jamaa anauishi uafrika ndani ya utanzania wake
Anauishi uatrik
Natokea Kenya 🇰🇪 lakini mimi kazi yako Madebe naaminia keep up good work 👍
Mwenyezi Mungu azidi kuwa nawe katika kazi zako father madebe lidai
Kama unamkubali madebe gonga like
Ongera sana kwa filamu zako yani umeniteka siwezi kulala bila kutizama kazi unazozifanya Allah akuzidishiye
msungo,hulka, joka la kijiji , mwali, big up to u bro made be,
Madebe madebe madebe mwaka unao fata tusipo chukua zile tuzo za azam kila idala tumekamilika saaana mungu akutangulie madebe nmekuita Mara 4
tunasubiri nguru ep 4
Nakusalute madebe u a the best actor ever existed ❤❤❤
Me nilikiwaga cpend kabisa bongo movie 🎦 #Madebe amenifanya naanza kuvutiwa nazo
Haaahaaa noma bongo movie madebe yuko vizur
Jasiri
Kwel ndugu
Mara waaaa kamroesha hhhhhhh
Komando
Noma sana 2po pa1
Madebe hongera kwa kazi kubwa mungu akupe maisha marefu maana tamthilia zako zafundisha zaelimisha za badilisha jamii wewe ni Bora katika walio Bora!! Nakutakia kaz njema!!
Madebe twakupeda sana kama wakenya mungu akupe maisha marefu yamejaa furaha na amani🙏🙏😂
🤣🤣🤣🤣Madebe utakuja niua na vituko😁leo kavaa suspender🤣🤣siku ya ngoma uling'ara kinoma.movie ni nzuri sana🙏🙏
Filamu kutoka inchini Burundi
th-cam.com/video/7dC5gvdVliU/w-d-xo.html
Napenda sana video zako najifunza mengi pongezi endelea ivo mungu akupariki sana
Amazing video
Madebe unajua kuigiza ad lahaa lkn kukaa na wanawake shidaaa
😂😂😂😂😂alf Madebe bhana😂😂😂nimecheka sana yani ivyo vituko vyako😂😂😂😂
Fasihi ya kiswahili
Kweli we mpumbavu sasa wajificha kwenye nyazi na baisikeli imebaki wapi aki mnanibamba sana napata safi nikiwa hapa Iraq
Kweli unapendeza sana made be lidai
Nice movie apa Kenya kila mtu Ana watch Madebe Lidai....big up broo
Eunice Mariga
Madebe noma anarudisha heshima ya bongo movie,,
Juhud n sehem ya maisha na maisha bila juhudi n km mpira bila refa itakua vurugu tupo bro mungu akupe umri mrefu na wenye mafanikio ili tuzid kupata furaha mashabiki wakooo
Brother madebe weunajua atar Kaka jitaid uzid kutupa flaha
Madebe hii ngoma mwengo wako sijapendezwa kwakuwa umeact Kama unajifundisha kazi Kwan uoni Kama mwenyewe umeteseka kutengeneza hualisia
Madebe umenifanya kuipenda san snema madebe mungu akupe maixha malef man,
Nazielewa move zako nimetoka kuangalia msungo sasa niko na Mama mwali.. Big up xana kaka
dah af wewe
Noma xana m.lidai
Move yako ya kufulu ni balaa,inafundisha sana
Heeee kalata
Ur the best of the best real tlk kipaji unacho akuna mwingine tz take from me
Madebe wewe ndo Steven Kanumba wa sasa. Hongera kaka. 🥳🤗
Madebe unanikamat kwa movies zako
Madebe unanikosha sana na kazi zako
Madebe amenyata watakuibia baiskeli mbavu zangu mieeeeeee. Sitaki mie umbea in action
🎉 ❤❤❤🎉🥀💅💅💅 madebe jinihaz dunia nzima
😂😂😂😂😂😂 nabiii uko Sawa muvi nzuri Atari mbavu zangu mm
Masha Allah movei ninzuri sana
Tamu sana
Mimi move za kibongo sizipendi ila napenda style ya madebe mi naona sio kama wale wengine namuona kanumba no.1
Nasoma koment kwanza ndo niangalie
Namkubali made be kino a, nakupe tatu mwanangu.
Upo gud sana Mzee baba
Asante naitaka movie ya kufuru ya madebe lidai
Furaha Khamiisi
Mamb
Asante naitaka movie ya kufuru ya madebe lidai
P
Fasihi ya kiswahili 👏👏👏
Madebe moto wa kuotea mbali kwa misemo yako hongeraa sanaa
Jacque
Samwel
Cxcvhijopnae
Jinsi gni wanawake mulivo tuweza kidume unakiwagia maji hta hasira hana bali ni furaha 2 kwake duuuu hii moto
lp media mpo kikazi,sio kuuza sura
nice movies😘😘😘
Nice madebe
Mmmhhh!!mama anajisifu alianza umalaya akiwa mdogo
Simba
Hongera sana mhogo mchngu kwa ubnif wako na kkgongea like Mimi Kombo waura
😂😂😂😂😂😂
Kaz nzuri sana
Safi. Madebe
Noma sana madebe
Mwanangu soma babaako siunaona weee somaaa baba ako siunaona 😁😂😂😂😂 hakokawimbo kameniludisha hapa
Hakika unanifanya nielewe bongo move tena mungu azidi kukuinua
Upo vema sana kwenye misemo skupngi ningekuwa mgawaj watuzo zote ningekupa
Kaziii nzuriii na haya ndo maisha halisi ya watanzania sio kila siku kwwnye ma office makubwa NA magari ya kifahariiii
Medi
Hii ulikuwa move yakwanza kuangalia yamadebe duh ilikuwa powa Sana sichokagi kuangalia hii move
Hilo la mtoto kutegeshwa ndio litafika haraka kuliko yote mimi ndio ninaeongoza hapa kijijini kwa kupeleka habar za kusisimua madebe we kiboko😁😁😁🤣🤣
Nakupendaa madebe jaman simuon chanuooo
kaz njema kaka
Nampenda madebe anaigiza yani yupo kiuwalisia
Madebe Ni Moto wa kuotea mbali
#Fantastic✅✅✅
Mnaniua na ngoma jameni hadi natamani niwe karibu
ngomaaa zetuuu izoooo wazalamuuuu atuna mamb madogo
Hahah hyo style ya ktembea kama jogoo umeuaaaa
Huo mguu wa sikujua khaaaaa
Yaani kuku wa kienyeji 🤭 🤭 🤭
Kaz nzr brother madebe
Nakubar madebe upo vzur
Hizo nyuso za wa mama duuu
kweli lidai,hii nchi kuna watu wanatembea uchi,nchi improve kibiashara,tangaza ndoa,wenzio wanatangaza mtaji,ukipeleka barua sh.50000 mahali sh.2000000.
Khalid Majoki nc
Hao wamama apo kwa pombe daa wanakaa walevi WA ukweli kabisa Yani jicho jicho nyanyaa
Hujawahi kukosea ktk move zako zote
nakupenda sana madebe
Upo vizr misemo yako inamafundisho sana
Hongera xana madebe
Nitaendelea kukupa heshima zangu kwa kazi zako zote salti mzee baba kaka madebe
Ayii madeb xio kwa tembea iyo jamn kwl jin umelipatia mpumbav
Mungu awasimamie lp media
Dah kwa kweli bwan unanifurahisha sana misemo yako inanivutia San inshallah
hahahahaa madebe wewe noma me nakukubali san
sana madebere
nakakubali sana madebe
Sana bro umetisha kazana bro
Nice one
Sana madebe,umetisha
Safi. Kaka. Madebe
Ni jiniyaz madebe atali
Dj tumbo am here kuangalia nice film 📼
Wakwaza from Kenya wapi like plz
Kama unapenda Madebe gonga lyks apa😂😂😂
Madebe tunaomba mama mwali part 4
ndugu madebe kwa misemo yako unanifurahisha sana mungu akusaidie sana
Wacha weee mwanamke ubunifu kungwi ananifurahisha
Shukurani sana
Lidai kama lidai umetisha
Namba1 wang ktk move nimadebe namb 2 Gabo.
Yaan huyu mama yng kabisa alikua akusemeshe uondoke 🤣🤣🤣🤣utafrah
Nakubali sana kaka
Safi sana mr madebe
Movie nzuri part 2 plz
Nakukubal kaka tupe chakula cha ubongo
madebe uko juu
Safi sana
duuuu mpaka uninja unaujua
Nzuri sana
Madebe tuachie katatuka please naomba🧕🧕tupo mbali sisi from Omani t
Lat wewe patatuka ishatok my wangu mie aisha mpambanaji mwezio my
Mtego wa mwizi hanasi askari duu ha haaaa
Mama nae mkuda
Muache sikujuwa ajilie vyake jaman
Ni filam gn ya mabede yasema utuheshim ss wanaume wenye baskel zetu