Msungo Part 1 - Madebe Lidai & Aurelia Damas (Official Bongo Movie)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
- Msungo Part 1 (Madebe Lidai, Aurelia Damas) Nabii Mswahili Madebe Lidai
Watch Part 2 Here: • Msungo Part 2 - Madebe...
CAST: Madebe Lidai, Aurelia Damas, Hidaya Boli
STORY/SCRIPT: Madebe Lidai
DIRECTOR: Madebe Lidai
PRODUCER: Madebe Lidai
Subscribe to Africa Movies on TH-cam here: bit.ly/AfrichaM... #AfrichaMovies #AfrichaEntertainment #MadebeLidai
Hongera kwa Madebe moves zina stara namaanisha mavaz sio mapaja wazi kifua wazi na zinamafunzo
Huyu kwa nn hapatiwi tunzo anastahiki madebe❤️❤️❤️❤️❤️
Kwa kweli wee ni mwalimu,kwa kila aziangaliae movie zako na kujifunza
Nipe like kama wataka madebe awe msanii bora Afrika...🙌🙌
Nc
Hana mpinzani kwa saiz
yaani anatesa kweli
Penda Sana madebe
Yuko vizur jamaa
Hongera kama madebe kwa kucheza filamu nzuri yenye uasilia wa kiafrika.more love from Kenya 🇰🇪
madebe filamu zako nzuri sana na tena unafata maadili ya kiafrika wahusika hawavai utupu
Uko vzr
Me namkubali sana uyu mama kwa kweli
kweli Mzee, Mtu Akikushinda Kwa Kusema Nawe Mshinde Kwa Kunyamaza..
Hakika n mwandishi bora
et tuweze kuzitumia jinsia zetu kwa maaana ya jinsia zenyewe....kama umeukubali msemo huuu gonga like hapo...
Kazi nzuri madebe vijana wanaolingia magari ya baba zao au mama zao watupishe wenye baiskeli zetu
Pumbavu madebe unajua saaaana hadi unaboaa , nakupenda saaaana
Kwel yan hatar
Hhhh pambe
Hongera kwa muiguzaji wangu mpendwa bwana Madebe Lidai.
Madebe ongera kwakipawa ulichopewa na Mungu.
Twapenda movie zako madebe uko Kenyan aujawai kutuangusha
amos magundo napenda movie zako kk unamuonekano wako tofauti
amos magundo hiyo tamu
Nabii is the best of the best in Tanzania am your big fun from Saudia.
Madebe salut kabisa
Iyi misemo yako
Uwa inani malizatu
Wenoma sana kweli Nic 😘😘😘😘
sowana and sonakshi saf xana kaka
Gud madebe
Katisha SAna
@@nasrasaid8877 mwalim mkuu
Hii ndio maana halisi na pekee ya fasihi kuangaza na kutazama katika kulinda utamaduni na amali zake hongera sana kazi nzuri kwa kudumisha utamaduni wetu
Hakuna mpinzani kwako ndugu madebe,, fasii n yako, Respect 🏅
Sijaona !!!!!!madebe hatariiiiiiii me nimpenda sana movie zako
Mungu awabarik uongoz mzima Wa tz kurudisha Bongo move nakupenda nabii mswaili🙏
Tuache uhandsome jamn huyu madebe kwa voko zake hizi hivi kuna mwannamke atakataa kweli mana s kwa mistari hii
Huyu jamaa maneno yake mengine unaweza kucheka peke yako kila mala.eti nataka tuweze kuzitumia jinsia zetu kwa maana ya jinsia zenyewe!!! Hatari sana yaani 🤣🤣🤣😍....
ZUBEDA MBWITA kungwiiii unaniitaaa kungwi da noma xana
Huku kaka nakwambia mafumbo yake akuna msichana anaweza ruka🤣😂😁😃😅
ZUBEDA MBWITA hahah
Kipenzi cha watanzania, madebe lidai, all the best❤❤❤
madebe una IQ ya hali ya juu kazi nzuri unazofanya
Your movies are amaizing madebe because you are the teacher of life
Teach the world 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kaka made bee ww ni star unadumisha tamadun ya Tz safiiiiiiiiii
Bro madebe upo vizuli mungu akujalie
Kazi mzuri LP media,heka like kama wapenda Nazi LP media
Dahh madebe hatary Sana unanifundisha na unanichekesha misemo yakoo
Kosa la kutotaja jina la eneo husika bado linaendelea. Movie nzuri iko poa sana.
The best actor in the world congrats madebe lidai
Madebe Kaka nipo pamoja na wewe inshallah
Madebe ww nomaa sana sijawayi kukosa movie yako 👋👋👋
Shukrani madebe,wewe ni mwalimu
Burundi 🇧🇮 big up madebe
Woow Burundi!!,big up Madebe lidai
Madebe your the best🤗, watching from India.!
Sorry to be offtopic but does someone know a trick to get back into an instagram account?
I somehow lost my password. I would appreciate any help you can give me!
Punguzeni mabod unangalia mpaka unachoka mchezo bado
Kwa kweli huwa napendaga mithali za madebe
Like your movies very great
Unajuwa mpaka naboreka naujuzi ulionao yani natamani mm niwe ndio wewe nawe uwe ndio mimi kudadadeki MADEBE LIDAHI new KANUMBA RESPECT
Kila nikiweka bando lzm nianze na Madebe penda sn your movie
Danniel Bosco na mkubal sana kaka madebe
Daaaaa!!!!!! Kila siku nanunua mb kwa ajili ya madebe. Madebe saluti kwako kaka
Uyu Mama Nampenda Bure ❤❤❤Tena Akuna Move Ninayoipenda Kma Ya Watu Wachache Kma Hii Watatu Au Waine Uwa Iko Vizuri Sanaaa❤❤❤❤
madebe is the bonge acta aisee sijapata ona
Upo vzuri sana brother madebe lidai Salute.
Naweza kutazama hii filamu mara tena na tena bila kuchoka. Madebe Lidai nakupenda bure
Daahhh. Madebee
producer wewe
Director wewe
mwandishi wewe
hatary sanaaa
Iko powa
Uyo MTU noma
I like it
kila kitu anamalz mwnyw
Huyu n mfalme zaidi ya kanumva
🎉 maana halisi ya neno kioo cha jamii #Madebelidai
Nyinyi made be, na wale shilngi yamajinamengi, mnausiano, basic nisalimieni, unaona siwaoni.
D.R.Congo tunahangali madebe lidai 25/05/2019
Hongera Sana brother madebe kwa kunifundisha kitu
My favourate actor...😍
Kama unatizama kama mm November gonga like tujuane
Asante kwa kazi yako nzuri ya kuelimisha jamii
uyu mama nampenda sana anajua kuigiza
Bro madebe move zako zinanifunza xana nashukul tuko pamoja
Duh madebe naisubiri hyo kiberiti kimewashwaaaaaaaa na kimewakaaaaaaa
Daaaàah bonge la movie
Ww ni bara Sana Madebe we no msani kweli kwasababu unavaa uhusika kweli.
Drc lubumbashi +243 nakubali kaka madebe na wote mliowezesha kazi hii penda sana
Mashallah, kazi nzuri safi sana nayakupendeza.ongera sana producer Madebe lidai na wenzako mloshirikiana
Zula Chama kazi nzuriii hatariiiii
Kazi nzuri kabisa
shujaa siku zote huheshimiwa nawakubali wachezaji wote walioshiriki na wazidi
Mbela umeendelea sana now upo kwa clam "snake boy hongela kwa kusonga😂😂😂😂😂❤
Aisee uyu jamaa n nomaa saana
Masanga kma Masanga nimekusoma madebe we ni nomaaa
Madebe atari kwenye movie ya joka la Kijiji aaaanh ile atari ww noma madebe
movie kama hii unaiqchaje kuisapot,big up walioshiliki
Madebe unajua mpaka unakela kabisa ,we noma
Kaka good job unafanya mung akupe maisha malef
Congratulations madebe wcthng at kanairo kenya
Nimeanza kuangalia bongo movie sasa
Daaaaah, nice movie, Lidai Madebe umeweza
Madebe kweli ushakida mizizi kwn mistari
Upojuu madebe ndani nanjee yanchi
Nafurahia kutazama asili yangu madebe unanifunza mengi ya nn kutazama korea movie ambazo hazinipi maadili ya nyumbani. Nimezaliwa nyumbani na nacheza nyumbani
Hhhh Leo madebe amekatia dem,hhhh mashaallah kaka uko juu
daah madebe nakukubali sana kaka yangu
Uko.vzr sana madebe lidai
Npenda sana dahhh c kwa mafunzo haya
Mbwa mbuzi dah 🤣 mama nakukubali🇰🇪
untoucheble
Madebe upo vizuliii san😘 mungu akupe maisha malef
Kaka hongera sana washa moto nakukubari sana
Madebe weh nakwita tena madebe unajua sana dah
Upo vzr Mr Madebe, tunakunda wanaharkat wote.
So very very very nice
Tunaomba meendelezo wa nabii mswahili part7
vzr madebe kwangoma zako Kali Kali kweli
Madebe umeingiza vizur cna movie zako hongela sana
Bigup mkuu. Unatoa mafundisho mazuri na yenye busara. Kaza buti hakika usikate tamaa kakaaaa.
Chapa mwendo kazi zur
Hidja Djabiru kutoka Uganda nakupenda Sana madebe we unajua kbs
Madebee🤣🤣uko juu Sana😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪
It's a good video
Napenda Sana maigizo yako kaka yana mafunzo ya ajabu sana#keepitup
Nice movie bro
Hahahahahaaaa madebe kuzitumiaa jinsia zetu hahahahahaaaa ndo mistar hyooo me hoi
Movie nzuri sana #MADEBE Hongera
move nzuru sana hongera madebe
Thanks kwa kazi nzuri unayoifanya mungu akuzidishie nguvu💪
movie iko juu sana🔥🔥
Madebe movie zako znaonesha uharcia wa maisha
madebe we ni mkali wao keep it up
Nice movie ad interesting
Bongo movie raha sana tangu maisha yanaanza hadi mimba haujafumua wala kusuka nywele