UKISHINDA MTIHANI HUU UTAFIKIA MAFANIKIO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2021

ความคิดเห็น • 81

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 ปีที่แล้ว

    Amen soo powerful courageous ND inspiring message God bless you pastor am soo blessed

  • @albertinemacimu1247
    @albertinemacimu1247 2 ปีที่แล้ว +5

    Ninavyoonaga ukiwa vijijini kuhubiri ninafurahiwaga sana sina cha kusema zaidi ya Mungu wetu wa mbiguni akulinde saaana hadi ukawalete wengi kwa yesu hadi binadamu akose la kujitetea nafarijika sana ubarikiwe 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jacintasyombua7512
    @jacintasyombua7512 2 ปีที่แล้ว +2

    Tangu niaze kusikiliza pr David mmbanga nimejegeka ki imani saaaana mtumishi wa mungu ubarikiwe sana🌹🌹🌹

  • @zirhumanafiston6719
    @zirhumanafiston6719 2 ปีที่แล้ว +4

    Amina pr David Mmbaga Mungu akubariki sana nakutakia kazi njema na Watumishe wote Mahubiri Tv

  • @mohammedalshahwani1542
    @mohammedalshahwani1542 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina Ubarikiwe mtumishi

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana mchungaji mmbaga.

  • @estherkusaga9181
    @estherkusaga9181 2 ปีที่แล้ว +2

    Duh nimebarikiwa na somo hili Mungu akubariki Mlefi, Nimejikagua nimefell mitihaniMingi namuomba Mungu aniwezeshe kufaulu ili nifike anapohitaji yy

  • @shegashega2421
    @shegashega2421 2 ปีที่แล้ว +2

    BONA umesema na mimi ila kwanzia sasa naamini nimeshinda kwa JINA LA YESU AMINA 🙏🙏

  • @janembalinga7074
    @janembalinga7074 2 ปีที่แล้ว +2

    Yaan hapo kansan nafikri wanakuwa wanataman uende kila siku Mungu akubariki sana

  • @kelvinjonathan648
    @kelvinjonathan648 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akubarik mtumishi mm nabarikiwa Sana na hua ukimaliza kuhubir najichunguza najikuta bado si stahili kabsa ila kwa dam ya yesu na neema na rehema zake ninastahil

  • @mako331
    @mako331 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe mtumishi, unaenda hata vijijini kulipeleka neno, this is good

  • @antipascann2797
    @antipascann2797 2 ปีที่แล้ว +3

    Pastor you are so humble!Mungu azidi kukutumia kuwafikia wengi hayo mazingira tu yanaakisi kiasi gani unajua kujishusha nami nakuombea Mungu akuinue zaidi

  • @sundaynashon7642
    @sundaynashon7642 2 ปีที่แล้ว

    Mchungaji mahubir yak yananijeng na yananibarik kiroh haty kimwili barikiw na uzidi kutup mafunzo mungubakubarik

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 2 ปีที่แล้ว +3

    Amen God bless you man of God

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline2751 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina mubarikiwe sana wachungaji wote wa Mahubiri TV 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💖💞😍💓

  • @damah8431
    @damah8431 2 ปีที่แล้ว +7

    kama kuna jambo mahuburi Tv imenisaidia nayo ni Imani yangu Kwa Bwana na kumtumainia yeye peke yake. mbalikiwe sana wajungaji.

    • @kabuwoorutasi418
      @kabuwoorutasi418 2 ปีที่แล้ว +1

      I really like that belief in you sis 🙏 God bless you

  • @nehomemwaliasha9106
    @nehomemwaliasha9106 2 ปีที่แล้ว

    iko namatazo mungu anajiwa

  • @rubias2978
    @rubias2978 2 ปีที่แล้ว

    Ni kweli pst,asante kwa ujumbe wa mungu mzuri

  • @damaricemkanyika8293
    @damaricemkanyika8293 ปีที่แล้ว

    Mchungaji asante kwa neno la mungu.

  • @richardtwinzi58
    @richardtwinzi58 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe chombo Cha Bwana wetu Yesu kristo

  • @lilianlima8609
    @lilianlima8609 2 ปีที่แล้ว

    Na atukuzwe BABA, MWANA NA ROHO MTAKATIFU, hakika tunabarikiwa mno, neema yake yatosha Jina la Bwana lihimidiwe sana🙏🙏🙏

  • @kisizikitindi2054
    @kisizikitindi2054 2 ปีที่แล้ว

    Amina pr na asante sana kwa somo zuri barikiwa sana

  • @benthomasy8469
    @benthomasy8469 2 ปีที่แล้ว

    Amina pr mbaga huwa natamani sana kuya ishi maisha yako

  • @oman798
    @oman798 10 หลายเดือนก่อน

    AMINA

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 2 ปีที่แล้ว

    Kuna kitu Leo umeniongezea.nilikuwa sifahamu. Ubarikiwe mtumishi

  • @rossarutasha1789
    @rossarutasha1789 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa pasta kwa mahubiri watu wote tubarikiwe

  • @enockkilumile621
    @enockkilumile621 2 ปีที่แล้ว +1

    Mbaga au unanipenda mimi kweli uliyosema ndiyo nilivyo.
    Enock kilumile toka RUKWA
    ASANTE NIMEBARIKIWA NASOMO HILI ASUBUHI.

  • @happinessjohn3705
    @happinessjohn3705 2 ปีที่แล้ว

    Amina ,masomo mazito haya, kuna mguso wa pekee sana.

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll 2 ปีที่แล้ว

    Mitihani hii yangu Mungu atanipa ushindi

  • @enocksilungwepondajr9707
    @enocksilungwepondajr9707 2 ปีที่แล้ว

    amen and amen

  • @mussadionizi9418
    @mussadionizi9418 2 ปีที่แล้ว

    Amina sana Pr ubarikiwe kwa masomo.Mazuri nakufuatilia sana

  • @imgracesamwel3999
    @imgracesamwel3999 2 ปีที่แล้ว +1

    Hallelujah hakika mungu ni mungu

  • @upendongole5538
    @upendongole5538 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanks man of God

  • @josephmwita996
    @josephmwita996 2 ปีที่แล้ว

    Nawapata vizuri kabis ktk Bunda

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 2 ปีที่แล้ว

    Amina sana Mungu akubariki pastor

  • @jobleteipankuri4684
    @jobleteipankuri4684 2 ปีที่แล้ว

    hili fundisho kweli ni la manufaa sana maishani,ubarikiwe mchungaji

  • @anjiraoman2125
    @anjiraoman2125 2 ปีที่แล้ว

    Amina nimebarkiwa san mtu wa MUNGU MUNGU akubariki

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa mafundisho mazuri🙏🙏

  • @rebeccajonathan6194
    @rebeccajonathan6194 ปีที่แล้ว

    Amina ,

  • @fobydz
    @fobydz 2 ปีที่แล้ว

    Am superblessed..God be with you pr

  • @stigmanonsare3672
    @stigmanonsare3672 2 ปีที่แล้ว +1

    Stigman Onsare Tuned from Kisii, Kenya.

  • @fredrickgitonga1972
    @fredrickgitonga1972 2 ปีที่แล้ว

    Kazi njema watumishi mbarikiwe

  • @user-pj3um6ft7h
    @user-pj3um6ft7h 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana mchungaji aki tangu nianze kusikiza mafunzo yako imenisaidia sana, napokea neno la Mungu nikiwa saudi arabia

    • @semanzierick9613
      @semanzierick9613 2 ปีที่แล้ว

      Jambo Asante kwa mambo mazuri ya kufaliji.

  • @ismailkatanga6611
    @ismailkatanga6611 2 ปีที่แล้ว

    Shukrani mwalimu 🙏🙏🙏

  • @neemamtoba2603
    @neemamtoba2603 2 ปีที่แล้ว

    Pr Mungu akubariki sana

  • @onesmoelias8509
    @onesmoelias8509 2 ปีที่แล้ว +1

    Pasta wapi hapo siku nyingi hatusikii saut yabwana

  • @ndayishimiyeriziki8696
    @ndayishimiyeriziki8696 2 ปีที่แล้ว

    Amina 🙏 🙏 🙏

  • @reginatsaxara4600
    @reginatsaxara4600 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana sana

  • @khaldn7409
    @khaldn7409 2 ปีที่แล้ว

    Amina mtumishi uaminifu kwa mungu ni faida kwangu ni kweli.

    • @nehomemwaliasha9106
      @nehomemwaliasha9106 2 ปีที่แล้ว

      Mimi nahomba msaada wa maombi. Ni mimi nehome mtoto wangu Lumumba yuko hapa tanzania

  • @amnamax8676
    @amnamax8676 2 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @foncetecelectricalandelect34
    @foncetecelectricalandelect34 2 ปีที่แล้ว

    Man of God

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll 2 ปีที่แล้ว

    Lol!! Hiyo meza

  • @kevinskicalvo7472
    @kevinskicalvo7472 2 ปีที่แล้ว

    🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏

  • @azaransari7307
    @azaransari7307 2 ปีที่แล้ว +1

    “Mtu ajaribiwapo, asiseme, Ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu mtu.

    - Yakobo 1:13 (Biblia Takatifu)
    Umenijibu swali langu huu mstari ulikuwa unanitatanisha sana
    Nadhani biblia ya Kiswahili inahitaji update kwa kweli
    Nakupata vizuri kutoka Germany!

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll 2 ปีที่แล้ว

    Mshukuru Mungu kwa chochote anachokupa…

  • @josephjohn8530
    @josephjohn8530 2 ปีที่แล้ว

    Yaaaaani wewe watu kamawewe mnatakiwa mbarkiweee3eeee knoma sana

  • @marcellyimo283
    @marcellyimo283 2 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @imgracesamwel3999
    @imgracesamwel3999 2 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏

  • @chikondobagaya7412
    @chikondobagaya7412 2 ปีที่แล้ว

    Nitumiye nimeroyako ya wasp pasta

  • @eliakanyika5379
    @eliakanyika5379 2 ปีที่แล้ว

    Nikupakie kwenye torolo alafu nikupitishe kwenye kamba

  • @johnjohn-cg8re
    @johnjohn-cg8re 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu anisaidie roho ya visasi initoke

  • @eunicekalinga7174
    @eunicekalinga7174 2 ปีที่แล้ว

    Pr ninaswali,lanichanganya,mfano mtu amesoma akapata kazi lakini ufaulu wake ulikuwa niwakuibia na hapo anapokea mshahara,,sasa inakuwaje hapo huo mshahara unahesabiwa sio harali,na kama ivo atubu aendelee na kazi au aache kazi? Naomba msaada hapa PR mmbaga

    • @joramjaphet3060
      @joramjaphet3060 2 ปีที่แล้ว +2

      Swali zuri, jibu n kwamba wizi ni dhambi unapotubu Mungu anasamehe songa mbele huwezi kubadili makosa ulo fanya, chapa kazi Maana unalipwa si kwa ufaulu ila kwa sababu unafanya kazi. Neema ya Bwana yatosha

  • @josephatkaitira6100
    @josephatkaitira6100 2 ปีที่แล้ว +2

    Aisee mnakula wengi una halisha mmoja tu 😅😂🤣
    Amina Pr 🙏
    Ila lazima upunguze kula

  • @nancyomwenga7633
    @nancyomwenga7633 2 ปีที่แล้ว +2

    Amen God bless u man of God

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll 2 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @danielshishi9215
    @danielshishi9215 2 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @isabelavictor9964
    @isabelavictor9964 2 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏

  • @eunicekarembo7806
    @eunicekarembo7806 2 ปีที่แล้ว +1

    AMINA

    • @leocadiajohn4249
      @leocadiajohn4249 2 ปีที่แล้ว

      Ubarikiwe Pr.

    • @estermgendi677
      @estermgendi677 2 ปีที่แล้ว +1

      Amina na barikiwa sana na mauhubiri yako

    • @tvrasilimalizakiroho5353
      @tvrasilimalizakiroho5353 2 ปีที่แล้ว +1

      Barikiwa mchungaji kwa huduma. Wako wengi wanao barikiwa kupitia huduma zako. Mungu aendelee kukuvuvia zaidi.

  • @christinesavai884
    @christinesavai884 2 ปีที่แล้ว

    Amen