kuna wachezaji wazao wapo vizur na yanga wamewajali wachezaji wote wazao wengi wamebaki nikitu kizuri sana kibwana uliisaidia sana tim msim ule wa nabii msim huu ilikuwa zamu ya yao kwansi wala usiwe na shaka wanayanga wengi tuna kupenda sana mm nakupenda km mwanangu kaza bunti mungu atakusaidia
Mi kwanza leo 🎉 naomba likes zangu😂🎉
Acha ushamba
WAAMBIE WANAOLETA VITALO,ZANACO NK. SIMBA DAY,HIYO NDIYO FAIDA YA KUWA NA JICHO LA MBALI AU KUPANGA MAKUBWA.
Mungu awalinde viaongozi wayanga,
kuna wachezaji wazao wapo vizur na yanga wamewajali wachezaji wote wazao wengi wamebaki nikitu kizuri sana kibwana uliisaidia sana tim msim ule wa nabii msim huu ilikuwa zamu ya yao kwansi wala usiwe na shaka wanayanga wengi tuna kupenda sana mm nakupenda km mwanangu kaza bunti mungu atakusaidia
Wazawa sio wazao 😢
Safi sana
Kuna wachezaji hawajaripoti na muhim sana, Dr harid Aucho na musonda
Timu yangu jamniii .... 5 & 17.. job and faridi musaaa nawakubali mnooooo
❤