ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
JOANNA | SIMULIZI FUPI | ALIKATALIWA TANGU ALIVYOZALIWA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 พ.ค. 2024
- Jamani huyu mtu anaejiita mume wangu ndio naniii,nilitoka na kurudi ndani kisha nikachukua sm nikapiga haikuwa ilipatikana kama kawaida yake nilivurugwa na kushindwa kuelewa huyu ni nani na anafanya hivi kwann .
Ukweli niliogopa hata kulala nikihofia huenda anaweza kuja na kunifanyia kitu kibaya
Mashabiki mm wakwanza mapema sana nione like zenu asante Kaka Lucas kwa simulizi ulikua umetubania sana🎉🎉❤
Usiya wa bi pendo
1. Kumtanguliza MUNGU kwa Kila jambo yeye peke ndo hujuwa kesho ya Mtu
2. Kuwa mkarimu kwa Kila mtu Ila kwa kiasi
3. Kufanya kazi na kukata uvivu na tamaa mbaya
4. Jifunze kusameh msamah huleta Amani
5. Usi endeshwe na Pesa na kubadili utu wako...
6. Kuwa makini na mapenzi maana yanaweza kubadili hatma ya maisha yako kuwa nzuri ao mbayaaa
Shukran Lucas na mtunziiii wa simuliziiiii❤❤❤❤
Naitwa Jackson naishi kibaha vijijini pwani napenda sana kuzisikiliza simulizi zako kwa sababu zinafundisha jinsi ya maisha yalivyo na kumtegemea mungu na simulizi zako zina uhalisia kongole
Namie nimewah san wa5 mashaallah 🥳🥳🥳🥳
No Caption ❤❤❤ kaka wa mboga saba
😂😂 watu hamlali mnachungulia tu Lucas kama kafanya jambo😁😁❤❤
😂😂😂😂 mim kwanza Niko machungu tokea juzi Sina internet
@@MwanakomboMangwe 🤣🤣🤣 hata mimi nimeona kwakwel lucas katulaza njaa siku 3 zote🥲 sema tu tunampenda atuwez muadhibu ila asirudie🥰🥰
❤❤❤❤❤nimpenda. Ikikisa. Chauyu. Bidada. JOANNA. Daaah. Inamafunzo🎉🎉🎉🎉
Lukas lumbasinice job pamojasana brootùnakupenda sana❤❤❤
Thank Lucas umekuwa wapi tulikumiss sana ❤❤❤
Rachel alionesha ushetani wake toka zamani kwa tamaa mbaya,hakuna tabia halisi ya mtu inayoweza kubadilika ghafla,hapo ni tahadhali
Usitukawizi lakini niombi Lumbasi utatuwuwa mana nikimariza Siku mbiri nasikiyaga Niko Niko ceko sauti weacatu🎉🎉🎉🎉🎉💪💪
Tumekumiss lucas❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Ndio naamka😢
Thank you bro nilimiss xn simulizi jmn
Kuamka t jmn kitu hicho had raha❤❤🎉🎉😂😂❤
I'm the first one today❤
🎉🎉🎉🎉🎉wow thanks Kaka Lucas❤❤❤❤
😂😂😂😂eeehn hamulali watu kumbe
Afazali jamani tulikuwa wapweke sana
Nice story be blessed ❤❤❤🎉🎉🎉
Hatimae umetukumbuka😊
Mi ndio maana sitsk marafik .
Marafk mbwaaa
Asante sana kaka Lucas Lumbas ❤❤❤❤. Allah akujaalie kila la kheri Inshaallah
Amin
Asante sana broo
Mashaal asant sana kwasimurinzi
Mhm, Joana huyo siyo rafiki hilo ni bonu,tamaa mbele mauti nyuma kwani ukifa tajiri kuna faida gani humo kaburini kuna tofauti kama ukiwa tajiri au maskini,upumbavu tu,mjanja ni anayetafakari uhusiano wake na Mungu
Yaan Joana mungu amekulipa Kwa ulichomfanyia, x wako ,, uliahindwaje mpenda mwanaume anakupa Kila kitu anakupenda vizur, unajiendekeza eti moyo haumpend, ukome tu
Ali mfanyia vibaya na malipo n Dunia
@@FatumaRamadan.Mwalim watu wengne bana mtu anakupenda Kila kitu anakupa, huwa unapenda mbona moyo wenyewe unamkubali , tatizo wanajiendekeza tu na fikra Moja mda wote
@@scollamwanisisi2739 😀😀😀
Mungu akutunze wewe na mtunzi 🙏
Waoooooh
Mbona mbilinge bayoyo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kaka ukulala
Wakwanza leo ❤❤❤
Mhh mtihan
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 Asante San
Asantee
Plz na omba seemu ya pili ❤❤
🌹🌹🌹🏃
🫶🫶🫶🙏🇨🇩
🎉🎉🎉
🎉🎉❤❤
Waganga wa kwenye simulizi niwakweli sana😂😂😂😂😂
❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
Ina Uma sana Pole daa
💯
Unaroga mtu hadi kufakisa humpendi jamani binadamu kazi hadi mtoto amekua amekujakutafuta baba lkn kwakua walimlisha madawa hata hakutambui..huku nako marafiki wengine loo unauzaa mwezako kisa pesa jaman majanga tele ww nawe pia ulitegamtu mwenyewee hukuhumpendii sasa kama hupendi mtu kwann uishii naye kama sio tamaaa ndonaww ukapigwaa tukio na huyo fatuma nasijui kama nayy alimlishamidawa huyo jamaa mana alikupigaa hadi mimba kutoka lkn hakujali.
🥰🥰🥰
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Umekua wapi kala Lucas mbona kututia hofu hivo
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Hakika kumtegemea MWOKOZI ni jambo la heri mnoo na kunafaida ingawa kuna mitihani ila amani yake haipimiki furaha ndio kama yote
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
HahHH Yan nilikumaind
😂😂😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🧎🏻♀️🙏🥲🥲🫣
❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤