Hata mtumie kitu gani gwajima hawezi kukosa ubunge,kama uamini namba yangu hii hapa,0765188192 ,gwajima akishindwa nikutumie shilingi ngap na wewe mdee akishindwa unitumie shilingi ngap,taja dau, maana tunamwamini Mungu wa majeshi ya Israel Mungu asiyeshindwa
Imeandikwa mambo ya kidunia hayadumu,ila mambo ya kiroho( ya Mungu) ni ya uzima na hudumu milele. Anaye kwenda shamba kulima kisha akageuka nyuma kuangalia alikotoka hafai ktk. Ufalme wa Mbingu. Ya Mungu mwachie Mungu,na ya Kaizar mwachie Kaizari. Sasa we wewe kikondoo mbona unakwenda kinyume na hayo maandiko matakatifu ? Mshika mawili mmoja humpokonyoka. Wewe kikondoo lipi litakupokonyoka ? Na mwenye enzi atakupa adhabu ipi kwa kwenda kinyume na maandiko matakatifu ? Kila la kheri kwako Mungu wa Mbinguni akutangulie.
Soma maandiko vizur. Soma habari za Daniel aliekua mtumishi wa Mungu wakat huo huo alikua kwenye nafasi kubwa kisiasa katika ufalme mkubwa wa nebokadreza ambae hajatokea mfalme kama yeye aliezaliwa kawaida ya wanadamu ufalme wake kua na nguvu.
Mshaanza KUWEWESEKA sasa mwatoka na SINGO za UDINI .... ACHENI KUGAWA WATANZANIA WENZENU kwa UZUSHI WENU kikubwa mkamshauri huyo RAIS WENU WA MITANDAON kuwa AACHE KUSAPOTI USHOGA maana ni KINYUME cha UTU na pia MACHUKIZO kwa MUUMBA
Waisilamu kawe juweni gwajima hafai kwa alivokuwa akitukana uisilamu makanisani mwake na kihalimamdee nacho kilisha asiiii dini yaani kijike dume maana nimwanmke lkn mambo yake yoote ya kiume wote hao pigeninyama shimoni chaguweni vyama vingine CCM nao wanajichanganya wakati mwengine bana.
Kura yangu ni ya kibinafsi, nampa Gwajima. Miaka 10 sasa wakazi wa Mbweni Mpiji tunahangaika na mafuriko na kuhama nyumba zetu kila mvua ikinyesha. Hakuna kiongozi wa wilaya/mkoa asiyejua hili tatizo. Ukifuatilia kwanini halitatuliwi, majibu yasiyo rasmi ni uhusiano mbaya kati ya mbunge na serikali ya wilaya. Mwanzo nilikuwa napenda jeuri ya Mdee, lakini imenikosti sana, sasa basi. Japo maendeleo hayana chama, lakini hakuna mtu asiyejua siasa inahusika kwenye kutenga vipaumbele.
Kura yangu ni ya kibinafsi, nampa Gwajima. Miaka 10 sasa wakazi wa Mbweni Mpiji tunahangaika na mafuriko na kuhama nyumba zetu kila mvua ikinyesha. Hakuna kiongozi wa wilaya/mkoa asiyejua hili tatizo. Ukifuatilia kwanini halitatuliwi, majibu yasiyo rasmi ni uhusiano mbaya kati ya mbunge na serikali ya wilaya. Mwanzo nilikuwa napenda jeuri ya Mdee, lakini imenikosti sana, sasa basi. Japo maendeleo hayana chama, lakini hakuna mtu asiyejua siasa inahusika kwenye kutenga vipaumbele.
Gwajima Oyeeeeeeeeee 😀😀😀👍👍👍 Kawe chagua Gwajima kwa maendeleo yetu
Halima ndg yangu ktk Imani umekwisha
Gwajiboy!!!oyeeeee!
Rest in peace halima mdee
2010 tulimdondosha james mbatia safari hii tuna mdondosha Gwajima mchana kweupe, Khalima mdee the best
Hata mtumie kitu gani gwajima hawezi kukosa ubunge,kama uamini namba yangu hii hapa,0765188192 ,gwajima akishindwa nikutumie shilingi ngap na wewe mdee akishindwa unitumie shilingi ngap,taja dau, maana tunamwamini Mungu wa majeshi ya Israel Mungu asiyeshindwa
Cheo cha ubunge Ni kikubwa kuliko uaskofu ni kauli ya 2020
Mbona mchungaji msigwa hamumsemi? Ni Gwajima tu ndo m7memuona?? Acheni zenu Gwajima atashinda Tena kwa kishindooo halima Alie tuuuu
Kaziiii kumekuchaaa
Tunapanuaa mipaka semeniii mipaka panukaaa
Wewe Willy clasc panua panua
Baba ushindi ni wetu CCM% Tanzania mpya inakuja
Nampa gwajima tumechelewa Sana kawe
kapita uyo chezea ccm wewe
Gwajiboy zee la uno
Toa Vumbi baba rake ccm kudumu chama cha mapinduzi magufufi hoyeeeeeeee
Naona utumie basara usimjibu Halima wewe tunakutegemea sana kuwa kiongozi wetu kuwa mvumilivu
Mnakwama wapi ninyi watu mnaosema nyie ni watumishi wa Mungu
Imeandikwa mambo ya kidunia hayadumu,ila mambo ya kiroho( ya Mungu) ni ya uzima na hudumu milele.
Anaye kwenda shamba kulima kisha akageuka nyuma kuangalia alikotoka hafai ktk. Ufalme wa Mbingu.
Ya Mungu mwachie Mungu,na ya Kaizar mwachie Kaizari.
Sasa we wewe kikondoo mbona unakwenda kinyume na hayo maandiko matakatifu ?
Mshika mawili mmoja humpokonyoka.
Wewe kikondoo lipi litakupokonyoka ? Na mwenye enzi atakupa adhabu ipi kwa kwenda kinyume na maandiko matakatifu ?
Kila la kheri kwako Mungu wa Mbinguni akutangulie.
Soma maandiko vizur.
Soma habari za Daniel aliekua mtumishi wa Mungu wakat huo huo alikua kwenye nafasi kubwa kisiasa katika ufalme mkubwa wa nebokadreza ambae hajatokea mfalme kama yeye aliezaliwa kawaida ya wanadamu ufalme wake kua na nguvu.
Wafuasi Wa kidude mbona povu linawatoka gwajima noma mtaaibika na demu wenu
Kama umeongoza maelfu ya watu kanisani huwezi kushindwa Kawe
wewe tayari nimshindi
Hapo hamuna mchungaji wala askofu tamaa hyo
Kumekucha kumekucha
Halima pambana mama ubunge niwako huyo nae eti mchungaji ulishaona mchungaji na chama wapi na wapi
Hv unamjua mtu anayeitwa mchungaji Peter msigwa
Hafai aende akahubiri enjili
Kama msigwa tu vile
Mla kondoo huyo anajifanya mchungaji
Atu
Amelaniwa huyo
mapepo ya bungeni mjengoni makao makui misukule ya makao makubwa yapigweeeeeeeeeeee!!!!
Yapigweeeeeee,njooooooooooo,wapigweeeeeee
Utakuta na miislamu ipo hapo inashangilia uyo jamaa Atari kwenye uislamu anaenda kupinga haki za kiislamu bungeni msiwe mabwege waislamu.
Huo ni mtazamo wako. Pole sana
Udini utatugawa
Yaani mtu mmoja apinge haki za Waislamu na ikubalike wakati Wajerumani na Waingereza na nguvu na fahari zao zote hawakufanya hivyo
Mshaanza KUWEWESEKA sasa mwatoka na SINGO za UDINI .... ACHENI KUGAWA WATANZANIA WENZENU kwa UZUSHI WENU kikubwa mkamshauri huyo RAIS WENU WA MITANDAON kuwa AACHE KUSAPOTI USHOGA maana ni KINYUME cha UTU na pia MACHUKIZO kwa MUUMBA
Utaaibishwa na kuambia.umeacha ya mungu umefuata ya kidunia.ngoja manake mungu atakuaibisha
Gwajima hawezi kuaibika! Waaibike wote waliokinyume na Gwajima
Kuongoza watu sio jambo la kidunia,mambo ya kidunia yafatilie vizuri........
Mla kondoo wa bwana ...naona kondoo zimeisha unataka kula vya wengine...subiri goli la mkono
Mdeeee byebye
Hayo Ni matumizi mabaya ya dini ..wanatuletea laana duniani hawa
Mungu atusaidie sana sio mkutano wa lnjili ila ni mkutano wa siasa kweli duniani hujafa hujaumbika tusiseme kumaliza
@@ndiwoimagdalenemasamo309 kabsaaaa dear Mungu mwenyewe atuhurumie
Waisilamu kawe juweni gwajima hafai kwa alivokuwa akitukana uisilamu makanisani mwake na kihalimamdee nacho kilisha asiiii dini yaani kijike dume maana nimwanmke lkn mambo yake yoote ya kiume wote hao pigeninyama shimoni chaguweni vyama vingine CCM nao wanajichanganya wakati mwengine bana.
Mimi ni mkristo yangu nampa mdee jaman
Kura yangu ni ya kibinafsi, nampa Gwajima. Miaka 10 sasa wakazi wa Mbweni Mpiji tunahangaika na mafuriko na kuhama nyumba zetu kila mvua ikinyesha. Hakuna kiongozi wa wilaya/mkoa asiyejua hili tatizo. Ukifuatilia kwanini halitatuliwi, majibu yasiyo rasmi ni uhusiano mbaya kati ya mbunge na serikali ya wilaya. Mwanzo nilikuwa napenda jeuri ya Mdee, lakini imenikosti sana, sasa basi. Japo maendeleo hayana chama, lakini hakuna mtu asiyejua siasa inahusika kwenye kutenga vipaumbele.
Nani alikuuliza dini yako?
Kunamtu kakuuliza dini we boya kwel
#UDINI_TENA .... Dalili za KUTOKUWA na SERA kwa hiyo WANASUKUMWA tu na LOLOTE LIJALO KICHWANI
Mla kondoo wake hahahaaaa,
Kura yangu nampa halima mdee
Kura yangu ni ya kibinafsi, nampa Gwajima. Miaka 10 sasa wakazi wa Mbweni Mpiji tunahangaika na mafuriko na kuhama nyumba zetu kila mvua ikinyesha. Hakuna kiongozi wa wilaya/mkoa asiyejua hili tatizo. Ukifuatilia kwanini halitatuliwi, majibu yasiyo rasmi ni uhusiano mbaya kati ya mbunge na serikali ya wilaya. Mwanzo nilikuwa napenda jeuri ya Mdee, lakini imenikosti sana, sasa basi. Japo maendeleo hayana chama, lakini hakuna mtu asiyejua siasa inahusika kwenye kutenga vipaumbele.
@@mamahustru sasa halima mdee ndio analeta hayo mafuriko???au yeye ana uwezo wa kuyazuia mafuriko😂
@@ashurajuma4837 Hapana. Ila ameshindwa kushirikiana na wenye mamlaka ya uongozi ya wilaya na jiji kutatua tatizo.
@@mamahustru Asante majibu mazuri🤛🤛🤛🤛🤛
mbona walokole wakitaka nafas mnaongea mnataka watenda dhambi ndo waongoze?
Kanisa kwisha hapo