Ninataka kuwa thibitishia watanzania na hata wapiga kura wenyewe ambao ni Mawakili Bwana amenihakikishia kuwa Mwabukusi ndiye mchaguliwa na ndiye mshindi ktk uchsguzi huo hivyo baada ya uchsguzi Baada ya kutangazwa kwake mnaweza kunipiga simu niwasmbie kwanini Mungu alinihskikishia kuwa Mwabukusi ndiye atakayekuws raisi wa TLS
Hamuwezi kukwepa siasa ni Kila sehemu Hadi familia,taasisi kama dini campuni isipokuwa majeshi ambayo wanao uwongozi wa commanding yaani amri kutoka juu Hadi chini
Mh.Tundulissu anaongea ukweli, hakika mawakili wa Tanzania wamelala sana na wanatumika na serikali kama toilet papers kukandamiza wananchi kwa sheria na kuacha mambo ya msingi ya kutetea Nchi.Mwabukusi ndiyo chaguo letu kwa sasa.
@@emmanuelkanyela275 nae atapita Tanzania itabaki kuwa ileile..ili Tanzania ibadilike nilazima watanzania nao wabadilike otherwise tutaendelea kumtegemea mwambukusi hamjui nae anamapungufu yake time will tell..mabadiliko yaanze nasisisi wenyewe tunao shabikia mtandaoni
Sasa huyu chawa Omar Mussa mambo ya kumuuliza Lissu uchaguzi ndani ya chama chake yanakusika nini na MADA iliyopo ya uchaguzi wa TLS? Kwani kuna vyama vingapi? Leo Lissu yuko hapa kama wakili na si vinginevyo, kwani hata ukileta masuala ya chama hukumuona Lissu akikemea aina yoyote ya rushwa uchaguzi wa ndani CDM? unakurupuka kichawa bila tafiti, no research no right to speech
Mjinga huku hujui alivyohujumiwa hata siku ya uchaguzi ilifanywa mipango kumchelewesha Airport ili asihudhirie lakini mawakili walimchagua bila kuwepo na baade akafika hatua za mwisho,Bado tu baada ya hapo visa vya kumhujumu vikaanza...INA WEWE NI MKIMBIZI HUJUI HILO??
Lisu anaongea vizuri tatizo lake ni kufadhiliwa na mabeberu. Alitaka mabehewa ya makenikia wazungu wayachukue bure bure na kuitishia nchi kushitakiwa na hao mabeberu wake kama nchi itazuia hayo mabehewa ya makenikia. Kashawishi mabeberu mara nyingi wazikamate ndege zetu. Ni ovyo ovyo tu. Ni hivyo ndivyo anamchukia Magufuli kwa sababu Magufuli katunga hadi sheria za kulinda rasilimali za Watanzania.
Eti hoja ya kipumbavu kabisa, 😂😂😂waliosema kazi kwao
Baba uko juu pokes mauwa yako baba🎉
Mheshimiwa mutuletee mwambukusi ✌🏾 sana sasa
Mwaee watanzania wengi hatuna erimu ya sheria ngeumana tunaonewa mawakili huna hela hawana msaada
Ninataka kuwa thibitishia watanzania na hata wapiga kura wenyewe ambao ni Mawakili Bwana amenihakikishia kuwa Mwabukusi ndiye mchaguliwa na ndiye mshindi ktk uchsguzi huo hivyo baada ya uchsguzi Baada ya kutangazwa kwake mnaweza kunipiga simu niwasmbie kwanini Mungu alinihskikishia kuwa Mwabukusi ndiye atakayekuws raisi wa TLS
Well said Mweshimiwa Lissu
Active - dormant
Activist - dormantiet
Hamuwezi kukwepa siasa ni Kila sehemu Hadi familia,taasisi kama dini campuni isipokuwa majeshi ambayo wanao uwongozi wa commanding yaani amri kutoka juu Hadi chini
Mh.Tundulissu anaongea ukweli, hakika mawakili wa Tanzania wamelala sana na wanatumika na serikali kama toilet papers kukandamiza wananchi kwa sheria na kuacha mambo ya msingi ya kutetea Nchi.Mwabukusi ndiyo chaguo letu kwa sasa.
Kwa kweli nafurahia na kujifunza sana kupitia kauli za Mh.Lissu zimejaa madini kweli kweli.
The general public wants Mwabukusi Boniface
EXACTLY ❤
💯🙏✔️
Kikubwa tunaomba muwatoe watu walioonewa magereza
Mwandishi amekula za uso 😂😂😂😂
Upo vizuri
Pongezi sana
Akili kubwa
,asante lisu
MUNGU awatangulie wanasheria wetu haswa wale wanao tenda haki katika kutetea uma ...na kuitendea haki taaluma zao
Sawa
Chaguzi za haki na kweli mfano ni huu
Bwana mjuaji
Gud lissu
Wewe lisu mashamba Sana unaga siku ikapite bila kumtaja magufuli pumbavu Sana wewe ulikua una tete wizi Tanzania
Mpumbavu ni mtu yule anaetaka watu wote wawaze na kunena kama yerevan.
Anayataja matendo ya magfuli mheshimiwa Wala uskasilike kama magufuli angekufa bila kutenda jambo jema au baya czani kama Kuna mtu angemtaja.
Mshamba wewe ambaye hujaenda shule. Tulia jifunze daraja la Lisu huyo siyo2 chawa na hanunuliwi
hatupo kiasa hapa tunaitaji mwabugusi afatilie Sheria na mikataba mibovu ambayo hipo sasa hvi
@@emmanuelkanyela275 nae atapita Tanzania itabaki kuwa ileile..ili Tanzania ibadilike nilazima watanzania nao wabadilike otherwise tutaendelea kumtegemea mwambukusi hamjui nae anamapungufu yake time will tell..mabadiliko yaanze nasisisi wenyewe tunao shabikia mtandaoni
Bwana Lisu huko Chadema uchaguzi wenu ndani ya chama unafanywa kama TLS ?
Sasa huyu chawa Omar Mussa mambo ya kumuuliza Lissu uchaguzi ndani ya chama chake yanakusika nini na MADA iliyopo ya uchaguzi wa TLS?
Kwani kuna vyama vingapi? Leo Lissu yuko hapa kama wakili na si vinginevyo, kwani hata ukileta masuala ya chama hukumuona Lissu akikemea aina yoyote ya rushwa uchaguzi wa ndani CDM? unakurupuka kichawa bila tafiti, no research no right to speech
Tunakukubar babaa
Najaribu kuwaza, ukimchukua Samia Vs lissu afu tukafanya debate kwa kuwahoji maswali magumu unapata picha gan nn kitatokea
Tunataka mnyaki hyo mwanukuuuuuu
We unaemtukana lisu pumbavu nawewe kama vizuri toaukoma wako mtandao I hujitambui unaemtukana lisu una niini logs wee
Waking kabisa
Mnakiharubu chama cha mawakili na siasa huku fanya lolote ulipo kuwa Raisi wa tls.. Maneno mengi.... 😅
Wewe unaishi Tanzania? Tundu alikuwa Raisi wa TLS mwaka gani na alipigwa Risasi mwaka gani?
Aja ujinga wakat n raise mangap yalimsbu nyie ndio wkimbiz mwfos kuish nchin
@@TwahaShehe hata kuandika shida nawewe ndo walewale
Mbona Lisu Alisha wai kua Rais wa tls wew upo Dunia ya ngapi em Toka kwenye huo usingizi wa pono
Mjinga huku hujui alivyohujumiwa hata siku ya uchaguzi ilifanywa mipango kumchelewesha Airport ili asihudhirie lakini mawakili walimchagua bila kuwepo na baade akafika hatua za mwisho,Bado tu baada ya hapo visa vya kumhujumu vikaanza...INA WEWE NI MKIMBIZI HUJUI HILO??
Lisu anaongea vizuri tatizo lake ni kufadhiliwa na mabeberu. Alitaka mabehewa ya makenikia wazungu wayachukue bure bure na kuitishia nchi kushitakiwa na hao mabeberu wake kama nchi itazuia hayo mabehewa ya makenikia.
Kashawishi mabeberu mara nyingi wazikamate ndege zetu.
Ni ovyo ovyo tu.
Ni hivyo ndivyo anamchukia Magufuli kwa sababu Magufuli katunga hadi sheria za kulinda rasilimali za Watanzania.
Waifahamu vema maana ya beberu kaka?
Ninayo hàmfadhiliwi na waarabu na wachina mnaowapa rSilimali za nchi