Nyie watu mnatoa wapi ujasiri wa kukubali mwanaume akunyanyase kwenye nyumba yako😂😂😂 mtu asisubutu kuniletea ujinga kwa nyumba yangu nakufurusha kama sikujui nyooooooo
Wewe mwanaume unakosea sana, ni ujinga kumpiga mwanamke bila kosa ,mbona unapewa heshima na mkeo lakini malipo ni fimbo? Hata unaonyesha kama uko kwake mbona unanyanyasika kwenye Mali zako? Mwisho wako ni kifo dadaeee.
Tafadhali Kelvin nachoka kungojea episode ya nne kwa penzi la mtoto wa boss na dada wa KAZI please Tu usinikatishe tamaa ni hamu sana❤
Pia mm
Wengi sana tunaisubir kwa hamu
😂😂😂😂😂😂una hatar
Jamani hii part inayochezwa n daa Vick sana sana naomba ipewe tina ama kendy iwapo siku moja tu 🤣🤣🤣🤣🤣
Nyuki umekua mpo mwnmpotevu sana kaka kazi nzuli hiyoo❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Kupokea simu mbele ya mwanamke ata kama umpendi iyo ni madharau Sanah
Asante sana afande brown 🎉🎉much love ❤❤ kenya
Nyie watu mnatoa wapi ujasiri wa kukubali mwanaume akunyanyase kwenye nyumba yako😂😂😂 mtu asisubutu kuniletea ujinga kwa nyumba yangu nakufurusha kama sikujui nyooooooo
Na mimi pia siwezi😂
apo ndio sipendi kabisaa ataona Moto mbila mosi nyoooo😅😅😅
Vp kama unaishi kwenye nymb yke.
@@jacklineteresia2629 🤣🤣🤣🤣
@@wiliamkatala6688 hapo sawa ntakua mnyonge
Duuu pol dada viki duu unay pitia ni magumu duuu nais kam mm ee mung nisaidie mm na familia yangu
Mambo yakudanga ni ya shanaizer.jamani. Nilimpenda sana yule dada💞😂
Hatakama nmechelewa lakini naomba like pia mm hata tano😢
Unapika 'na nn hizo like
Nyinyi waomba like jamen tutawafingia au mnapata pesa na hamsemi🤔😅😅
Kwakwer tushawachoka
Hhhhhhh ni atar kwa kwel hhhhhh
Unapik 'na nini hizo like
nimeipenda hii
Wake wa Enzi zile😂😂 kwa sasa unatoka namm nafunga mlango na kusafiri mbali😂😂😂
Vizuri sana jamani afande umefanya vizuri❤
Huyu mbona anampiga hivo nyuki please si poa
Pole vp mapenzi ya kweli ayavuti kwa gamba
Kuna watu wanaomba tu like kusapot movie aaaaah sijui wanapika na nn hizo like
Jamnii nyuki hauonekani siku hizi upo wap tumekumisii
Victoria uskubali kummilikisha mali zako mwanamme
Nyuki nawe mbona ss hebu tafuta sababu zinazo heleweka bwana ss kuambiwa tu twende ukanywe chai tu upige mtu hapo bado
Mmmmm fuzo zuri ya movie.
Mali zang kupigwa npigwe mie pengine kwa movie tu
Umeona ee we subut mm mtu anipig kwenye nyumb yang wal hanites
Unaniwekea mashariti kwa nyumba yangu kama nani😂😂nyuki komaaa manake mm nakuwekea adi sumu 😅😅
Vitoria umevaa shart ya Nelly maneno , mbona haija kupendeza😅 mpaka nyuki anakupiga bure😅😅
Pole Sana ,nimependa Sana ,huo ni uwalisia mwanamke akiwa na Mali tatizo Kwa mumewe,
❤❤❤🎉🎉🎉nyuki nilimc San kweny donta
Nimewahiiii jamn naombenii like na mim😢
Unapika 'na nn hizo like
Leo sijachelewa sana🇰🇪
Leo nmewahi😅❤🎉🇰🇪🇰🇪kazi nzuri wanadonta💖
Naomba like ata moja jamani😂😂
Unapika 'na nn hizo like
@@SaraQueen-tm5dr 🤣🤣🤣wewe niache baana kama kila mtu huku anaomba like mbona Sio Mimi🤣
@@Agnes-hy1vk hahaha hayaaa
team strong 😢utakubali upatane na mme kama uyu..mme mzuri ni wakutafuta kwa jasho sio ya mke..alafu kibaya saindi ameuwa we nyuki roho mbaya nyoooo.
Ati mungu amekuekea jicho la rohoni kwani mungu anaekea wa2 macho ya rohoni yakuuwa ama kuombea wenzako
Vick pole Sana ,umeyatimba safari hii
Pole sana vicky .umehishusha yako yote lakini mume akuona 😢
Jamn ane jua mshon wa hayo magaun alo vaa viki naomba jina la mshon
Nimeanguka nayo 😂😂😂😂😂😂next episode wapi likes zangu wana donta tv
😂😂😂anguka nayo
@@HafsahAmbogo 🤣🤣🤣🤣
Naomba mungu amutete
Nyuki kavu Kweli duuh .
Yaan mtu anipigee awe bora niondoke😢😢
Much ❤ guys from 🇰🇪🇰🇪
ndona na semaga mwanaume siyo ndugu ata umfanyiye nini akiamuwa kuku geuka atakugeuka tu
Kwel.siwez igiza kufa uwiii naogopa
Nawapendasana❤❤❤❤❤
Kenya Watching
Nyie mnaogiza hivi huwa mnapima afya kupigana mabusu mdomoni kama Amanda Na adamu
Huyu nyuki huwa anatia comed lkn ht hapendezi hlf hii move cjaielewa ht nimepoteza mda wang bure na mnabahat natumia wi_fi bila ivo mgelipa mb zng
Victoria uskubali ata kidogo kumumpa mali maana ataziidi kukutesa
🇰🇪 ❤
Mwanaume anipige alafu iweje...acha Mali hata shilingi sikupi Mali yangu wanangu basi 😂
Mbna hii movie cjaipenda cjawah kuckia Wala kuona kuwa mwanaume yupo chini kimaisha Alf akatawala kiasi hichi na dharauf
Kevin bana nangoja episode ingine
Nyuki umeniudhi sana mke hapigwi jamani 😢😢😢
Ongeza ingine endelesha filam
Nyuki xjapenda adi nmelia kha mtu wa njian asikufanye umwone aliepo ndan c bora alaaa ingekua me vki ohooo nakupa sumu mbwa we
Nyuki sijai kuchukia lakini kwa hii walai nimekuchukia
Jaman ni unahama asubuhi kweupee Weee mibao yote hiyo tatizo kukupenda au ni nini lbda kwamfano😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏
Mtu awezi nipigia kwangu mapenzi shika moo
Kama ile siku moja kabla ya ndoa yangu haikumaliza
Pia na dada wakaz na mtt wa boss haijafikiya kumaliza mnatuleteya nyengine
Much love ❤❤❤❤
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hapo kwa asikali pameniwuwa hakiamung
Tatizo lenu nyiy hamufanyi kaz moja ikamaliza mnakuja na mengine
Nyuki Tamaa mbaya
Naon cend kimeanza kingereza
Kwel mnaigiza mtu yupo kwangu af anipige subutu
Team strong hii hali mnaiyonaje 😂😂😂😂 nakutupia mabahasha yako nje uende ukienda😂😂😂😂
😂😂😂sugua hamam kabisa usitharauriwe dada
Pambana na joto sugua hamam toka hapa😂
Kazi yenu nizuri lakini mnatuachanga njia panda
Huy nyuki kam ling'ombe
Jamani jimwanaume😢😢😢
Nzur
Asa mwanaume tajiri kichwa cha habar kumbe mali ni za mwanamke sijaelewa
Watatu Leo naomba ata 20 like
Nime ikubalihi
Acha loho mbaya wewe nyuki mbwana aaaaaaaaa
Unataka tunywe chai😅😅😅
Jmn tunaomba Victoria akuwe naoneKea huyumume kwajini ndio apatechamtemakuni😢😢😢
Shikamoo afande
Kuweni na moja imalize mulete nyengine
Vicky fukuza huyo jamaa asikutese na nyumba yako
Nyuki unaroho mbaya hatar
Unamunyanyasa mali nizake zikiwa zako sindo bala atalua hana akili akikuandika wewe uwe mumiliki😅
❤
Jaman mbona penzi la mtoto wa boss na dada wa kazi inachekewa hivyo mpaka inakatisha tamaa
Wewe mwanaume unakosea sana, ni ujinga kumpiga mwanamke bila kosa ,mbona unapewa heshima na mkeo lakini malipo ni fimbo? Hata unaonyesha kama uko kwake mbona unanyanyasika kwenye Mali zako? Mwisho wako ni kifo dadaeee.
Mbona wewe nyuk urikua huonekan sahivi VP
🔥🔥🔥🔥🔥🥰
Vicky pole ila mimi siwezi vumilia mwanaume anipige kwangu sijui kama ni mapenzi ya dawa shaaa
Haki ya Mngu hata mie mwanamme anikoromeea siku moja tu kwenye nyumba yangu ya pili afungashe kilicho chake aende zake
❤❤❤
Mimi ata kwa ubani siandikishi Jina la mume wangu kisa kanioa akah
Kila unachopanda indicho utakacho vunan maharipo ni hapa hapa
Na ibaki kuwa movie tu hawezi mtu àkniendesha na mali ni zangu mpema tu namtimua
Naombeni like jamani
Huyu mwanaume uzur n movie lakn huyu
nyuki anazingua bhn ananong'ona atoi saut
Hizo dharau anazokuonyesha Bado tu hujiongezi.
Naomba like
Hata unipe mapenzi kiasi gani siwezi kukupa mali zangu loooh shenzi kabisa
Nyuki roho mbaya tu😏
Ningekuwa mim nngemfukuza huyo mwanaume
Lakn hata Kaa n ndoa na unanfanyia hvi kwa nyumba yangu s kwa ubaya but ntakutoa kwa life yangu kabsa
Noamba like zangu mahan mimi ndio wakwanza
🎉🎉🎉❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮