Na wanaume wengi ss ndivyo walivyo hivyo kukataa mimba mpaka yamkute ndio arudi.x wangu mahal ulipo usithubutu kuja kutaka mtoto ole wako ww nkukate miguu
Nyie hawa wanaume kukataa mimba na kukubali mtoto akiwa amezaliwa kubebesh watu mimba tu kulea aaaaaaaaaaaah 😂😂😂😂 walah wanaume kama hawa watafik mbingun wamechok san mungu awalaan
James mwisho wa kukimbia ni kusimama bro😂😂😂😂 si ww tu ulisema loveness ananuka maziwa, kimekuramba baba ❤❤ from 🇰🇪
Ikoo vzr hongera christina James story ni nzurii na inafundishaa🥰🥰
ni moja ya muv bora yenyekufunza mahadiri ya mwanadamu katika safari yake ya maisha hapa duniana🎉
Jaman katka waigzaj wote wa donta tv dada Ang loveness we ni mzur jaman dada sio utani🎉🎉 nakupenda San dada angu kpenz
candy
T
Ila movie ikawa nzuri lakni Leo brown akawa serious na ukali wenyewe ukazidi kiasi. James bila shaka amepata funzo
Shukran sana wana donta kwa mafunzo mazur endeleeni kutufunza mengi zaidi🎉🎉🎉❤❤❤
Loveness ukikasilika unapendaza sana Hadi raha jamn 💕💕💕💕
Candy uko smart ukijifunga leso❤❤❤❤❤
kazi njema jamani Mungu awabariki hadi mfikie malengo yenu
Watazamaji wa hii movie weka like apa
Kuomba like tu kuoga aaaaah
kaka mtu
Kwani lazima au
Alhmdulillah kweli mungu niwamajabu ulimtia mimba ukamkata jee turuuu mwanaume jamani tizama malipo hayo mume mume mume kiwioooo
Umeyakanyaga James vizuri sana ❤
Ila love mzuri mashallah nakupenda sana
Heeeee si kwa uref huo kunambi 🤣🤣🤣🤣ao tuu candy nd mfupiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Da Vicky onger kw kubeba madhaif ya mumeo
Kunambi siku hizi unapendeza kweli❤❤
Mno
Fukuzeni kabisa hana ata haya 😂😂😂❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Candy ni mzur na unacheza vizur ila umezid kukaa uchi 😢😢😢
James.mwana kulipata mwana kulipata haya pambana nahali yako sasa😂😂😂😂😂
Hlo shati hasa james mbaaa😂😂😂
Hahaha eeeeh huko rafikiako ndio yuwamsumbua dadako na je hio mimba 😂😂
😅😅😅😅sema kufukuzwa kaa mbwa 😅😅😅😅na waede kbs my favorite ♥ movie
Much love Kendy❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mmetisha tuko pamoja
Wa kwaza mimi laki zenu🎉🎉❤❤❤
Nzuli sana🎉🎉🎉
Tobaaa watu mnakalil ad nguo jaman
James kimemrambaa❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂 jamaa anakwepa usumbufu
Mungu atakuonyesha
Asante kwa mashauri
James kimekulamba😂😂😂😂😂😂😂😂😂
❤❤❤❤❤nice 🎉🎉
Loveness umeua sana pokea maua yako🎉🎉🎉🎉
Hahahhahhaha yani kwa kweli
😂😂😂😂movie nzuri sana😂
Happy birthday kunambii
James 😂😂😂😂😂😂😂😂
Brown mmefanya poa kumfukuza wanaume jifunze hapo😊
Candy kpnz chnguu😍
kipnz chetu candy
Loveness mrembo wwee dada jpo n mwanamke ila kilichon n sifa kipew sifa jmni
Kweli iyi ni funzo kbs
Na wanaume wengi ss ndivyo walivyo hivyo kukataa mimba mpaka yamkute ndio arudi.x wangu mahal ulipo usithubutu kuja kutaka mtoto ole wako ww nkukate miguu
😂😂😂😂
Duuuh pole kwa hilooo
Best one yet
Hurraaaaa!
good movie
James anaruka mimba kama, Brayo na Kevo
Haya James kavune alichokipanda💔
Jamani love kila movie niwewe wapitia😢😢 ila chukuwa maua mamaa unatupq funzo pia
Uumh nawapenda Sana jamani
Imenikumbusha yale yaliyonikuta mm ila namshukuru mungu mwanangu mzima ila huyo kunguru sijui kafia wapi jaman
Movie nzri ila hilo jina jamani..simfupishe tuu majina ya movie jameni
Izo mbio nimezipenda ila muko vizur
Sipendi huyu James kwa movie zote 😮
Ee ujajipanga ivovipi🎉🎉
Jaman nery amependez alivyokuw dokt had raha
Leta zinginee
Na ajari ingewauwa shenzi nyie😂😂😂😂
Nelly kapendezea udaktar
Hiyo ndio faida ya bba wazembe
Fire
Yenye yamenipata sai me ni uchungu sana
daaah nimempeda hiyo
Nimependa kazi yenu jmn love nipe namba ako plz
James ico ni kipigo kukana damu yako
Baba huyu mjinga sana
Jamani napenda movie zenu nyie
Hizi muvi zinachanganya juu zina history zinafanana sn
Oooya we wakwanza keo
❤
Nyie hawa wanaume kukataa mimba na kukubali mtoto akiwa amezaliwa kubebesh watu mimba tu kulea aaaaaaaaaaaah 😂😂😂😂 walah wanaume kama hawa watafik mbingun wamechok san mungu awalaan
Loveless 😅😅😅😅😅
Hoyeeee🎉
❤❤
Jaman mimu wa kumi leo naombeni like ata kumi
Uzipeleke wapi 😂😂
Nzuri
❤❤❤❤
Baada ya miaka 2 .. CENDY na wigi lile like 😮
😂😂😂😂
Team fulus mpo piteni na like
Katka hii imenikumbusha mbali
Kwan shanaiz alienda wapi jaman nilimmiss
Yaani hongereni sana sana sana movie nzuri imeisha vizuri, nilisha zoea msamaha unakubalika mwishoni lakini imekuwa tofauti keep t up
Jamn wekeni bs no za sm
Lovenees pole katoto kamenasa tumboni 😂😂
Ameyatimba 😂
Wanaume kam hawa wapi😂😂😂😂
James Malaya mkumbwa ww hunastahili kifo
Nice
Kenya Watching
Wa kwanza mim
Mlivo mkatalia mtot utadhan mnatak kumla asa huo ni mama gan😮
Mimi bhana ningekuwa loveness ningeenda jikoni kuchemsha maji nakuja nayo kumwagia huyo James shenzi kabisaaaaaa 😢
Muuaji wewe
😂😂😂😂😂😂
@@LuganoMwakalo sasa nifanyeje na alinikataa akamkataa na mtoto leo kapata wapi ujasiri wakuja kudai mtoto,,,we huogopi
wa kwanza jmn
🎉
Afu nyie mnajua maumivu ya kuachwa na mimba?mm sitaki washauri kwa kwel😂 sitaki ata aje babu mkubwaa aliyekwisha fariki siwezi
Tuundeezeeni mtoto waboc jamani
Lovenes kumbe nawe unavuwa nguo
😂😂😂😂
Jinga ww love asivue nguo hakamilikA
Sa love mgeni kaja mbna hujampokea beg mh lait ndo mm ngejcky vby
Kime mlamba
😢
Jamaa anakumbka mimba ya mama mtoto wake baada ya kuambiwa hawez kuzalisha
Hiyo ni funzo kwa wanaume wanaoruka mimba
ʟᴏᴠᴇɴᴇss ɴᴀ ᴋᴜɴᴀᴍʙɪ ᴍᴜᴍᴇɴɪғᴜᴢᴀ ᴋɪᴛᴜ