FRIJI BOVU:WACHAMBUZI WAMEVULIWA NGUO NA CHAMA WOTE MTATEMBEA UCHII HAMTAAMINI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

ความคิดเห็น • 26

  • @AllyHamisi-c7j
    @AllyHamisi-c7j 3 หลายเดือนก่อน +9

    Kweli chama si mwamba tu wa lusaka!na tanzania pia,sasa inatakiwa tuunganishe lusaka na dar,tupate tupate jina moja kisha tumpe chama.

    • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
      @GOLDIANEDRICK-sm6xk 3 หลายเดือนก่อน +1

      Lusadar

    • @kulthumally1854
      @kulthumally1854 3 หลายเดือนก่อน

      Huna lolote fala we leo unajitoa unawaja wenzio maneno yanakutoka mengi kwa aibu

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 3 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅 hy kweli huyo friji

  • @LUIAABDALAJAMALDINELUIA
    @LUIAABDALAJAMALDINELUIA 3 หลายเดือนก่อน

    wandishi wa tz ni wajinga sana

  • @JohnMbogo-c1n
    @JohnMbogo-c1n 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu nae dishi limeyumba😂 eti mo akiamua aamue mara ngapi??? Kaamua na ameshindwa kufika dau...mara njoo Dubai mara namtuma mtu Lusaka. Jana pia watu wamemsubiri airport lakini wapi😅😅 Shida tajiri kutoa hela hadi aombe kwa ndugu zake😂😂😂😂

    • @sittamwigulu8395
      @sittamwigulu8395 3 หลายเดือนก่อน

      Huna akili hata kidogo 😅😅

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 3 หลายเดือนก่อน +1

    sai unaenda kupoteza tu uchambuzi wako ulikua Bora vip fei kipnd anaachana na yanga akufanya usaliti dube ndo anaonekana msaliti na uku yanga ulikua adi kimataifa @mfalme wa soka? usifate usimba na uyanga ama kiki utaaribu ubora wako

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 3 หลายเดือนก่อน

    Nyie wachambuzi wote mpk mnatia kinyaa....!! Friji bovu wewe mwnyewe umeshasema mara nyingi kuwa Chama Yanga kishasaini !acheni upumbavu

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana 3 หลายเดือนก่อน

    Hivi mwandishi wewe umekosa kazi kumhoji huyo ana hana taaluma ya uchambuzi

  • @BenjaminiPastiani
    @BenjaminiPastiani 3 หลายเดือนก่อน

    Kaka una jitetea sana kama umeandika kubali tu yaishe acha mambo mengi

  • @WestonMbuba-ff4jk
    @WestonMbuba-ff4jk 3 หลายเดือนก่อน

    Azam hawafanyi kiprofeshno. Wangefanya kiprofeshno wasingefanya uhuni waliofanya kwa Fay

  • @NdayishimiyeEvelyne-ws6ts
    @NdayishimiyeEvelyne-ws6ts 3 หลายเดือนก่อน

    Pasco fei hajawakosea yanga kwani si azam waliyoyafanya yanga ndo waungwana juu fei amatolewa bure

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 3 หลายเดือนก่อน

    Ila FEI naye aliwasaliti wepi???? Mbona ni mulemule😅😅😅

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 3 หลายเดือนก่อน

    Baazi ya wachambuzi wanahalibu soka letu wanazitia joto timu na wachezaji wakati wa usajili

  • @MagembeAngelo
    @MagembeAngelo 3 หลายเดือนก่อน

    Awezi kwenda yanga kwani yanga wanadaiwa na wachezaji pesa kibao

    • @JohnMbogo-c1n
      @JohnMbogo-c1n 3 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa wakidaiwa yeye Chama yanamhusu vipi?

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh 3 หลายเดือนก่อน

    Mtakua waongo hatutawaangalia kwenye media zenu

  • @evaristgaspa6074
    @evaristgaspa6074 3 หลายเดือนก่อน

    Chama akibaki Simba atajuta mbereni ataanza kuchareweshewa maripo yake kwssababu warikuwa hawamtaki ira wamemchukua

    • @MungeJr-u7x
      @MungeJr-u7x 3 หลายเดือนก่อน

      Tofautisha R na L then nd uandike maana naona kama mganga ajae, wakat bado ww kijana

    • @bonifacealphonce490
      @bonifacealphonce490 3 หลายเดือนก่อน

      Watu mmeanza lini kuwa wanajumu?Nini kinafanya useme atacheleweshewa malipo akibaki simba hali hajawahi fanyiwa hivyo wapi atawahishiwa?Maadamu yuko simba na hajawahi kucheleweshewa hapo ndio kwenye uhakika kwingine nikubeti tu.

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 3 หลายเดือนก่อน

    Huyo ni Mtu mbona Majeruhi sana na Hamusemi ukweli wachambuzi?

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂 atapelekwa kwenda kutubiwa ....

  • @KasukuluMwenbungu
    @KasukuluMwenbungu 3 หลายเดือนก่อน

    Unatafuta kazi kwa mo dewj

  • @EstomiMoshi
    @EstomiMoshi 3 หลายเดือนก่อน

    Mshabiki wa Simba hiyu

  • @saimjonas
    @saimjonas 3 หลายเดือนก่อน

    Uwa hukumbuki unaongea nini