Tazama magoli yote 19 yaliyofungwa na kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ kwenye NBC Premier League msimu wa 2023/24. Chuma ipi imekuvutia zaidi
Ww hujui mipira azam wanawachezaji wakuifunguwa defence tofauti na timu yyt mfano wa Barcelona ya messy ndo azam tofauti ya ynga na simba hawatumii winga kwnye kushambulia kwa hy hao watpiga kwny kumi na nane au cross ila hawa wanakufuawata hawana uoga ni lazima magoli yao yawe ya aina hy
Ma home boy feila Sufi, Fei toto, Feisal salum,zizu wa zenji , Zanzibar finest.
La Kagera sugar
Kazi nzur ya kuvunja rekodi ndani ya kikos Cha Azam fc
Man come and join chiefs
Liked it
Haya ndio nilikuwa nayasubiri sasa
Good
Ww hujui mipira azam wanawachezaji wakuifunguwa defence tofauti na timu yyt mfano wa Barcelona ya messy ndo azam tofauti ya ynga na simba hawatumii winga kwnye kushambulia kwa hy hao watpiga kwny kumi na nane au cross ila hawa wanakufuawata hawana uoga ni lazima magoli yao yawe ya aina hy
Unaujua mpira kweliii
Magoli yote ndani ya boksi hamna goli gumu wala zuri
Chuki hazikusaidii
Mim nakuonyesha mawili ukifika uwanjani mpira wa mitaani kwenu ufunge la kagera na la mwisho wa msimu
Kafunge weye
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Zenji tunamuita kwacha