WAKILI WA CHADEMA (KIBATALA) AFUNGUKA WALIVYOWAGARAGAZA MDEE NA WENZAKE MAHAKAMANI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- WAKILI WA CHADEMA (KIBATALA) AFUNGUKA WALIVYOWAGARAGAZA MDEE NA WENZAKE MAHAKAMANI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Kibatala anafaa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwani Kibatala vita vya Kisheria anaviwezza sana
Nampendekeza agombee URAIS kwa tiketi ya upinzani
Chadema
Anafaa sana huyu mwamba
atakuwa mwasheria mkuu chamachake kikicgukua nchi
@@dereva0 🤣
Kunamwakili walizaliwa dunian kufanya kazi iliyo kweli .nawamebalikiw namungu kibatala hongra mungu akupiganie kila cku nakila saa
viva mama samia kaz iendelee
Hongereni cadema
Pamoja sana makamanda wetu mungu yupo pamoja nasi
Smart political party
Ninauwakika mahakama hongereni Sana mahakama
Warudishe fedha za serikali walizokuwa wanachukua kwa kofia za ubunge wa mchongo
Tena wazirudishe haraka mnoo...au wsfunguliwe kesi juu la hilo..!
Mungu pamoja nasi
Mnyika acha kuongea na kichwa , unaongea unatikisa kichwa ni ukorofi huo, sijui kwa nn chadema huwa wanaongea kwa hasira sana.
Ndivyo ilivyotakiwa iwe 100% SAHIHI.
SUALA LILIKUWA MUDA TU 🇹🇿 💘 🌍
LAZIMA TUJUE NCHI INA UTARATIBU NA SHERIA.
VIONGOZI WANAONGOZI WANANCHI WALIOELIMIKA NA WANAOELIMIKA.
Waheshimuni watu na sheria, sisi sio watoto waliopotea na kutojielewa.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, AFRICA NA AMANI DUNIANI
Nivema 2
mambo si hayo hawana chama watakaaje bungen
Hii ndiyo siasa na hiyo ndiyo sheria!!!¡
Huyu kibatala chadema mkichukua dola anapaswa kuwa mwanasheria Wa serikali
Mmmm
Halima mdee na wenzio jipeni moyo vitamin kubwa kwa upande wenu lakini msiogope jipeni moyo mtasimama t mzee magu angekuapo msingetoka au hata mzee Ngungai
Sawa sawa hao wanafkki
Kama leo hawafurumishwa Bungeni kuna siri kubwa ndani ya bunge
Kibatala jamani sheria unaijua.mi namba Raisi wangu Kibatala awe ndo mwanasheria mkuu wa serikali.
Unaweza kibatata
Mwisho wa dhulma aibu
Jamani Hawa Wah Wabunge wadada kumi na tisa hawakujipeleka bungeni kulikuwa na mchakato. Hatima ya waliousaidia mchakato kina nani?
Kibatala hajawahi feli
Mheshimiwa kibatala huwa anapiga kwenye mshono lzm ukae
Leo mnasifia katiba,wakati mwingine mnataka ibadilishwe,siasa kweli ina usenge wa kiwango cha lami,...haya tuendelee na maisha
Hawajasifia Bali wamenukuu KUFUNGU kilichoko Sasa unataka watumie Nini wakati NDIO inatumika
Katiba ina udhaifu unaopaswa ubadilishwe na ina ubora unaopaswa utunzwe
Pia wameomba katiba iheshimiwe. Kuomba katiba iheshimiwe, siyo kuisifia.
Imeonyesha kutupiliwa mbali ni imejulisha kwa sbb kina halima mdee wameishitaki serikali wajue walio kuwa juu ya viti hawa shitakiwi
BORA NIMEFURAHI SANA ALAFU HALIMA UMETUANGUSHA SANA TULIKUWA TUNAKUAMINI SANA COMANDA ILA PESA ZIMEKUONDOA RELINI ,RUDISHENI HELA ZETU
Yuda mskariot.Vipande vichache vya sarafu vilimtoa relin.Akaukosa ufalme
Mbowe ujifunze Hawa vijana mnaoenda kuwaokota vyuoni NI njaanjaa Sana, kanuni hizo zilifaa Sana enzi zile za upigania Uhuru ambapo watu walikuwa na Nia za dhati walipoyaendea Mambo.
Hata wakati ule walikuwepo wasaliti. Hata sasa wapo, na wataendelea kuwepo. Ni hulka yetu sisi binadamu.
Nimuda mwafaka sasa Kwa yona kutapikwa kutoka kwenye matumbo ya Akina mdee hawa magaidi
Ilondilo fundisho kwamalaya wakisiasa
Wakamanda
Hukumu hii imewaweka hatarini maana sidhani Kama mawakili wa Chadema wataishia hapo,wakishatimuliwa bungeni kesi ya kughushi nyaraka za chama na za serikali na kumudu kujipatia mamilioni ya pesa kwa njia ya udanganyifu,inawahusu!,lazima Sheria ifuatwe,pesa za Kodi za Watanzania siyo pocket money ya Mamluki!
💘 ...usitoe siri weweeeee....😄 🤣
Itabidi tujue Uhalali wao nyaraka zilizoenda na nani aliyesaini kwa mamlaka gani na utaratubu wa chama gani?!
Wajifunze kuheshimiana.
Watajua hawajui mengine.
Chochote unachotaka kutendewa mtendee na mwingine hivyo?!
Hilo ni sahihi,na siyo akina mdee peke yao,tume na spika wanastahili kushtakiwa pia,walihusika kukubwa katika kugushi na kulidhalilisha taiga,hongera kibatala,hongera mahakama.
Kesi kesi tu....th-cam.com/video/wr4NLOcRbSc/w-d-xo.html
Warudishe mishahara yoteeee
Uu
Shida hapo sio kuvuliwa ubunge ,shida ni Kwa nini wanapata sie tunakosa wanapendeza sie tunalia na ruzuku , shida yote Hapo maslahi Kwa nini wanapata
mkiambiwa watanzania wengi uelewa wenu ni mdogo sana mnakasirika
MTU a
Tatzo sio kupata ,wanevunja Sheria tangu mwanzo wao kipindi mwendazake akiwepo,wakakingiwa kifua,
Lakini Chadema hawajawahi kushindwa kwenye kumfukuza MTU uanachama.angalia ZITTO kabwe n.k
kwan aliyekataa ruzuku ni nan, kwan aliyekataa kupeleka wabunge fake ni nan, kwan aliyekataa matokeo fake ya uchaguz fake ni nan choko wewe jiongeze au nenda kawasaidie hao mikundu malaya na makahaba.
Mr Musa. Ni lini utakuwa mzalendo???
Hakuna tatizo watarekebisha makosa watafungua Kesi upya vile vile pia wanahaki Yarufaa mahakama yarufani
Mahakama inatupa maombi ya mfungua kesi bila kusikiliza kauli zao yaani ajabu wenye haki huwekwa kwa miaka jela
Tena ndio nimefurahi kinoma tunawachukuwa sisi Magufuli UMOJA PATI hawa ni majembe kweli kweli tena kwenye kampeni ndio watamu sana 🤣🤣🤣🏃🏃🏃
Magufur c ndy aliyewaingiz bungen au unajisahaulish? Eb acha mam asimamie haki kaz iendelee
Jee pesa wata zirejesha mishahara walochukua ?
Nimekuelewa wakili msomi uko vzr sana, nimefurah sana hawa mbwa kupigwa chini maana hawafai tena
Safi sana hakimu kwa kutenda haki hao halima na wenzake wapo kimaslai zaidi fukuzeni bungeni mbwa wasaliti wakubwa wanafiki na wazandiki hawafai kuliongoza taifa kwa nafasi yoyote Ile.
Warudishe Fedha za Wananchi walizolipwa kwa vipindi vyote! Heko Jaji Mgeta👍👍👍
Warudishe kabisaaa wasalti wakubwa
Upo sahihi warudisheeeee
Malaya wakubwa na wahujum uchumi wakatafute biashara nyingine sio bungeni tena.
Mbona sijielewi mpaka Sasa wako bungeni wanafanya nn
Hiyo ndiyo haki tunayotaka mahakama nichombo Hulu mahakimu namajaji endereeni kutenda haki namungu atawapigania
Mahakama imetenda haki, jina la Bwana libarikiwe.
Kibatala hatatari.....
hongera sana kibatara wkiri msomi
Hongera msomi Kibatala.Twaungana nawe kwa kazi yako nzuri.
MUNGU ALISHA MALIZA ''ISHI NA MWANAMKE KWA AKILI''
Huyu kibatala hakuna mfano wake africa masharika. Yaan tungekuwa na serikali inayojitambua . Huyu alitakiwa awe MWANASHERIA MKUU WA SEREKALI. maana angepambana na hawa waizi wa magharibi wanaoshirikiana na viongoz wetu kuandikishana mikataba feki ya kutuibia madini
Huyo Lisu ndio ticha wale. Lisu hatari sana we huoni kipindi cha Kampeni alivyowapa tabu Nec
jaji mugeta yuko sawa
Mbona hawa wabunge mliowatoa ndio waliwapa nguvu sana chadema,..huko mnakokwenda mtafika kweli!?
Hivi wewe unaielewa Katba yetu inasemaje kuhusu moja ya masharti ya kuwa mbunge? Kwa taarifa yako, anatakiwa kuwa mwanachama wa chama cha siasa. Kama siyo mwanachama wa chama cha siasa, hana sifa ya kuwa mbunge.
Nawashauri AWA wabunge 19 waombe samahani warudi ktk chama choo
Wasirudi hatuwataki waende CCM huko ndiko walikofadhiliwa na kubaki bungeni kinyume Cha Sheria na baadae warudishe pesa zote walizo kula kinyume na sheria
Chadema muriwai kusema mahakama ya nchi hii aitendi haki Sasa reo mnasemaje
Acha unafik kama huna hoja kaa kimya.
WAmeshindwa mapepo hao
we are together
Kwahiyo mmefurahi mtashindwa TU halima , buraya wako Bomba zaidi yenu
Mpuuzi ww
umetokea kijij gani bro??
mashoga ya ccm bhana
Uwape kadi za ccm
hahahahah..we jama nondo chachee sana