HISTORIA YA KABILA LA WAIRAQW Walitoka MESOPOTANIA NCHI iliotawaliwa na MIUNGU WATU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
- HISTORIA YA KABILA LA WAIRAQW NA WAGOROWA Walitoka MESOPOTANIA NCHI iliotawaliwa na MIUNGU WATU
Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE www.youtube.com...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
/ tricodmedia
LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
/ tricod-skills-11524157...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
/ tricodskills
#historia
#waafrika
#Makabila
Kiongozi Mmoja anaitwa Saigilo Magena
Saigilo ni mang' ti
@@josephatihariohay1296 ni mwiraqw sisi tulifanya brain drain
Ni wairaq na siyo wambulu jamani.......gorowa ama fyomi...ni koo jamani msituharibie
sawa dada angu coment yako nzito mpaka nimebadilisha haya nimeweka wairaq pekeyao
ni kweli ni wagowa na wairagw
Adosn kila ama
Thanks
Nikurekebishe kdg hakuna kabila la wambulu kuna wairaqw na wagorowa au wafyomi....usichokijua hawa jamaa(wairaqw na wagorowa) naweza sema wayahudi wa kweli yaan ni mojawapo ya makabila 12 ya israeli tena yaweza kua ni kabila la lawi(Levi) maan hawa jamaa miiko yote ya kwny torati ya Musa na matambiko yao yanafanana sana jaribu kufatilia
sawa nimefanya marekebisho nashkuru sana kwa kwa kuweza kuchangia kitu cha muhimu sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ni kweli ni wagorowa maaana walipofika paleGUSER TUWALAY kulitokea mapigano kati yao na wabarbeig, wairaq waliokimbilia gallapo ndiyo wakaitwa wagorowa na wale waliokimbilia milima ya Dabil hadi gangaru hawa walibaki na jina lao la asili Wairagw,
Wengi hawaelewi ni wairagw sio wambulu,mbulu sio kabila ni eneo wairagw baadhi wanaishi.
Wewe mwenyewe ni mwiragw mbona unashindwa kutamka baadhi ya maneno.
@@peterisavika8719 kabsa mbulu ni eneo na si kabila
This is good info... needs English subtitles.
Iyo ni kweli
pamoja sana!!
Sasa baba, umeanza kwa lengo la kuwaelezea Wairaqw, mara ukabadili ukazungumzia madawa asili. Vipi
Ethiopia sio nchi ya Ethiopia sasa hivi
WAGOROWA kwetu asili yao na binti wa Wairaqw aliyeolewa na jamaa wa kabila jirani enzi zile Wairaqw wapokuwa Kondoa Irangi na baadaye kupanda ukuta wa bonde la ufa kupitia AMOWA na kutua IRQWAR-DAAW.
Dawa zakizungu. ndiodawa mbadala
Sahihi kabisa
mkushi wewe ni nomaaaaa sanaaaa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😂🙏😂😂😂😂😂😂
Ni kweli, kwetu sisi Waafrika asilia, tunahaki yakuziita dawa hizi za wazungu ni dawa mbadala kwasababu kwa asili tunazo dawa zetu😎
Wana metimani
Metimani ni Jambo la lanaa kama kuingizia chips kwenye sehemu za siri za mwanaume. Hii unaweza kuleta balaa kama iliyotokea Hanang.
Kuingiza chupa kwenye sehemu ya haja kubwa ya mwanaume ni metimani
Ni Mesopotamia siyo Mesopotania
Mwalimu, hebu nieleze uhusiano baina ya Wairaq na Wakalenjin huko Kenya. Maanake wanapo ongea, ninaweza kuelewa kaaribu aslimia 30% ilhali historia haituambii uhusiano baina jamii hizi mbili. Mfano Wakalenjin wanasemekana kua 'Nilotes' na Wairaqw wakawa ni 'Cushites'. Mwalimu nifafanulie hapo.
5:19 hakuna uhusiano.... kalenjin na Barbaig ndio wana uhusiano
Nitafanya Documentary ya Kabila letu bado nafanya Utafiti sababu Huyu jamaa hana Knoweledge kabisa!!! anachanganya watu akili tuu!! Mbulu ni Eneo sio kabila sawa na kusema wanyakyusa na wambeya!! au Wakurya na wamara! au Warombo na wachaga! Ni aibu kwenda live na knoweledge ndogo!!!
Documentary lazima ifanyiwe utafiti wa kina na makini.Pia muhimu kutumia nyenzo kama DNA kujua nasaba za JAMII na mtawanyiko wake na hata kutumia 'archaeology" kubaini tamaduni na ustaarabu wa watu husika.
Bila kufanya utafiti ni makosa kutoa hoja kuwa Wairaqw ni waoga.Wairaqw walitumia akili nyingi kupambana na maadui vinginevyo wangeteketea njiani wakati wanahama ubambali mrefu vile wakati idadi yao ilikuwa ndogo.
Mesopotamia
Sawa
Walufika Ethiopia Abysinia
Marina yalukuwa na maana ya kibarbaig
Hamana kitu hata HAJUI HAKUNA SEHEMU ILIYOWAHI KUITWA MESOPOTANIA.
WAIRAQ AMKENI HAKUNA ALIYESOMEA ANTHROPOLOGY?
GUSE YA AWALI NI TABORA-PANAPOCHIMBWA DHAHABU TULAWAKA.
HALAFU HAJUI TULIPOTENGANA NA WASOMALI KULE HARAR(NAKO ILILAANIWA Baada ya utengano na leo wanaoitwa wasomali)
Unauhakika kuwa guse inayozungumziwa ni hiyo?
@@SadikieliHaali KABISA.BAADA YA ILE VITA WALIOBAKI WALIKIMBILIA MASHARIKI KONDOA IRANGI HATIMAYE WAKAHAMIA AMOWA-IRAQARDAAW
JAMBO MOJA MUHIMU SANA NI NAMNA YA KUWAUNGANISHA WAIRAQW HAVE WASOMI KUUNDA 'TRUST' IFANYE UTAFITI NA KUANDIKA HISTORIAN RASMI YA JAMII HIYO NA KUEDELEZA TAMADUNI ZAKE ZISITOKOMEE NA GHARIKA ZA NYAKATI.
WAZEE KAMA AMINA DR.TLAÀ NA MAPROFESA WASTAAFU WANASTAHILI KUONGOZA MKAKATI WA JUHUDI HIZO NI AIBU HISTORIA KUBWA KUZIKWA NA UPOTOSHAJI NA UPOFU WA WAJANJA WA MITANDAO.
Wairaqw ni waoga Sana ndoo maana wamekuwa wakuhamahama
Tuthibitishie woga wao Hilo ni suala la mtu mojamoja kaka huezi include watu wote
Sio waoga walikua wachache
Thibitisha uoga wao labda ungesema niwapole ningekuelewa...je niwaoga Kwa vigezo vip
Wajinga ndiyo wanaosema Wairaqw ni waoga.Kuna mfalme gani ataweza kuamuru watu wake waingie vitani bila kupeleleza ukubwa wa majeshi ya adui na silaha zake?Pia kuna mbinu nyingi za KUSHINDA adui so vita tu.
Wairaqw alikuwa na akili nyingi ndiyo maana wako wanastawi hata leo.