LIVE: BEKA NA MZAZI MWENZAKE WANAFUNGUKA MUDA HUU CHANZO CHA UGOMVI WAO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 647

  • @kazumaryussuph1641
    @kazumaryussuph1641 3 ปีที่แล้ว +12

    Yaan nlichogundua beka flavour ana wivu saana

  • @mummyomoze242
    @mummyomoze242 3 ปีที่แล้ว +5

    Beka yupo Sawa kabisa. Na wanapendana hawa tumwachie Mungu afanye kazi yake. Na wewe Beka funga ndoa haya hayataendelea

  • @lilianjohn2077
    @lilianjohn2077 3 ปีที่แล้ว +5

    Happy Reuten you're so cute🥰🥰🥰🥰🥰.......love you moreeee ❤❤❤❤❤

  • @ramayasly4584
    @ramayasly4584 3 ปีที่แล้ว +7

    media za bongo zinapenda sana kuanika hadhalani mambo ya ndani bila taadhali. kushauriana ni jambo zuri sana haswa wana ndoa.

  • @graceamadi2141
    @graceamadi2141 3 ปีที่แล้ว +3

    Go gal you are right that's your right stand firm

  • @raydanfrenk
    @raydanfrenk 3 ปีที่แล้ว +7

    Nimefurah kuona mmeludiana Mungu awabariki

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 3 ปีที่แล้ว +12

    Safi sana Happee, Nimekupenda sana, umeongea point my love 😘😍

    • @kisokakasuku2137
      @kisokakasuku2137 3 ปีที่แล้ว +2

      Beka anajisahau kumbuka uyu ni mwanamke, ukisema chann wenzio wasema watakipata lini

    • @albertdoherty9394
      @albertdoherty9394 3 ปีที่แล้ว +1

      Kabisa hata mm nimemuelewa

  • @umutoni-roussel5233
    @umutoni-roussel5233 3 ปีที่แล้ว +3

    You fighting for your love
    And I believe harmo understand this

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 3 ปีที่แล้ว +38

    Jamani Jamanii kabinti kazuri Mashaalah Mume mtihani.

    • @salimdzuya5480
      @salimdzuya5480 3 ปีที่แล้ว +3

      Uzuri Wa mwanamke sio sura tu,Tabia muhimu zaidi ,kama jamaa hataki dem wake awe Vedio vixen yeye analazima gani yeye afanye?

    • @AishaAisha-rh1fc
      @AishaAisha-rh1fc 3 ปีที่แล้ว +1

      Wazuri ndugu yangu wengi nandio wanaongoza kwa umalaya na kudanga uyo mwanamke mumshauri atulie

    • @victormushi6641
      @victormushi6641 3 ปีที่แล้ว

      WAKO HANA MTIHANI?

    • @FFL-X1D
      @FFL-X1D 3 ปีที่แล้ว +1

      Umeona eee🤔🤔

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 2 ปีที่แล้ว

      @@salimdzuya5480 aaaah www nan kakwambia hayo maneno tu broo ata kwa khanga yapo

  • @ahmedsalim4930
    @ahmedsalim4930 2 ปีที่แล้ว +1

    Best advice keep it up babie girl🍹👍🏽👍🏽

  • @hassanjr5318
    @hassanjr5318 2 ปีที่แล้ว +1

    ila haka kademu fresh sana 😀😍❤️

  • @fredyfundi6
    @fredyfundi6 3 ปีที่แล้ว +7

    cha msingi brooo punguzen matangazo na cha msing tambua mahusiano ni uwanja mpana saaan BEKA ....ko jaribu kujua kuwa huyo ndio mke wako wa dhat ikiona kiza kinakuwa kinene ndo kunakucha mpende mke wako......afu jaribu kuangali kuwa asiyekosa ni mungu

  • @Sppah697
    @Sppah697 3 ปีที่แล้ว +5

    Happy, she is so sweet!

  • @tibubandar413
    @tibubandar413 3 ปีที่แล้ว +3

    Ushauri wangu Beka huyu dem hakufai....hawezi kunukuu maneno ya konde eti "Bwana ako kanijibu upumbavu"

  • @fidelisvenance6431
    @fidelisvenance6431 3 ปีที่แล้ว +14

    Beka oa acha kuzingua..kauli ya mwanaume inakua na nguvu ukiwa kwenye ndoa ..AMINI NAKUAMBIA🤗

    • @nyamkamawanjara29
      @nyamkamawanjara29 3 ปีที่แล้ว +2

      kuoa sio tatizo kama hajaacha ujinga wake atamsumbua tu dada wa watu

    • @fatmann6341
      @fatmann6341 3 ปีที่แล้ว

      Umenena hasaa beka oa yote hayo nihiyo dada amechokaa hasira zake hasa nindoa mbonaa atakusikiliza vizurii tuu

    • @piumagoha
      @piumagoha 2 ปีที่แล้ว +1

      Huyo cyo mwanamke wa kuoa. Ushauri wangu tu Beka atafute mwanamke mwingine wa kuoa. Huo ujinga aachane nao

  • @qatarqqt8013
    @qatarqqt8013 3 ปีที่แล้ว +14

    happy wewe ni 🔥🔥🔥😁😁

  • @thisiszai2045
    @thisiszai2045 3 ปีที่แล้ว +12

    Happy shikilia kwenye msimamo wako wa ndoa, Mungu akuongoze

  • @netlity5532
    @netlity5532 3 ปีที่แล้ว +30

    Jamani yote Kwa yote vijana wenzangu tutafute hela...siongei Sana mwenye kuelewa kanielewa

    • @junioryasin5306
      @junioryasin5306 3 ปีที่แล้ว +3

      Kwakwel tuachane na mademu yanatupotezea muda tu hayana maana

    • @josephatjordan5560
      @josephatjordan5560 3 ปีที่แล้ว

      Tutafute hela tuachane na mademu!!!Ukiwa nae akizngua chapa mbele hamna kujenga kibanda

    • @junioryasin5306
      @junioryasin5306 3 ปีที่แล้ว +1

      @@josephatjordan5560 off course

  • @nurahyusuph9771
    @nurahyusuph9771 3 ปีที่แล้ว +12

    Nakupenda happy Wang jamani 💯❤

  • @rashidywadobwa2792
    @rashidywadobwa2792 3 ปีที่แล้ว

    Akuna kufanya vidio safi becka

  • @issahussein9224
    @issahussein9224 3 ปีที่แล้ว +2

    Bro Beka pls muowe mtoto ...mstarabu uyooo kwakumskiya uyooo....mipango hali tena iyo nahunahishi naye bro Beka

  • @peninnahjohnson8695
    @peninnahjohnson8695 2 ปีที่แล้ว

    Wow wander full

  • @hellenpaul2149
    @hellenpaul2149 2 ปีที่แล้ว

    Happy nakupenda Bure dear jaribu kua na msimamo wako love mwanaume asikuzoe sanaaa

  • @ClaireHappy
    @ClaireHappy 3 ปีที่แล้ว +9

    Safi sana Happy🔥🔥🔥❤️

  • @karimujuma6595
    @karimujuma6595 3 ปีที่แล้ว +10

    Ukiwa na mwanamke mzuri ni sawa na kulima shamba la miwa karibu na shule umia tu beka ulimtangaza Sana

  • @charlesmyamba5292
    @charlesmyamba5292 3 ปีที่แล้ว +7

    Beka funga ndoa mbna ka unajibu jeuli vle hujiamin kidume ?

  • @halphanhamisi1795
    @halphanhamisi1795 2 ปีที่แล้ว

    Sahihi br beka sikupng

  • @everlynwafula6891
    @everlynwafula6891 2 ปีที่แล้ว

    I support you sis , 💯

  • @gloryprotas1043
    @gloryprotas1043 2 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda hyooo jaman duuh dada kaongea point

  • @geomangi6123
    @geomangi6123 2 ปีที่แล้ว

    kiukweli ukiona mwanamke anaomba ndoa jua kaamua kunsettle. beka akomae kiakili amuoe binti. happy marriage guys.

  • @superwomen6506
    @superwomen6506 3 ปีที่แล้ว +6

    Ssafi happy akuowe shida ni nn tunataka ndoa 😊😊😊😊😊

  • @halimafazeli52
    @halimafazeli52 3 ปีที่แล้ว +2

    Dada umenikuna panapo washa ww njoo unywe soda kwaza😍 Kam ajakuwowa unafanya kazi

  • @patrickjacksoni5393
    @patrickjacksoni5393 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimekuelewa sana beka

  • @prospermaturo2378
    @prospermaturo2378 3 ปีที่แล้ว

    We msikilize mumeo acha kiburi cha fedha. Beka upo sahihi broo sharaut

  • @jojininga1780
    @jojininga1780 3 ปีที่แล้ว +4

    Nimempendasana dada kahongea ukwelisana hanajitambua Sana uyodada

  • @salamaseif4032
    @salamaseif4032 3 ปีที่แล้ว

    Uko vzr xana beka

  • @nicksonhelman3436
    @nicksonhelman3436 3 ปีที่แล้ว +5

    Ila pisi Kali du vijana sijui tunataka nn baadaye tutaowa waganga sasa

  • @gibsonntamamilo490
    @gibsonntamamilo490 3 ปีที่แล้ว +1

    Beka yuko sawa. Huyu dada hajitambui. Ukishakuwa kwenye mahusiano na mtu huwezi kufanya hayo na mwanaume mwingine bila kumtaarifu. Hata mimi lazima ningeliamsha dude tu. Usipokuwa na wivu kwa mpenzi wako basi unazuga naye. UKWELI UBAKI KUWA UKWELI HUYU BEKA NI MWANAUME A.K.A BABA ASIYETAKA UJINGA.

  • @asifiwekasege4662
    @asifiwekasege4662 3 ปีที่แล้ว +1

    anae muonaa bekaa anavoongaliaa kwa aibuu gonga like

    • @kisokakasuku2137
      @kisokakasuku2137 3 ปีที่แล้ว

      Ukiona mwanaume hajiamini kwa mke ,jua nayeye nimchafuzi

  • @fidelisvenance6431
    @fidelisvenance6431 3 ปีที่แล้ว +8

    Iyo zawadi ya valentine mpe mpenzi wako 🤗

  • @carrenbenson2111
    @carrenbenson2111 2 ปีที่แล้ว

    Beka mtoto mzuri huyo unasubir Nini kufunga ndoa, Kama mapungufu kila binadamu anayo nikuelekezana tu pale mmoja anapokosea

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 3 ปีที่แล้ว +1

    Uko sahihi becca

  • @mobbael9473
    @mobbael9473 3 ปีที่แล้ว +13

    No reason 4 breakup,
    Settle your things to spare your relation.

    • @chainbre275
      @chainbre275 3 ปีที่แล้ว +1

      But the lady want to be officially married but seems beka isn't serious about marriage and this will make beka kumpoteza this humble lady

    • @eddymsese8747
      @eddymsese8747 3 ปีที่แล้ว

      We mnafiki beka bint kaxania msimàmo wako mpe muda was ndoa akizingua ukimpata was kukuoa olewa asikupotezee muda na usirud mpaka ndoa

  • @sarahsimon8060
    @sarahsimon8060 3 ปีที่แล้ว +6

    Huyo mwanaume anataka kumpotezea muda halafu amwache

  • @fredyfundi6
    @fredyfundi6 3 ปีที่แล้ว +4

    hao wanapendana but POINT NI KUSIKILIZANA TUU

  • @alexsamwel3033
    @alexsamwel3033 3 ปีที่แล้ว +3

    Dah!!! Xa cjui Beka unatak mungu akupe nn tenaa ndg yng

    • @sayunwilliam8351
      @sayunwilliam8351 3 ปีที่แล้ว +1

      wewe beka pumbavu zako kuoa utaki alafu unampangiee maisha

    • @AnethJoseph-m5i
      @AnethJoseph-m5i 6 หลายเดือนก่อน

      Sio lazima ndoa kama mpaka mmezaa heshima lazima na mipaka ifatwe

  • @albertdoherty9394
    @albertdoherty9394 3 ปีที่แล้ว

    Asante dada akuoe ndo masharit yakamilike

  • @raykim6420
    @raykim6420 3 ปีที่แล้ว +1

    Beka flavor uko good sana & uko wise👍👍 huyo dem ni Jezebel

  • @fatumakassim64
    @fatumakassim64 3 ปีที่แล้ว +17

    Sawasawa mwanamke mwezangu taka ndoa

  • @keffasschone9853
    @keffasschone9853 2 ปีที่แล้ว

    Beka nyimbo napendaa but umeongea utumbo sanaaa,

  • @vitalresspeter7295
    @vitalresspeter7295 2 ปีที่แล้ว

    vizuli sana zingatia uwo msimamo benka binafsi tunawajua jisi walivyo binafsi nakupa hongera tu

  • @saneathanas8547
    @saneathanas8547 3 ปีที่แล้ว +2

    Happy nikikuangalia wewe ni mrembo,unaheshima na nimwanamke ambae ni ndoto ya kila mwanamme.why huyo kijana akusumbue hivyooo?hebu tulia Mungu akupe mwanamme sahihi kwako

    • @nivicaspect3597
      @nivicaspect3597 3 ปีที่แล้ว

      POINT!!!

    • @richardjuma6405
      @richardjuma6405 3 ปีที่แล้ว

      U Kuma nn ebu acha kushauli utumbo kwenye hamna afu nakuomba uelewe ujinga n hasara nyooooooooooo

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 3 ปีที่แล้ว +2

    mdada mzuri maashaallah

  • @khadijaali4620
    @khadijaali4620 2 ปีที่แล้ว

    Hey beutefull don't west ur time u still Yung sioni love hapo kwa huyo jamaa

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir9 3 ปีที่แล้ว +10

    Mm mwenyewe naona beka hayuko tayar happy mwambie ndoa kwanza kuzini ni dhambi na yeye anajua

  • @mlasiapolina7774
    @mlasiapolina7774 3 ปีที่แล้ว +2

    Yahani wewe Dada big up ni mekupenda bureeeee ni mwongo huyo

  • @muzneali387
    @muzneali387 3 ปีที่แล้ว +2

    Kweli kabisa dada SHIKA msimamo wako

  • @stephaniem408
    @stephaniem408 3 ปีที่แล้ว +1

    Beka my brother.mbona unakataa Happy kuonekana kwa vidio na wakati anavaa nguo nzuri.ila wewe unacheza wimbo na wanawake wakivaa nguo za aibu naukiwashikashika.I love you Happy,uko dada mzuri sana.

  • @adamsaga6700
    @adamsaga6700 3 ปีที่แล้ว +4

    Kanyagia Dada umenipunga mno amekuzini miaka minane akuowe big up happy

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 3 ปีที่แล้ว +1

      Good point

    • @mrkje4727
      @mrkje4727 3 ปีที่แล้ว

      Beka simamia msimamo wako ww mtoto wa kiume hongera sana

  • @yusramadodo8269
    @yusramadodo8269 2 ปีที่แล้ว

    Wanawake tunatolewa mbali sana halafu tunajisahau mheshim sana beka kakutoa mbali na beka nimuelewa San pia toka kwenye mahusiano tunawafuatilia San pia dada tunakupenda San na pia jichunge San dada dada beka anakupenda sana utakuja kujutia

  • @FFL-X1D
    @FFL-X1D 3 ปีที่แล้ว

    Hello wivu nao❤❤🇪🇭🇪🇭🤣🤣 ndoa lazma bro

  • @jitulakaleboymastr6477
    @jitulakaleboymastr6477 2 ปีที่แล้ว

    Pole sana beka wenijembe ingekua mimi ningepga mtu panga

  • @winfridahubert4072
    @winfridahubert4072 3 ปีที่แล้ว +6

    BEKA ACHA MANENO YAKO MUOE MTOTO WA WATU ACHA KHMUWEKEA MASHARTI KAMA VILE UMEMUOA....BINTI ANAKUPENDA HALAFU NI MCHAPA KAZI LAKIN UNAMZIBIA NA KUMUHARIBIA MUOE KAMA HUTAKI HAPPY MOVE ON KUWA NA MTOTO SIO KIGEZO CHA KUMFUNGA MTOTO WA WATU😏

  • @mussamwamoto8231
    @mussamwamoto8231 3 ปีที่แล้ว +1

    demu anajuwa haki yake lkn wamefanya makosa kuweka mambo hadharani.lkn ni biashara zaidi

  • @omakywazamani6696
    @omakywazamani6696 3 ปีที่แล้ว

    Kwani baraka itapatikana wapi ktk zina

  • @junuferjinu1444
    @junuferjinu1444 3 ปีที่แล้ว

    Mwanamke mzur adi rahaaa wwecheusi mangara mwezangu owa my PONIPONI

  • @amansetembo4672
    @amansetembo4672 3 ปีที่แล้ว

    Me namwelewa sana beka yy ndio anaish nahuyo dem hata kama nimzur anahtaj muda kuitafakar hyo ndoa maana ishaonekana mahusiano yao yana mambo mengi

  • @sarahlimbu706
    @sarahlimbu706 3 ปีที่แล้ว +8

    i feel you happy na uko mjeuri km mimi😂😂🤣😍

  • @bakariyusufujuma
    @bakariyusufujuma 3 ปีที่แล้ว

    Uko wapi

  • @ramadhanimpungwe3347
    @ramadhanimpungwe3347 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 3 ปีที่แล้ว +3

    Huwezi ukamlimiti mkeo kwa mtindo huu huo ni ushamba, na wakati mwinzio yupo kazini we mbona humpi hata elfu kumi za matumizi,

    • @saidimpako5186
      @saidimpako5186 3 ปีที่แล้ว

      Usijifanye unayajua sana ya wenzako

  • @adamfundikira742
    @adamfundikira742 2 ปีที่แล้ว

    Mimi binafsi nimemuelewa vizuri sana beka ni mwanaume anaejielewa

  • @nasrahsamwely6871
    @nasrahsamwely6871 3 ปีที่แล้ว +3

    Anachekesha uyu bint 😂😂😂😂😂😂❤️❤️❤️❤️❤️💖💖💖💖

    • @charlesbaba8820
      @charlesbaba8820 3 ปีที่แล้ว

      Kama humuoiii muachee nimuoe

    • @nasrahsamwely6871
      @nasrahsamwely6871 3 ปีที่แล้ว

      @@charlesbaba8820 alafu ni mrembo Mashaallah ❤️❤️❤️

  • @RobbyDejan1234
    @RobbyDejan1234 3 ปีที่แล้ว +9

    Mwamba uoe acha sheria wakati huko nje ya sheria mpuuzi ww.

  • @hanifamasudi9732
    @hanifamasudi9732 3 ปีที่แล้ว

    But nimempenda sana kwakuomba ndoa allah amujalie ila kwenye ndoa wewe sio rahisi

  • @madalanasri2226
    @madalanasri2226 6 หลายเดือนก่อน

    Bro nimekulewa upendi na utaki

  • @fainajaffary4070
    @fainajaffary4070 3 ปีที่แล้ว +3

    Happy safi sana akuoe jaman😅🤣🤣😍😘

  • @janewashe7276
    @janewashe7276 3 ปีที่แล้ว +1

    Happy umeongea point 👏👏👏👏👏👏👏afunge ndoa basi

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 3 ปีที่แล้ว +1

    Kaliwa mtoto nzuri acha ushamba beka video vixen ni kazi wanalipwa dolla or pound 200-300 acha mtoto nzuri ajipatie ridhiki mjini hapa usimbanie na wivu wako hizo ni stress za muziki

    • @kisokakasuku2137
      @kisokakasuku2137 3 ปีที่แล้ว

      Exactly ndugu ile ni kazi halali Kama kazi zingine cio kweri kuzarau vixien ata akilipwa laki 2 ninyingi Sana kwamaisha yasasa.Beka cio Kama hataki Bali wivu tu umemjaaa hajui mjini nikujiongeza,Kama vipi aache uyo mke asimzuie riziki wanaume tupo.

  • @adbashtv6701
    @adbashtv6701 3 ปีที่แล้ว +3

    Huyu demu boya sana unawezaje kufanya vitu eti acha nifanye nitamwambia nyumbani. Hata kama ni wewe lazimauzingue

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongera Sana kwa kuka nakutafakari kua haya nimaisha na baada yahaya Kuna mengine

  • @yasiniibrahim3335
    @yasiniibrahim3335 3 ปีที่แล้ว +6

    apo mwanamke yupo sawa uwezi kumpangia mtu sheria kabda hujamuoa , we bint ukipata mume olewa

    • @fainajaffary4070
      @fainajaffary4070 3 ปีที่แล้ว +1

      Kunywa soda nakuja kulipa aisee

    • @janethkilonzi4260
      @janethkilonzi4260 3 ปีที่แล้ว +1

      Kabisa afu msichana mzur sijui anakwama wap,..Kama hamtak aachie ngaz watu wambebe chap

    • @fainajaffary4070
      @fainajaffary4070 3 ปีที่แล้ว

      @@janethkilonzi4260 wasanii kuoa kaz sana kwa nadra sana mana vichupi wanavyo vingi😏😏😏

  • @saimonpaulo1336
    @saimonpaulo1336 2 ปีที่แล้ว

    Mungu.mwee

  • @mkundegift6097
    @mkundegift6097 3 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂🔥🔥dah yn happy anaongea jmn lkn safi dada ake umejitetea vzr mno

  • @abdulkihanza4431
    @abdulkihanza4431 3 ปีที่แล้ว +1

    Bw Beka huyo bint anakupenda Sana Sana, hivo usifanye utani utamkosa, fanya uwezavyo umuoe mtoto mashallah

  • @super_boy_tz
    @super_boy_tz 3 ปีที่แล้ว +1

    Ila mzuri lkn ajamzidi bby wangu 💕

  • @blessingsfredi4666
    @blessingsfredi4666 3 ปีที่แล้ว +7

    Nilichogundua hawa watu wanapendana Ile mbaya

  • @alfarsialfarsi2754
    @alfarsialfarsi2754 3 ปีที่แล้ว +1

    Dada uko Sawa kabisaaa♥️♥️♥️

  • @madiwarongomba6
    @madiwarongomba6 3 ปีที่แล้ว

    R
    Beka acha hiyo demu kiburi mademu wapo wengi mzee

  • @calvinkasaje1938
    @calvinkasaje1938 3 ปีที่แล้ว +2

    Kama mwenzio unamwamini masharti ya nn! Hayo masharti yatafanya uchelewe zaid kuoa, coz yanapunguza mapato. Unajibebesha zege

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 3 ปีที่แล้ว

    beka just merry her love you

  • @uwimanacitegetse9926
    @uwimanacitegetse9926 3 ปีที่แล้ว +10

    Happy kuwamakini kwamaoniyangu husiyo muowaji mtaniambiya mbelenihuko 🤣wemzuli jiwongeze fanyakazi popotepale babamtotowako anaonekanajeuli😂nawakati hajakuowa Be free🥰😂

    • @coletashirima2193
      @coletashirima2193 3 ปีที่แล้ว +1

      S anafanya kazi kwani

    • @janethkilonzi4260
      @janethkilonzi4260 3 ปีที่แล้ว +1

      Kabisa yaan beka sio muoj uyu anamuumiza tu happy wa watu.

    • @mussamayele3134
      @mussamayele3134 3 ปีที่แล้ว +2

      beka mpe kazi ya maana mkeo izo kz ambazo uzitaki . daa pumbavuuuu beka kumbe hujamuowa kumanyoko we beeka

    • @mussamayele3134
      @mussamayele3134 3 ปีที่แล้ว +1

      beka msenge uyo demu mzr angalia utapokonywa watu wanaona na mate yanawadoka ujue

    • @piumagoha
      @piumagoha 2 ปีที่แล้ว

      Hayo yote mnayomshauri mwanamke mwenzenu mjue mila nazo zipo. Mwanamke anayejielewa awezi fanya huu ujinga anaoufanya. Kwani kumwomba tu ruhusa nayo ni shida? Kama hawezi aende tu. Nipo upende wa Beka 100%

  • @rakbeenrakbeen4961
    @rakbeenrakbeen4961 2 ปีที่แล้ว

    Nimekupenda bure happy 😊 😃

  • @mzozofilmproductionm-f-p1744
    @mzozofilmproductionm-f-p1744 3 ปีที่แล้ว +3

    Aise huyu mwanamke anahakili sanaaa dah! Kiukweli beka kapata mwanamke jamani dah!

  • @ramadhanikibenga6317
    @ramadhanikibenga6317 3 ปีที่แล้ว +1

    SAFI SANA BINTI AKUOE KWANZA NIMEKUKUBALI SANA BINTI SHIKILIA HAPO HAPO SAFIIIIIIIIII

  • @TwalibuMussa-i3m
    @TwalibuMussa-i3m 5 หลายเดือนก่อน

    Brother wanawake wote wazur uwa sio wa kuoa ni wakuchapa unaondoka alafu maarufu oa mwanamke wa kawaida atakae kueshimu kusikiliza agalia wote waliodumu kwenye ndoa wake zao wakoje

  • @omakywazamani6696
    @omakywazamani6696 3 ปีที่แล้ว

    Ni kweli dada unahaki juu yahilo

  • @erickgulayi2089
    @erickgulayi2089 3 ปีที่แล้ว +1

    Bekha anazingua! mwanamke yuko tayar kwa kila kitu.

  • @imakulatasumaye6818
    @imakulatasumaye6818 3 ปีที่แล้ว +4

    Dada dowa haiombwi akikuowa siku mki gombana atakwambia aulimulazimisha shauri yako chamsingi asikubane

    • @priscaherman5302
      @priscaherman5302 3 ปีที่แล้ว

      Kwaiyo unataka wazini mpaka lini

    • @imakulatasumaye6818
      @imakulatasumaye6818 3 ปีที่แล้ว

      @@priscaherman5302 kwahiyo unataka waowane siku mbili wameachana olewa ukiwa na uhalika kuna upendo wa kweli na usidhulumu moyo wako maan doa siyo kitu ya kujaribi mtu hana upendo na wew una mlazimisha akuowe haya amekuowa siku mkigomba anakwambia kwanza ulinilazimisha mimi sikuwa na mpago utafanyaje? Kingine mwana ume mwenye upendo na wew umezaa naye ameona mmegombana hata kama chumba ni yake anatakiwa akupishe wew chumba usisumbuke wew na mtoto yeye akatafute kwingine na siyo wew ukahagaike kutafuta chumba ni kweli kuzni siyo kitu kizuri lakini kama huna uhakika na unapo peleka moyo wako usifanye kwahara ni mawazo yangu

  • @surujajwie4768
    @surujajwie4768 3 ปีที่แล้ว +1

    Nikwli lakin dada yang ulivo fanya kwnn wazoni hakum abiwa usirudie tena dada yang lida ndowa yako achana Allah awalide beka naoba umuowe ❤🇴🇲😅

    • @saniaidrisa3920
      @saniaidrisa3920 3 ปีที่แล้ว

      Hakuna ndoa hapa wote wazinifu tu