cha msingi brooo punguzen matangazo na cha msing tambua mahusiano ni uwanja mpana saaan BEKA ....ko jaribu kujua kuwa huyo ndio mke wako wa dhat ikiona kiza kinakuwa kinene ndo kunakucha mpende mke wako......afu jaribu kuangali kuwa asiyekosa ni mungu
Beka yuko sawa. Huyu dada hajitambui. Ukishakuwa kwenye mahusiano na mtu huwezi kufanya hayo na mwanaume mwingine bila kumtaarifu. Hata mimi lazima ningeliamsha dude tu. Usipokuwa na wivu kwa mpenzi wako basi unazuga naye. UKWELI UBAKI KUWA UKWELI HUYU BEKA NI MWANAUME A.K.A BABA ASIYETAKA UJINGA.
Happy nikikuangalia wewe ni mrembo,unaheshima na nimwanamke ambae ni ndoto ya kila mwanamme.why huyo kijana akusumbue hivyooo?hebu tulia Mungu akupe mwanamme sahihi kwako
Beka my brother.mbona unakataa Happy kuonekana kwa vidio na wakati anavaa nguo nzuri.ila wewe unacheza wimbo na wanawake wakivaa nguo za aibu naukiwashikashika.I love you Happy,uko dada mzuri sana.
Wanawake tunatolewa mbali sana halafu tunajisahau mheshim sana beka kakutoa mbali na beka nimuelewa San pia toka kwenye mahusiano tunawafuatilia San pia dada tunakupenda San na pia jichunge San dada dada beka anakupenda sana utakuja kujutia
BEKA ACHA MANENO YAKO MUOE MTOTO WA WATU ACHA KHMUWEKEA MASHARTI KAMA VILE UMEMUOA....BINTI ANAKUPENDA HALAFU NI MCHAPA KAZI LAKIN UNAMZIBIA NA KUMUHARIBIA MUOE KAMA HUTAKI HAPPY MOVE ON KUWA NA MTOTO SIO KIGEZO CHA KUMFUNGA MTOTO WA WATU😏
Kaliwa mtoto nzuri acha ushamba beka video vixen ni kazi wanalipwa dolla or pound 200-300 acha mtoto nzuri ajipatie ridhiki mjini hapa usimbanie na wivu wako hizo ni stress za muziki
Exactly ndugu ile ni kazi halali Kama kazi zingine cio kweri kuzarau vixien ata akilipwa laki 2 ninyingi Sana kwamaisha yasasa.Beka cio Kama hataki Bali wivu tu umemjaaa hajui mjini nikujiongeza,Kama vipi aache uyo mke asimzuie riziki wanaume tupo.
Hayo yote mnayomshauri mwanamke mwenzenu mjue mila nazo zipo. Mwanamke anayejielewa awezi fanya huu ujinga anaoufanya. Kwani kumwomba tu ruhusa nayo ni shida? Kama hawezi aende tu. Nipo upende wa Beka 100%
Brother wanawake wote wazur uwa sio wa kuoa ni wakuchapa unaondoka alafu maarufu oa mwanamke wa kawaida atakae kueshimu kusikiliza agalia wote waliodumu kwenye ndoa wake zao wakoje
@@priscaherman5302 kwahiyo unataka waowane siku mbili wameachana olewa ukiwa na uhalika kuna upendo wa kweli na usidhulumu moyo wako maan doa siyo kitu ya kujaribi mtu hana upendo na wew una mlazimisha akuowe haya amekuowa siku mkigomba anakwambia kwanza ulinilazimisha mimi sikuwa na mpago utafanyaje? Kingine mwana ume mwenye upendo na wew umezaa naye ameona mmegombana hata kama chumba ni yake anatakiwa akupishe wew chumba usisumbuke wew na mtoto yeye akatafute kwingine na siyo wew ukahagaike kutafuta chumba ni kweli kuzni siyo kitu kizuri lakini kama huna uhakika na unapo peleka moyo wako usifanye kwahara ni mawazo yangu
Yaan nlichogundua beka flavour ana wivu saana
Beka yupo Sawa kabisa. Na wanapendana hawa tumwachie Mungu afanye kazi yake. Na wewe Beka funga ndoa haya hayataendelea
Happy Reuten you're so cute🥰🥰🥰🥰🥰.......love you moreeee ❤❤❤❤❤
media za bongo zinapenda sana kuanika hadhalani mambo ya ndani bila taadhali. kushauriana ni jambo zuri sana haswa wana ndoa.
Go gal you are right that's your right stand firm
Nimefurah kuona mmeludiana Mungu awabariki
Safi sana Happee, Nimekupenda sana, umeongea point my love 😘😍
Beka anajisahau kumbuka uyu ni mwanamke, ukisema chann wenzio wasema watakipata lini
Kabisa hata mm nimemuelewa
You fighting for your love
And I believe harmo understand this
Jamani Jamanii kabinti kazuri Mashaalah Mume mtihani.
Uzuri Wa mwanamke sio sura tu,Tabia muhimu zaidi ,kama jamaa hataki dem wake awe Vedio vixen yeye analazima gani yeye afanye?
Wazuri ndugu yangu wengi nandio wanaongoza kwa umalaya na kudanga uyo mwanamke mumshauri atulie
WAKO HANA MTIHANI?
Umeona eee🤔🤔
@@salimdzuya5480 aaaah www nan kakwambia hayo maneno tu broo ata kwa khanga yapo
Best advice keep it up babie girl🍹👍🏽👍🏽
ila haka kademu fresh sana 😀😍❤️
cha msingi brooo punguzen matangazo na cha msing tambua mahusiano ni uwanja mpana saaan BEKA ....ko jaribu kujua kuwa huyo ndio mke wako wa dhat ikiona kiza kinakuwa kinene ndo kunakucha mpende mke wako......afu jaribu kuangali kuwa asiyekosa ni mungu
Happy, she is so sweet!
Ushauri wangu Beka huyu dem hakufai....hawezi kunukuu maneno ya konde eti "Bwana ako kanijibu upumbavu"
Beka oa acha kuzingua..kauli ya mwanaume inakua na nguvu ukiwa kwenye ndoa ..AMINI NAKUAMBIA🤗
kuoa sio tatizo kama hajaacha ujinga wake atamsumbua tu dada wa watu
Umenena hasaa beka oa yote hayo nihiyo dada amechokaa hasira zake hasa nindoa mbonaa atakusikiliza vizurii tuu
Huyo cyo mwanamke wa kuoa. Ushauri wangu tu Beka atafute mwanamke mwingine wa kuoa. Huo ujinga aachane nao
happy wewe ni 🔥🔥🔥😁😁
Happy shikilia kwenye msimamo wako wa ndoa, Mungu akuongoze
Ameen
Jamani yote Kwa yote vijana wenzangu tutafute hela...siongei Sana mwenye kuelewa kanielewa
Kwakwel tuachane na mademu yanatupotezea muda tu hayana maana
Tutafute hela tuachane na mademu!!!Ukiwa nae akizngua chapa mbele hamna kujenga kibanda
@@josephatjordan5560 off course
Nakupenda happy Wang jamani 💯❤
Akuna kufanya vidio safi becka
Bro Beka pls muowe mtoto ...mstarabu uyooo kwakumskiya uyooo....mipango hali tena iyo nahunahishi naye bro Beka
Wow wander full
Happy nakupenda Bure dear jaribu kua na msimamo wako love mwanaume asikuzoe sanaaa
Safi sana Happy🔥🔥🔥❤️
Jaman,yaan ungekua naakil ungemuoa...
Ukiwa na mwanamke mzuri ni sawa na kulima shamba la miwa karibu na shule umia tu beka ulimtangaza Sana
Kawaida ya mama
Beka funga ndoa mbna ka unajibu jeuli vle hujiamin kidume ?
Sahihi br beka sikupng
I support you sis , 💯
Nimeipenda hyooo jaman duuh dada kaongea point
kiukweli ukiona mwanamke anaomba ndoa jua kaamua kunsettle. beka akomae kiakili amuoe binti. happy marriage guys.
Ssafi happy akuowe shida ni nn tunataka ndoa 😊😊😊😊😊
Yuko sawa happy amuoee kwanza ndio aweke sheria
Shida ni pesa beka hana
Kwakweli
Dada umenikuna panapo washa ww njoo unywe soda kwaza😍 Kam ajakuwowa unafanya kazi
Nimekuelewa sana beka
We msikilize mumeo acha kiburi cha fedha. Beka upo sahihi broo sharaut
Nimempendasana dada kahongea ukwelisana hanajitambua Sana uyodada
Uko vzr xana beka
Ila pisi Kali du vijana sijui tunataka nn baadaye tutaowa waganga sasa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuja kwa wairack mtoto w home hiyo
Kmmk nimecheka kifala yani
Beka yuko sawa. Huyu dada hajitambui. Ukishakuwa kwenye mahusiano na mtu huwezi kufanya hayo na mwanaume mwingine bila kumtaarifu. Hata mimi lazima ningeliamsha dude tu. Usipokuwa na wivu kwa mpenzi wako basi unazuga naye. UKWELI UBAKI KUWA UKWELI HUYU BEKA NI MWANAUME A.K.A BABA ASIYETAKA UJINGA.
anae muonaa bekaa anavoongaliaa kwa aibuu gonga like
Ukiona mwanaume hajiamini kwa mke ,jua nayeye nimchafuzi
Iyo zawadi ya valentine mpe mpenzi wako 🤗
Beka mtoto mzuri huyo unasubir Nini kufunga ndoa, Kama mapungufu kila binadamu anayo nikuelekezana tu pale mmoja anapokosea
Uko sahihi becca
No reason 4 breakup,
Settle your things to spare your relation.
But the lady want to be officially married but seems beka isn't serious about marriage and this will make beka kumpoteza this humble lady
We mnafiki beka bint kaxania msimàmo wako mpe muda was ndoa akizingua ukimpata was kukuoa olewa asikupotezee muda na usirud mpaka ndoa
Huyo mwanaume anataka kumpotezea muda halafu amwache
hao wanapendana but POINT NI KUSIKILIZANA TUU
Dah!!! Xa cjui Beka unatak mungu akupe nn tenaa ndg yng
wewe beka pumbavu zako kuoa utaki alafu unampangiee maisha
Sio lazima ndoa kama mpaka mmezaa heshima lazima na mipaka ifatwe
Asante dada akuoe ndo masharit yakamilike
Beka flavor uko good sana & uko wise👍👍 huyo dem ni Jezebel
Sawasawa mwanamke mwezangu taka ndoa
Beka nyimbo napendaa but umeongea utumbo sanaaa,
vizuli sana zingatia uwo msimamo benka binafsi tunawajua jisi walivyo binafsi nakupa hongera tu
Happy nikikuangalia wewe ni mrembo,unaheshima na nimwanamke ambae ni ndoto ya kila mwanamme.why huyo kijana akusumbue hivyooo?hebu tulia Mungu akupe mwanamme sahihi kwako
POINT!!!
U Kuma nn ebu acha kushauli utumbo kwenye hamna afu nakuomba uelewe ujinga n hasara nyooooooooooo
mdada mzuri maashaallah
Hey beutefull don't west ur time u still Yung sioni love hapo kwa huyo jamaa
Mm mwenyewe naona beka hayuko tayar happy mwambie ndoa kwanza kuzini ni dhambi na yeye anajua
Yahani wewe Dada big up ni mekupenda bureeeee ni mwongo huyo
Kweli kabisa dada SHIKA msimamo wako
Beka my brother.mbona unakataa Happy kuonekana kwa vidio na wakati anavaa nguo nzuri.ila wewe unacheza wimbo na wanawake wakivaa nguo za aibu naukiwashikashika.I love you Happy,uko dada mzuri sana.
Kanyagia Dada umenipunga mno amekuzini miaka minane akuowe big up happy
Good point
Beka simamia msimamo wako ww mtoto wa kiume hongera sana
Wanawake tunatolewa mbali sana halafu tunajisahau mheshim sana beka kakutoa mbali na beka nimuelewa San pia toka kwenye mahusiano tunawafuatilia San pia dada tunakupenda San na pia jichunge San dada dada beka anakupenda sana utakuja kujutia
Hello wivu nao❤❤🇪🇭🇪🇭🤣🤣 ndoa lazma bro
Pole sana beka wenijembe ingekua mimi ningepga mtu panga
BEKA ACHA MANENO YAKO MUOE MTOTO WA WATU ACHA KHMUWEKEA MASHARTI KAMA VILE UMEMUOA....BINTI ANAKUPENDA HALAFU NI MCHAPA KAZI LAKIN UNAMZIBIA NA KUMUHARIBIA MUOE KAMA HUTAKI HAPPY MOVE ON KUWA NA MTOTO SIO KIGEZO CHA KUMFUNGA MTOTO WA WATU😏
demu anajuwa haki yake lkn wamefanya makosa kuweka mambo hadharani.lkn ni biashara zaidi
Kwani baraka itapatikana wapi ktk zina
Mwanamke mzur adi rahaaa wwecheusi mangara mwezangu owa my PONIPONI
Me namwelewa sana beka yy ndio anaish nahuyo dem hata kama nimzur anahtaj muda kuitafakar hyo ndoa maana ishaonekana mahusiano yao yana mambo mengi
i feel you happy na uko mjeuri km mimi😂😂🤣😍
Uko wapi
Safi
Huwezi ukamlimiti mkeo kwa mtindo huu huo ni ushamba, na wakati mwinzio yupo kazini we mbona humpi hata elfu kumi za matumizi,
Usijifanye unayajua sana ya wenzako
Mimi binafsi nimemuelewa vizuri sana beka ni mwanaume anaejielewa
Anachekesha uyu bint 😂😂😂😂😂😂❤️❤️❤️❤️❤️💖💖💖💖
Kama humuoiii muachee nimuoe
@@charlesbaba8820 alafu ni mrembo Mashaallah ❤️❤️❤️
Mwamba uoe acha sheria wakati huko nje ya sheria mpuuzi ww.
Kabisa anajitetea upuuzi
But nimempenda sana kwakuomba ndoa allah amujalie ila kwenye ndoa wewe sio rahisi
Bro nimekulewa upendi na utaki
Happy safi sana akuoe jaman😅🤣🤣😍😘
Happy umeongea point 👏👏👏👏👏👏👏afunge ndoa basi
Kaliwa mtoto nzuri acha ushamba beka video vixen ni kazi wanalipwa dolla or pound 200-300 acha mtoto nzuri ajipatie ridhiki mjini hapa usimbanie na wivu wako hizo ni stress za muziki
Exactly ndugu ile ni kazi halali Kama kazi zingine cio kweri kuzarau vixien ata akilipwa laki 2 ninyingi Sana kwamaisha yasasa.Beka cio Kama hataki Bali wivu tu umemjaaa hajui mjini nikujiongeza,Kama vipi aache uyo mke asimzuie riziki wanaume tupo.
Huyu demu boya sana unawezaje kufanya vitu eti acha nifanye nitamwambia nyumbani. Hata kama ni wewe lazimauzingue
Hongera Sana kwa kuka nakutafakari kua haya nimaisha na baada yahaya Kuna mengine
apo mwanamke yupo sawa uwezi kumpangia mtu sheria kabda hujamuoa , we bint ukipata mume olewa
Kunywa soda nakuja kulipa aisee
Kabisa afu msichana mzur sijui anakwama wap,..Kama hamtak aachie ngaz watu wambebe chap
@@janethkilonzi4260 wasanii kuoa kaz sana kwa nadra sana mana vichupi wanavyo vingi😏😏😏
Mungu.mwee
😂😂😂🔥🔥dah yn happy anaongea jmn lkn safi dada ake umejitetea vzr mno
Bw Beka huyo bint anakupenda Sana Sana, hivo usifanye utani utamkosa, fanya uwezavyo umuoe mtoto mashallah
Ila mzuri lkn ajamzidi bby wangu 💕
🤣🤣🤣🤣
Nilichogundua hawa watu wanapendana Ile mbaya
Dada uko Sawa kabisaaa♥️♥️♥️
R
Beka acha hiyo demu kiburi mademu wapo wengi mzee
Kama mwenzio unamwamini masharti ya nn! Hayo masharti yatafanya uchelewe zaid kuoa, coz yanapunguza mapato. Unajibebesha zege
beka just merry her love you
Happy kuwamakini kwamaoniyangu husiyo muowaji mtaniambiya mbelenihuko 🤣wemzuli jiwongeze fanyakazi popotepale babamtotowako anaonekanajeuli😂nawakati hajakuowa Be free🥰😂
S anafanya kazi kwani
Kabisa yaan beka sio muoj uyu anamuumiza tu happy wa watu.
beka mpe kazi ya maana mkeo izo kz ambazo uzitaki . daa pumbavuuuu beka kumbe hujamuowa kumanyoko we beeka
beka msenge uyo demu mzr angalia utapokonywa watu wanaona na mate yanawadoka ujue
Hayo yote mnayomshauri mwanamke mwenzenu mjue mila nazo zipo. Mwanamke anayejielewa awezi fanya huu ujinga anaoufanya. Kwani kumwomba tu ruhusa nayo ni shida? Kama hawezi aende tu. Nipo upende wa Beka 100%
Nimekupenda bure happy 😊 😃
Aise huyu mwanamke anahakili sanaaa dah! Kiukweli beka kapata mwanamke jamani dah!
SAFI SANA BINTI AKUOE KWANZA NIMEKUKUBALI SANA BINTI SHIKILIA HAPO HAPO SAFIIIIIIIIII
Brother wanawake wote wazur uwa sio wa kuoa ni wakuchapa unaondoka alafu maarufu oa mwanamke wa kawaida atakae kueshimu kusikiliza agalia wote waliodumu kwenye ndoa wake zao wakoje
Ni kweli dada unahaki juu yahilo
Bekha anazingua! mwanamke yuko tayar kwa kila kitu.
Dada dowa haiombwi akikuowa siku mki gombana atakwambia aulimulazimisha shauri yako chamsingi asikubane
Kwaiyo unataka wazini mpaka lini
@@priscaherman5302 kwahiyo unataka waowane siku mbili wameachana olewa ukiwa na uhalika kuna upendo wa kweli na usidhulumu moyo wako maan doa siyo kitu ya kujaribi mtu hana upendo na wew una mlazimisha akuowe haya amekuowa siku mkigomba anakwambia kwanza ulinilazimisha mimi sikuwa na mpago utafanyaje? Kingine mwana ume mwenye upendo na wew umezaa naye ameona mmegombana hata kama chumba ni yake anatakiwa akupishe wew chumba usisumbuke wew na mtoto yeye akatafute kwingine na siyo wew ukahagaike kutafuta chumba ni kweli kuzni siyo kitu kizuri lakini kama huna uhakika na unapo peleka moyo wako usifanye kwahara ni mawazo yangu
Nikwli lakin dada yang ulivo fanya kwnn wazoni hakum abiwa usirudie tena dada yang lida ndowa yako achana Allah awalide beka naoba umuowe ❤🇴🇲😅
Hakuna ndoa hapa wote wazinifu tu