Yanga 4-1 Mtibwa Sugar | Highlights | NBC Premier League 16/12/2023
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- Hapa ilikuwa ni zamu ya Mtibwa Sugar kula kichpo, ikipigwa 4-1 kutoka kwa Yanga, mechi ya Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague ikipigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
Stephane Aziz Ki ammefunga mawili... moja dakika ya 45 kwa penati na lingine dakika ya 65 huku mengine yakitoka kwa Kennedy Musonda dakika ya 76 na Mahlatse Makudubela 'Skudu' dakika ya 83.
Congratulations Kwa Wachezaji Wetu Kwa Kutuheshimish Leo Kwa Ushindi Mnono💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚
I love you yangaaaaaaaaaa
Hongera sana kwa goli kipa wa mtibwa maana kama si Kwa jitihada zake yangekua 10
Wa kwanza leo naombeni likes🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Seif abdallah karihe fundi wa ball❤❤❤🎉🎉🎉
Wananchi 4 life
Yanga mbele
Watoto wa jangwani tushapita kwenye bakuli, hio ndio timu ya wananchi
Mtangazaj acha uyanga mbon goali la mtibwa hujatangaza?
Wangekura nyingi leo😊
❤❤❤❤❤❤🎉🎉
❤
Mzizee hawezi hapo jmn mmtoeee
kwahiyo mtibwa hawakufunga?
Watani mumepigaje apooo 🔥🔥🔥💪*333#
Mpk wasemee
Wee musonda humepigaje hapo
Mnatupa dakika kidogo sana tunaomba mtuongezeye mdaaaaa Azam tv
mzize jau Sana
Muulizeni simba kama ana hamu tena hata ludia.kucheza na wakubwa
😊😊ui😊😅ggb😮😢r🎉2❤
Aziz Ki master kakiwasha hatar
Goli la Msimu, no doubt #kennedymusonda
Mzize hata sio wa kumtegemea
Mbona hii post haijalitendea haki goli la mtibwa
Ila hizi tobo za jamaa!! Du so poa an
Hilo goli la mtibwa mtangazaji kafanya huruma tuu kuwapa😢😢
Refa bana
Yanga
Yanga ni wazuri bongo
We mzuri wapi?😅
We yàñga hàujui
Mbona goli la Mtibwa, mtangazaji ameng'ata ulimi hajalitangaza
La mchongo
Mtanagazaj utopolo huyu ndo mana hata mechi na simba wanayanga walifurahia sana atangaze
Magoli kama wanayofungwa Yanga wayategemee sana maana adui ukishamshamshinda anatumia mbinu za kijanjajanja kama hizi. Hivi Djigui alikuwa anawaza nini kuliacha goli umbali ule? Watu wanakunyanyulia tu. Ni uzembe mkubwa aliofanya Djigui awe makini.
Daaah hakun kam mwananch aixee
Animality
Bao la mtibwa lilihesabikaje na kulikuwa na faulo?
Matukio ni mengi ila matokei ni 4 kwa 1
Kwa pila hili kocha asiwakalishe tena benchi wachezaji alio wameka leo mchekin mtu kama sure boy
Watangazaji wetu wana shida sana. Anatangaza magoli 4 ya Yanga la Mtibwa halitangazi. Mpira hauwezi kukua kwa watangazaji kama hawa
Ila kwenye ukwel uzungumzw yang anaupig mwing san😂😂😂
Hilo goli hata mtangazaji hakujua limefungwaje hadi replay kama ulitazama mpira kwenye TV tumeona tu mzinze yuko Chini na mpira unapelekwa kati. Mwamzi anakadi mkononi hakieleweki anatoa kadi ama anaandika mfungaji. Huyu anayetangaza ndie anayetanga kwenye radio asipotangaza goli maana yake watu wanausikiliza radio hawatajua matokeo.
Watanzania timu ni Yanga tu na Simba ndizo wanazizijuwa na zisiguswe.
Kama uliangalia mpira huwezi kumlaumu mtangazaji,ata sisi tulishangaa tu mpira upo kati goli limeisha fungwa,atukujua nini kimetokea hadi pale waliporudia
Ukiona hivo goli lilikua na ukakasi😊😊
Mwenzenu sijaiona kitu chochote maana camera nnimeshindwa kuona
Nyie siwaelewi natafuta Niobe bao LA mtibwa limefungwaje silioni kwanini hamuoneshi?
09:12
Hao nimakolo 2😂😂😂😂😂
Sema azama wanazinguaaaaaaaa replay hovyoo
Hasaaa
Hilo goal la mtibwa sijalielewa limekuaje goal wakati mpira unapigwa kipyenga Cha mwamuzi kilipigwa kuashiria Kuna madhambi??
Mpira wa bongo mataptap mamaeee unachafua gazeti kwa upuuzi
🎉
We musonda wewee ,, umepigaje apooo
juma njouloge
Hizo ndogo😂😂😂
Ina maana wameishaga sHau Tobo za huyu jamaa
😂😂😂😂😂😂😂 utopolo kweli niutopolo 2 Gori gani lakufungwa namtibwa ilo 😂😂😂😂😂😂
Walijua n faulo ndio maana kipa alidharau
@@jumamdoka7867 👍👍👍👍👍
Ilkua n faulo yamkin
Ilikua Ni Kama faulo ndo maana kipa hakuzingatia
Sema diarra ananikwaza. Kwann hapati clean sheet
We una clean sheet ngapi?
Kweli mtibwa wamechoka Hadi skudu anawafunga😅😅😅😅
Wamekaza kuliko kolo
@@kijanisaini5688yaani wewe huwezi kushabikia mpira mpaka uitaje Simba? Duuh kweli NYUMA MWIKO mnamatatizo
Bora hawa kuliko nyie mliokula tano😂😂😂😅😅😅
@@WilliamAnaklet-t5jkolo ndo simba?😂
Ndio a.k.a. mikia fc
kolo anatamani kusema nini 🤣🙌
Irudiwe asijue anaweza wachoma mtibwa maana watakula seven day😂😂😂
@@peterpascal1326 Hahaha 🤣🙌
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂😂😂
Mchongoo
Yani hapo bado