Dah asee anko G yuko open sana anajiamin anaeleza vitu ambavyo watu wengi utaskia wanasema"hii tuache sitaki zungumzia" yuko free kabisa mtu flan hana wasiwasi kabisa yan yupo huru na anachokiongea
Congrats Salama Ur interviews are on top-notch Ur very intelligent & brilliant at once twaomba mlete juma lokole hapa na umuulize makavu yote yanayonung'unwa plzz tuekee wazi 😂😂😂 hop utasoma hii massage yangu 💖🇰🇪🇰🇪🇰🇪
RTD wanayo digital archive ambayo watanzania wenyi hasa wasanii wa siku hizi, wangetumia fursa hizi kujifunza kutoka kwa akina Mbaraka Mwishehe, marijani na wengi tu. Asante kwa kumwuliza swali hilo.
This dude yuko is very humble, recognizing and mentioning everyone throughout his success journey is unique. GH is a humble dude aisee. Wa-kuigwa.
Dah asee anko G yuko open sana anajiamin anaeleza vitu ambavyo watu wengi utaskia wanasema"hii tuache sitaki zungumzia" yuko free kabisa mtu flan hana wasiwasi kabisa yan yupo huru na anachokiongea
Gerald Hando kaitendea haki interview.Nzuri sana
Saana
Daah umeongea vitu muhimu Saaaana Jerard
Tajiri wa roho GERALD
Wa kwanza hapa Leo nipeni like zangu guys.
"yaani yale ni matawi yale" 😂 - Gerald HANDO
Ni basi tu lkn napenda Sana watu aina ya Gerald Hando! Mungu azidi kukuweka... enjoy your life bro!💪💪
Hongera jamaa ana kitu atafika mbali
Nafikiri Gerrard ameelezea vzr transformation ya diamond kuliko watu wengi
Kabisaaaaa
listening this interview from Botswana, this one of the best interview i have ever heard
Namkubari sana hando
Congrats Salama Ur interviews are on top-notch Ur very intelligent & brilliant at once twaomba mlete juma lokole hapa na umuulize makavu yote yanayonung'unwa plzz tuekee wazi 😂😂😂 hop utasoma hii massage yangu 💖🇰🇪🇰🇪🇰🇪
One of the best interviews I've ever heard!!! Keep it up Salama.
RTD wanayo digital archive ambayo watanzania wenyi hasa wasanii wa siku hizi, wangetumia fursa hizi kujifunza kutoka kwa akina Mbaraka Mwishehe, marijani na wengi tu. Asante kwa kumwuliza swali hilo.
Noma sana gerald... Bonge moja la interview..madini mengi sana.
Gerald you smart
One of the Best Talk✊🏿
Legendary one
G H uko vizuri sana ...open
Sister Salama this is fantastic interview.
Shukran sana *Gerald hando* nakukubali sana brother.
Brutual Interview GH 👏👏👏👏
This is the best interview on my side....
Thank you salama..
Salama.nakubali.kipindicako.sana
Mzee wa comedy 😊
Hando kama Hando😘😘
17:30 izi changamoto ni nyingi sana zinapelekea watu kulewa na kuchanganyikiwa Mungu atusaidie tuweze kushinda Hiz changamoto zetu za dunia Amina
Ni kweli kabisaa wengi wanalewa sbb ya stress
Story ya Fred wa imenigusa, RIP Fred.
Brutal interview....cheers
Please bring GSM, Flavianna Matata & Fatma Dewj
Kweli wanyonge wananyanyasika
Salama 🙏❤️
Best interview
My Favorite Interview 😍😍😍😍😍😘
Was a nice convo to listern
Kaka Gerald ameongea vizuri, hizi zama ubabaishaji umeisha hahahaha... Tumejifunza ss watu wa mtungi, mambo ya kujilipa😂
Alafu anasema mama Ni mchaga was kibosho lakini kwa upande was baba anapotezea kwa sababu niMbulu matoto Kama haya bado kabisa
Iv salama izo nywele ubana style gan shangaz yangu au ndo sina bwana
🤣🤣🤣🤣🤣ukorofi uwoo
Kawia ufike🔥
nangoja ya Dozen
Amezungza kila kitu Kwa usawa Dunia ya Sasa haijitaji porojo hii nimeondoka nayo
Kabisaaa
Popcorn 🍿 za 100k zimeisha hivi hivi yani.
Ila Gerald ni mu handsome japikuwa mtu mzima ila bado mzuri alafu ana swags ndo mana alizaa kila mtt na mamayake
Kwahyo ni sifa
Saaana
Matawi kama matawi
tuletee jimy kabwe
❤️❤️
I have to send an m_pesa tip
Salama mlete shishi baby🤣🤣
Alishakuja mbona ila zaman kdg
Tunangoja ya ommy dimpoz