ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Hiyo ni uongo wa polisiAcheni kubabaisha...semeni ukweli juu ya utekajiMwisho wenu wanyanyasaji umefika
Mmmh! yajayo yanafurahisha! Intelligence ni kwa chadema tu! KWa watekaji ni Holaaaa!🤣🤣🤣
Kwa kweli serikali imeona wa Tanzania mbumbumbu Sana.... Ila Luna siku maiti zitafufuka, patakuwa hapatoshi
Ni muhimu jeshi likaacha kufanya kazi zake kwa hisia
Kwanini msisjipange kimyakimya ili wakija wajulikane hii nchi taabu
Inawezekana watu wamefichwa ili kuvuruga nchi
Huku kwetu watoto wananusulika kumia mashulen hatujui hatma yk
Hicho ndio kilochobaki,watu wamechoka.
Mtu anae taka kuvamia hutoa taarifa
Police acheni upuuzi! Yaani mtu mzima na cheo kikubwa cha Naibu kamishna unatoka mbele kutoa tangazo la kipuuzi kiwango cha PhD!! eti intelligency!!🙈🙈
𝑊𝑎𝑛𝑎𝑡𝑖𝑖𝑠ℎ𝑎 𝑠𝑎𝑏𝑎𝑏𝑢 𝑏𝑢𝑛𝑑𝑢𝑘𝑖 𝑤𝑎𝑤𝑎𝑎𝑐ℎ𝑖𝑒 𝑤𝑎𝑙𝑖𝑜𝑡𝑒𝑘𝑤𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑛𝑖𝑛𝑖 𝑤𝑎𝑛𝑎ℎ𝑜𝑓𝑢 𝑑𝑎𝑚𝑢 𝑦𝑎 𝑚𝑡𝑢 𝑠𝑖𝑜 𝑘𝑎𝑚𝑎 𝑦𝑎 𝑘𝑢𝑘𝑢
Hiyo ni uongo wa polisi
Acheni kubabaisha...semeni ukweli juu ya utekaji
Mwisho wenu wanyanyasaji umefika
Mmmh! yajayo yanafurahisha! Intelligence ni kwa chadema tu! KWa watekaji ni Holaaaa!🤣🤣🤣
Kwa kweli serikali imeona wa Tanzania mbumbumbu Sana.... Ila Luna siku maiti zitafufuka, patakuwa hapatoshi
Ni muhimu jeshi likaacha kufanya kazi zake kwa hisia
Kwanini msisjipange kimyakimya ili wakija wajulikane hii nchi taabu
Inawezekana watu wamefichwa ili kuvuruga nchi
Huku kwetu watoto wananusulika kumia mashulen hatujui hatma yk
Hicho ndio kilochobaki,watu wamechoka.
Mtu anae taka kuvamia hutoa taarifa
Police acheni upuuzi! Yaani mtu mzima na cheo kikubwa cha Naibu kamishna unatoka mbele kutoa tangazo la kipuuzi kiwango cha PhD!! eti intelligency!!🙈🙈
𝑊𝑎𝑛𝑎𝑡𝑖𝑖𝑠ℎ𝑎 𝑠𝑎𝑏𝑎𝑏𝑢 𝑏𝑢𝑛𝑑𝑢𝑘𝑖 𝑤𝑎𝑤𝑎𝑎𝑐ℎ𝑖𝑒 𝑤𝑎𝑙𝑖𝑜𝑡𝑒𝑘𝑤𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑛𝑖𝑛𝑖 𝑤𝑎𝑛𝑎ℎ𝑜𝑓𝑢 𝑑𝑎𝑚𝑢 𝑦𝑎 𝑚𝑡𝑢 𝑠𝑖𝑜 𝑘𝑎𝑚𝑎 𝑦𝑎 𝑘𝑢𝑘𝑢