Makonda kijana jasiri, mchapakazi, mkweli mwenye utu... Mimi Ndivyo ninavyomuona,... JASIRI...MKWELI Mungu azidi kumlinda. Makonda + Majaliwa chini ya mama Samia, ... Wanyonge tuna matumaini... Pia ki ukweli Wajane😭 tunadhulumiwa, kuonewa, kukataliwa , na pengine kutengwa
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Yayahh Makonda lazima umurisi Makufuri uwe raisi watanzania
Makonda kijana jasiri, mchapakazi, mkweli mwenye utu...
Mimi Ndivyo ninavyomuona,...
JASIRI...MKWELI
Mungu azidi kumlinda.
Makonda + Majaliwa chini ya mama Samia, ... Wanyonge tuna matumaini...
Pia ki ukweli Wajane😭 tunadhulumiwa, kuonewa, kukataliwa , na pengine kutengwa
Makonda uko vizili sana rais Samia umechangua mtu
Samia kweli umepta mtu anaefikisha ujumbe kwa wananchi na kusikiliza kero za wananchi sas moto umewaka
Ziala iwezuli kwa mwenezi wentu
Mke kuwa kimya namajibu Mabaya hafui hapiki kaama chumba huyo ninini
Kuazia leo nakupa jina Magufuli
Jaamaani hatamwaposa anajaza Kama unatenda haki hofu yanini chadema haijigambi tulienitu
Mheshimiwa Makonda umefunika, rudisha matumaini ya watanzania kwa chama chako, mama hajakosea kupatikana wewe,ni nuru mpya kwa chama changu cha ccm
king luhaga mpina