JESHI LA GAMONDI LILIVYOFANYA MAZOEZI YA KIBABE COCO BEACH | CHAMA, PACOME HAWASHIKIKI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ค. 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 362

  • @mwajayhaxxan5507
    @mwajayhaxxan5507 21 วันที่ผ่านมา +45

    Nani mwengine anaangalia huku anatabasamu 😊😊😊

    • @user-fm1ho3wq3l
      @user-fm1ho3wq3l 21 วันที่ผ่านมา +3

      😊😊😊yn mpk nimechk kwasaut

    • @user-mh6hy5eb4j
      @user-mh6hy5eb4j 21 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂

    • @ommykiss7049
      @ommykiss7049 20 วันที่ผ่านมา +2

      Tupo wengi mno

    • @hk_ballers
      @hk_ballers 20 วันที่ผ่านมา +1

      Mimi

  • @lameckmathias1188
    @lameckmathias1188 21 วันที่ผ่านมา +20

    Hii imekaa poa sana , inatangaza pia fahari ya Tanzania ❤

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo5290 21 วันที่ผ่านมา +14

    All the best INSHAALLAH my lovely team YOUNG AFRICANS nikiwa QATAR

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f 21 วันที่ผ่านมา +12

    Nawependa sana jeshi langu Mungu awalinde na awape afya njema🥂💚

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t 21 วันที่ผ่านมา +9

    Mungu awe pamoja nanyi wachezaji bench la ufund na viongozi wetu Amen🙏🙏🙏

  • @mwajayhaxxan5507
    @mwajayhaxxan5507 21 วันที่ผ่านมา +45

    Allah akawaongoze wapambanaji wetu,, ukawe msimu bora ndani kwa league ya ndani na kimataifa.
    Kila la kweli wananchi 💗💗

  • @godfreysimoni4270
    @godfreysimoni4270 21 วันที่ผ่านมา +18

    Niwatakie maandalizi mema wapambanaji wetu💚💛💚💛🖤

  • @lukwagopaul6572
    @lukwagopaul6572 21 วันที่ผ่านมา +14

    Am happy that pacome and Aziz ki are back

  • @HusseinJumahussein-lf1xk
    @HusseinJumahussein-lf1xk 21 วันที่ผ่านมา +9

    Familia ya furaha💚💚💪💚💚💪🔥🔥🏆🏆

  • @julianasimon5518
    @julianasimon5518 20 วันที่ผ่านมา +3

    Mi nimependa yanga kuiongezea thamani nchi yetu, kutokutoka nje ya nchi, walianza kina diamond kutoenda kushut video nje, sasa kambi pia hapahapa, ahsante rais wa yanga Mungu akuweke💚💛💪

  • @andersonbruno6255
    @andersonbruno6255 20 วันที่ผ่านมา +2

    Kila la heri young Africans kwenye mandalizi na mazoezi kuelekea msimu ujao Hawepo ata mmoja kumia amen Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔰🇹🇿💯

  • @AhmadSahabu
    @AhmadSahabu 21 วันที่ผ่านมา +4

    Hadi nashindwa nifurah kwa njia gani big up sana

  • @AmaniOmari-ev2gu
    @AmaniOmari-ev2gu 21 วันที่ผ่านมา +10

    Yanga bingwa teeeena❤❤❤❤❤❤❤ mpaka 2030

  • @user-qn1ot2bx8b
    @user-qn1ot2bx8b 21 วันที่ผ่านมา +20

    Mamae kocha ashaanza kumpa madini chama

    • @IsaacNkonu
      @IsaacNkonu 20 วันที่ผ่านมา

      Hahaha wapinzan wajinyonge

  • @MohamedibakariBakari
    @MohamedibakariBakari 21 วันที่ผ่านมา +7

    Nimeuona ulafiki wa chama na msheli balaa

  • @chieframadhani4976
    @chieframadhani4976 21 วันที่ผ่านมา +10

    Baba karib.🎉kwa wanainchi utanenepa baba kunaraha zote

  • @catherineamiri9854
    @catherineamiri9854 21 วันที่ผ่านมา +23

    OMG I LOVE THIS TEAM😊❤

    • @louidaniel9944
      @louidaniel9944 21 วันที่ผ่านมา

      Nmekumoyo asee❤

    • @hk_ballers
      @hk_ballers 20 วันที่ผ่านมา

      We all love this team 💚

  • @EvaristJosiah
    @EvaristJosiah 21 วันที่ผ่านมา +22

    Chama ameanza kung'aa kweli yanga maisha mazuri

    • @DanieliMzirai
      @DanieliMzirai 21 วันที่ผ่านมา

      Mmh umenichekesha 😅😅😂

    • @user-ic8oj1fy7q
      @user-ic8oj1fy7q 21 วันที่ผ่านมา

      Keki kumi na saba si mchezo 😂😂😂😂😂

    • @AmanaAmos-hv3yz
      @AmanaAmos-hv3yz 21 วันที่ผ่านมา

      Hahahaha ❤❤

  • @SIKUDHANISHIRINITZ
    @SIKUDHANISHIRINITZ 21 วันที่ผ่านมา +4

    Yani wachezaji wanang'ara adirahaa🎉 naipenda sana yanga yangu jamani❤❤

  • @binmohammed7171
    @binmohammed7171 21 วันที่ผ่านมา +40

    Ligue iyanze naona Makolo washaanza kunenepa

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 21 วันที่ผ่านมา +3

      😂😂😂😂😂kwahiyo haitakiwa hata kanyama kaziada kaongezeke?

    • @nehemiakiswaga1819
      @nehemiakiswaga1819 21 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😊

    • @user-zs4qz4wm2n
      @user-zs4qz4wm2n 21 วันที่ผ่านมา +2

      Umetutabilia mazuri ...ni mwendo wa kunenepa tu zamu yenu kukonda uto😅😅

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 21 วันที่ผ่านมา

      @@user-zs4qz4wm2n Yanga kuna raha jamani...hadi chama katakata😅😅

    • @yassinchuwa8824
      @yassinchuwa8824 21 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

  • @HusseinJumahussein-lf1xk
    @HusseinJumahussein-lf1xk 21 วันที่ผ่านมา +9

    Yanga sc bingwa🙏🙏🙏🙏🏆🏆🏆

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 21 วันที่ผ่านมา +11

    Mambo ni fire pit 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @brightontheogenes5093
    @brightontheogenes5093 21 วันที่ผ่านมา +4

    The Biggest team in AFRICAA Nyie hamuogopiiii....

    • @Purity-l2v
      @Purity-l2v 20 วันที่ผ่านมา

      😂. Dah tunaogopa

  • @kisaveryraphael432
    @kisaveryraphael432 21 วันที่ผ่านมา +10

    Alooh yanga likes apa✅

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo 20 วันที่ผ่านมา +1

    Asante jeshi letu Mungu akupeni afia njema amini toka zenji

  • @user-kp7em6zt1g
    @user-kp7em6zt1g 20 วันที่ผ่านมา +2

    Jamani kumbe Chama ni handsome hivi jamani na amsemi 💛💛💛💛💛💚💛💚💛💚💛💚 siku tatu tu kanawili

  • @user-ql6hg7fy9p
    @user-ql6hg7fy9p 21 วันที่ผ่านมา +2

    Hakika Yanga Sc ni familia moja kubwa Duniani inayotuleta wote pamoja, umoja na upendo ziwe ndani ya timu yetu daima, kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.

  • @MeryFrancey-fs4qm
    @MeryFrancey-fs4qm 19 วันที่ผ่านมา

    Naipenda yanga na naitakia msimu mwema one day nataman niitumikie tim yangu from kigoma

  • @LightMeck
    @LightMeck 21 วันที่ผ่านมา +4

    Chama na gamond 💛💛

  • @OmaryzingZing-jd3xm
    @OmaryzingZing-jd3xm 21 วันที่ผ่านมา +13

    Nawatakia maandalizi mema Timu yangu ya Yanga tuchukue makombe yo tutakayo shiliki Biidhinila by Ronaldo Jr apa flom Bagamoyo❤

  • @Cuteeeee477
    @Cuteeeee477 21 วันที่ผ่านมา +9

    Tuliorudia kuangalia zaidi ya mara moja tujuane hapa 😂😂🔰💛💚

  • @veronicapius3476
    @veronicapius3476 21 วันที่ผ่านมา +12

    Tulimiss haya mambo😊😊😊

    • @Purity-l2v
      @Purity-l2v 20 วันที่ผ่านมา

      Umeona eee❤

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 21 วันที่ผ่านมา +1

    MUNGU ni mwema hongera Sana nyote kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 21 วันที่ผ่านมา +9

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 21 วันที่ผ่านมา +3

    Endeleeni kupambana wanajeshi wetu tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko

  • @safiaothman7506
    @safiaothman7506 21 วันที่ผ่านมา +9

    Mashallah❤❤

  • @bravoremy
    @bravoremy 21 วันที่ผ่านมา +10

    Yanga 🔥🔥🔥

  • @mariaerenest5632
    @mariaerenest5632 21 วันที่ผ่านมา +2

    Kumbe chama ni hesamu boy walimtesa Sana kolo

    • @neemadavid7587
      @neemadavid7587 20 วันที่ผ่านมา

      Umeona hesamu wa maan kabisa makolo hawajui kutunza kabisa😂😂😂❤

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface1199 21 วันที่ผ่านมา +7

    Asha Ngedele wanakifa 10😅

  • @ommykiss7049
    @ommykiss7049 20 วันที่ผ่านมา +1

    Yn kila nikimuangalia chama natabasam peke yng😊

  • @cchuwa6980
    @cchuwa6980 21 วันที่ผ่านมา +1

    Familia ya yanga 🧡 inaishi kwa upendo sana

  • @Togolay
    @Togolay 20 วันที่ผ่านมา +1

    YANGA 4 LIFE

  • @hajimgwami5224
    @hajimgwami5224 20 วันที่ผ่านมา +1

    WOTE HAO KATI YA CHAMA, PACCOME NA AZIZ WATATAFUTA NAMBA LKN MAX NAMBA YAKE NI 100%, LABDA TU SIKU MECHI IWE RAHISI

  • @BARAKAMADUHU-nf1kr
    @BARAKAMADUHU-nf1kr 20 วันที่ผ่านมา

    Good kudadeki anachoelezewa chama niupasuaji wa odi ya akina mama

  • @MauBonde
    @MauBonde 21 วันที่ผ่านมา

    Wanangu yanga nimetoka kuangalia club bingwa ulaya kuna vitu vingi vya kujifunza ,nawaaminia daima mbele,watoto wa jangwani.muhimu mapambano yaendelee zaidi ya tulipoyaacha,team work ndio njia ya mafanikio ...love u yanga.

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 21 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah Alhamndulilah nakuomba M/Mungu wajaalie afya, nusra waondoshee Khusda Inshaallah

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 20 วันที่ผ่านมา +1

    Gamond bwana eti anamwambia chama "uje uwapelekee moto makolo mpaka wakuite baba wa Lusaka

  • @angelathanas5993
    @angelathanas5993 21 วันที่ผ่านมา +1

    Team ya ushindi💚💛🔥🔥

  • @InnocentArchery-zi6vu
    @InnocentArchery-zi6vu 20 วันที่ผ่านมา +1

    Yanga bingwa

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 21 วันที่ผ่านมา +1

    Yanga inaipa hadhi kubwa sana nchi na ligi yetu Africa

  • @zaynabhabib770
    @zaynabhabib770 21 วันที่ผ่านมา

    Mungu ayongoso yanga msimu ujao iwebora ndani na nje hongera sana aziz k kuendelea kubak yanga

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad6331 21 วันที่ผ่านมา +2

    Wachezaji wote wa YANG'A watoke TIMU LKN Kama rais wa mahiri engineer Haris bado yupo Yanga naamini TIMU Bado Moto ule ule.

  • @Emanuelimiyonjo
    @Emanuelimiyonjo 19 วันที่ผ่านมา

    Yanga tamu💛💛💚💚🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰

  • @levislwamba5695
    @levislwamba5695 21 วันที่ผ่านมา

    Nawatakia kila la heri kwa msimu huu uwe msimu wa.mafanikio makubwa sana my best team in Africa , nawafatilia sana nikiwa nyumbani kwangu marekani,

  • @neemadavid7587
    @neemadavid7587 20 วันที่ผ่านมา

    Kwan huyu n chama au macho yng jmn❤❤

  • @mningoiman9916
    @mningoiman9916 21 วันที่ผ่านมา +1

    Yanga raha saaaanaaa hiyo ndio daima mbele nyuma mwiko hiki kikosi mwaka huu kuna mtu atakimbiza timu uwanjani

  • @johnjames-pw1dp
    @johnjames-pw1dp 20 วันที่ผ่านมา

    Wananchiiii 👍👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚🏆🏆🏆🏆🏆

  • @user-cv4yi5hz9b
    @user-cv4yi5hz9b 20 วันที่ผ่านมา

    Master gamondi🎉🎉🎉🎉💚💚🤩🤩💚🏆💪🏿✅

  • @DejacoDejoh
    @DejacoDejoh 21 วันที่ผ่านมา +1

    Yanga ni timu kubwa Sana na msimu hujaaao sijui😂😂❤❤❤

  • @RamadhaniMangwira-s6w
    @RamadhaniMangwira-s6w 20 วันที่ผ่านมา +1

    Halafu haka kawimbo kanamatumaini makubwa 😄😄kanaitwaje jamani

  • @laizerlstvchannel
    @laizerlstvchannel 21 วันที่ผ่านมา +7

    Much ❤️

  • @Aviwamwadin-so3vy
    @Aviwamwadin-so3vy 20 วันที่ผ่านมา

    Hata wachezaji wetu wamempokea vizuri

  • @josephchuwa1206
    @josephchuwa1206 21 วันที่ผ่านมา +3

    Gamond na Mwamba wana agenda gani😂😂😂

  • @user-mb2ln1et5w
    @user-mb2ln1et5w 21 วันที่ผ่านมา +1

    Kwahyo Tena chama anavaa jezi no 20

  • @DaudiIpyana
    @DaudiIpyana 21 วันที่ผ่านมา +1

    I love you yanga❤❤🎉🎉

  • @RashidAhmad-op9yi
    @RashidAhmad-op9yi 20 วันที่ผ่านมา

    Tuko wengi wananchi daima mbele nyuma mwiko 💚💚💚💚💚

  • @georgesamwelchacha7680
    @georgesamwelchacha7680 20 วันที่ผ่านมา

    That is a real meaning of team

  • @JumaMngumba
    @JumaMngumba 20 วันที่ผ่านมา

    My team🎉 daima mbele nyuma mwiko💚🖤💛

  • @KennedyJohn-p1i
    @KennedyJohn-p1i 20 วันที่ผ่านมา +1

    Aziz k c amexhalud nayey aungane nawenzake mapema

  • @JofreyYohana
    @JofreyYohana 20 วันที่ผ่านมา +1

    Makolo bado misimu mitatu kuijenga timu yao kazi wanayo😂😂

  • @JamesJamesphares-db3uh
    @JamesJamesphares-db3uh 21 วันที่ผ่านมา

    Usajili tulio fanya uko vizuri sana naipenda yangaa❤❤

  • @abdullahhashimu2380
    @abdullahhashimu2380 21 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu yao yao ni noma sana saninaaa

  • @daudtegemeo
    @daudtegemeo 20 วันที่ผ่านมา

    Walifanya vizuri kabisa

  • @suzan4200
    @suzan4200 20 วันที่ผ่านมา

    Hivi mmegundua sahv video zetu zinafuatiliwa sana

  • @JohnMkumbo-e4e
    @JohnMkumbo-e4e 18 วันที่ผ่านมา

    Nimeipenda hii

  • @hk_ballers
    @hk_ballers 20 วันที่ผ่านมา +1

    Dube ana aibu sana 😂

  • @amohmark97
    @amohmark97 19 วันที่ผ่านมา

    Timu kubwa inajipanga kuchukua makombe yote 🎉

  • @eliudhezron181
    @eliudhezron181 21 วันที่ผ่านมา +4

    Subscribers wapya karibuni sana

  • @eliudhezron181
    @eliudhezron181 21 วันที่ผ่านมา +3

    Wakwanza leo 🎉🎉🎉🎉

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u 21 วันที่ผ่านมา +1

    Mpaka raha Yan 🍀🌼🍀🌼

  • @nelsonbenitho8050
    @nelsonbenitho8050 20 วันที่ผ่านมา

    My lovely team ever

  • @immaknight4414
    @immaknight4414 20 วันที่ผ่านมา

    Fitinessss 😅😅😅😅😂😂 daima mbelee nyuma mwikooo

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 20 วันที่ผ่านมา

    Gamond hana kazi ngumu,maana shughuli yote inamalizwa na kocha wa viungo.

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina 21 วันที่ผ่านมา

    YANGA DAIMA MBELE

  • @vivanyboy9743
    @vivanyboy9743 20 วันที่ผ่านมา

    No 20 chana 24 mzize 26 pacome 27 muda 29 princ muuwaji anae tabasam 😂 ❤❤

  • @AlexIsa-e8q
    @AlexIsa-e8q 21 วันที่ผ่านมา

    Hatari Kwanza jez ilivo mupendeza ya wanainchi

  • @chollejr_
    @chollejr_ 20 วันที่ผ่านมา

    Ivo ayo mabelt uwa mnawaza Kama mimi😂😂😂😂😂😂

  • @hamisathuman2729
    @hamisathuman2729 20 วันที่ผ่านมา

    YANGA TAMU BANA!!!!

  • @victornzebele3990
    @victornzebele3990 21 วันที่ผ่านมา

    All the best my team🔰🔰🔰🏆🏆🏆🥇🥇🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @augustinohongoli8088
    @augustinohongoli8088 21 วันที่ผ่านมา +2

    Dah sijamuona mwanangu musonda na ibra bacca😢

  • @Sumamnazalety
    @Sumamnazalety 21 วันที่ผ่านมา

    🎉GooD luck young african

  • @user-em2sd9tm1n
    @user-em2sd9tm1n 21 วันที่ผ่านมา +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉maua yenu mastaa wetu

  • @user-fb9wp5xe8w
    @user-fb9wp5xe8w 19 วันที่ผ่านมา

    Adi raha

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES 21 วันที่ผ่านมา +2

    Mm mwanasimba naomba wanasimba tujitoe mapema ligi kuu la sivyo tunakuwa magori kama mvua ya Hanang😅😅😅😅

    • @frida-oi6kw
      @frida-oi6kw 20 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

  • @mikwilemyovela3382
    @mikwilemyovela3382 20 วันที่ผ่านมา

    Upendo kwetu❤❤

  • @NyemoLucas
    @NyemoLucas 20 วันที่ผ่านมา

    The club above all.

  • @petersynto2043
    @petersynto2043 21 วันที่ผ่านมา

    Viva mwananchi chama langu ❤❤❤

  • @HashimuKiswago
    @HashimuKiswago 21 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona baca ayupo

  • @mwansasu
    @mwansasu 20 วันที่ผ่านมา

    Young Africans team niwauwaji watauwa mtu

  • @RamadhaniMangwira-s6w
    @RamadhaniMangwira-s6w 20 วันที่ผ่านมา

    Nakubali sana chama kubwa yanga