Mi nimependa yanga kuiongezea thamani nchi yetu, kutokutoka nje ya nchi, walianza kina diamond kutoenda kushut video nje, sasa kambi pia hapahapa, ahsante rais wa yanga Mungu akuweke💚💛💪
Hakika Yanga Sc ni familia moja kubwa Duniani inayotuleta wote pamoja, umoja na upendo ziwe ndani ya timu yetu daima, kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.
Wanangu yanga nimetoka kuangalia club bingwa ulaya kuna vitu vingi vya kujifunza ,nawaaminia daima mbele,watoto wa jangwani.muhimu mapambano yaendelee zaidi ya tulipoyaacha,team work ndio njia ya mafanikio ...love u yanga.
Nani mwengine anaangalia huku anatabasamu 😊😊😊
😊😊😊yn mpk nimechk kwasaut
😂😂😂
Tupo wengi mno
Mimi
Hii imekaa poa sana , inatangaza pia fahari ya Tanzania ❤
All the best INSHAALLAH my lovely team YOUNG AFRICANS nikiwa QATAR
Nawependa sana jeshi langu Mungu awalinde na awape afya njema🥂💚
🙏🙏🙏
Mungu awe pamoja nanyi wachezaji bench la ufund na viongozi wetu Amen🙏🙏🙏
Allah akawaongoze wapambanaji wetu,, ukawe msimu bora ndani kwa league ya ndani na kimataifa.
Kila la kweli wananchi 💗💗
Amina
Niwatakie maandalizi mema wapambanaji wetu💚💛💚💛🖤
Am happy that pacome and Aziz ki are back
Familia ya furaha💚💚💪💚💚💪🔥🔥🏆🏆
Mi nimependa yanga kuiongezea thamani nchi yetu, kutokutoka nje ya nchi, walianza kina diamond kutoenda kushut video nje, sasa kambi pia hapahapa, ahsante rais wa yanga Mungu akuweke💚💛💪
Kila la heri young Africans kwenye mandalizi na mazoezi kuelekea msimu ujao Hawepo ata mmoja kumia amen Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔰🇹🇿💯
Hadi nashindwa nifurah kwa njia gani big up sana
Yanga bingwa teeeena❤❤❤❤❤❤❤ mpaka 2030
Mamae kocha ashaanza kumpa madini chama
Hahaha wapinzan wajinyonge
Nimeuona ulafiki wa chama na msheli balaa
Baba karib.🎉kwa wanainchi utanenepa baba kunaraha zote
OMG I LOVE THIS TEAM😊❤
Nmekumoyo asee❤
We all love this team 💚
Chama ameanza kung'aa kweli yanga maisha mazuri
Mmh umenichekesha 😅😅😂
Keki kumi na saba si mchezo 😂😂😂😂😂
Hahahaha ❤❤
Yani wachezaji wanang'ara adirahaa🎉 naipenda sana yanga yangu jamani❤❤
Ligue iyanze naona Makolo washaanza kunenepa
😂😂😂😂😂kwahiyo haitakiwa hata kanyama kaziada kaongezeke?
😂😂😂😂😂😊
Umetutabilia mazuri ...ni mwendo wa kunenepa tu zamu yenu kukonda uto😅😅
@@user-zs4qz4wm2n Yanga kuna raha jamani...hadi chama katakata😅😅
😂😂😂😂😂
Yanga sc bingwa🙏🙏🙏🙏🏆🏆🏆
Nice
Mambo ni fire pit 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
The Biggest team in AFRICAA Nyie hamuogopiiii....
😂. Dah tunaogopa
Alooh yanga likes apa✅
Asante jeshi letu Mungu akupeni afia njema amini toka zenji
Jamani kumbe Chama ni handsome hivi jamani na amsemi 💛💛💛💛💛💚💛💚💛💚💛💚 siku tatu tu kanawili
Hakika Yanga Sc ni familia moja kubwa Duniani inayotuleta wote pamoja, umoja na upendo ziwe ndani ya timu yetu daima, kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.
Naipenda yanga na naitakia msimu mwema one day nataman niitumikie tim yangu from kigoma
Chama na gamond 💛💛
Nawatakia maandalizi mema Timu yangu ya Yanga tuchukue makombe yo tutakayo shiliki Biidhinila by Ronaldo Jr apa flom Bagamoyo❤
❤❤
P1 kazi kazi
Tuliorudia kuangalia zaidi ya mara moja tujuane hapa 😂😂🔰💛💚
Kumbe 2ko weng😂😂😂
Tulimiss haya mambo😊😊😊
Umeona eee❤
MUNGU ni mwema hongera Sana nyote kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Daima mbele nyuma mwiko
Endeleeni kupambana wanajeshi wetu tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko
Mashallah❤❤
Yanga 🔥🔥🔥
Kumbe chama ni hesamu boy walimtesa Sana kolo
Umeona hesamu wa maan kabisa makolo hawajui kutunza kabisa😂😂😂❤
Asha Ngedele wanakifa 10😅
Yn kila nikimuangalia chama natabasam peke yng😊
Familia ya yanga 🧡 inaishi kwa upendo sana
YANGA 4 LIFE
WOTE HAO KATI YA CHAMA, PACCOME NA AZIZ WATATAFUTA NAMBA LKN MAX NAMBA YAKE NI 100%, LABDA TU SIKU MECHI IWE RAHISI
Good kudadeki anachoelezewa chama niupasuaji wa odi ya akina mama
Wanangu yanga nimetoka kuangalia club bingwa ulaya kuna vitu vingi vya kujifunza ,nawaaminia daima mbele,watoto wa jangwani.muhimu mapambano yaendelee zaidi ya tulipoyaacha,team work ndio njia ya mafanikio ...love u yanga.
Mashaallah Alhamndulilah nakuomba M/Mungu wajaalie afya, nusra waondoshee Khusda Inshaallah
Gamond bwana eti anamwambia chama "uje uwapelekee moto makolo mpaka wakuite baba wa Lusaka
Team ya ushindi💚💛🔥🔥
Yanga bingwa
Yanga inaipa hadhi kubwa sana nchi na ligi yetu Africa
Mungu ayongoso yanga msimu ujao iwebora ndani na nje hongera sana aziz k kuendelea kubak yanga
Wachezaji wote wa YANG'A watoke TIMU LKN Kama rais wa mahiri engineer Haris bado yupo Yanga naamini TIMU Bado Moto ule ule.
Yanga tamu💛💛💚💚🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰
Nawatakia kila la heri kwa msimu huu uwe msimu wa.mafanikio makubwa sana my best team in Africa , nawafatilia sana nikiwa nyumbani kwangu marekani,
Kwan huyu n chama au macho yng jmn❤❤
Yanga raha saaaanaaa hiyo ndio daima mbele nyuma mwiko hiki kikosi mwaka huu kuna mtu atakimbiza timu uwanjani
Wananchiiii 👍👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚🏆🏆🏆🏆🏆
Master gamondi🎉🎉🎉🎉💚💚🤩🤩💚🏆💪🏿✅
Yanga ni timu kubwa Sana na msimu hujaaao sijui😂😂❤❤❤
Halafu haka kawimbo kanamatumaini makubwa 😄😄kanaitwaje jamani
Much ❤️
Hata wachezaji wetu wamempokea vizuri
Gamond na Mwamba wana agenda gani😂😂😂
Kwahyo Tena chama anavaa jezi no 20
I love you yanga❤❤🎉🎉
Tuko wengi wananchi daima mbele nyuma mwiko 💚💚💚💚💚
That is a real meaning of team
My team🎉 daima mbele nyuma mwiko💚🖤💛
Aziz k c amexhalud nayey aungane nawenzake mapema
Makolo bado misimu mitatu kuijenga timu yao kazi wanayo😂😂
Usajili tulio fanya uko vizuri sana naipenda yangaa❤❤
Huyu yao yao ni noma sana saninaaa
Walifanya vizuri kabisa
Hivi mmegundua sahv video zetu zinafuatiliwa sana
Nimeipenda hii
Dube ana aibu sana 😂
Timu kubwa inajipanga kuchukua makombe yote 🎉
Subscribers wapya karibuni sana
Wakwanza leo 🎉🎉🎉🎉
Mpaka raha Yan 🍀🌼🍀🌼
My lovely team ever
Fitinessss 😅😅😅😅😂😂 daima mbelee nyuma mwikooo
Gamond hana kazi ngumu,maana shughuli yote inamalizwa na kocha wa viungo.
YANGA DAIMA MBELE
No 20 chana 24 mzize 26 pacome 27 muda 29 princ muuwaji anae tabasam 😂 ❤❤
Hatari Kwanza jez ilivo mupendeza ya wanainchi
Ivo ayo mabelt uwa mnawaza Kama mimi😂😂😂😂😂😂
YANGA TAMU BANA!!!!
All the best my team🔰🔰🔰🏆🏆🏆🥇🥇🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Dah sijamuona mwanangu musonda na ibra bacca😢
Afu kweli na diarra
Eh na aucho pia
🎉GooD luck young african
🎉🎉🎉🎉🎉🎉maua yenu mastaa wetu
Adi raha
Mm mwanasimba naomba wanasimba tujitoe mapema ligi kuu la sivyo tunakuwa magori kama mvua ya Hanang😅😅😅😅
😂😂😂😂
Upendo kwetu❤❤
The club above all.
Viva mwananchi chama langu ❤❤❤
Mbona baca ayupo
Young Africans team niwauwaji watauwa mtu
Nakubali sana chama kubwa yanga