Mambo (7) Yanayoua Kipaji - Joel Nanauka

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

ความคิดเห็น • 97

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 5 ปีที่แล้ว +8

    Thanks teacher wetu kika cku iitwayo leo tunajifunza kupitia ww

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork 5 ปีที่แล้ว +15

    I can't wait for this to premiere. Must be very interesting... Good morning buddy!

    • @rajabuibrahimu4338
      @rajabuibrahimu4338 5 ปีที่แล้ว +3

      Success Path Mnatusaidia sana...
      Ninyi ni matabibu Wa afya ya fikra zetu..kama mm mmenisaudia sana ...Mungu awalinde...0659353388(Whatsup)

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Thanks Too
      #SeeYouAtTheTop

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork 5 ปีที่แล้ว +1

      Shukrani...Endelea kufuatilia na waambie wengine mazuri unayojifunza katika chaneli hizi @@rajabuibrahimu4338

  • @swabriissa2034
    @swabriissa2034 4 ปีที่แล้ว +1

    Dad sina lakusema brother umepiga ikulu

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 5 ปีที่แล้ว +5

    Asante sana mwalimu Nanauka bado napata Elimu kwako

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      #SeeYouAtTheTop Nisaidie Kushare

  • @seifzongo320
    @seifzongo320 5 ปีที่แล้ว +2

    Kaka naona umepungua sn mwil,kama ulikuw unaumw pole na Mungu akupiganie ..

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Seif Zongo Ameen nashukuru sana

  • @msengisimoni2087
    @msengisimoni2087 5 ปีที่แล้ว +6

    nimekuelewa mwalimu

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Asante Mwanafunzi Kwa Kujifunza

  • @michaelkessy5740
    @michaelkessy5740 5 ปีที่แล้ว +4

    Bado atujitambui.... Tuna tongotongo ktk Elimu ya kujitambua

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Karibu Tena Darasani Rafiki Yangu

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 5 ปีที่แล้ว +7

    Bro umetema madini sana umetema Almasi kabisa nashukuru kwa ujumbe. Naomba kufaham bei yakitabu cha Timiza malengo. Nakile cha timiza malengo Ahsante #see you

  • @rchrismbarikiwa
    @rchrismbarikiwa 5 ปีที่แล้ว +1

    Nakuombea kwa Mungu akupe maisha marefu hua najifunza mengi kwenye haya mafunzo yako

  • @Aviero_07
    @Aviero_07 5 ปีที่แล้ว +5

    Good brother...

  • @zuhuraabdillah6941
    @zuhuraabdillah6941 5 ปีที่แล้ว +9

    lack of mentor or coach this is a challenge to us african we have few mentors the rest are so jelousy on helping others. ndio maana watu wengi hatufanikiwi kwa kupitia hao watu. Thank you for sharing

  • @kennytwinzi821
    @kennytwinzi821 5 ปีที่แล้ว +2

    DAAH...YAANI NINAPOKUSIKILIZA MPAKA MWILI UNASISIMUKA ...UNAONGEA VIKUBWA SANA KAKA.NAKUSHUKURU SANA KAKA.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Asante Nashukuru Kwa Kujifunza

  • @kingsimbahh8458
    @kingsimbahh8458 5 ปีที่แล้ว +5

    Shukran kwa somo zuri🙏🙏🙏

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop

  • @jumathomasnyumayo8304
    @jumathomasnyumayo8304 5 ปีที่แล้ว +4

    Joel I really love and admire your teaching. God bless you. Wewe una Zaidi ya kipaji na ndio maana unajituma beyond borders.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Thanks My Friend #SeeYouAtTheTop

  • @albeleenalberto158
    @albeleenalberto158 5 ปีที่แล้ว +4

    Mbona umenisema mimi

  • @joaneruvenge2275
    @joaneruvenge2275 5 ปีที่แล้ว +1

    Upo vizuri kiongozi. Ipo siku nitakupa ushuuda jinsi Video zako zinavyobadilisha maisha yangu.

  • @luciewajesus731
    @luciewajesus731 5 ปีที่แล้ว +3

    Numbari la 4na tano limeniguza mimi Asante Kaka Joel hili video lina funzo maishani mwangu.

  • @tululililomo4706
    @tululililomo4706 5 ปีที่แล้ว +1

    🤣🤣🤣🤣🤣safi sana mkuu mchungwa hauli machungwa nimekuelewa mail ndefu balaa

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi4882 5 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante sana kwa mafunzo, hapa kwenye kuwekeza katika kipaji ni mahali panapowagusa wengi maana, kuna gharama kubwa kwenye suala la muda, fedha, uhusiano wa kijamii, nk.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Ukiweka Mkazo Inawezekana

  • @winnyshayo8812
    @winnyshayo8812 5 ปีที่แล้ว +2

    BARIKIWA KAKA JOEL.

  • @AfredaLupogo
    @AfredaLupogo 7 หลายเดือนก่อน

    Axante xana kaka Joel nanauka kwa mafundisho mazur kwa kweli mm kuazia Leo nawekeza zaid kwenye kipaj kuliko lifestyle

  • @aidankazoba6699
    @aidankazoba6699 5 ปีที่แล้ว +4

    Nasubiria hii nondo.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +1

      Asante Mwanafunzi Naomba Unisaidie Kushare Kwa Watu Wengi Uwezavyo

  • @theresiachigali9482
    @theresiachigali9482 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana Joel nanauka unaziidi kinijenga kiakili

  • @jamesibrahim8849
    @jamesibrahim8849 5 ปีที่แล้ว +1

    Marafiki wanachangia sana kuharibu kipaji, maana unapokuwa maarufu Marafiki wanakutafuta kwa kasi, inabaki Kazi yakuchambua yupi ni wafaida na wahasara. Asante Mwl. J. A. NANAUKA

  • @helbertsoneka2008
    @helbertsoneka2008 5 ปีที่แล้ว

    Asante sana brother kwa somo zuri

  • @VeronicaYenga
    @VeronicaYenga หลายเดือนก่อน

    Shukrani, umeniongezea maarifa,

  • @mosesdaniel600
    @mosesdaniel600 5 ปีที่แล้ว

    we jamaa unajua mpaka kero by DASH COMBO

  • @paternokimario9248
    @paternokimario9248 5 ปีที่แล้ว

    Napendaa kukufuatilia sana Joel, ila sasa hiyo sauti ya mzikii, sioni kama ina umuhimu ukiwa unafundishaaa. Kwa ushauri wanguu, usiiweke tenaa.

  • @bensonjohn5400
    @bensonjohn5400 3 ปีที่แล้ว

    Kwema Kaka

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ 4 ปีที่แล้ว

    Nashukuru elimu unayo inanifanya niwe najiamini na kujiona ninanafasi ya kufanya mambo makubwa

  • @rahmahussein4019
    @rahmahussein4019 5 ปีที่แล้ว +1

    Very good lecture thanks .

  • @mwajumamwishehe2743
    @mwajumamwishehe2743 5 ปีที่แล้ว +3

    Asante sana kaka mungu hawe pamoja nawe 🙏🙏

  • @beatusmpogoza4200
    @beatusmpogoza4200 5 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana bro. Joel, unaongea reality ya maisha.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Asante Kujifunza Na Usiache Kujifunza.Kama Bado Haujasubscribe Channel Hii Fanya Hivyo Sasa.#SeeYouAtTheTop

  • @stanleywagospel6689
    @stanleywagospel6689 4 ปีที่แล้ว

    Asante broo,umenifungua minyororo

  • @bevanny9389
    @bevanny9389 4 ปีที่แล้ว

    Habari kaka

  • @masterkey536
    @masterkey536 2 ปีที่แล้ว

    Asante sanaaa 🇹🇿

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 5 ปีที่แล้ว

    nimebarikiwa sana na masomo yako, Joel. Ubarikiwe sana.

  • @fatomaeid6639
    @fatomaeid6639 5 ปีที่แล้ว +2

    Nashukuru Joel unazidi kunifungua ufahamu wangu barilkiwa sana

  • @rajabuibrahimu4338
    @rajabuibrahimu4338 5 ปีที่แล้ว +10

    Kwa kweli mnatusaidia sana ..
    Wewe ni tabibu Wa afya ya fikra zetu..
    Kama mm binafsi napata Maono sana kupitia Mafundisho haya...
    Mungu awalnde sana ..Mnastahki kupata Tuzo za kimataifa..
    0659353388(Fundi Rajab)

  • @erickathanas
    @erickathanas ปีที่แล้ว

    💯 percent hakika

  • @twinsdiba_1696
    @twinsdiba_1696 5 ปีที่แล้ว +3

    nice bro

  • @healinghomeprayercentre
    @healinghomeprayercentre 5 ปีที่แล้ว

    You are blessed man of God

  • @siakimaro1107
    @siakimaro1107 4 ปีที่แล้ว

    Kuto kukitumia kipaji aisee

  • @bensonjohn5400
    @bensonjohn5400 3 ปีที่แล้ว

    Huyo Mentors Nampataje Kaka

  • @msleny6767
    @msleny6767 5 ปีที่แล้ว

    I really love this season. Somo zote unazotupa ni ya wakati timilifu👌
    Nashukuru sana kwa maelezo haya kaka (I count you my mentor and life coach, thanks alot)

  • @ombeningaya6854
    @ombeningaya6854 5 ปีที่แล้ว

    Thanks Brother be blessed

  • @citymaxbookshoptanzania2924
    @citymaxbookshoptanzania2924 5 ปีที่แล้ว +1

    Kweli kabisa Joel watu wengi wanakwama kwasababu hawajui kwamba jambo kubwa ni kuwekeza katika kile wanachokifanya na kwahiyo jambo kubwa ni kipaji na sio katika kuwaonyesha watu kwamba unaishi vizuri wakati kiuhalisia sio na ndio maana ukubwa wa MAFANIKIO yako unapimwa na jitihada zako. Na jambo kubwa wawekeze katika kuelekea uhuru wa kifedha kwa kuweka SAVINGS.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +1

      mwalu chaula Ameen nashukuru sana

  • @joycemakarius8540
    @joycemakarius8540 5 ปีที่แล้ว +1

    Amina mtumishi!

  • @vedastokeya3344
    @vedastokeya3344 4 ปีที่แล้ว

    Fumbo lililotushinda wengi ni kubadilisha kipaji kuwa biashara, japo anold schwezniger alibadili mwili wake kuwa aseti

  • @kagezaonlinetv544
    @kagezaonlinetv544 5 ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka

  • @johnchibanhila1850
    @johnchibanhila1850 5 ปีที่แล้ว +3

    Point

  • @neserianmollel4306
    @neserianmollel4306 5 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwa somo zuri ila mim nahitaji mentor je nitawezaje kimpata??

  • @mosesdaniel600
    @mosesdaniel600 5 ปีที่แล้ว

    sijajosea kusarbucraibu by DASH COMBO

  • @awamkhalid5361
    @awamkhalid5361 5 ปีที่แล้ว

    Watu weng wanshindw kulinganish kpaj na muda kwa mfano mchezaj mpira hawez kuendelea kucheza akiwa na miak 50 hivyo anustuka ishakua jion

  • @theresiachigali9482
    @theresiachigali9482 2 ปีที่แล้ว

    Joel naomba ushaur wako halafu mbona hua hujibu maimbi yangu

  • @janethsimon989
    @janethsimon989 5 ปีที่แล้ว

    Duh kaka offs yako ipo wapi nije unipe ushauri

  • @wemamuss
    @wemamuss 5 ปีที่แล้ว +3

    Shukran kaka kwa soma zuri la jinsi ya kulinda kipaji.
    Mimi kuna mtu wa karibu sana ndo anaua kipaji changu na kumwepuka ni ngumu sn.
    Sijui hata nifanyaje?

    • @albeleenalberto158
      @albeleenalberto158 5 ปีที่แล้ว

      Wema Mussa Kwan umetekwa 😂😂

    • @vamo2082
      @vamo2082 5 ปีที่แล้ว

      Kanyaga

    • @wemamuss
      @wemamuss 5 ปีที่แล้ว

      @@albeleenalberto158 mi Nahitaji ushauri we unanicheka 🤔

    • @albeleenalberto158
      @albeleenalberto158 5 ปีที่แล้ว

      Temana nae maisha ni mafupi asee

  • @jackjosseph5664
    @jackjosseph5664 5 ปีที่แล้ว

    Nataka kujua hivi nita jua vipi kipaji changu?

  • @firdausabdullah6315
    @firdausabdullah6315 5 ปีที่แล้ว

    Fact

  • @bevanny9389
    @bevanny9389 4 ปีที่แล้ว

    Naomba kaka unitumie namba yako zangu ni 0747129290 nataka tuongee mimi ni msanii mchanga nimetapeliwa sana kaka ila najua ushauri ni faida kubwa kwangu