Askofu Almachius aibana serikali kuhusu Elimu, madhehebu na wachungaji feki/ "Ni uhuru gani huo.?"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- Homilia ya Askofu Almachius Rweyongeza, Askofu wa Jimbo Katoliki Kayanga katika homilia wakati wa Jubilei Pacha miaka 25 ya Uaskofu na miaka 50 ya Upadre wa Askofu Desderius Rwoma , Askofu Mstaafu Jimbo Katoliki Bukoba.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja
Asante sama baba yangu kipenzi. Kazi yako umeiganya. Mungu akubariki!
Pia mwanadamu bila maadili ni mnyama kama mnyama mwingine