Mera performing at matondoni

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ก.ย. 2021

ความคิดเห็น • 46

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 2 ปีที่แล้ว +6

    Mungu atulinde Sisi na vijana wetu vitakavyo kuja huyu ameenda mpaka maka Mambo bado ni hya

    • @adriankenyan7938
      @adriankenyan7938 2 ปีที่แล้ว

      KWa Raha zake maisha ya mtu wayaingilia nini? Wewe mwanzo tengeza paa laki uongozeshe ukoo wako kisha uebde ukashifu wengine

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 2 ปีที่แล้ว +1

      @@adriankenyan7938 Kwa sababu ww sio muislam sasa hujui mafundisho ya uislam na Mila za kislam ndio maana so mm hata ww usiokua muislam Nina hki nije nikufunze nikuelimisha uislam nisipo kujuza na maswali mola wangu atanienda niuliza so kma ww Niko na haki ya kukujuza sembuse muislam mwenzangu?

  • @kuschprince3216
    @kuschprince3216 2 ปีที่แล้ว +2

    "Daah,wooooow,the lady in white is on fire" Hena pia imempamba,i shall add the one in blue too! Your smiles catches the hearts of millions.Watching from Germany.Mashalla!! Hiyo ndio pwani yetu,zawadi yetu kutoka kwa "Allah (swt) Mumtaz.

  • @abdimohammed3564
    @abdimohammed3564 2 ปีที่แล้ว +4

    Matondoni yetu inarudi nyuma kwa starehe nyingi znazotuduwaza hatufikirii maisha ya kesho. Mtu ALLAH amekujaalia umenda mpaka hija unarudia mziki kama mzee Yusuf. In terms of development matondoni iko chini. Na yote yanaletwa na kulala kwa vijana wenzangu lakini iko siku InshaAllah ntaamsha Matondoni.

    • @adriankenyan7938
      @adriankenyan7938 2 ปีที่แล้ว

      Sasa mwataka watu waishi vipi jamanini??? Mina kazi wewe Pia uingiae TH-cam ukiangalia pi haitakaniwi. Jamani mwataka watu waishi vipi mupite mukitishia watu tu na Dini dah

    • @SwabraAbdalla-yf7sg
      @SwabraAbdalla-yf7sg 3 หลายเดือนก่อน

      inshaallah kheri tutaona hayo maendeleo yako

  • @Khalid-mf3iu
    @Khalid-mf3iu 2 ปีที่แล้ว +3

    Yasikitisha....ALLAH YUSTUR, if mmbo ni haya kweli kutakua na MWAMKO?

  • @omaraziz3889
    @omaraziz3889 2 ปีที่แล้ว +2

    Meraaaaassss uko juuuuuuu

  • @sidebkenya1918
    @sidebkenya1918 2 ปีที่แล้ว +2

    Safi Sana Mera twende nalo

  • @abdallahalbaury9314
    @abdallahalbaury9314 2 ปีที่แล้ว

    Asantaa

  • @MohamedMohamed-ks5yc
    @MohamedMohamed-ks5yc 2 ปีที่แล้ว +1

    Nikiwa ndani ya tchundwa nakupata vizuri sana mera mere dost

    • @ummuabdsheikh9581
      @ummuabdsheikh9581 2 ปีที่แล้ว

      Maskini za mngu twasikitisha ummati Muhammad mumesahau kuwa kuna mwanandsni???

    • @ummuabdsheikh9581
      @ummuabdsheikh9581 2 ปีที่แล้ว

      Mwanandani*

  • @omaraziz3889
    @omaraziz3889 2 ปีที่แล้ว

    Weeeee tondooo kujaaa sasaaaaa

  • @user-ji6kb4qj6n
    @user-ji6kb4qj6n 2 ปีที่แล้ว

    Hatuko uzunguni mix wanawake na wanaume kisha washikana mikono wakicheza

  • @alhabsi6430
    @alhabsi6430 5 หลายเดือนก่อน

    Sasa huyo alikaa hapo katikati anaenyolewa ndio nani bwana harusi??🤣🤣au vipi?😂

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 2 ปีที่แล้ว

    What is going on here. Can someone explain please. Which country is this.

    • @SO-ef9he
      @SO-ef9he 2 ปีที่แล้ว

      Afghanistan

    • @zulekhayusaf9847
      @zulekhayusaf9847 2 ปีที่แล้ว

      @@SO-ef9he ghai😂😂😂😂😂

    • @jusnierlali4837
      @jusnierlali4837 ปีที่แล้ว +1

      Lamu, Kenya.
      It's part of a wedding occasion, where they are shaving and grooming the groom before he goes to get the bride.

    • @fatimaabubakar719
      @fatimaabubakar719 6 หลายเดือนก่อน

      Faza island in kenya. U can call it lamu

  • @user-ji6kb4qj6n
    @user-ji6kb4qj6n 2 ปีที่แล้ว +1

    Sherehe zetu nzuri lkn hao wanaume wafanyaje katikati ya wanawake kwani hakuna waimbaji wanawake?Tuji tahidini sherehe za wanawake ziwe wanawake pekee ili MUNGU awe radhi nasi

  • @habibabanga1670
    @habibabanga1670 2 ปีที่แล้ว +2

    Alie wako ni wako hata kama uziziie

  • @omaraziz3889
    @omaraziz3889 2 ปีที่แล้ว

    Mamakeeeeeeeeeeeeee

  • @ummuabdsheikh9581
    @ummuabdsheikh9581 2 ปีที่แล้ว +3

    Hizo ni laana wajinga watu wa bara wamechukua wadhifa zote nyinyi mumezubaa mwatokwa na ute
    Wajinga!!! Kuwapa faida nyengine kununua miraa na wao wanchukua faida wanapeleka kwa
    Munaoza

    • @nurukavumbi2477
      @nurukavumbi2477 2 ปีที่แล้ว +1

      Akuna haja ya kutukana. Wakatazeni kwawema ndipo utapata thawabu.

    • @ummuabdsheikh9581
      @ummuabdsheikh9581 2 ปีที่แล้ว

      @@nurukavumbi2477 wameoza mpaka ute wawatoka wacha waambiwe ukweli

    • @kenyamind7225
      @kenyamind7225 2 ปีที่แล้ว

      @@ummuabdsheikh9581 Si lamu peke yake ata kwetu mombasa pia hali moja. Lazma tuelimishane kwa njia mwafaka.

    • @ummuabdsheikh9581
      @ummuabdsheikh9581 2 ปีที่แล้ว +2

      @@kenyamind7225 elimisheni lakini killa mmoja amefunga mdomo
      Vipi? Au nikufurahia ingekuwa sharia ya kiislamu ipo basi moja kwa moja watu hawa wangetiwa adabu ili kuzuwia munkar usizidi kuenea kwa wengine

    • @reemaaldjs3820
      @reemaaldjs3820 2 ปีที่แล้ว +1

      @@ummuabdsheikh9581 ww waona hilo ni watu kutiwa adhabu,huko kwenye dini sudia mbona wauwa wafanyikazi na huku ndio dini imeanza hawaadhibiwi,sio kumuhukumu mtu anae hukumu ni mungu