Wapendwa kwahali hii tuzidi kujitakasa maana hata yesu alisema mwonapo haya yatokea basi tambueni mwana wadam yukalibu kuchukua kanisa lake, nampenda yes sana kuliko kituchochot dunian maana ndio uzima wangu baada ya kifo hapa dunian
Kweli Mungu ni mvumilivu. Ningekuwa mimi ningekuwa nimewamaliza wote. Uchafu wa kutisha sana. Mungu, naomba utukumbuke wanadamu. Peke yetu hatuwezi kumshinda shetani na majini yake
Wasiokuelewa na kuielewa kazi yako ndio hao hao wanaojishuku wengine wao n wahumini na washirika wakubwa makanisani eti nao wanalalama kuusu mahubiri na kazi zako ina maana ukweli hawautaki mi nasema upo sawa kbs na mungu yupo nawe hadi tamati
Mungu naomba ufunuo ukwel kwa wato wote kupitia watumishi wako mbarikiwa asante kwa injili yako baba yangu wa kiroho
Wapendwa kwahali hii tuzidi kujitakasa maana hata yesu alisema mwonapo haya yatokea basi tambueni mwana wadam yukalibu kuchukua kanisa lake, nampenda yes sana kuliko kituchochot dunian maana ndio uzima wangu baada ya kifo hapa dunian
Heri wafu wafao ktk Bwana,kwa maana matendo, yao yafuatana nao,wimbo huu umenipeleka Rohoni sana balikiwa sana Mtumishi wa Yehova,
Dunia ipo mwishoni hakika.🙆😢😢 Mungu turehemu.. Karibuni mwanaume Yesu anarudi.. tubuni jameni.
Ubarikiwe sana Mtumishi. You're the best
Mweee ndaga mwana gwa kyala mhh!!! Dunia iko mwishoni dah MUNGU wetu turehemu
Barikiwa sana tumishi. Simama hivohivo usirudi nyuma.
Yesu anarudi tushi maisha matakatifu ukutukitenda mema
YESU KRISTO TUNAOMBA UTUREHEMU
Dunia iko mwisho kweli. Mtumishi wa Mungu endelea kusimama nau kweli
Yaliyo tabiriwa yameanza kutimia
Wapendwa tuzidi kusali na kujiakasa 😢😢😢😢😢
Mungu aturehemu 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Jamani muda umekwisha watu wanaona kama maigizo hivi ila watu watashituka huku, hukumu imeshafika
Kweli Mungu ni mvumilivu. Ningekuwa mimi ningekuwa nimewamaliza wote. Uchafu wa kutisha sana. Mungu, naomba utukumbuke wanadamu. Peke yetu hatuwezi kumshinda shetani na majini yake
Kwa sasa naona mazingira tofauti Yana mreta YESU kristo
Mungu akutunze mtumishi
Aisee ni hatari sana
N kweli tuko siku za mwisho😢😢😢
Kweli ii dunia imeisha kabisa mwanaume anaoa mwanaume mwenzake🤔🤔🤔
Kweli yikomwisho dunia
Yesu Arudi Sasa Jamani!!! Siyo Kwa Haya tunayo Yaona Jamani!!!
ONA MTUMISHI WA YESU KRISTO BADILI TABIÀ ZAKO MWAMINI MUNGU AWABARIKI
God bless you Cassian you are doing a good job. Tell them them the truth!
Mungu akupe ulinzi wake,ni wache wanaoweza kusema kweli😭
Mtumishi usitaje majina ya watu hujui hatima ya mtu, ila kuonya ni kazi nzuri
Bora watajwe tu ili MTU achague asiwe na kisingizio kwa uliwahi kuskia sauti 😢😢🙏🏻
Mwache ataje
hawa pumbavu wazungu ndo wameleta ushetani Africa
Wonder shall never and the world is on danger
Jamani inauzunisha 😢😢😢😢
Yanaanzia nchi za nje mwshowe yanafika kwetu Africa. Mbona waafrika tuige jamani? Tuwachie watu tabia zao . Nkt
😭😭 inauma
Wasiokuelewa na kuielewa kazi yako ndio hao hao wanaojishuku wengine wao n wahumini na washirika wakubwa makanisani eti nao wanalalama kuusu mahubiri na kazi zako ina maana ukweli hawautaki mi nasema upo sawa kbs na mungu yupo nawe hadi tamati
Aliye na sikio atasikia anayonena mtumishi ila sikio la kufa halisikii dawa.
Kweli jamani hakika mtumishi wa Mungu
Tuliita fashion kumbe yanalenga UHARIBIFU namna hii uuuuuuuuwi
😭😭😭😭😭😭😭
MUNGU akutie nguvu past casian
Uwiii jamani
😢😢😢😢😢😢😢😢
😭😭😭🙆
Dah, 😭
𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒂𝒕𝒖𝒔𝒂𝒊𝒅𝒊𝒆 𝒔𝒂𝒏𝒂