Masta embu awape ile story ya kwenda Kenya Scandinavia bus linu lika chemka ika bidi wapande Scandinavia la kwenda kamapla ikabidi nikupe seat mm na bi mkubwa wangu tubanane masta ukae 😂😂😂😂😂
Kila kitu kipo sawa kwenye Interview zako Jabir ila unachozingua ni kutokuziweka nyimbo unazozicheza kama Classic Songs.Hapo fanya mabadiliko weka nyimbo hizo,tatizo nini?
Brother Ommy leo hauko poa Nashauri usifanye ex.interview ukiwa katika hali hiyo najua mnahuzuni na msiba wa mtangazaji mwenzenu ni vyema kuacha kuwahoji hasa wasanii wenye jina kama huyo ulonaye
Masta embu awape ile story ya kwenda Kenya Scandinavia bus linu lika chemka ika bidi wapande Scandinavia la kwenda kamapla ikabidi nikupe seat mm na bi mkubwa wangu tubanane masta ukae 😂😂😂😂😂
Kila kitu kipo sawa kwenye Interview zako Jabir ila unachozingua ni kutokuziweka nyimbo unazozicheza kama Classic Songs.Hapo fanya mabadiliko weka nyimbo hizo,tatizo nini?
Tatizo wanasikiliza wenyewe kweenye ear phone, vyema wote tusikilize ili twende sawa
"Baagala alina (wana mpenda mwenye kitu) genda ukole (nenda ukafanye kazi)" THE MEANING OF THOSE LUGANDA WORDS
th-cam.com/video/1qSlTNDn4LU/w-d-xo.html INSTUMENTAL BEAT PIGANA NA MUNGU BY OBY ALPHA
Bonge moja la interview..AY ni Legend
Jamaa namkauri sana Hana majigambo kabisa masta
jabir hiv kwann ujamuuliza alivyo ondoka Kwa GK maana Hilo swali nilitegemea Sana au mpk episode nyingine
Nina asilimia 99% katika watu hawatakosa kuja kuperform na AY master katika bongo honers ni Prezoo naomba muipin hii comment.🎉
Jagwa,sauti soul na chamelion
Shalout kwa AY
💪💪💪💪💪
Ambwene ni icon kwetu Tz 🎉
Brother Ommy leo hauko poa
Nashauri usifanye ex.interview ukiwa katika hali hiyo najua mnahuzuni na msiba wa mtangazaji mwenzenu ni vyema kuacha kuwahoji hasa wasanii wenye jina kama huyo ulonaye
Ommy ni nani?