CV YA LUHAGA MPINA WASIFU NA HISTORIA YAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 เม.ย. 2024
  • CV YA LUHAGA MPINA WASIFU NA HISTORIA YAKE / FAHAMU ALIPOZALIWA / SHULE ALIZOSOMA/ O LEVEL / A LEVEL / CHUO / KIWANGO CHA ELIMU / ALIKOFANYA KAZI KABLA YA UBUNGE N.K

ความคิดเห็น • 99

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 4 วันที่ผ่านมา +5

    Waweza kuchukia jambo kumbe ni kheri. Waweza kupenda kumbe ni shari. Na Mwenyezi MUNGU MTUKUFU Anajua na nyinyi hamjui.

  • @maase2023
    @maase2023 5 วันที่ผ่านมา +6

    Huyu ni mbunge anaestahili kuwa mbunge! Bravo bravo

  • @IsaacChiwinga
    @IsaacChiwinga 9 วันที่ผ่านมา +5

    Congratulations, I have been very much inspired the commitment exposed by honorable Luhaga Johnson Mpina, thus he deserves to be president of this country(Tanzania), in next election(2025), through opposition party.

  • @jonasnzemya7700
    @jonasnzemya7700 3 วันที่ผ่านมา +2

    Pole kwa misukosuko unayokutana nayo huko bungeni,nakushauri hapo baadae uachane na CCM,bado jamii ya kitanzania inakuhitaji sana, asante

  • @DeusdeditKamalamo
    @DeusdeditKamalamo 4 วันที่ผ่านมา +2

    Nimekusikiliza vizuri kuhusu cv ya Mpina na amaelezo uliyoyatoa tunamuomba Mungu aongeze akina Mpina wengi huko Bungeni.Ili Watanganyika tuondokane na maumivi haya tunayoyapita.Maanakaamua kijitoa kafra kwa ajili alijuya kitachomtokea lakini hakurudi nyuma.Hongera Mpina tumpe maua yake.

    • @TheodosiaSangka
      @TheodosiaSangka 3 วันที่ผ่านมา

      Mh.Luhaga anastahili maua mengi tu ingependeza siku anarudi bungeni wapenda haki na wapiga kura wake wamsindikize hadi mjengoni bungeni huko wabunge waone anavyokuwa supported na Watanganyika

  • @zakaria924
    @zakaria924 7 วันที่ผ่านมา +3

    Kumbe naye Kielimu si haba yuko vizuri, michango yake Bungeni ni "Aksi" Kuwa ni Big Mind, anajikita ktk hoja zenye Nguvu, ZILIZOTAFITIWA na Takwimu zake! 👏🙏🤜🤛

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 2 หลายเดือนก่อน +6

    Yuko vizuri Sana watanzania tumemuelewa

  • @maximillianmubashi7328
    @maximillianmubashi7328 2 หลายเดือนก่อน +7

    Bravo Luhanga Johnson Mpinga continue to fight we are with you.

    • @KlikHapaTV
      @KlikHapaTV  2 หลายเดือนก่อน

      Asante kwa maoni yako

    • @benyavan5774
      @benyavan5774 5 วันที่ผ่านมา

      We are with you 😂😂😂hahahahaa

  • @mwanjalimfaume6380
    @mwanjalimfaume6380 4 วันที่ผ่านมา +1

    Yuko vizuri Joel mu ndio maana michango let hoja ni ya kisomi sana juu ya fedha

  • @ramadhanimtozeni8030
    @ramadhanimtozeni8030 2 หลายเดือนก่อน +2

    Yupo vizuri sana katika kujenga hoja na kuisimamia, Kila la heri mheshimiwa Luhaga

    • @KlikHapaTV
      @KlikHapaTV  2 หลายเดือนก่อน

      Hakika anajitahidi sana

  • @madukurumwanileles7909
    @madukurumwanileles7909 หลายเดือนก่อน +4

    Shule ni kitu kingine na uwezo wa kutetea wanamchi ni suala jingine mpina Yuko vizuri bana

    • @KlikHapaTV
      @KlikHapaTV  หลายเดือนก่อน

      Hakika

  • @user-is4om8ci1y
    @user-is4om8ci1y 3 วันที่ผ่านมา +1

    Mpinayuko sahihi

  • @BonifacePetro-l3g
    @BonifacePetro-l3g 2 วันที่ผ่านมา

    Luhaga Yuko sawa musimujengee hoja familia Moja kukosoana nisawa hatakama vyama vyama vya upinzani visiwepo bunge lazima liwe na mufumo huo kujua ukweli ndiyo kazi zawabunge Kila mubunge asimie analoliamini ndiyomaana kuweka mambosawa

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 5 วันที่ผ่านมา +2

    Mpina kata rufaa Kwa Mungu na wachi

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 2 วันที่ผ่านมา

    Mungu ni mwema

  • @justinempemba5981
    @justinempemba5981 2 หลายเดือนก่อน +2

    Watanzania sisi anatufaa sana mpina

    • @KlikHapaTV
      @KlikHapaTV  2 หลายเดือนก่อน

      Eti eeeh

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 2 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤❤❤❤ much love brother Mpina

  • @Danson-zp5to
    @Danson-zp5to 5 วันที่ผ่านมา +1

    Wew mwandishi ukiandaa cv ya mtu jiridhishe na vyeo unavyotuambia. In shot hii Ina udhaifu mkubwa sana

  • @user-to5jr2io6c
    @user-to5jr2io6c 8 วันที่ผ่านมา +1

    mpina mungu akulinde sana

  • @samwelsimon2148
    @samwelsimon2148 4 วันที่ผ่านมา

    We love you and still waiting you......Mpina Lihaga...no more words.....God keep you safely

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mpina ni mzalendo wa kweli.

  • @gerrylufingo387
    @gerrylufingo387 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mh Mpina anasadia sana kuiimarisha Serkali kutokana na Michango yake Bungeni

  • @ndyamukamarwiyula7230
    @ndyamukamarwiyula7230 3 วันที่ผ่านมา

    Anatutendea haki Wapigakura wake na Taifa kwa ujumla

  • @SHIJAFELICIAN
    @SHIJAFELICIAN 6 วันที่ผ่านมา +1

    Shida hapa ni mtangazaji hajui chochote juu ya vyeo mpina hajawahi kuwa mkurugenzi wa halmashauri na hakuna cheo cha kuwa mkurugenzi harafu mtendaji wa kata

    • @charlesmbaga6115
      @charlesmbaga6115 4 วันที่ผ่านมา

      Kinacho Kuumiixa ni kiapo NA SITATOA SIRI ZA BARAZA LA MAWAZIRI

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤ presidential material 100% Dr Joel Luhaga Pina for 2030 for Tanzania

    • @KlikHapaTV
      @KlikHapaTV  2 หลายเดือนก่อน

      Ngoja Tusubirie

    • @angelsgabriely3575
      @angelsgabriely3575 2 หลายเดือนก่อน +1

      Watamuacha hai kwel,..wanavyojua kuuwa kibiologia watu wanasema ukwel na kutetea maslah ya nchi

    • @user-ey7kl6ds8r
      @user-ey7kl6ds8r 2 หลายเดือนก่อน

      ​😊

  • @jumamrange
    @jumamrange 23 วันที่ผ่านมา

    Wabunge wajifunze kwa mpina, Sion muda wote kupiga makofi hata mambo ambayo bayana manufaa kwa taifa😊

  • @tuntufyemwaitebele
    @tuntufyemwaitebele 3 วันที่ผ่านมา

    Shujaa

  • @PeterAlphonce-uh2mc
    @PeterAlphonce-uh2mc 2 หลายเดือนก่อน +1

    Anafaa urais

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ipo siku Mungu atamwinua kuwa Rais wa nchi hii....mzalendo wa kweli,. Siyo mkosoaji ila ni msema kweli hana ushabiki na upendeleo.

    • @KlikHapaTV
      @KlikHapaTV  2 หลายเดือนก่อน

      Asante kwa Maoni yako Mabondo

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 4 วันที่ผ่านมา +1

    Wacheni uchuro ninyi waandishi wa Habsri, Historia ya nini mnaitoa,
    Kwani amekufa?
    Mwacheni Mmbunge akomae, Kumbe ni Bonge la msomi

  • @jameskivelege6721
    @jameskivelege6721 7 วันที่ผ่านมา

    Wewe unayetoa wasifu huu huna upeo. Kazi inahitaji elimu,upeo na weledi.

  • @timotheokiss4870
    @timotheokiss4870 2 หลายเดือนก่อน

    • @KlikHapaTV
      @KlikHapaTV  2 หลายเดือนก่อน

      PAMOJA sana

  • @andersonshimbi1378
    @andersonshimbi1378 2 หลายเดือนก่อน +1

    Siyo kweli kwamba kila mtu anaweza kuwa mbunge, huo usemi wako hauna ukweli

    • @KlikHapaTV
      @KlikHapaTV  2 หลายเดือนก่อน

      Nieleze pia na Misemo ambayo nimeisema na ni kweli, Au unaangalia makosa Tu Mkuu?

    • @andersonshimbi1378
      @andersonshimbi1378 2 หลายเดือนก่อน

      @@KlikHapaTV :- Yako mengi pia mengi uliyosema mazuri, lakini tambua mboga ikiungwa vizuri sana lakini ikazidishiwa chunvi uzuri wote unaharibika.

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 5 วันที่ผ่านมา

    We mtangazaji fanya maandalizi Wana mpina Kawa weo katikaofis yamkurugenzi wa wilaya

  • @mahengedaktari-ek8go
    @mahengedaktari-ek8go หลายเดือนก่อน

    Yuko safi sana huyu sema rais hachukui hatua

    • @KlikHapaTV
      @KlikHapaTV  หลายเดือนก่อน

      Hatua gani kaka

  • @jacksonmaphie679
    @jacksonmaphie679 4 วันที่ผ่านมา

    Umechanganya Mambo ww

  • @rashidkilloh4492
    @rashidkilloh4492 6 วันที่ผ่านมา

    Tumia alikuwa " Mjumbe wa Kamati sio Mwanachama wa Kamati

  • @user-bc9pe6io1b
    @user-bc9pe6io1b หลายเดือนก่อน +1

    Mtoa historia Huna uwezo.uwezo wako ni mdogo sana

    • @KlikHapaTV
      @KlikHapaTV  หลายเดือนก่อน +1

      Sawa Mkuu. Hongera mwenye uwezo mkubwa

  • @samsonGodanya
    @samsonGodanya 3 วันที่ผ่านมา +1

    Bunge bila wapinzani ni sawa na mgahawa

  • @methuselamiligo614
    @methuselamiligo614 11 วันที่ผ่านมา

    Hujui kueleza

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk 8 วันที่ผ่านมา

      Pumbavu ya Mama yako wewe umejierza wapi? Kenge usiye jielewa!

  • @samwelsimon2148
    @samwelsimon2148 4 วันที่ผ่านมา

    Brain

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 3 วันที่ผ่านมา

    Wengine kina msukan wasaka tonge tuu huyo ni jembe

  • @OlosekiLokoy-sy6qg
    @OlosekiLokoy-sy6qg 2 หลายเดือนก่อน

    Tunamuelewa sana huyu sio chawa

    • @KlikHapaTV
      @KlikHapaTV  2 หลายเดือนก่อน

      sawa kaka

  • @mjajukiyahya2790
    @mjajukiyahya2790 2 หลายเดือนก่อน

    Mwanachama au Mjumbe?

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 2 หลายเดือนก่อน

    Ukabila ni mbaya sana.

    • @rahimsadru-ct4ot
      @rahimsadru-ct4ot 2 หลายเดือนก่อน

      Kivip

    • @user-lw3tg3yg5b
      @user-lw3tg3yg5b 6 วันที่ผ่านมา

      Ukabila unakujaje hapa?
      Wewe ndiye unawaza ukabila Ila kwa mpina watu wengi wanakiri kuwa ni Malinda mtetezi wa raslimali za taifa

    • @user-lw3tg3yg5b
      @user-lw3tg3yg5b 6 วันที่ผ่านมา

      Ni mzalendo

  • @ABDULLAOALI
    @ABDULLAOALI 4 วันที่ผ่านมา

    Unaongea km mb za kwako, andaa vzr wasifu huo

  • @masanjadahungangika99
    @masanjadahungangika99 2 หลายเดือนก่อน +2

    SawA. Jembe la kisesa

  • @SoloEdward-kc7nh
    @SoloEdward-kc7nh 5 วันที่ผ่านมา

    Mbona huelewek

  • @JosephJasson-fx6rq
    @JosephJasson-fx6rq 13 วันที่ผ่านมา

    Mwamba huyu hapa

  • @jumapilimgunyi5420
    @jumapilimgunyi5420 6 วันที่ผ่านมา

    Ila kuna tatizo

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 5 วันที่ผ่านมา

    Hujui kutoa historia ya mtu wewe....

  • @user-oy2ui7rj8v
    @user-oy2ui7rj8v วันที่ผ่านมา

    Kwa kifupi Waswahili tunamuona ni Mnoko!!

    • @zuberisalum2004
      @zuberisalum2004 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mnoko kwalipi acha uwongo

  • @SHIJAFELICIAN
    @SHIJAFELICIAN 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mnachanganya sana hapa hakuna cheo cha mkurugenzi mtendaji harafu akawa tena ofisa biashara

    • @kaduma7168
      @kaduma7168 4 วันที่ผ่านมา

      Msimuliaji anachanganya vyeo..HAELEWEKI

  • @NazarSola
    @NazarSola 2 หลายเดือนก่อน

    Tofautisha kati ya Mkurugenzi na afisa biashara

    • @KlikHapaTV
      @KlikHapaTV  2 หลายเดือนก่อน

      Sawa , Asante kwa Maoni yako

    • @selemaniigosha
      @selemaniigosha 2 หลายเดือนก่อน +1

      Namwamin sana mpina!!

    • @valerianrwebandiza754
      @valerianrwebandiza754 13 วันที่ผ่านมา

      Mwandishi wa habari unashindwa kujielimisha kwa Mambo madogo kama haya! Inasikitisha!

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 2 หลายเดือนก่อน +1

    Anafa kuwa rais

  • @amospetro8789
    @amospetro8789 2 หลายเดือนก่อน

    Uongooo 1999 alikuwa anachukua henderi za machine

    • @Dm-ds3bb
      @Dm-ds3bb 2 หลายเดือนก่อน

      Usikariri kaka, CV siyo lazima Uandike Kila Kitu. Na si lazima mtu Aongelee Kila Kitu.

    • @kevinmary7129
      @kevinmary7129 2 หลายเดือนก่อน

      Tulia

    • @andersonshimbi1378
      @andersonshimbi1378 2 หลายเดือนก่อน

      Kwani huoni samaki ziliongezeka?

    • @emanuelshayayi54
      @emanuelshayayi54 7 วันที่ผ่านมา

      Yalikuwa majukumu yake.Maana hamkutaka kulipa Kodi.Kodi ni lazima na siyo ombi.

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k 2 หลายเดือนก่อน

    Mpina atwambie alipataje ubunge kwanza

    • @KlikHapaTV
      @KlikHapaTV  2 หลายเดือนก่อน

      Kwanini

    • @juliuschagga3213
      @juliuschagga3213 7 วันที่ผ่านมา +1

      Wajomba zako ndiyo walimwona, ukweli anastahili Sana na zaidi.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 5 วันที่ผ่านมา

    Liamsheni huyu jamaa anatakiwa kuwa fundisho kwa wahuni wachache wenye kutumia Madaraka vibaya ktk jumba letu la bunge

  • @karyori69
    @karyori69 2 หลายเดือนก่อน +1

    CV yake ni Ukabila unamuwasha!

  • @SHIJAFELICIAN
    @SHIJAFELICIAN 6 วันที่ผ่านมา

    Shida hapa ni mtangazaji hajui chochote juu ya vyeo mpina hajawahi kuwa mkurugenzi wa halmashauri na hakuna cheo cha kuwa mkurugenzi harafu mtendaji wa kata

  • @henrymjema1685
    @henrymjema1685 5 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 mtangazaji muongo huyuu, ila poa tu ushakula mb zetuu

  • @methuselamiligo614
    @methuselamiligo614 11 วันที่ผ่านมา

    Hujui kueleza

    • @scorasticaclement6308
      @scorasticaclement6308 7 วันที่ผ่านมา

      Kabsa

    • @user-bt6ep3yb2h
      @user-bt6ep3yb2h 6 วันที่ผ่านมา

      Mbonamnaomtete wote ni kabila moja na wengine kanda moja? Kina kinachowasumbua ni ukabila, kwani hajawahi kuwa waziri? Alifanya nini alipokuwa waziri na kwa nini qlitenguliwa?.