NANI YUKO NYUMA YA USHOGA NA USAGAJI?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 213

  • @Emmanuel-bundala
    @Emmanuel-bundala ปีที่แล้ว +3

    Be blessed much pastor, we need much praying and God walks with us into this final days . The world is end
    Yoshua 24:15

  • @PatriciaLeonard-rs1kj
    @PatriciaLeonard-rs1kj 6 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Pr tuombee na utufundishe zaidi. Mungu turehemu🙏

  • @kambiremsy5327
    @kambiremsy5327 ปีที่แล้ว +1

    Amina ubarikiwe sana mchungaji mungu akubaliki sana tena sana

  • @MichaelWambula
    @MichaelWambula 2 หลายเดือนก่อน

    Amina mtumishi ubarikiwe

  • @florencekawira2212
    @florencekawira2212 ปีที่แล้ว +3

    I can feel the pain in your heart in your voice. May God give you more life to train our minds more to follow the way of the Lord

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 ปีที่แล้ว +1

    Amina ni nguvu za giza mtumishi nimekuelewa wamelogwa hao

  • @augustinoemanuel8928
    @augustinoemanuel8928 ปีที่แล้ว +2

    Mungu pamoja na jeshi lake lipo na wewe katika neno hili, ubarikiwe sana Pastor.

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 ปีที่แล้ว +2

    Ameeeeen Ameeeen asnte sana mtumshi kwa ujumbe huu nimejifunza kitu hapa Bwana akutende mema

  • @vickyayo8712
    @vickyayo8712 ปีที่แล้ว +2

    Asante,mchungaji umenifungua macho,Mungu akubariki

  • @jakee2041
    @jakee2041 ปีที่แล้ว

    AMEEEN. AMEEEN. Mungu tuhurumie, utuokoe nyakati hizi za giza. MAWAKALA WA GIZA- shetani" wamejaa. ❤❤❤❤

  • @Walkietalk765
    @Walkietalk765 ปีที่แล้ว +1

    Hakuna jipya chini ya jua Mungu akubariki pastor Mmbaga wakati tulionao unahitaji watu kama ww Amen

  • @treziaamosi2047
    @treziaamosi2047 ปีที่แล้ว +1

    Tuombe neema tu kwa yesu atulehem mungu wangu tusaidie cc watoto wako yesu tuone mungu😭😭😭

  • @margrethkaserikali1458
    @margrethkaserikali1458 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akuzidishie hekima na umri mrefu uzidi kutumika madhabahuni kwake kwaajili yetu Pastor.🙏

  • @jackiedeshirima5571
    @jackiedeshirima5571 ปีที่แล้ว

    Amina Aminaa Amen 🙏 Pr.🙏

  • @kenansyprian6954
    @kenansyprian6954 ปีที่แล้ว

    Pastor asantee kwa mahubiri yako. Naomba tusaidie uchambuzi wa Kina wa Historia ya Israel na Palestina.

  • @letstalkhere6300
    @letstalkhere6300 ปีที่แล้ว +4

    Pastor , Asante na ubarikiwe

  • @MasoraMajogoro-gt6yt
    @MasoraMajogoro-gt6yt ปีที่แล้ว +2

    Asante sana paster ubarikiwe.

  • @Kivukutv
    @Kivukutv ปีที่แล้ว

    mungu ani iyi elimu niilete kwetu Congo maana haijafika muchungaji

  • @perisbosibori8524
    @perisbosibori8524 ปีที่แล้ว +2

    We need your intervention LORD, please do it because we are living in a world spoilt beyond repair. GOD bless you pastor.

  • @jakee2041
    @jakee2041 ปีที่แล้ว

    Ameeen. ❤❤ " OLE WAKE AMTEGEMEAYE MWANADAMU. pia pastors are human beings. MUNGU TU NA MAOMBI.❤❤

  • @jenithamlabuka-vi8nz
    @jenithamlabuka-vi8nz ปีที่แล้ว

    Barikiwa Sana, ninabarikiwa Sana,ninahitaji msaada wa maombi,ninaomba nisaidie kwa mawasliano,Niko Kigoma

  • @issamwakipesile3678
    @issamwakipesile3678 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki mjumbe wa Mungu

  • @ahadimtaita8083
    @ahadimtaita8083 16 วันที่ผ่านมา

    Amina

  • @elirehemamgonja8640
    @elirehemamgonja8640 ปีที่แล้ว +1

    Thanks my PR really you're connected with God if which is gon on

  • @safinaamutabi2843
    @safinaamutabi2843 ปีที่แล้ว

    Your the first parstor I have heard saying it's better you believe on yourself and God be blessed Sana

  • @AmosCharles-qp4ed
    @AmosCharles-qp4ed ปีที่แล้ว +2

    Amen pastor Ubarikiwe sana na Mungu akutumie zaidi katika kazi yake hii

  • @JudithAchola-vb6ks
    @JudithAchola-vb6ks ปีที่แล้ว

    Tunakuombea sana pasta mungu azidi kukuzingira unapoendelea na kaziyake ,

  • @jacksonvedastus8613
    @jacksonvedastus8613 ปีที่แล้ว

    Uko sawa, Mungu akufunulie Mengi,😊

  • @froline5209
    @froline5209 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akujalie neema yake kila siku mjungaji Mmbaga.

  • @annastaziamasala9694
    @annastaziamasala9694 ปีที่แล้ว +1

    Amina 🙏 mungu akubariki mtumishi Mungu atusaidie

  • @furahinimichael5034
    @furahinimichael5034 ปีที่แล้ว +3

    Moyo wangu unauma mpaka basi. Mungu atusaidie, ninaamini alituacha tuishi nyakati hizi Ili tuwe suluhisho Kwa majanga km haya. Tunamhitaji Mungu kuliko kawaida

  • @jeremiahzacharia7655
    @jeremiahzacharia7655 ปีที่แล้ว +1

    Asante Pastor

  • @JamesPoso-ef4nx
    @JamesPoso-ef4nx ปีที่แล้ว +3

    Pastor mungu akusidishie kibali nimebarikiwa sana na mahubiri yako

  • @BALEKECH2770
    @BALEKECH2770 ปีที่แล้ว

    Asante sana pastor nakufatilia nikiwa Congo 🇨🇩 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @zlpporahgechemba3111
    @zlpporahgechemba3111 ปีที่แล้ว

    Ameeeen mtumish wa mungu kwa mafundisho barikiwa

  • @namrindawilfredy2234
    @namrindawilfredy2234 ปีที่แล้ว

    Mungu akubatiki kwa kutoa somo hilo

  • @happykilangi473
    @happykilangi473 ปีที่แล้ว

    Barikiwa San pastor, Mungu anisaidie mm

  • @daud8785
    @daud8785 ปีที่แล้ว +1

    Nabarikiwa sana

  • @lyliosenuwayo
    @lyliosenuwayo ปีที่แล้ว

    PR. David MMBAGA you inspire me a lot.
    May God bless you 🙏🙏

  • @MMSTUDIOZ90
    @MMSTUDIOZ90 ปีที่แล้ว

    Bwana akubariki pastor

  • @florencenekesa8243
    @florencenekesa8243 ปีที่แล้ว +2

    Barikiwa sana mchungaji Kwa mafunzo mazuri sana ,Mungu akubariki sana,🙏🙏🙏Mungu akakomboe hii generation Kwa maana bila yy hatuwezi😢😢🙏🙏

  • @yusupholaisi7623
    @yusupholaisi7623 ปีที่แล้ว

    pasta MUNGU akubariki sana

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 ปีที่แล้ว

    Shukrani mchungaji natamani kanisa lako uhamishie hapa boda Tunduma 💓💓

  • @obedpeter6874
    @obedpeter6874 ปีที่แล้ว

    Barikiwa Sana pastor Yani house boy na house girl sio wa kuamini Tena imezuka mashirika ya kuzalisha hao watu wa kazi za ndani kumbe ni upinde

  • @omegakapange
    @omegakapange ปีที่แล้ว

    Amen,Amen mchungaji MUNGU akubariki pazasauti yako usiache remember that there is no star less crown in heaven

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 ปีที่แล้ว

    Ameni hii Ni KWELI mashoga wote na wasagaji na wachawi na wauaji wote WAZINZI wote wanatakiwa kuombewa TU na Sio kelele hizo Ila tutubu dhambi na kuacha na YESU NDIO MSHINDI WA YOTE TUMULUDIE MUNGU HALI NI MBAYA Sana na jehanamu ipo

  • @uzimawakotvnajamessikanyik9791
    @uzimawakotvnajamessikanyik9791 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa Sana mtumishi wa MUNGU,, MUNGU AKUPIGANIE,, Mafundisho yako nimbaraka Sana kwangu na kwa mazaifa,, MUNGU AZIDI kukufunulia mengi zaidi♥️♥️🙏

    • @uzimawakotvnajamessikanyik9791
      @uzimawakotvnajamessikanyik9791 ปีที่แล้ว

      Mataifa👆🙏🙏

    • @aminatuarira8171
      @aminatuarira8171 ปีที่แล้ว

      Mch Mmbaga wewe Mungu akubariki sana yaani unanibariki mpk Sijui nisemeje jambo moja tu ukisoma hii post niombee na familia yangu basi

  • @elienew3788
    @elienew3788 11 หลายเดือนก่อน

    Halleluya mtumishi waombee watoto wangu Ulinzi hua naota mwanangu mara kwa mara kuna mtu amembaka naamka naanza kum ombea

  • @ramadhan646
    @ramadhan646 ปีที่แล้ว

    Amina Mtumishi,kweli kabsa ucha MUNGU uko moyoni.Tuamini sana neno la MUNGU:Kutoka KENYA

  • @bahatikashindi7040
    @bahatikashindi7040 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki sana pastor 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @nurugidioni5852
    @nurugidioni5852 ปีที่แล้ว +4

    Mungu atusaidie ,sisi na watoto wetu,Dunia imeisha Kwa kweli.

  • @didasmsekwa
    @didasmsekwa ปีที่แล้ว +4

    Ni kweli kabisa siyo mda wa kuwaficha watoto wetu kuwambia jinsi ya kujiepusha na habari za ushoga

  • @dorothmashauri2487
    @dorothmashauri2487 ปีที่แล้ว

    Barikiwa Sana Mchungaji

  • @Sonofbaisha
    @Sonofbaisha ปีที่แล้ว +1

    Mungu kakuleta ulimwenguni kuueleza ukweli pasipo kuyumbishwa, simamia kweli tupu mchungaji wangu barikiwa sana kwa huduma iyo. Amen

  • @noelngowitechnicalsolution
    @noelngowitechnicalsolution ปีที่แล้ว

    Asante mchungaji

  • @feliciernm1303
    @feliciernm1303 ปีที่แล้ว

    Mchungaji mungu akukumbuke ktk kiti chake Cha enzi

  • @josephmhagama8791
    @josephmhagama8791 ปีที่แล้ว

    BWANA AKUBARIKI SANA

  • @dullahzebuffa
    @dullahzebuffa ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa pastor

  • @LazaroKungu-cb9mc
    @LazaroKungu-cb9mc ปีที่แล้ว +2

    Mahubiri haya nayapenda sana

  • @JedielMugambi-os9ok
    @JedielMugambi-os9ok ปีที่แล้ว

    Mungu n mungu habandiliki

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 ปีที่แล้ว +1

    Asante YESU mwanao ameongea vyema🙏

  • @bintNchola
    @bintNchola ปีที่แล้ว

    Tumwombe Mungu anong'one nasi kupitia hili neno. Tufanye yaliyo mapenzi yake......

  • @LenaAuko-tj1io
    @LenaAuko-tj1io ปีที่แล้ว

    Thanks pastor

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe pastor Mbaga Nilikuwa natoa macho kwa TH-cam

  • @sikituyamba2002
    @sikituyamba2002 ปีที่แล้ว

    Pasta mungu akubariki sana

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi wa Mungu Hilo ni kweli hao Kwanza hawaamini mungu sasa ki kawaida hao wameingiwa na Pepo sasa Kwa sababu wananguvu za dollars ndio sababu wanatoa pesa ili kuendesha ushoga.

  • @beatriceephraim
    @beatriceephraim ปีที่แล้ว +2

    AMINA PR!
    Mungu akupe hekima ya kutoa mafundisho mazuri kwa umilele

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 ปีที่แล้ว

    My God!
    Mtumishi wa Mungu kweli wewe una hekima ya juu, mimi nimecommet kuwa wahasiwe kabisa kwa kweli napata hasira sana Mun gu anihurumie.Mrisha nitubishe nibakie kuomba na kumshukuru Mungu.
    Eee Mungu utuhurumie .

  • @RobatiMbukwa-gi8sg
    @RobatiMbukwa-gi8sg ปีที่แล้ว

    Good paster

  • @Barick2
    @Barick2 ปีที่แล้ว +1

    Upo sahihi kabisa pastor

  • @KabeziSamuel-uy8rl
    @KabeziSamuel-uy8rl ปีที่แล้ว

    Mungu atusaidie

  • @alicemwaka3762
    @alicemwaka3762 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana mtumishi ila tumepeza mahubiri yako

  • @shonejuma3265
    @shonejuma3265 ปีที่แล้ว +1

    Mungu atusaidie sanaaa sanaa 🙏

  • @NeemaMosima-qz4yp
    @NeemaMosima-qz4yp ปีที่แล้ว +1

    Mungu atuongoze Katina Hilo🙏🏼

  • @naomikilonzo6898
    @naomikilonzo6898 ปีที่แล้ว

    Pastor Mungu akubariki. Kuna Jambo umelisema hapa Kama ningeweza kukuinbox ningekupa ushuhuda. Mungu azidi kukupa maoni ili uwafungue watu wake, Mungu Akupe ulinzi toka juu. Stay blessed.

  • @GSengo
    @GSengo ปีที่แล้ว

    Neno la uzima......

  • @samwelmwasomola2457
    @samwelmwasomola2457 ปีที่แล้ว

    Aminaaaa

  • @rukundojeanmarievianney4776
    @rukundojeanmarievianney4776 ปีที่แล้ว +1

    Karibu tena Pastor, few weeks tulikuwa tumekukosa

  • @konardariri9266
    @konardariri9266 ปีที่แล้ว

    Amen and Amen

  • @qpwisdomchengula8947
    @qpwisdomchengula8947 ปีที่แล้ว

    Mtumishi shalom
    uploaded hyo video

  • @jemsimakondo6261
    @jemsimakondo6261 ปีที่แล้ว

    Wanaounga mkono ushoga hawana hofu ya mungu

  • @nguvuyamaonomedia
    @nguvuyamaonomedia ปีที่แล้ว

    PINGA USHOGA KATIKA JINA LA YESU KRISTO AMEN

  • @zakarialuhemeja4179
    @zakarialuhemeja4179 ปีที่แล้ว +1

    Mafundisho yako Mtumishi wa Mungu huwa ni mazuri sana

  • @CanisiusJohnKayombo-ch6fw
    @CanisiusJohnKayombo-ch6fw ปีที่แล้ว

    Ni kweli. Ushoga ni nguvu ya shetani ambayo inahitaji nguvu ya kiroho ya wokovu.

  • @Briansimiyu254
    @Briansimiyu254 ปีที่แล้ว

    🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @johnraphael9032
    @johnraphael9032 ปีที่แล้ว +1

    Amen. Pastor Ubarikiwe kwa somo zuri hili

  • @witneyemas1736
    @witneyemas1736 ปีที่แล้ว

    AMEN pastor GOD bless you

  • @amosisandikwa5051
    @amosisandikwa5051 ปีที่แล้ว +2

    Pasta Bwana akubaliki sana na Bwana akuongezee siku za kuishi ili utumike zaidi.

  • @eustina0
    @eustina0 ปีที่แล้ว +1

    Mungu alinde watoto wetu kila watokapo aminaa 🙏🙏🙏🙏🙏

    • @sarahkeivaly3351
      @sarahkeivaly3351 ปีที่แล้ว

      sio kila watokapo tu ni bali kila sekunde 1 iendayo, kila mahali na popote wanapokuwa

  • @mudolyomanzil6502
    @mudolyomanzil6502 ปีที่แล้ว

    Barikiwa Pr

  • @jovindanda6053
    @jovindanda6053 ปีที่แล้ว +1

    Neema ya Mungu pekee ituokoe katika wakati huu wa rehema

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 ปีที่แล้ว +3

    Tuwaombee sana Viongozi wetu wa Serikali na Kisiasa
    Wao ndio wa kusimamia rasilimali zetu ili uchumi ukae vizuri tuache kupokea misaada ya kishetani 😭
    Mtumishi uko vizuri sana
    Mungu akubariki 🙏

  • @ludovickharsonharson3564
    @ludovickharsonharson3564 ปีที่แล้ว

    Walaaniwee

  • @robertmwangomale
    @robertmwangomale ปีที่แล้ว +1

    Dunia hii duh

  • @duncankithuka7319
    @duncankithuka7319 ปีที่แล้ว

    Amina.

  • @raelsarange638
    @raelsarange638 ปีที่แล้ว +2

    God's intervention to our lives, this generation in Jesus mighty name

  • @prmaotolalumbetv799
    @prmaotolalumbetv799 ปีที่แล้ว +1

    Nimesikiliza nimeelewa Mungu atusaidie kufanya wajibu wetu

  • @mariamwinuka4185
    @mariamwinuka4185 ปีที่แล้ว

    Mungu awe nawe

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 ปีที่แล้ว +1

    Jamani ni nani atakae tuokoa kwenye hili kama siyo rais basi mungu asimame na sisi atunusuru na hili janga la mashetani

  • @habibuluyangi2702
    @habibuluyangi2702 ปีที่แล้ว

    Hapa ni sisi kuamua tu maana tukibaki na maombi hatufanikiwi ni kugoma vitu vya kigeni