ALI KAMWE azungumza MAZITO wanaomuita CHAMA MZEE/"AZIZ KI na HAMISA ni WAPENZI?....

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024
  • _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe TH-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

ความคิดเห็น • 16

  • @MARYCHARLES-p6m
    @MARYCHARLES-p6m 25 วันที่ผ่านมา

    Ally,mwamini mungu utafika unapopataka achana na midomo ya watu 🎉🎉🎉🎉 yako baba.

  • @user-gr9px4pi2w
    @user-gr9px4pi2w 25 วันที่ผ่านมา

    Ally Kamwe ni kijana bora sana katika kazi yake ya msemaji yanga, na yanga imeongoza wapenzi wengi kwa kuwepo Ally Kamwe , kazi hii tunahitaji vijana

    • @AshaNchira
      @AshaNchira 25 วันที่ผ่านมา

      Muhuni huyo yanga ni timu kubwa hawezi kisenelea yeye aende steji shoo na Kwa Nini Hana mke Kwa hiyo aliye kamwe ni kimada huyo anaifedheesha yanga.

    • @bollywoodentertainment8081
      @bollywoodentertainment8081 25 วันที่ผ่านมา

      ​@@AshaNchirawew kolo kama inauma chomoa ukimbie usije ukajinyea 🖕🖕

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 25 วันที่ผ่านมา +1

    😢😢hawa waandishi inabidi waende shule hawajui namna ya kutengeneza maswali ni aibu

  • @abdallayunnus3475
    @abdallayunnus3475 25 วันที่ผ่านมา

    Kamwe big up

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 25 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah M/Mungu akujaalie Kheir kwenye Maisha yk Inshaallah

  • @vedastusmlavumba1158
    @vedastusmlavumba1158 25 วันที่ผ่านมา

    Ally Kamwe bravo!!! In mtu na nusu

  • @zachariamishai7258
    @zachariamishai7258 25 วันที่ผ่านมา +1

    Hpo mwisho umemalzaje Ally 😂 mwanamke yeyte ambae ana hema 😂😂 daah

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 25 วันที่ผ่านมา +1

    lakini upunguze na zarau na uache kuisemea na simba

  • @hassanharith2443
    @hassanharith2443 25 วันที่ผ่านมา

    Wewe ni hodara na unakipaji sio kama manara

  • @zionhill_music6321
    @zionhill_music6321 25 วันที่ผ่านมา

    Utu Uzima Dawa 😂😂

  • @vedastusmlavumba1158
    @vedastusmlavumba1158 25 วันที่ผ่านมา +2

    Kamwe ni mtu na nusu

  • @hassanharith2443
    @hassanharith2443 25 วันที่ผ่านมา

    Mwinjaku ni jinga kibwa sana hapa Tanzania hata dini hairuhusu kuruhusu kuingiza mke katika jambo lolote amemdhalilisha mkewe

  • @veronicaluvanda2880
    @veronicaluvanda2880 25 วันที่ผ่านมา

    Kwani waliyoanza kuwa chama ni mzee akiwa Simba ni kina nani