Wewe Mzaramo Analijua Nani Kama Unajulikana Kwenu Hk Kijijini Manara Namba Ingine Manara SI Levo Yk Manara Mtoto Wa Mjini Mzaliwa Wa Dar Anatamba Tz Mzima We Jamaa Vipi
Wewe Unauliza Manara Halafu Unaongea Kwa Dharau Huyu Kafunguliwa Na Nani Ww Unauliza Na Wewe Kama Nani Usishindane Na Manara Manara Namba Ingine Dar Nchi Mzima Wewe Mzaramo Analijua Nani
Namba ya kibu atacheza nani? Tumepata pigo kumkosa Mpanzu na wakati huohuo Kibu katuzingua. Viongozi wanatakiwa kulitatua hili kabla dirisha halijafungwa na kabla ligi ya ngao ya hisani haijaanza. Tunaomba Viongozi wajitokeze hadharani wanatatua vipi mapungufu haya kwenye timu yetu. Hizi kasoro zisipuuzwe zaweza kutuathiri.
Inashangaza.. Manara anacheza namba ngapi? Mashabiki wa simba wamepata tunu ya mashabiki bora bila manara... Tunataka mpira wa uwanjani siyo makandokando
Manara Hy Mimi Nnamfahmu Hajakulia Tz Hajasoma Tz Kasoma Hk Nje Baba Ale Sunday Manara Anakipiga Urope Wewe Mkwezi Unashinda Na Manara Manara Levo Nyingine
Wacha kudanganya watu wewe.. huyo albino alizaliwa Denmark Kwa misimu michache tu wakati babake akiwa anachezea huko ila amekulia dar na amesomea dar.. khaaa unapata nini kusema uwongo wewe?? Dah shame on you
Manara hana lolote loplopo 2 nasubirini vita vya manara na Allay Kamwe ya mzee magoma yatakua kidogo
asante manala kwakuludi
Kweli kaka ninakubali SIMBA NGUVU MOJA
Big up mzaramo
Mzaramo ukweli ulipoteaaaa🎉🎉
Mzaramu mwenzangu watafsilie na hii yanga imara kiswahili maanayaka nini
Na kweli mzaramo nilikumiss sana ase
Huyo akikaa sana juani changamoto
Mzaramo hoyoo!
Simba inahitaji kucheza mpira kwa ari na nguvu na pupa itafnikiwa
Manara kiboko yake ni Mzee Magoma kwanza ajibu tuhuma kule zakuangukaaanguka hahaha. Mzaramu oyeeeee
Mngebakisha maneno
Wewe Mzaramo Analijua Nani Kama Unajulikana Kwenu Hk Kijijini Manara Namba Ingine Manara SI Levo Yk Manara Mtoto Wa Mjini Mzaliwa Wa Dar Anatamba Tz Mzima We Jamaa Vipi
Kwa washamba Kama wewe manara lazima awe mtoto wa mjini
Kwanza umeshasema wa kijjn. Huku mjn Hana ishu huyo muimba taarabu tu
Mtoto wa mjini anasema baba hana akili?
Kwelii❤
Wewe Unauliza Manara Halafu Unaongea Kwa Dharau Huyu Kafunguliwa Na Nani Ww Unauliza Na Wewe Kama Nani Usishindane Na Manara Manara Namba Ingine Dar Nchi Mzima Wewe Mzaramo Analijua Nani
Namba ya kibu atacheza nani? Tumepata pigo kumkosa Mpanzu na wakati huohuo Kibu katuzingua. Viongozi wanatakiwa kulitatua hili kabla dirisha halijafungwa na kabla ligi ya ngao ya hisani haijaanza. Tunaomba Viongozi wajitokeze hadharani wanatatua vipi mapungufu haya kwenye timu yetu. Hizi kasoro zisipuuzwe zaweza kutuathiri.
Manara aliwatumikiya vizuri sema.ukweli Mzaramo apo ujasema ukweli tangu Hadji kutoka akuna championships mlipata
Inashangaza.. Manara anacheza namba ngapi?
Mashabiki wa simba wamepata tunu ya mashabiki bora bila manara...
Tunataka mpira wa uwanjani siyo makandokando
Haji ange nyogwa TU kabisa
Manara Hy Mimi Nnamfahmu Hajakulia Tz Hajasoma Tz Kasoma Hk Nje Baba Ale Sunday Manara Anakipiga Urope Wewe Mkwezi Unashinda Na Manara Manara Levo Nyingine
Wacha kudanganya watu wewe.. huyo albino alizaliwa Denmark Kwa misimu michache tu wakati babake akiwa anachezea huko ila amekulia dar na amesomea dar.. khaaa unapata nini kusema uwongo wewe?? Dah shame on you
Mpumbavu unadanganya umma huyu kasoma kariakoo
Mwizi mkubwa huyo, mbona hamsemi, mzee Magoha anajua yote hayo! Lilikuwa jambazi huko CCM
😂😂 unyonyole
Kaka tumekumisi sanaa
Mzaramo tulikuws tumekumiss Tambo zako ubaya ubwera
WAMUACHE ALLY NAM WE